Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Mkuu wahi Milembe, hujachelewa
...mkuu-ulivyofungwa umeshapoteza sifa za kugombea urais.
Pole
Mkuu karibu sana jukwani
katiba yetu iko wazi mkuu ukienda jela ndo basi tena.Thamini yako. Soma katiba vizuri kipengele Cha URAIS.
Jela!Mkuu ulipotelea wapi