Tumeona kwamba Syria alipovamiwa basi hezbolah hawakusita kuingia vitani kumsaidia swahiba wao Assad. vivo hivo Hamas walipoanza kupokea kichapo Hezbolah nao hawakubaki nyuma walianza kufyatua makombora kuendelea miji ya Israel wakisema kwamba hadi Israel atakapoacha kushambulia palestina na wao ndo wataacha.
Hivo kwa vyovyote vile wasingekaa kimya baada ya kuona "BOSS" wao iran akichezea kichapo kutoka IDF. Nashangaa hadi sasa sijasikia wakisema wamerusha kombora lolote kuelekea Isrel.
Nauliza Je? Hezbolah kwa sasa wako wapi? naombeni wadau mnisaidie kwa hilo
Asante
Hivo kwa vyovyote vile wasingekaa kimya baada ya kuona "BOSS" wao iran akichezea kichapo kutoka IDF. Nashangaa hadi sasa sijasikia wakisema wamerusha kombora lolote kuelekea Isrel.
Nauliza Je? Hezbolah kwa sasa wako wapi? naombeni wadau mnisaidie kwa hilo
Asante