Je, Corona ni vita? Watanzania, Serikali yetu, CCM, Wapinzani bila umoja na mshikamano wa nguvu moja, lengo moja na sauti moja, tutaweza kushinda?

Paskali una mawazo mazuri lakini you arae wasting your time.
Para no.7, kuunga mkono hatua zote ilizochukuliwa na serikali na kufuata ushauri wa madaktari ni vitu viwili tofauti.
I do hope you are not blind to the contradiction,

Namuunga mkono Rais JPM, sisi ni kusali na kuomba tu.
We are just too poor to make any meaningful strategy and response.
Rais wetu ni shujaa,miezi michache iliyopita alisema nchi ni tajiri,ina akiba ya kuendesha nchi for 6 months,Leo anaogopa lockdown kuliko ukoma maana serikali itakosa revenue na atashindwa kulipa mishahara Mungu atusaidie tu maana tushakwama
 
Unajua Mheshimiwa Pasco kila nikiutafakari mhimili Mkuu unaniachia maswali ambayo yanazaa maswali, na inasikitisha na inaumiza. Unajua elimu inajenga jengo, ujinga unavunja jengo pengine lilitumia miaka 20 kujengwa, ndani ya sekunde tu ujinga unaporomosha jengo lote. Ujinga ni hatari.

Nilichogundua unaweza ukasoma halafu lakini usipate matunda ya elimu, bado ukabakiwa na ujinga. Ujinga nao umegawanyika sehemu mbili kwa watu. Aina ya kwanza ni mjinga anayejijua mjinga. Aina ya pili ni mjinga asiyejijua ni mjinga. Ujinga wa aina ya pili ni hatari! Na ghali yake zaidi ni awe amesoma lakini hana matunda ya elimu. Kwa sababu atajiamini ana elimu lakini kumbe ni mjinga.

Tupo kwenye vita mbili bwashee! Kwa hali ya dhahiri jinsi ilivyo nchi mwetu kwa sasa covid-19 ni vita ya pili. Kimipango inabidi tuiue vita ya kwanza ya pili itakuwa ni rahisi. Hii vita ya kwanza ni mtu mmoja tena anayeonekana. Ni rahisi kwanza kumuangamiza anayeonekana kuliko kupambana na asiyeonekana. Huyu jumaa sina chuki naye na simtakii mabaya, ila ni kikwazo kikubwa sana kwa sasa.

Yote yanawezekana ikiwa huyu kwanza akiondolewa.

Kwa sababu anayoyafanya ni yenye kuleta simanzi! Akiulizwa ama kuhojiwa anakuwa ni mkali na anakutisha vilevile, na akijisikia anakutia kwenye ghadhabu! Lakini ndiyo tunaharibikiwa hivyo! Lakini bado anaendelea na mwendo wake uleule na ajithibitishia yupo sahihi mpaka kwenye kutohojiwa ama kuulizwa! Halafu anazungumza anatabasamu!. Nimehitimisha ya kuwa pengine (yenye asilimia kubwa) kwa nia nzuri tu, huyu jamaa inawezekana ana matatizo ya akili.
 
Rais Magufuli alipokutana na vyombo vya usalama alisema Watanzania tupo vitani

Ila kuna baadhi ya wanasiasa wamekimbia vita pale bungeni wameenda kujifungia ndani
Huku sisi wapiga kura wao tukiwa mtaani tunapambana
Na yeye mumeo amekimbilia wapi? Dar kwa moto, Dodoma kwa moto. Muda si mrefi atavuka boda aende Uganda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Kama kawaida, kila nikipata fursa ya kuandika, huwa naandika mfululizo wa makala hizi ziitwazwa "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo miongoni mwa Watanzania, ambazo huandikwa kwa mfumo wa maswali na huchapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano, hivi makala hizi huandamanana na vipindi vya TV, TV Series, ambapo taratibu za udhamini zikikamilika, vipindi vya vitaonekana kwenye TV. Kwa wiki hii nazungumzia umuhimu wa Umoja na Mshikamano kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, ndio siri pekee ya mafanikio ya vita yoyote duniani. Swali ni "Jee Hili Janga la Corona ni Vita?. Jee sisi Watanzania, serikali yetu, CCM, Wapinzani, bila kuwa wamoja, kusimama pamoja kwa upendo, mshikamano na ushirikiano wa kupigana kwa pamoja kwa lengo moja, kwa nguvu moja, kwa sauti moja, jee tutaweza kweli kushinda vita hii?!.

Janga la Corona ni Vita, ili tushinde vita yoyote ni lazima sisi Watanzania, kuanzia serikali yetu, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, tuwe kitu kimoja, tuwe wamoja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano kwa kufanya kila kitu kwa pamoja, kwa ushirikiano na kuwa kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote ziwe ni nguvu moja ya pamoja, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tupambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja la ushindi, ndio tutashinda vita hii!, tukiendelea hivi hivi tunavyokwenda sasa, kwa kila mtu kusema lwakwe...

Tukipambana na Corona bila kusimama pamoja, huku kila mtu amesimama kivyake, anasema lake, kama hali ilivyo sasa, kwa serikali kusema hili, rais kusema hili, Waziri Mkuu kusema lile, Waziri wa Afya kusema lake, CCM kuifananisha Corona na Wapinzani, Wapinzani kusema Serikali inaficha takwimu, wananchi kuruhusiwa kutumia barakoa za vitambaa, wataalamu kusema yao, wananchi kuruhusiwa kutumia tiba asili na tiba mbadala ikiwemo kujifukiza, wataalamu wa afya kupishana, mbuzi na hadi papai kukutwa na virusi vya Corona, kiukweli ni mchanganyiko mkubwa, kunatuchanganya sisi Watanzania tusijue tufuate lipi, tumwamini nani, kuna msemo usemao miluzu mingi humpoteza mbwa mwelekeo, humchanganya asijue afuate lipi aache lipi na mwisho hubaki ameduwaa asijue la kufanya!.

Ili tushinde vita hii, ni lazima kwanza viongozi wetu wazungumze kwa kauli moja thabiti, ili sisi Watanzania tufuate moja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano as as one, tupigane pamoja, kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja, ndio tutashinda vita hii.

Tangu kuanza kwa vita hii, mpaka hapa tulipo, Watanzania tumegawanyika, hivyo hatua ya kwanza ni kwa baba mwenye nyumba wetu, rais Magufuli kutuleta pamoja sisi watoto wake wote wa nyumba yake kuanzia yeye mwenyewe kama Baba, serikali yake, CCM, Wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla, atulete pamoja, tuwe wamoja, kitu kimoja, tuongee kwa lugha moja, sauti moja, nguvu moja na lengo moja la kushinda vita, ndio tutashinda vita hii.

