Akili 7
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 731
- 1,416
Alikuwa Dikteta na mtawala katili kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu,alikuwa akijisikia furaha kuumiza watu na kufurahia maumivu yao,rejea kauli zake mwenyewe, "watalimia meno","matajiri kuishi kama mashetani nk ,huyo ndie magufuli ninaemjua.