johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,919
- 141,885
Nauliza tu maana binafsi naona ni rahisi zaidi kuufuta mfumo wenyewe wa vyama vingi vya siasa kuliko kuhangaika na Mwamba.
Tangu Mwamba avunjiwe Billicanas nilisema huyu jamaa anaweza kubadilika na kuwa mpinzani wa kweli halafu atasumbua sana kama Madiba wa bondeni.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Tangu Mwamba avunjiwe Billicanas nilisema huyu jamaa anaweza kubadilika na kuwa mpinzani wa kweli halafu atasumbua sana kama Madiba wa bondeni.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!