Hili litafanyikaje?, hili litafanyika hatua kwa hatua,
  1. Hatua ya Kwanza ni Ushirikishwaji - japo Corona ni vita, na tangu kutangazwa kwa vita hii, Amiri Jeshi wetu Mkuu, amechukua vikosi vyake vya kiserikali tuu na kutangaza vita. Bahati nzuri wakati wa vita vya Kagera, japo nilikuwa mdogo, lakini tayari nilikuwa shule ya msingi, kabla ya kutangaza vita, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, alituhamasisha, tukahamasika kwa uzalendo, ndipo alilihutubia taifa na kusisitiza uzalendo, kujitoa, umoja, na mshikamano wa Watanzania wote na kuitoa ile hotuba maarufu ya " Nia, Sababu na Uwezo". Lakini kwa hapa Tanzania kwenye vita hii, tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, Kamati ya Mawaziri, Kamati ya Wakatibu Wakuu na Kamati ya Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hapa kunahitajika uwazi na ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwaji wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na kama kama Goliati, akitegemea nguvu zake na serikali yake pekee, kumbe kuna akina Daudi wengi tuu wapo na wangeweza kusaidia sana kama wangeshirikishwa lakini wamejinyamazia tuu kimya kwa sababu hawajashirikishwa!.
  2. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa lugha moja, sauti moja na kauli moja iliyooka. Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikiishasema jambo fulani, mfano idadi ya waliokufa ni idadi fulani, sheria ya kivita inatumika, waliokufa ni idadi hiyo hiyo iliyotangazwa!, hata kama mtu umeona na kushuhudia kwenye mitandao ya kijamii miili 100 inazikwa!, bado una wajibu wa kuisema ile idadi tuu iliyotangazwa rasmi na serikali. Haiwezekani tuko vitani, leo Waziri Mkuu akatutangaza idadi ya vifo ni kadhaa, halafu kesho wewe kwasababu ni kiongozi wa chama cha upinzani, ukaitisha press conference, na kuituhumu serikali kuwa haisemi kweli! na badala yake unaleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?!. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, waachiwe watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa lugha moja na kauli moja kwa maslahi ya taifa!, kama ushirikishwaji ungefanyika mwanzo, nimemshuhudia Amiri Jeshi Mkuu, Rais Magufuli, akitusisitiza Watanzania wote kuwa hii vita ni yetu sote, CCM, Wapinzani, na Watanzania wote kuweka pembeni tofauti zetu na kushikamana pamoja, kuunganisha nguvu ya pamoja na kupigana kwa pamoja, tutashinda. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa kauli moja, sauti moja na kupigana kwa nguvu moja na lengo moja... Tutashinda.
  3. Watanzania Wenye Uwezo Kusaidia, Wasaidie, Serikali Pekee Haiwezi Kila Kitu. - kama zilivyo vita nyingine zote, umoja ni nguvu, hatuwezi kuiachia serikali kufanya kila kitu, serikali pekee haiwezi, hivyo kufanyike resources mobilization kwa kila Mtanzania kujitolea kuchangia kwa uwezo wake kama nilivyoshauri hapa wakiwemo wenye uwezo wa ziada na uzoefu wajitokeze, waitwe, washirikishwe, wakiwemo ma veterani wa utatibu na wa kila fani, huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.
  4. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, hazitoshi, more needs to be done, naiomba serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, wakiwemo wapinzaia, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.
  5. Redefining Roles za Upinzani Wqkati wa Vita. Upinzani unaitwa opposition kumaanisha kupinga, lakini japo ni jukumu lake kupinga na kukosoa, lakini sio lazima kupinga tuu kila kitu, linapokuja suala la maslahi kwa taifa lenye national interests, CCM na Wapinzani wanapaswa kuweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja, hivyo kwenye mazuri ya CCM kwa maslahi ya taifa, Wapinzani msione aibu kuiunga mkono CCM na kuipongeza, na CCM nayo pia inapokutana na hoja za upinzani zenye maslahi kwa taifa mfano inapokopy hoja nzuri au sera mzuri za wapinzani na kuzitekeleza, isione aibu kuwapongeza wapinzani kama hoja ya katiba mpya, elimu bure etc, lakini inapotangazwa vita, role ya upinzani changes, hakuna tena kupinga kitu chochote!, zinatumika martial laws, sheria za kijeshi, amri ni moja tuu, ama kuunga mkono, ama kunyamaza kimya!. Haiwezekani Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikasema kitu fulani, halafu akatokea kiumbe mwingine akakohoa kuipinga serikali!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hii itakuwa sio vita bali ni kusemazana, kwenye vita hakuna kusemezani ni amri tuu, ikitolewa kauli yoyote rasmi ya serikali ni amri!.
  6. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhudi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki sasa za hospitali za kiimali, tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaoteshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu bila kusahau kumtanguliza Mungu, maana bila YEYE sisi binaadamu pekee, Hatuwezi.
Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali langu la wa mwanzo wa bandiko hili, hivi hili janga la Corona ni vita kweli ya wote au ni vita ya serikali pekee?. Kama ni vita ya wote, mbona hatujashirikishwa kikamilifu ipasavyo?. Mbona karibu kila kitu ni kama ni serikali tuu?. Jee tunaweza tushinde vita hii bila sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, kushirikishwa kikamilifu, tuwe wamoja?, tusimame pamoja kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote kwa pamoja chini ya umoja ni nguvu, ziwe ni nguvu moja kuu, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa lengo moja?.
Its Only Pamoja Tutashinda!.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Majibu unayo bana wacha kutusumbua. Bado kuna total mixing ya watu all over Tanzaia as if hakuna very highly fatal contagious disease, unauliza maswali ya kushinda vita? Ndio maana waandishi wa hapa nawadharau (juzi ulisema nawadharau). sasa hili swali gani wakati mnafungua ligi ya Taifa ya mpira. Misikiti /makanisa vinajaa kama wa kwaMtoro etc
 
Tanzania tulishinda vita vya Kagera tena kwa muda mfupi kwa sababu Jemedari Mkuu Raisi Mwalimu Dr Julius Kambarage Nyerere alikuwa na nia ya kumchapa Amin,pili akajenga ushawishi wa kuungwa mkono na umma wa watanzania na nje ya Tanzania. Hata mataifa makubwa yaliyokuwa si washirika wetu kama Marekani,Uingereza yalituunga mkono.

Lakini ukilinganisha na vita hii ya Corona ni kinyume kabisa.Imejengwa hofu,inayozua wasiwasi na matokeo ni panic.

Ili kupambana na vita hii ya Corona inahitaji watawala wawe fully committed kupambana na Covid-19, watumie hekima inayozaa busara na si vinginevyo.

Lakini mambo ya kutafuta scapegoat pale unaposhindwa kutekeleza majukumu yako sio sahihi.
Nakumbuka Mwl.Nyerere pale makosa yalipofanyika ya kudugua jet fighters zetu 3 na kikosi chetu cha mizinga cha Kyabakari huko Musoma zilizokuwa zinarudi kufanya mashambulizi kutoka uwanja wa mapambano, Raisi Mwl.Nyerere alikili makosa hayo ya mawasiliano.

Tukubali kuwajibika pale tunapofanya makosa.Tanzania sio shamba la majaribio ya uongozi.
 
Wanabodi,

Kama kawaida, kila nikipata fursa ya kuandika, huwa naandika mfululizo wa makala hizi ziitwazwa "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo miongoni mwa Watanzania, ambazo huandikwa kwa mfumo wa maswali na huchapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano, hivi makala hizi huandamanana na vipindi vya TV, TV Series, ambapo taratibu za udhamini zikikamilika, vipindi vya vitaonekana kwenye TV. Kwa wiki hii nazungumzia umuhimu wa Umoja na Mshikamano kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, ndio siri pekee ya mafanikio ya vita yoyote duniani. Swali ni "Jee Hili Janga la Corona ni Vita?. Jee sisi Watanzania, serikali yetu, CCM, Wapinzani, bila kuwa wamoja, kusimama pamoja kwa upendo, mshikamano na ushirikiano wa kupigana kwa pamoja kwa lengo moja, kwa nguvu moja, kwa sauti moja, jee tutaweza kweli kushinda vita hii?!.

