FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Soul ndio inahifadhi taarifa zako. Labda kama unaongealea Spirit lakini moyo hauhuisiki kwa namna yoyote ile
Kwanza tuelewe kijachokufanya wewe uwe wewe sio kumbukumbu. Kumbukumbu ni experience ya uliyoyaona na kutenda au kusikia.Kuna wakati niliwahi fikiri "soul" ilitakiwa kutambuliwa kama mlango wa sita wa fahamu, kisha "pineal gland" iwe mlango wa saba wa fahamu!
Jibu basi, je spirit itapambana na hizo kumbukumbu? (si watu wote wana hiyo elimu kutambua tofauti ya roho na moyo tumelelewa kufikiri ni kitu kimoja, utasikia mtu anasema roho inauma akikusudia moyo and viceversa)
Obviously personality za mtu zinakaa kwenye Mind. Mind ni sehemu kuu ya Soul! Ndio maana kuna kamsemo mnasema eti "ni mindset yako tu"Tabia zinakaa wapi, rohoni au nafsini?
Kwamba basi tabia zinaweza kua influenced kwa kufuta kumbukumbu za mtu.. kumbuka mtoa mada anaongelea kumbukumbu sio tabia.Safi, kujibu swali la poster inawezekana kabisa kumtengeneza gaidi, refer uzi wako
Thread 'Kukataliwa na kudharaulika kunavyoweza kumfanya mtu mwema akawa mtu mbaya'
Kukataliwa na kudharaulika kunavyoweza kumfanya mtu mwema akawa mtu mbaya
Kama tabia yaweza kuwa influenced na external factors then hata hilo lawezekana kufanyika.
Kumbukumbu ni hali ya kuweza kutambua jambo uliloliona au kuweza kufafanua au kuelezea jambo ulilolihifadhi ndani ya kichwa chako.Kumbukumbu ni nini mkuu?
Tabia si sehemu ya kumbukumbu??Kumbukumbu ni hali ya kuweza kutambua jambo uliloliona au kuweza kufafanua au kuelezea jambo ulilolihifadhi ndani ya kichwa chako.
Kumbukumbu zinahifadhiwa sehemu tofauti. Kumbukumbu kwenye ubongo na Tabia kwenye MindTabia si sehemu ya kumbukumbu??
Kwa mantiki hiyo, mtoto mdogo anapofanyiwa ‘brainwashing’ ili akikua awe gaidi na kwenda kujitoa muhanga, huwa inahusisha kurekebisha utengenezaji wa hormones kwenye tezi zake? Na je, hiyo dhambi ya kujitoa muhanga ni ya nani? Maana it seems huyu mtoto anakuwa kama vessel tu, au robot, unaweza kumuadhibu robot au utamuadhibu yule aliye - programme lile robot? Na consequently, ni haki kwa binadamu kuadhibiwa wakati aliyetu-programme yupo na wote tunamjua?Kwanza tuelewe kijachokufanya wewe uwe wewe sio kumbukumbu. Kumbukumbu ni experience ya uliyoyaona na kutenda au kusikia.
Mtu ni roho na nafsi ndio inayomfanya awe mtu.
Tukumbuke pia huruma, upole, na menginiyo mengi hayaratibiwi na kumbukumbu.. hizo ni tabia za mtu binafsi.
Personalities za binadamu imegawanyika katika sehemu kuu ambazo ni Behaviour,(Tabia) Cognition (Utambuzi),Emotions (Hisia), tutaangalia zaidi Behaviour, tuone tabia mbalimbali za wanadamu
Wanasaikolojia wanasema kuwa Tabia za binaadamu zinasababishwa na Endocrine system
(Mfumo wa tezi) na Nervous System (Mfumo wa Fahamu/Neva). Lakini inasemekana kua mfumo wa Neva ndio husababisha zaidi tabia za mtu, wanasema kwamba Utathabiti au mwenye imfumo imara/thabiti wa neva basi anakua na uwezo mkubwa wa kuweza kujifunza hivyo anaweza kudhibiti tabia zake, labda kutoka tabia moja kwenda nyingine ambazo ni Aggressive, Passive na Assertive
Hivyo basi kama mtu mwenye behavior ya Passive ambazo ni upole akifutwa kumbukumbu zake akawekewa za Aggressive ambazo ni ukorofii/gaidi. Bado mtu huyo hawezi kua gaidi kutokana na kumbukumbu hizo. Ni sawasawa mtu umlazimishe kumvisha nguo za CCM hafu useme tayari mtu huyo sio CDM tena. Kiufupi ni kama utakua umesafisha dumu nje ila ndani bado ni chafu
Hivyo labda Kama wangefuta kumbukumbu afu wakampa madawa ya kuchochea hiyo tezi hapo juu kuzalisha hormones zitakazofanya mtu awe mkorofi. Ndio maana ambacho hua kinafanyika in real life. Hua wanafuta kumbukumbu zako afu wanakuBrainwash kwa mafunzo mbalimbali. Lakini hata hivyo ikitokea kitu kikatriger lost memories za victim basi kumbukumbu zote hurudi. Mara nyingi huwa wanabadirika
Umeelewa na kuridhika au umeamua ku-Yield tu?Ahsante mkuu!
Binaadamu hayupo programed unless otherwise hujui maaa sahihi ya programming au unashindwa kuihusianisha na Creation.Kwa mantiki hiyo, mtoto mdogo anapofanyiwa ‘brainwashing’ ili akikua awe gaidi na kwenda kujitoa muhanga, huwa inahusisha kurekebisha utengenezaji wa hormones kwenye tezi zake? Na je, hiyo dhambi ya kujitoa muhanga ni ya nani? Maana it seems huyu mtoto anakuwa kama vessel tu, au robot, unaweza kumuadhibu robot au utamuadhibu yule aliye - programme lile robot? Na consequently, ni haki kwa binadamu kuadhibiwa wakati aliyetu-programme yupo na wote tunamjua?
Nipe mtazamo wako juu ya programming, maana kuna conditioned na learned programmes, zipi unazungumzia?Binaadamu hayupo programed unless otherwise hujui maaa sahihi ya programming au unashindwa kuihusianisha na Creation.
Je unaweza kuniambia ni namna ipi mwanadamu yupo programmed?Nipe mtazamo wako juu ya programming, maana kuna conditioned na learned programmes, zipi unazungumzia?
Through conditioning tangia kuzaliwa, mfano kuna nyoka huwa wakiwa threatened wanajifanya wamekufa na mwili wao unaanza kutoa harufu na kunuka kama mzoga papo hapo, yaani hata kinyoka kilichozaliwa leo kinakuwa na huo utaalam, sasa hiyo ni genetic conditioni (programming), ila kuna zile programme za kujifunza mfano mtoto mdogo anapojifunza kuongea lugha ya wazazi wake. Je, yule anaetupa conditioned programmes hana cha kuwajibishwa nacho?Je unaweza kuniambia ni namna ipi mwanadamu yupo programmed?