hali ikizidi kuwa ngumu itabidi tuandamane tu,uhuru wa mwananchi kupata habari uko wapi?
Mnaandika nyie mnajijibu nyie, Kuna mtu Tz anaweza kusema jamaa wamefanya kweli aiseee tumezoea longo longo hawa hawana? Mangapi mnafanya vizuri mpaka muonekane hamna longo longo? Wenye akili tunajua mna ten percent yenu na watu wa ving'amuzi na sio jingine. Mngekuwa hamna longo longo ving'amuzi si mngehakikisha vipo kila mahali na katika bei ambayo ni affordable kwa wananchi wa vijijini? Hivyo mmefanya kweli mission accomplished ten percent guaranteed.
Mimi natumia dish. ITV, STAR, Channel 10, Capital na pia TVCCM zipo hewani bila shida
Arusha anaologia ipo on air
mm tv na king'amuzi chake haviwaki sijui nilikosea nn.
Vipi jamaa walioko mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, MBEYA, n.k. watuambie vipi huko ?
kama upo dar tafuta cha ting, ni watu wa atn nadhani wana local chanels nyingi kwa sie wapenda taarifa. Kama upo moro au dodoma tafuta cable tv, wana local chanels na ligi kuu ya uingereza kama kawa
kama upo dar tafuta cha ting, ni watu wa atn nadhani wana local chanels nyingi kwa sie wapenda taarifa. Kama upo moro au dodoma tafuta cable tv, wana local chanels na ligi kuu ya uingereza kama kawa
Acha kumshauri vibaya mwenzio. Hao ting wababaishaji. Kama uko dar chukua Easy Tv
Tafuta decoder ya Easy Tv, wapo pale Zonghua Garden, Morocco. Wao unapata local channels almost zote, kasoro Ctn. Ni jamaa wazuri sana. Wanauza decoder yao sh. 140,000/- na kila mwezi unalipia sh. 9000/-Jamani mi cna king'amuz, hivyo naiombeni mnijuze nyie mnaotumia ving'amuz, ni king'amuz gan kilichoshiba local channels baada ya kuzima huo mtambo wa analojia? HESHIMA KWENU WAKUU.