Janga la Corona ni Vita, ili tushinde vita yoyote ni lazima sisi Watanzania, kuanzia serikali yetu, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, tuwe kitu kimoja, tuwe wamoja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano kwa kufanya kila kitu kwa pamoja, kwa ushirikiano na kuwa kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote ziwe ni nguvu moja ya pamoja, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tupambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja la ushindi, ndio tutashinda vita hii!, tukiendelea hivi hivi tunavyokwenda sasa, kwa kila mtu kusema lwakwe...

Tukipambana na Corona bila kusimama pamoja, huku kila mtu amesimama kivyake, anasema lake, kama hali ilivyo sasa, kwa serikali kusema hili, rais kusema hili, Waziri Mkuu kusema lile, Waziri wa Afya kusema lake, CCM kuifananisha Corona na Wapinzani, Wapinzani kusema Serikali inaficha takwimu, wananchi kuruhusiwa kutumia barakoa za vitambaa, wataalamu kusema yao, wananchi kuruhusiwa kutumia tiba asili na tiba mbadala ikiwemo kujifukiza, wataalamu wa afya kupishana, mbuzi na hadi papai kukutwa na virusi vya Corona, kiukweli ni mchanganyiko mkubwa, kunatuchanganya sisi Watanzania tusijue tufuate lipi, tumwamini nani, kuna msemo usemao miluzu mingi humpoteza mbwa mwelekeo, humchanganya asijue afuate lipi aache lipi na mwisho hubaki ameduwaa asijue la kufanya!.

Ili tushinde vita hii, ni lazima kwanza viongozi wetu wazungumze kwa kauli moja thabiti, ili sisi Watanzania tufuate moja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano as as one, tupigane pamoja, kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja, ndio tutashinda vita hii.

Tangu kuanza kwa vita hii, mpaka hapa tulipo, Watanzania tumegawanyika, hivyo hatua ya kwanza ni kwa baba mwenye nyumba wetu, rais Magufuli kutuleta pamoja sisi watoto wake wote wa nyumba yake kuanzia yeye mwenyewe kama Baba, serikali yake, CCM, Wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla, atulete pamoja, tuwe wamoja, kitu kimoja, tuongee kwa lugha moja, sauti moja, nguvu moja na lengo moja la kushinda vita, ndio tutashinda vita hii.

Hili litafanyikaje?, hili litafanyika hatua kwa hatua,
  1. Hatua ya Kwanza ni Ushirikishwaji - japo Corona ni vita, na tangu kutangazwa kwa vita hii, Amiri Jeshi wetu Mkuu, amechukua vikosi vyake vya kiserikali tuu na kutangaza vita. Bahati nzuri wakati wa vita vya Kagera, japo nilikuwa mdogo, lakini tayari nilikuwa shule ya msingi, kabla ya kutangaza vita, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, alituhamasisha, tukahamasika kwa uzalendo, ndipo alilihutubia taifa na kusisitiza uzalendo, kujitoa, umoja, na mshikamano wa Watanzania wote na kuitoa ile hotuba maarufu ya " Nia, Sababu na Uwezo". Lakini kwa hapa Tanzania kwenye vita hii, tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, Kamati ya Mawaziri, Kamati ya Wakatibu Wakuu na Kamati ya Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hapa kunahitajika uwazi na ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwaji wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na kama kama Goliati, akitegemea nguvu zake na serikali yake pekee, kumbe kuna akina Daudi wengi tuu wapo na wangeweza kusaidia sana kama wangeshirikishwa lakini wamejinyamazia tuu kimya kwa sababu hawajashirikishwa!.
  2. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa lugha moja, sauti moja na kauli moja iliyooka. Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikiishasema jambo fulani, mfano idadi ya waliokufa ni idadi fulani, sheria ya kivita inatumika, waliokufa ni idadi hiyo hiyo iliyotangazwa!, hata kama mtu umeona na kushuhudia kwenye mitandao ya kijamii miili 100 inazikwa!, bado una wajibu wa kuisema ile idadi tuu iliyotangazwa rasmi na serikali. Haiwezekani tuko vitani, leo Waziri Mkuu akatutangaza idadi ya vifo ni kadhaa, halafu kesho wewe kwasababu ni kiongozi wa chama cha upinzani, ukaitisha press conference, na kuituhumu serikali kuwa haisemi kweli! na badala yake unaleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?!. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, waachiwe watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa lugha moja na kauli moja kwa maslahi ya taifa!, kama ushirikishwaji ungefanyika mwanzo, nimemshuhudia Amiri Jeshi Mkuu, Rais Magufuli, akitusisitiza Watanzania wote kuwa hii vita ni yetu sote, CCM, Wapinzani, na Watanzania wote kuweka pembeni tofauti zetu na kushikamana pamoja, kuunganisha nguvu ya pamoja na kupigana kwa pamoja, tutashinda. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa kauli moja, sauti moja na kupigana kwa nguvu moja na lengo moja... Tutashinda.
  3. Watanzania Wenye Uwezo Kusaidia, Wasaidie, Serikali Pekee Haiwezi Kila Kitu. - kama zilivyo vita nyingine zote, umoja ni nguvu, hatuwezi kuiachia serikali kufanya kila kitu, serikali pekee haiwezi, hivyo kufanyike resources mobilization kwa kila Mtanzania kujitolea kuchangia kwa uwezo wake kama nilivyoshauri hapa wakiwemo wenye uwezo wa ziada na uzoefu wajitokeze, waitwe, washirikishwe, wakiwemo ma veterani wa utatibu na wa kila fani, huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.
  4. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, hazitoshi, more needs to be done, naiomba serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, wakiwemo wapinzaia, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.
  5. Redefining Roles za Upinzani Wqkati wa Vita. Upinzani unaitwa opposition kumaanisha kupinga, lakini japo ni jukumu lake kupinga na kukosoa, lakini sio lazima kupinga tuu kila kitu, linapokuja suala la maslahi kwa taifa lenye national interests, CCM na Wapinzani wanapaswa kuweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja, hivyo kwenye mazuri ya CCM kwa maslahi ya taifa, Wapinzani msione aibu kuiunga mkono CCM na kuipongeza, na CCM nayo pia inapokutana na hoja za upinzani zenye maslahi kwa taifa mfano inapokopy hoja nzuri au sera mzuri za wapinzani na kuzitekeleza, isione aibu kuwapongeza wapinzani kama hoja ya katiba mpya, elimu bure etc, lakini inapotangazwa vita, role ya upinzani changes, hakuna tena kupinga kitu chochote!, zinatumika martial laws, sheria za kijeshi, amri ni moja tuu, ama kuunga mkono, ama kunyamaza kimya!. Haiwezekani Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikasema kitu fulani, halafu akatokea kiumbe mwingine akakohoa kuipinga serikali!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hii itakuwa sio vita bali ni kusemazana, kwenye vita hakuna kusemezani ni amri tuu, ikitolewa kauli yoyote rasmi ya serikali ni amri!.
  6. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhudi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki sasa za hospitali za kiimali, tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaoteshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu bila kusahau kumtanguliza Mungu, maana bila YEYE sisi binaadamu pekee, Hatuwezi.
Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali langu la wa mwanzo wa bandiko hili, hivi hili janga la Corona ni vita kweli ya wote au ni vita ya serikali pekee?. Kama ni vita ya wote, mbona hatujashirikishwa kikamilifu ipasavyo?. Mbona karibu kila kitu ni kama ni serikali tuu?. Jee tunaweza tushinde vita hii bila sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, kushirikishwa kikamilifu, tuwe wamoja?, tusimame pamoja kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote kwa pamoja chini ya umoja ni nguvu, ziwe ni nguvu moja kuu, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa lengo moja?.
Its Only Pamoja Tutashinda!.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Tatizo la Watanzania walio mbele ya mapambano haya siyo wataalamu wa afya. Nao ni JPM, UMMY, BASHITE na Majaliwa.

