Je, Corona ni vita? Watanzania, Serikali yetu, CCM, Wapinzani bila umoja na mshikamano wa nguvu moja, lengo moja na sauti moja, tutaweza kushinda?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,468
113,583
Wanabodi,

Kama kawaida, kila nikipata fursa ya kuandika, huwa naandika mfululizo wa makala hizi ziitwazo "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo miongoni mwa Watanzania, ambazo huandikwa kwa mfumo wa maswali na huchapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano. In near future makala hizi zitandamanana na vipindi vya TV, TV Series, ambapo taratibu za udhamini zikikamilika, vipindi vya vitaonekana kwenye TV.

Kwa wiki hii nazungumzia umuhimu wa Umoja na Mshikamano kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, ndio siri pekee ya mafanikio ya vita yoyote duniani. Swali ni "Jee Hili Janga la Corona ni Vita?. Jee sisi Watanzania, serikali yetu, CCM, Wapinzani, bila kuwa wamoja, kusimama pamoja kwa upendo, mshikamano na ushirikiano wa kupigana kwa pamoja kwa lengo moja, kwa nguvu moja, kwa sauti moja, jee tutaweza kweli kushinda vita hii?!.

Janga la Corona ni vita, ili tushinde vita yoyote ni lazima sisi Watanzania, kuanzia serikali yetu, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, tuwe kitu kimoja, tuwe wamoja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano kwa kufanya kila kitu kwa pamoja, kwa ushirikiano na kuwa kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote ziwe ni nguvu moja ya pamoja, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tupambane bega kwa bega kwa mshikamano wa nguvu moja, sauti moja na lengo moja la ushindi, ndio tutashinda vita hii!. Tukiendelea kuipigana vita hii kwa hivi hivi tunavyokwenda sasa, kwa kila mtu kusema lwakwe...

Tukipambana na Corona bila kusimama pamoja, huku kila mtu amesimama kivyake, anasema lake, kama hali ilivyo sasa, rais kusema hili, serikali kusema hili, Waziri Mkuu kusema lile, Waziri wa Afya kusema lake, CCM kuifananisha Corona na Wapinzani, Wapinzani kusema Serikali inaficha takwimu, wananchi kuruhusiwa kutumia barakoa za vitambaa, wataalamu kusema yao, wananchi kuruhusiwa kutumia tiba asili na tiba mbadala ikiwemo kujifukiza, wataalamu wa afya kupishana, mbuzi na hadi papai kukutwa na virusi vya Corona, kiukweli ni mchanganyiko mkubwa, kunatuchanganya sisi Watanzania tusijue tufuate lipi, tumwamini nani, kuna msemo usemao miluzi mingi humpoteza mbwa mwelekeo, humchanganya asijue afuate lipi aache lipi na mwisho hubaki ameduwaa asijue la kufanya!.

Ili tushinde vita hii, ni lazima kwanza viongozi wetu wazungumze kwa lugha moja na kutoa kauli moja thabiti ili sisi Watanzania tufuate moja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano as as one, tupigane pamoja, kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja, ndio tutashinda vita hii.

Tangu kuanza kwa vita hii, mpaka hapa tulipo, Watanzania tumegawanyika, hivyo hatua ya kwanza ni kwa baba mwenye nyumba wetu, rais Magufuli kutuleta pamoja sisi watoto wake wote wa nyumba yake kuanzia yeye mwenyewe kama Baba, serikali yake, CCM, Wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla, atulete pamoja, tuwe wamoja, kitu kimoja, tuongee kwa lugha moja, sauti moja, nguvu moja na lengo moja la kushinda vita, ndio tutashinda vita hii.

