Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 4,401
- 9,337
DC useless sana. Anaharisha maneno ya ovyo sana
Kalimchongea Haraka Haraka kwa jiwe ni kasnitch haswa.Mzee Mangula hana hamu na haka kadubwana almanusra kamtoe roho kwa kumwekea sumu kwenye maji ya kunywa.
Anadai atskupigeni style inaitwa kosovo🤣DC useless sana. Anaharisha maneno ya ovyo sana
Mungu fundi sana fikiria haka kadubwana kako vile lakini kanaleta taharuki sasa kangekuwa kazima kale si kangekuwa kanapiga mtama kila mtu anayekuja mbele yake.Anadai atskupigeni style inaitwa kosovo🤣
Aisee...Mzee Mangula hana hamu na haka kadubwana almanusra kamtoe roho kwa kumwekea sumu kwenye maji ya kunywa.
Wakuu salamaView attachment 3613982
Naona moshi Mweusi huko pwani ya Tanzania.
Nchi ipo kuaminisha Dunia uongo kwamba watu wanaishii kwa upendo na amani, halafu anatokea DC anatia kitumbua Mchanga.
Na hivi haziivi na uzao wa Kizimkazi sio kama safari hii atavuka salama
Pia soma Video: Waliojitambulisha kuwa ni Askari wamvamia Mwananchi usiku wa manane
Umetumwa na huyo muuaji Vitto Ferrarri kumtetea humu siyo?Wakuu salama
Watanganyika tuache siasa za kwenye mitandao, ukweli usemwe ili raia waelewe.
Sijaona kosa alilolifanya DC na kama kitamlamba kwa zile bongo movie za wana king'azi basi tutakuwa na shida Kamati huska.
Hakuna raia aliyevamiwa na hao watu wanaoitwa askari. Lile eneo lote wanaloishi raia waliokwenda bongo movie lina mgogoro wa Ardhi wa miaka mingi.
Mwenye eneo lile kesi yake alishinda mahakamani siku nyingi. Ni DC huyu huyu aliyesimama na raia nyumba zao zivunjwe wapewe nafasi ya kumlipa fidia mshinda tuzo.
Changamoto iko wapi? Changamoto ikajitokeza kwamba lile eneo la king'azi linapakana na wilaya ya ubungo. Hivyo kuna watu ambao wanajihisi wako Wilaya ya Ubungo na siyo Kisarawe.
Kwa mantiki hiyo raia wakaona huu ndiyo mwanya wa kupona rungu la kuvunjiwa nyumba zao. Wakaja na hoja ya Kwamba eneo lile lipo Ubungo na siyo Kisarawe, kwa hoja yao hiyo ni kwamba mshinda tuzo eneo lake liko Kisarawe na wao wako Ubungo.
DC akawatuliza kwa kufwata GN iliyosainiwa kabla ya Uchaguzi. Walivyo ona wamekwama Wakaja na hiyo Kaole na kupost kwenye mitandao kwa kutafuta huruma za Watanganyika na kuzua taharuki isiyokuwepo.
DC siyo kwamba namkingia kifua, Hapana! Kwenye kweli tuseme kweli. Kawatetea kwa siku nyingi sana ona walivyomgeuka na kumchafua.
Mh, Magoti ni DC ambaye unaweza kwenda kumwona kwa wakati wowote, anakusikiliza na matatizo yako anawapangia wasaidizi wake kwa wakati huo huo!
Wakuu salama
Watanganyika tuache siasa za kwenye mitandao, ukweli usemwe ili raia waelewe.
Sijaona kosa alilolifanya DC na kama kitamlamba kwa zile bongo movie za wana king'azi basi tutakuwa na shida Kamati huska.
Hakuna raia aliyevamiwa na hao watu wanaoitwa askari. Lile eneo lote wanaloishi raia waliokwenda bongo movie lina mgogoro wa Ardhi wa miaka mingi.
Mwenye eneo lile kesi yake alishinda mahakamani siku nyingi. Ni DC huyu huyu aliyesimama na raia nyumba zao zivunjwe wapewe nafasi ya kumlipa fidia mshinda tuzo.
Changamoto iko wapi? Changamoto ikajitokeza kwamba lile eneo la king'azi linapakana na wilaya ya ubungo. Hivyo kuna watu ambao wanajihisi wako Wilaya ya Ubungo na siyo Kisarawe.
Kwa mantiki hiyo raia wakaona huu ndiyo mwanya wa kupona rungu la kuvunjiwa nyumba zao. Wakaja na hoja ya Kwamba eneo lile lipo Ubungo na siyo Kisarawe, kwa hoja yao hiyo ni kwamba mshinda tuzo eneo lake liko Kisarawe na wao wako Ubungo.
DC akawatuliza kwa kufwata GN iliyosainiwa kabla ya Uchaguzi. Walivyo ona wamekwama Wakaja na hiyo Kaole na kupost kwenye mitandao kwa kutafuta huruma za Watanganyika na kuzua taharuki isiyokuwepo.
DC siyo kwamba namkingia kifua, Hapana! Kwenye kweli tuseme kweli. Kawatetea kwa siku nyingi sana ona walivyomgeuka na kumchafua.
Mh, Magoti ni DC ambaye unaweza kwenda kumwona kwa wakati wowote, anakusikiliza na matatizo yako anawapangia wasaidizi wake kwa wakati huo huo!