Tulipaswa tuwe na timu ya mabingwa wa tiba na magonjwa ya kuambukiza hao ndiyo waishauri SERIKALI. Sasa tumekubali upumbafu utangulie na utoe maelekezo kwa wataalamu.

Hayo yanawezekana tu kwa kipindi cha KINJEKETILE na vita vya majimaji ila siyo leo.
 
Mkuu ,hii Vita ya Corona kila Mtu kivyake.Mzee baba amekimbilia Chato huko na kurudi hataki tofauti na ilivyo kawaida.

Akiongea kwenye Vyombo vya Habari anatufokea kweli kweli kuanzia Wananchi wa kawaida mpaka kwa Watendaji wake ,Mtaani huku kuzikana Usiku kwa Usiku/Biashara zime kwama na hatuoni zikichukuliwa Hatua Sahihi na kwa wakati kuballance mambo sasa huo Umoja utatoka wapi Mkuu !?..

Hebu tizama hii
View attachment 1440238
Tufahamu kuwa tatizo la Tanzania siku zote ni ukosefu wa viongozi/uongozi bora ndiyo maana tunakwama katika mambo mengi sana.CCM ni ile ile na haitegemewi kubadilika lakini tukisema wameshindwa kutuendeleza wanatuua.

Salama yetu pekee ni Katiba Mpya itakayoweka mifumo imara ya kiuongozi na checks&balances na tuanzie square zero.Tusidanganyane kwa hapa tulipofikishwa kama kuna shortcuts za kurekebisha mifumo inayowaweka watawala waliokataliwa na wenyenchi(Watanzania)
 
Ni aibu na fedheha kubwa kwa mtu kama wewe kwamba hujui corona ni vita inapiganwa dunia nzima!

Kuwa lumumba kusikufanye upoteze fahamu mkuu
Wanabodi,

Kama kawaida, kila nikipata fursa ya kuandika, huwa naandika mfululizo wa makala hizi ziitwazwa "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo miongoni mwa Watanzania, ambazo huandikwa kwa mfumo wa maswali na huchapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano, hivi makala hizi huandamanana na vipindi vya TV, TV Series, ambapo taratibu za udhamini zikikamilika, vipindi vya vitaonekana kwenye TV. Kwa wiki hii nazungumzia umuhimu wa Umoja na Mshikamano kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, ndio siri pekee ya mafanikio ya vita yoyote duniani. Swali ni "Jee Hili Janga la Corona ni Vita?. Jee sisi Watanzania, serikali yetu, CCM, Wapinzani, bila kuwa wamoja, kusimama pamoja kwa upendo, mshikamano na ushirikiano wa kupigana kwa pamoja kwa lengo moja, kwa nguvu moja, kwa sauti moja, jee tutaweza kweli kushinda vita hii?!.

Janga la Corona ni Vita, ili tushinde vita yoyote ni lazima sisi Watanzania, kuanzia serikali yetu, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, tuwe kitu kimoja, tuwe wamoja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano kwa kufanya kila kitu kwa pamoja, kwa ushirikiano na kuwa kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote ziwe ni nguvu moja ya pamoja, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tupambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja la ushindi, ndio tutashinda vita hii!, tukiendelea hivi hivi tunavyokwenda sasa, kwa kila mtu kusema lwakwe...

Tukipambana na Corona bila kusimama pamoja, huku kila mtu amesimama kivyake, anasema lake, kama hali ilivyo sasa, kwa serikali kusema hili, rais kusema hili, Waziri Mkuu kusema lile, Waziri wa Afya kusema lake, CCM kuifananisha Corona na Wapinzani, Wapinzani kusema Serikali inaficha takwimu, wananchi kuruhusiwa kutumia barakoa za vitambaa, wataalamu kusema yao, wananchi kuruhusiwa kutumia tiba asili na tiba mbadala ikiwemo kujifukiza, wataalamu wa afya kupishana, mbuzi na hadi papai kukutwa na virusi vya Corona, kiukweli ni mchanganyiko mkubwa, kunatuchanganya sisi Watanzania tusijue tufuate lipi, tumwamini nani, kuna msemo usemao miluzu mingi humpoteza mbwa mwelekeo, humchanganya asijue afuate lipi aache lipi na mwisho hubaki ameduwaa asijue la kufanya!.

Ili tushinde vita hii, ni lazima kwanza viongozi wetu wazungumze kwa kauli moja thabiti, ili sisi Watanzania tufuate moja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano as as one, tupigane pamoja, kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja, ndio tutashinda vita hii.

Tangu kuanza kwa vita hii, mpaka hapa tulipo, Watanzania tumegawanyika, hivyo hatua ya kwanza ni kwa baba mwenye nyumba wetu, rais Magufuli kutuleta pamoja sisi watoto wake wote wa nyumba yake kuanzia yeye mwenyewe kama Baba, serikali yake, CCM, Wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla, atulete pamoja, tuwe wamoja, kitu kimoja, tuongee kwa lugha moja, sauti moja, nguvu moja na lengo moja la kushinda vita, ndio tutashinda vita hii.

