johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,439
- Thread starter
- #21
Hahahaaaa........ Ngoja wakujibu vijana wenzio waliosoma HGLHao walifanya upinzani wa aina gani? Maana mfumo wa vyama vingi hapa kwetu umeanza mwaka huo uliotaja
Hahahaaaa........ Ngoja wakujibu vijana wenzio waliosoma HGLHao walifanya upinzani wa aina gani? Maana mfumo wa vyama vingi hapa kwetu umeanza mwaka huo uliotaja
Niko Ubungo kwenye " Kibanda cha mbege "Ushavimbiwa magimbi na ulanzi sasa umeamua kutabiri mvua kunyesha kipindi cha masika.
Anaweza kupata KIBALI kama ilivyokuwa kwa Mrema 1995 au Lowassa 2015!Moyo wake umejaa upinzani tangu ajiunge chadema, lakini kichwa chake hakina uwezo wa kupanga mkakati wa kutimiza kitu moyo wake unataka.
Angalia usihamishweNiko Ubungo kwenye " Kibanda cha mbege "
Mbowe gaidi ,alipwe stahiki yake barabaraJohn, unajua unachosha na kukera watu katika mabo ya msingi, unakuwa sasa kinyaa! Hapa kuna maisha ya mtu yanaagamia kwa kubambikiwa kesi, wew unaleta mchezo. Hapo hapo mnakwenda kwenye mzoga kuabudu...