Arvin sloane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 996
- 204
mm tv na king'amuzi chake haviwaki sijui nilikosea nn.
Ukiona hvyo ujue hyo tv yako na king'amuzi ni anajia tafuta digitali mkuu.
mm tv na king'amuzi chake haviwaki sijui nilikosea nn.
Tafuta decoder ya Easy Tv, wapo pale Zonghua Garden, Morocco. Wao unapata local channels almost zote, kasoro Ctn. Ni jamaa wazuri sana. Wanauza decoder yao sh. 140,000/- na kila mwezi unalipia sh. 9000/-
Hawa easy tv wanatumia madish au ni antena?
Vipi jamaa walioko mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, MBEYA, n.k. watuambie vipi huko ?
habari kutoka Saharamedia kuwa hizo decoder zitawajia hivi karibuni...Decoder hizo za kisasa zinakuja lini ???
Msaada kwenye tuta: Kwa hiyo tv zote za digitali na analogi zinahitaji hivyo ving'amuzi ili kuonyesha picha?
Mkuu nipo kwa dgital toka mwanzo natumia startime,baada ya kuzima dezo chanel nafungua kingamuzi WAMEKATA clouds,C.TEN na zingine zimebaki Itv,Itv na Dtv na za nje, inakuwaje IMEKULA KWANGU?
Hapo kwenye blue,
TV za digital hazihitaji ving'amuzi, maana tayari zina ving'amuzi.
TV za analogue ndio zinahitaji ving'amuzi ili kubadilisha matangazo ta tv toka digital kuwa analogue, ili uweze kuyaona kwenye tv za analogue.
Mkuu uko Tanga?
Najua CTV wapo sana Tanga, lakini kwa Dar sijajua nani anasambaza TV channels kwa cable
Asante kwa taarifa hizi ndugu. Wako wapi hawa jamaa kwa Dar? Je cable yao imesambaa mji mzima?Nipo Dar Hii CTV ipo Kitambo sana yaani... Na mimi nilianza kuitumia Mwaka 2000... enzi hizo unapachika Cable tu ila Kuanzia Mwaka Jana wakatuforce tununue Decoder Yaani Kwa Mwaka tulilipa Dollar 90 mwaka huu wamepandisha ni Dollar 100 kwa Mwaka Full Burudani Soccer ya Uk Wametuunganisha na Abudhabi Tv,Movie,Discovery,Animal Planet,NatGeo zote,Cartoon,Hindi Movie+Music yaani Gurudani hadi Aibu naoana kama Nawaibia vile Kuna Mwaka juzi Cable ilikatika kama Wiki nikanunua Star Times Mbona Nilijuta....
Asante kwa taarifa hizi ndugu. Wako wapi hawa jamaa kwa Dar? Je cable yao imesambaa mji mzima?
Mkuu CTV KWA Dar wapo pale jengo la J.M. Mall 2nd Floor..... Navyojua Cable zao wamesambaza City Centre,Kariakoo karibu Yote Ilala Baadhi hadi imeishia Buguruni... Wilaya ya Temeke wapo Chang'ombe sijajua kama Temeke wamefika, Wilaya ya Kinondoni Wapo kuanzia Salender Bridge,wameenda Oysterbay Masaki, Kuanzia Mitaa ya FAO hadi kwa Kikwete Mikocheni A na B hizo ndio sehemu nijuazo ila kuna wakati niliwauliza wakasema kama eneo linapenda kuwa na ctv wakijioganise na wakafika kama 40 wanaleta mtambo wa uweli wa Burudani... Simu zao ni Landline 022-2116611
Mbeya hakuna kitu kama hicho,me sijawahi kununua king'amuzi natumia dish(satelite) iko poa tu.