Hili litafanyikaje?, hili litafanyika hatua kwa hatua,
  1. Hatua ya Kwanza ni Ushirikishwaji - japo Corona ni vita, na tangu kutangazwa kwa vita hii, Amiri Jeshi wetu Mkuu, amechukua vikosi vyake vya kiserikali tuu na kutangaza vita. Bahati nzuri wakati wa vita vya Kagera, japo nilikuwa mdogo, lakini tayari nilikuwa shule ya msingi, kabla ya kutangaza vita, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, alituhamasisha, tukahamasika kwa uzalendo, ndipo alilihutubia taifa na kusisitiza uzalendo, kujitoa, umoja, na mshikamano wa Watanzania wote na kuitoa ile hotuba maarufu ya " Nia, Sababu na Uwezo". Lakini kwa hapa Tanzania kwenye vita hii, tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, Kamati ya Mawaziri, Kamati ya Wakatibu Wakuu na Kamati ya Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hapa kunahitajika uwazi na ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwaji wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na kama kama Goliati, akitegemea nguvu zake na serikali yake pekee, kumbe kuna akina Daudi wengi tuu wapo na wangeweza kusaidia sana kama wangeshirikishwa lakini wamejinyamazia tuu kimya kwa sababu hawajashirikishwa!.
  2. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa lugha moja, sauti moja na kauli moja iliyooka. Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikiishasema jambo fulani, mfano idadi ya waliokufa ni idadi fulani, sheria ya kivita inatumika, waliokufa ni idadi hiyo hiyo iliyotangazwa!, hata kama mtu umeona na kushuhudia kwenye mitandao ya kijamii miili 100 inazikwa!, bado una wajibu wa kuisema ile idadi tuu iliyotangazwa rasmi na serikali. Haiwezekani tuko vitani, leo Waziri Mkuu akatutangaza idadi ya vifo ni kadhaa, halafu kesho wewe kwasababu ni kiongozi wa chama cha upinzani, ukaitisha press conference, na kuituhumu serikali kuwa haisemi kweli! na badala yake unaleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?!. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, waachiwe watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa lugha moja na kauli moja kwa maslahi ya taifa!, kama ushirikishwaji ungefanyika mwanzo, nimemshuhudia Amiri Jeshi Mkuu, Rais Magufuli, akitusisitiza Watanzania wote kuwa hii vita ni yetu sote, CCM, Wapinzani, na Watanzania wote kuweka pembeni tofauti zetu na kushikamana pamoja, kuunganisha nguvu ya pamoja na kupigana kwa pamoja, tutashinda. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa kauli moja, sauti moja na kupigana kwa nguvu moja na lengo moja... Tutashinda.
  3. Watanzania Wenye Uwezo Kusaidia, Wasaidie, Serikali Pekee Haiwezi Kila Kitu. - kama zilivyo vita nyingine zote, umoja ni nguvu, hatuwezi kuiachia serikali kufanya kila kitu, serikali pekee haiwezi, hivyo kufanyike resources mobilization kwa kila Mtanzania kujitolea kuchangia kwa uwezo wake kama nilivyoshauri hapa wakiwemo wenye uwezo wa ziada na uzoefu wajitokeze, waitwe, washirikishwe, wakiwemo ma veterani wa utatibu na wa kila fani, huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.
  4. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, hazitoshi, more needs to be done, naiomba serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, wakiwemo wapinzaia, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.
  5. Redefining Roles za Upinzani Wqkati wa Vita. Upinzani unaitwa opposition kumaanisha kupinga, lakini japo ni jukumu lake kupinga na kukosoa, lakini sio lazima kupinga tuu kila kitu, linapokuja suala la maslahi kwa taifa lenye national interests, CCM na Wapinzani wanapaswa kuweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja, hivyo kwenye mazuri ya CCM kwa maslahi ya taifa, Wapinzani msione aibu kuiunga mkono CCM na kuipongeza, na CCM nayo pia inapokutana na hoja za upinzani zenye maslahi kwa taifa mfano inapokopy hoja nzuri au sera mzuri za wapinzani na kuzitekeleza, isione aibu kuwapongeza wapinzani kama hoja ya katiba mpya, elimu bure etc, lakini inapotangazwa vita, role ya upinzani changes, hakuna tena kupinga kitu chochote!, zinatumika martial laws, sheria za kijeshi, amri ni moja tuu, ama kuunga mkono, ama kunyamaza kimya!. Haiwezekani Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikasema kitu fulani, halafu akatokea kiumbe mwingine akakohoa kuipinga serikali!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hii itakuwa sio vita bali ni kusemazana, kwenye vita hakuna kusemezani ni amri tuu, ikitolewa kauli yoyote rasmi ya serikali ni amri!.
  6. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhudi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki sasa za hospitali za kiimali, tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaoteshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu bila kusahau kumtanguliza Mungu, maana bila YEYE sisi binaadamu pekee, Hatuwezi.
Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali langu la wa mwanzo wa bandiko hili, hivi hili janga la Corona ni vita kweli ya wote au ni vita ya serikali pekee?. Kama ni vita ya wote, mbona hatujashirikishwa kikamilifu ipasavyo?. Mbona karibu kila kitu ni kama ni serikali tuu?. Jee tunaweza tushinde vita hii bila sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, kushirikishwa kikamilifu, tuwe wamoja?, tusimame pamoja kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote kwa pamoja chini ya umoja ni nguvu, ziwe ni nguvu moja kuu, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa lengo moja?.
Its Only Pamoja Tutashinda!.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu Pascal Mayalla,

Waswahili wanasema "ukweli siku zote utakuweka huru"! Hakuna shaka hata kidogo kwamba hivi sasa COVID-19 ni vita lakini ukweli ni kwamba, aliyetufikisha vitani ni Rais wa nchi... Mheshimiwa John Pombe Magufuli' PERIOD!

Taifa kama taifa, tulikuwa na uwezo wa ku-resolve conflict before turning into war lakini Rais wa nchi aka-opt kinyume chake!

Ni rahisi sana kusema huu si wakati wa kushikana uchawi na badala yake tuwe kitu kmoja!

Ni kweli, lakini haiwezekani!!

Fine Mr. President, inawezekana wewe kama binadamu, ulighafirika pahala hadi nchi imevamiwa na adui asiyechagua rangi wala sura, na ameshatangaza vita rasmi! Haya sasaq, ongoza majeshi yako ili kutafuta ushindi!!

Badala ya kuhamasisha watu wapambane kufa au kupona kwa sababu adui yetu hana simile, ndo kwanza anamasisha askari kuvaa T-shirt zilizoandikwa "Risasi Haziwezi Kupita Kwenye Mwili wa Yesu" na kuwaaminisha hata adui amwage risasi ngapi, katu hawatadhurika... Kinjekitile Ngwale War Strategy in the 21st Century-- this's a serious joke!

Wapo wale wanaosema tusiwasikilize wanasiasa na badala yake tufuate maelekezo ya wataalamu! Yes, nakubaliana moja kwa moja na watu hao, na wanaonesha wazi kwamba wanajali mustakabali wa Watanzania.

Hata hivyo, Wazalendo hao wanasahau athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lililojaa wajinga huku werevu wakiwa ni wachache tu! Siku za nyuma niliwahi kuandika "the world is full of average people, and many more below the average"! Na hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa letu, our nation is full of average people, and many more below the average.

Na ushahidi wa athari ya nguvu za rais anayeogoza taifa lililojaa average people and many more below the average zimeonekana hata hapa JF!

Hapo kabla, hatukuwahi kabisa kuona wana-JF wakishauri matumizi ya nyungu kama kinga na tiba ya COVID-19 lakini Rais aliposema tu uwezo wa nyungu, threads na posts zika-trend hapa JF kuhusu maajabu ya nyungu huku wengine wakitoa ushuhuda ni namna gani wamekuwa wakitumia nyungu kwa miaka na dahari!

Guys... mbona hapo kabla hamkutuambia maajabu haya ya nyungu na mkasubiri hadi rais aseme?!

Huo ni ushahidi tosha wa athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lililojaa wajinga na werevu wachache!

Tena basi, hiyo ni JF, community ambayo majority wana elimu ya angalau kidato cha nne... community ambayo ingetarajiwa isiwe na wajinga wa mambo madogo kama haya! Na cha ajabu zaidi, utakuja kushangaa Mawakala hawa wa nyungu hapa JF wengi wao ni wasomi katika level halisi ya usomi!

