Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Rais wetu ni shujaa,miezi michache iliyopita alisema nchi ni tajiri,ina akiba ya kuendesha nchi for 6 months,Leo anaogopa lockdown kuliko ukoma maana serikali itakosa revenue na atashindwa kulipa mishahara Mungu atusaidie tu maana tushakwamaPaskali una mawazo mazuri lakini you arae wasting your time.
Para no.7, kuunga mkono hatua zote ilizochukuliwa na serikali na kufuata ushauri wa madaktari ni vitu viwili tofauti.
I do hope you are not blind to the contradiction,
Namuunga mkono Rais JPM, sisi ni kusali na kuomba tu.
We are just too poor to make any meaningful strategy and response.