Conclusion hiyo hapo juu inatufunua macho kuhusu sio tu athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lililojaa wajinga bali pia athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lenye wasomi walio tayari kupeleka likizo akili zao ili mradi tu kuwafurahisha watawala!

Hivi sasa wanasakata ngoma na kuimba kwa makelele nyimbo za rais kupeleka ndege Madagscar kufuata COVID-Organic... yaani wameshasau kwamba Tanzania tayari tunayo nyungu ambayo wala haihitaji gharama ya kutumia ndege za serikali!

Na ushahidi wa wazi kabisa wa athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lenye wasomi walio tayari kupeleka akili likizo ili kufurahisha watawala zimeonekana kwenye sakata la Msikiti wa Mtoro!

Baada ya video clip ku-trend ikionesha msongamano wa kutisha kwenye Msikiti wa Mtoro, Sheikh Mkuu wa Dar es salaam akafanya haraka kutangaza kufungwa msikiti huo kwa muda wa majuma mawili!

Kwa bahati mbaya sana, ili hatimae maandiko yawezeke kutimia, siku moja baadae Rais akatoa kauli ya kuwakejeli wale wanaofunga nyumba za ibada wakati huko kirusi cha Kishetani hakina uwezo wa kuingia!

Kutokana na athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lenye wasomi walio tayari kupeleka akili likizo ili kumfurahisha bwana mkubwa, siku 2 baadae, Sheikh yule yule aliyekuwa ametangaza kuufunga msiki kwa majuma mawili, akalazimika kula matapishi yake na kutangaza kuufungua wakati hata juma moja halijaisha!!

Nini maana ya hayo yote?!

Ukweli unaotakiwa kutofimbiwa macho ni kwamba: Adui Mkuu wa Vita Dhidi ya COVID-19 ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... John Pombe Magufuli!

Hata kama Watanzania wataungana kwa umoja wao, Rais asipoacha ku-sabotage harakati hizo bado ni kazi bure kwa sababu, miongoni mwa watakaoungana, majority ni wajinga huku wachache tu wakiwa werevu! And trust me, don't underestimate the power of fools!

Hata ukiwa na bunduki inayotema risasi za moto, unaweza kushindwa mbele ya kundi kubwa la wajinga wanaokuja kwako wakiwa wameshika bakora kama silaha!!

Suluhisho ni nini basi?! Hapa nitamnukuu ndugu yangu residentura kwamba:Kwavile Rais ameshathibitisha kauli zake zinaambatana na maelezo yanayovunja moyo wapiganaji huku akijaza watu ujinga, busara ni yeye kuendelea kula good time huko Chato na aache wapiganaji wa kweli waongoze vita!

Rais asipofanya hivyo, hata kama Watanzania wataungana vipi bado itakuwa kazi bure!!

Na kama Rais asingekuwa anatoa hizi kauli zake, Watalaamu wa Wizara ya Afya peke yake wangetosha kabisa kutuongoza kwenye hii vita bila ya kuhitaji kamati zozote!

Lau kama Rais asingekuwa anatoa hizi kauli zake, hata media zingekuwa mstari wa mbele kuwakosoa watendaji wa serikali na watu wengine wenye nafasi kwa jamiii wanapojaribu kuwalisha ujinga wananchi!

Leo hii kwa mfano, hivi media zinaanza vipi kumkosoa mtu kama Askofu Gwajima wakati anachoongea Gwajima ndicho kile kile kinachosemwa na rais?!

Mamlaka za Jiji la Seoul nchini Korea ya Kusini iliwahi kumwagiza Mwendesha Mashitaka wa jiji hilo kumfungulia mashitaka Mwanzilishi wa Shincheonji Church of Jesus, Bw. Lee man-Hee baada ya Bw. Lee awali kuwaambia wafuasi wake coronavirus ni shetani na kwahiyo wasiache kwenda kusali!

Hata baada ya testing kuonesha zaidi ya 50% ya waliothibitika kuwa na virus ni wafuasi wa Shincheonji Church of Jesus, lakini Bw Lee akagoma kutoa ushirikiano!!

Hivi leo hii ni mamlaka yapi yanaweza kuwa na uthubutu wa kuwafungulia mashitaka watu aina ya Gwajima wakati kauli zao ni zile zile zinazotolewa na rais, again and again?!
Shikamoo kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu Pascal Mayalla,

Waswahili wanasema "ukweli siku zote utakuweka huru"! Hakuna shaka hata kidogo kwamba hivi sasa COVID-19 ni vita lakini ukweli ni kwamba, aliyetufikisha vitani ni Rais wa nchi... Mheshimiwa John Pombe Magufuli; PERIOD!

Taifa kama taifa, tulikuwa na uwezo wa ku-resolve conflict before turning into actual war lakini Rais wa nchi aka-opt kinyume chake!

Ni rahisi sana kusema huu si wakati wa kushikana uchawi na badala yake tuwe kitu kmoja!

Ni kweli, lakini haiwezekani!!

Fine Mr. President, inawezekana wewe kama binadamu, ulighafirika pahala hadi nchi imevamiwa na adui asiyechagua rangi wala sura, na ameshatangaza vita rasmi! Haya sasa, ongoza majeshi yako ili kutafuta ushindi!!

Badala ya kuhamasisha watu wapambane kufa au kupona kwa sababu adui yetu hana simile wala mzaha, ndo kwanza anahamasisha askari kuvaa T-shirt zilizoandikwa "Risasi Haziwezi Kupita Kwenye Mwili wa Yesu" na kuwaaminisha hata adui atumie bunduki za rashasha, katu hawatadhurika.

Kinjekitile Ngwale War Strategy in the 21st Century-- this's a serious joke!

Wapo wale wanaosema tusiwasikilize wanasiasa na badala yake tufuate maelekezo ya wataalamu! Yes, nakubaliana moja kwa moja na watu hao, na wanaonesha wazi kwamba wanajali mustakabali wa Watanzania.

Hata hivyo, Wazalendo hao wanasahau athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lililojaa wajinga huku werevu wakiwa ni wachache tu!

Siku za nyuma niliwahi kuandika "the world is full of average people, and many more below the average"! Na hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa letu, our nation is full of average people, and many more below the average.

Na ushahidi wa athari ya nguvu za rais anayeogoza taifa lililojaa average people and many more below the average zimeonekana hata hapa JF!

Hapo kabla, hatukuwahi kabisa kuona wana-JF wakishauri matumizi ya nyungu kama kinga na tiba ya COVID-19 lakini Rais aliposema tu uwezo wa nyungu, threads na posts zika-trend kuhusu maajabu ya nyungu huku wengine wakitoa ushuhuda ni namna gani wamekuwa wakitumia nyungu kwa miaka na dahari!

Guys... mbona hapo kabla hamkutuambia maajabu haya ya nyungu na mkasubiri hadi rais aseme?!

Huo ni ushahidi tosha wa athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lililojaa wajinga na werevu wachache!

Tena basi, hiyo ni JF, community ambayo majority wana elimu ya angalau kidato cha nne... community ambayo ingetarajiwa isiwe na wajinga wa mambo madogo kama haya! Na cha ajabu zaidi, utakuja kushangaa Mawakala hawa wa nyungu hapa JF wengi wao ni wasomi katika level halisi ya usomi!

Conclusion hiyo hapo juu inatufunua macho kuhusu sio tu athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lililojaa wajinga bali pia athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lenye wasomi walio tayari kupeleka akili zao likizo ili mradi tu kuwafurahisha watawala!

Hivi sasa wanasakata ngoma na kuimba kwa makelele nyimbo za rais kupeleka ndege Madagscar kufuata COVID-Organic... yaani wameshasau kwamba Tanzania tayari tunayo nyungu ambayo wala haihitaji gharama ya kutumia ndege za serikali , na kama kutumia ndege basi iwe tu kwa ajili ya kufuata malimao na kusambaza nchi nzima!

Na ushahidi wa wazi kabisa wa athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lenye wasomi walio tayari kupeleka akili likizo ili kufurahisha watawala zimeonekana kwenye sakata la Msikiti wa Mtoro!

Baada ya video clip ku-trend ikionesha msongamano wa kutisha kwenye Msikiti wa Mtoro, Sheikh Mkuu wa Dar es salaam akafanya haraka kutangaza kufungwa msikiti huo kwa muda wa majuma mawili!

Kwa bahati mbaya sana, ili hatimae maandiko yawezeke kutimia, siku moja baadae Rais akatoa kauli ya kuwakejeli wale wanaofunga nyumba za ibada wakati huko kirusi cha Kishetani hakina uwezo wa kuingia!

Kutokana na athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lenye wasomi walio tayari kupeleka akili likizo ili kumfurahisha bwana mkubwa, siku 2 baadae, Sheikh yule yule aliyekuwa ametangaza kuufunga msikiti kwa majuma mawili, akalazimika kula matapishi yake na kutangaza kuufungua wakati hata juma moja halijaisha!!

Nini maana ya hayo yote?!

Ukweli unaotakiwa kutofumbiwa macho ni kwamba: Adui Mkuu wa Vita Dhidi ya COVID-19 ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... John Pombe Magufuli!

Hata kama Watanzania wataungana kwa umoja wao, Rais asipoacha ku-sabotage harakati hizo bado ni kazi bure kwa sababu, miongoni mwa watakaoungana, majority ni wajinga huku wachache tu wakiwa werevu! And trust me, don't underestimate the power of idiots!

Hata ukiwa na bunduki inayotema risasi za moto, unaweza kushindwa mbele ya kundi kubwa la wajinga wanaokuja kwako wakiwa wameshika bakora kama silaha!!

Suluhisho ni nini basi?! Hapa nitamnukuu ndugu yangu residentura kwamba:Kwavile Rais ameshathibitisha kauli zake zinaambatana na maelezo yanayovunja moyo wapiganaji huku akijaza watu ujinga, busara ni yeye kuendelea kula good time huko Chato, na aache wapiganaji waende vitani!

Rais asipofanya hivyo, hata kama Watanzania wataungana vipi bado itakuwa kazi bure!!

Na kama Rais asingekuwa anatoa hizi kauli zake, Watalaamu wa Wizara ya Afya peke yake wangetosha kabisa kutuongoza kwenye hii vita bila hata ya kuhitaji kamati zozote!

Lau kama Rais asingekuwa anatoa hizi kauli zake, hata media zingekuwa mstari wa mbele kuwakosoa watendaji wa serikali na watu wengine wenye nafasi kwa jamiii wanapojaribu kuwalisha ujinga wananchi!

Leo hii kwa mfano, hivi media zinaanza vipi kumkosoa mtu kama Askofu Gwajima wakati anachoongea ndicho kile kile kinachosemwa na rais?!

Mamlaka za Jiji la Seoul nchini Korea ya Kusini iliwahi kumwagiza Mwendesha Mashitaka Mkuu kumfungulia mashitaka Mwanzilishi wa Shincheonji Church of Jesus, Bw. Lee man-Hee baada ya Bw. Lee awali kuwaambia wafuasi wake coronavirus ni shetani na kwahiyo wasiache kwenda kusali!

Hata baada ya testing kuonesha zaidi ya 50% ya waliothibitika kuwa na virus ni wafuasi wa Shincheonji Church of Jesus, lakini Bw Lee akagoma kutoa ushirikiano!!

Hivi leo hii ni mamlaka yapi Tanzania yanaweza kuwa na uthubutu wa kuwafungulia mashitaka watu aina ya Gwajima wakati kauli zao ni zile zile zinazotolewa na rais, again and again?!
Kama Paskali atakuwa na neno bado zaidi baada ya kusoma waraka huu. Basi hakuna tujualo
 
Ni kweli vita hushindika kirahisi zaidi ikiwa watu wote mtakuwa kitu kimoja. Yaani taifa lisimame pamoja kama ulivyopendekeza tofauti na sasa ambapo ni dhahiri kuwa serikali iko msitari wake na silaha zake na "upinzani" uko msitari tofauti na silaha zake tofauti pia.

Ili nikwambie kitu kimoja mkuu Paschal: Ni ngumu zaidi kushinda vita ikiwa utaendekeza "ushirikiano" na kundi la askari wako ambalo lengo lake kuu si kushinda vita bali kuitumia vita hiyo kijinufaisha zaidi lenyewe kwa pengine kukudhoofisha kiongozi au kujitafutia umaarufu.

Kwa kifupi huwezi kushinda vita ambayo baadhi ya askari wanarushia risasi wapambanaji walio msitari wa mbele! Ukiangalia wapinzani wa Tanzania kwenye janga hili ni ngumu sana kujua wanataka nini hasa.

Awali serikali ilichelewa kufunga mipaka (hakuna nchi ambayo imekuwa smart katika hilo). Hapo demand kuu ya upinzani ikiwa mipaka ifungwe. Baada ya hatimaye mipaka kufungwa, demand ya ipinzani ikawa kufanyike "lockdown!".

Hapo unajiuliza, je wapinzani hawana washauri wa kiuchumi? Unapata jibu kuwa hata hao viongozi miongoni mwao ni wachumi! Hivi mtu aliyesomea uchumi na anataka lockdown "Tanzania" anataka ushinde kweli hiyo vita? Au anataka ushindwe na uingie kwenye vita halisi!

Watu wa aina hiyo ambao wanalenga kukupoteza ukiwa vitani, namna nzuri ni kuwafungia "karantini ya kivita" ili ubaki na askari genuine pekee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wetu ni shujaa,miezi michache iliyopita alisema nchi ni tajiri,ina akiba ya kuendesha nchi for 6 months,Leo anaogopa lockdown kuliko ukoma maana serikali itakisa revenue na atashindwa kulipa mishahara Mungu atusaidie tu maana tushakwana
Sasa mkuu paschal, unakwenda vitani na unabeba askari wenye mentality kama hizi halafu unategemea ushindi. Ni lini raisi alisema nchi ina akiba ya kuendesha nchi for 6 months? Wakati wa vita akili kama hizi unaziacha nyumbani zisaidiane na watoto na akina mama kuandaa vyakula kwa ajili ya wapambanaji.

Nchi hii haiwezi kwa sasa kuwa na akiba za kuendesha nchi kwa miezi sita bali huwa inakuwa na akiba ya kuweza "kuagiza bidhaa kutoka nje" kwa kipindi hicho. Kuweza kuagiza bidhaa kutoka nje ni kitu kimoja na kuweza kujiendesha ni kitu kingine.

Kimsingi simshauri raisi kusikiliza upinzani ambao kwao jang hili ni fursa ya kujitutumua na kuonesha namna gani CCM na Magufuli siyo watawala sahihi kwa nchi hii. Wakati wa mambo hayo si wakati wa majanga ambapo taifa zima lina common enemy.

Juzi hapo nimesoma twitter post ya Tundu Lissu akimnanga raisi kuwa vita hii itamshinda. Tafsiri ya kushindwa vita dhidi ya corona ni taifa zima kuangamia na kufutika kabisa! Sasa askari kama huyo kuchukua ushauri wake siyo kuamua kupoteza vita kwa kukusudia kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu paschal, unakwenda vitani na unabeba askari wenye mentality kama hizi halafu unategemea ushindi. Ni lini raisi alisema nchi ina akiba ya kuendesha nchi for 6 months? Wakati wa vita akili kama hizi unaziacha nyumbani zisaidiane na watoto na akina mama kuandaa vyakula kwa ajili ya wapambanaji.

Nchi hii haiwezi kwa sasa kuwa na akiba za kuendesha nchi kwa miezi sita bali huwa inakuwa na akiba ya kuweza "kuagiza bidhaa kutoka nje" kwa kipindi hicho. Kuweza kuagiza bidhaa kutoka nje ni kitu kimoja na kuweza kujiendesha ni kitu kingine.

Kimsingi simshauri raisi kusikiliza upinzani ambao kwao jang hili ni fursa ya kujitutumua na kuonesha namna gani CCM na Magufuli siyo watawala sahihi kwa nchi hii. Wakati wa mambo hayo si wakati wa majanga ambapo taifa zima lina common enemy.

Juzi hapo nimesoma twitter post ya Tundu Lissu akimnanga raisi kuwa vita hii itamshinda. Tafsiri ya kushindwa vita dhidi ya corona ni taifa zima kuangamia na kufutika kabisa! Sasa askari kama huyo kuchukua ushauri wake siyo kuamua kupoteza vita kwa kukusudia kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu acha sisi wengine tubaki home tukisaidiana na watoto,vitani wanapaswa kwenda wapiga nyungu wa ukweli Kama wewe.Kuhusu hiyo tweet ya Lissu naomba kabla ya kumshutumu msikilize tena Magufuli? Je huwa anasema yeye ni mwanasayansi au huwa anasema tuna wanasayansi wengi pale anapoponda juhudi za watu wengine?

Magufuli ameshajipambanua kuwa yeye anaweza kila kitu,yeye ndo anajua kila kitu,yeye ndo anajua vipi na yeye ndo anajua dawa ni ipi na inapatikana wapi,yeye ndo anajua mbinu za kupambana na corona na hawezi copy and paste.Sasa wewe ni nani unayetaka watu waungane nae wakati yeye hataki?
 
Tanzania tulishinda vita vya Kagera tena kwa muda mfupi kwa sababu Jemedari Mkuu Raisi Mwalimu Dr Julius Kambarage Nyerere alikuwa na nia ya kumchapa Amin,pili akajenga ushawishi wa kuungwa mkono na umma wa watanzania na nje ya Tanzania. Hata mataifa makubwa yaliyokuwa si washirika wetu kama Marekani,Uingereza yalituunga mkono.
Lakini ukilinganisha na vita hii ya Corona ni kinyume kabisa.Imejengwa hofu,inayozua wasiwasi na matokeo ni panic.
Ili kupambana na vita hii ya Corona inahitaji watawala wawe fully committed kupambana na Covid-19, watumie hekima inayozaa busara na si vinginevyo.
Lakini mambo ya kutafuta scapegoat pale unaposhindwa kutekeleza majukumu yako sio sahihi.
Nakumbuka Mwl.Nyerere pale makosa yalipofanyika ya kudugua jet fighters zetu 3 na kikosi chetu cha mizinga cha Kyabakari huko Musoma zilizokuwa zinarudi kufanya mashambulizi kutoka uwanja wa mapambano, Raisi Mwl.Nyerere alikili makosa hayo ya mawasiliano.
Tukubali kuwajibika pale tunapofanya makosa.Tanzania sio shamba la majaribio ya uongozi.
Una kumbukumbu nzuri mkuu, nakumbuka mmoja wa marubani alikuwa mwanae!

Jemedari wa sasa! Kwanza nikae kimya
 
Una kumbukumbu nzuri mkuu, nakumbuka mmoja wa marubani alikuwa mwanae!

Jemedari wa sasa! Kwanza nikae kimya
Tena alikwenda kwenye kitovu cha uwanja wa mapambano na akina Musuguri. Wengine sie tukakata matawi ya miti na kuwapungia maaskari walipopita na vifaa vya kijeshi kuelekea vitani.
 
Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, hazitoshi, more needs to be done, naiomba serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, wakiwemo wapinzaia, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.
Nimeipenda sana Aya hiyo hapo juu.👆
Raisi ndio Mkuu wa nchi,
Tukimsifu yeye Tumeisifia serikali yake na chama chake pia.
Tukimkosowa yeye tumeikosowa serikali yake na chama chake.Hata kama kosa kafanya Mjumbe wa Nyumba kumi.au askari polisi wa trafikna raisi akasikia,akanyamaza lawama ni zake. HUU NDIO MZIGO WA RAISI ULIVYO MKUBWA.
Kwa ukubwa wa dhamana yake,Hatakiwi kamwe kufanya maamuzi au kotowa kauli bila ya kuwahsisha wadau mbali mbali ili kuepuka mapungufu ya kibinadamu.

Suala hili la Corona
-Kisiasa ilibidi awaite kambi ya upinzani kwa kushaurizana nao na kujenga tamko la pamoja,na ingewezekana wangelisimama pamoja pale ikulu kutowa maazimio.,lakini wapi! Mkuu na chama chake anawaona wapinzani kama Corona hawafai kushauriana nao HAPA NDIO KWENYE SHIDA.

- Kitaaluma, ni wataalamu w afya ndio ilibidi wapewe nafasi kubwa ya kulisemea na kumshauri raisi juu ya Janga hili kama team. Sio kulitazama kimisimamo ya kungeza mapato tuu.

-Kiuchumi, Ilibidi awashirikishe wataalamu wa Uchumi walio huru si wana CCM tuu watu wa hewala bwana kwa pamoja ili na wao wazingatie ushauri wa kitaalamu wa afya na ule wa kisiasa kisha watowe mtazamo wao ambao ndio ungelikuwa final and conclusive.
Baada ya kukusanya mashauri haya angeliwaita wadau wa kisiasa wote wakiwemo wapinzani na wanasheria ili kutathmini kwa pamoja ,kisha kufikia muwafaka nini kifanyike kipindi hiki cha VITA YA CORONA.

LAKINI MZEE HASHAURIKI WALA HAAMBILIKI LAKE NI LAKE TUU NA YEYE PEKE YAKE NDIO YUKO RIHGT
TUNAUPATAJE UMOJA WA KITAIFA HAPO?
 
Back
Top Bottom