Hili litafanyikaje?, hili litafanyika hatua kwa hatua,
  1. Hatua ya Kwanza ni Ushirikishwaji - japo Corona ni vita, na tangu kutangazwa kwa vita hii, Amiri Jeshi wetu Mkuu, amechukua vikosi vyake vya kiserikali tuu na kutangaza vita. Bahati nzuri wakati wa vita vya Kagera, japo nilikuwa mdogo, lakini tayari nilikuwa shule ya msingi, kabla ya kutangaza vita, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, alituhamasisha, tukahamasika kwa uzalendo, ndipo alilihutubia taifa na kusisitiza uzalendo, kujitoa, umoja, na mshikamano wa Watanzania wote na kuitoa ile hotuba maarufu ya " Nia, Sababu na Uwezo". Lakini kwa hapa Tanzania kwenye vita hii, tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali tuu za kushughulikia, Kamati ya Mawaziri, Kamati ya Wakatibu Wakuu na Kamati ya Wataalamu wa serikalini. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali,kwa nini hao wataalamu ni wa serikali tuu?!. Hapa kunahitajika uwazi na ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwaji wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wana Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na kamanda kama Goliati, akitegemea nguvu zake na serikali yake pekee, kumbe kuna akina Daudi wengi tuu wapo na wangeweza kusaidia sana kama wangeshirikishwa lakini wamejinyamazia tuu kimya kwa sababu hawajashirikishwa!.
  2. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa lugha moja, sauti moja na kauli moja iliyooka. Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikiishasema jambo fulani, mfano idadi ya waliokufa ni idadi fulani, sheria ya kivita inatumika, waliokufa ni idadi hiyo hiyo iliyotangazwa!, hata kama mtu umeona na kushuhudia kwenye mitandao ya kijamii miili 100 inazikwa!, bado una wajibu wa kuisema ile ile idadi tuu iliyotangazwa rasmi na serikali. Haiwezekani tuko vitani, leo Waziri Mkuu anatutangaza idadi ya vifo ni kadhaa, halafu kesho wewe kwasababu ni kiongozi wa chama cha upinzani, ukaitisha press conference, na kuituhumu serikali kuwa haisemi kweli! na badala yake unaleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?!. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, waachiwe watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa lugha moja na kauli moja kwa maslahi ya taifa!, kama ushirikishwaji ungefanyika mwanzo, nimemshuhudia Amiri Jeshi Mkuu, Rais Magufuli, akitusisitiza Watanzania wote kuwa hii vita ni yetu sote, CCM, Wapinzani, na Watanzania wote kuweka pembeni tofauti zao za kisiasa na kuwa kitu kimoja kwa kushikamana pamoja, kuunganisha nguvu ya pamoja na kupigana kwa pamoja, tutashinda. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa kauli moja, sauti moja na kupigana kwa nguvu moja na lengo moja... Tutashinda.
  3. Watanzania Wenye Uwezo Kusaidia, Wasaidie, Serikali Pekee Haiwezi Kila Kitu. - kama zilivyo vita nyingine zote, umoja ni nguvu, hatuwezi kuiachia serikali kufanya kila kitu, serikali pekee haiwezi, hivyo kufanyike resources mobilization kwa kila Mtanzania kujitolea kuchangia kwa uwezo wake kama nilivyoshauri hapa wakiwemo wenye uwezo wa ziada na uzoefu wajitokeze, waitwe, washirikishwe, wakiwemo ma veterani wa utatibu na wa kila fani, huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.
  4. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, hazitoshi, more needs to be done, namuomba rais wetu Magufuli na serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, wakiwemo wapinzani, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakai kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote.
  5. Viongozi wa Dini, Imani, Waheshimiwe na Viongozi wa Siasa. kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Nakuomba Rais wetu Magufuli asiwabeze hawa viongozi wa dini au wa kiimani kwa kutumia lugha na maneno ya ushetani, viongozi wengine wa dini za ukweli za Mungu wa kweli are very powerful, kama alivyokuwa akielezwa Sheikh Baramia wa Bagamoyo. Nyerere aliwaheshimu viongozi wa dini zote, wakiwemo masheikh na Maaskofu, sikuwahi kumsikia Mwinyi, Mkapa na Kikwete kupishana popote kauli na viongozi wa dini, hivyo kama ni kweli rais wetu Magufuli amepishana kauli na Askofu NiweMugizi wa jimbo lake kutokana na Askofu huyo kufanya lockdown huku rais Magufuli akiwa Chato, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani, then tunamshauri rais Magufuli akamwangukie Askofu wake. Enzi za Nyerere, mimi nilikuwa nasali St. Peters, rais Nyerere alikuwa anapiga magoti kupokea Ekaristi Takatifu, kama ni kweli rais Magufuli kuna kauli anezitoa kumpinga Askofu wake, asione shida kujishusha na kwenda kumpigia goti Askofu wake aombe msamaha, maana hawa watu wa Mungu hawa...
  6. Redefining Roles za Upinzani Wakati wa Vita. Upinzani unaitwa opposition kumaanisha kupinga, lakini japo ni jukumu la upinzani kupinga na kukosoa, lakini sio lazima kupinga tuu kila kitu na kila wakati. Linapokuja suala la maslahi kwa taifa lenye national interests, CCM na Wapinzani wanapaswa kuweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja, hivyo kwenye mazuri ya CCM kwa maslahi ya taifa, Wapinzani msione aibu kuiunga mkono CCM na kuipongeza, na CCM nayo pia inapokutana na hoja za upinzani zenye maslahi kwa taifa mfano inapokopy hoja nzuri au sera mzuri za wapinzani na kuzitekeleza, isione aibu kuwapongeza wapinzani kama hoja ya katiba mpya, elimu bure etc, lakini inapotangazwa vita, role ya upinzani changes, hakuna tena kupinga kitu chochote!, zinatumika martial laws, sheria za kijeshi, amri ni moja tuu, ama kuunga mkono, ama kunyamaza kimya!. Haiwezekani Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikasema kitu fulani, halafu akatokea kiumbe mwingine akakohoa kuipinga serikali!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hii itakuwa sio vita bali ni kusemazana, kwenye vita hakuna kusemezani ni amri tuu, ikitolewa kauli yoyote rasmi ya serikali ni amri!.
  7. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhudi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki sasa za hospitali za kiimali, tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaoteshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife, iishe tuendelee na maisha yetu bila kusahau kumtanguliza Mungu, maana bila YEYE sisi binaadamu pekee, Hatuwezi.
Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali langu la wa mwanzo wa bandiko hili, hivi hili janga la Corona ni vita kweli ya wote au ni vita ya serikali pekee?. Kama ni vita ya wote, mbona hatujashirikishwa kikamilifu ipasavyo?. Mbona karibu kila kitu ni kama ni serikali tuu?. Jee tunaweza tushinde vita hii bila sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, kushirikishwa kikamilifu, tuwe wamoja?, tusimame pamoja kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote kwa pamoja chini ya umoja ni nguvu, ziwe ni nguvu moja kuu, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa lengo moja?.
Its Only Pamoja Tutashinda!.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
 
Watanzania wazuiwa kuingiza ng'ombe Kenya kupitia mpaka wa Namanga kwa ajili ya kuchinjwa. Wakenya waungana na gavana wao kuzuia ng'ombe hao kwa kujikinga na Corona.
 
Rais Magufuli alipokutana na vyombo vya usalama alisema Watanzania tupo vitani

Ila kuna baadhi ya wanasiasa wamekimbia vita pale bungeni wameenda kujifungia ndani
Huku sisi wapiga kura wao tukiwa mtaani tunapambana
1588663005279.png


Alisema ni vita dhidi ya Mabeberu au vita dhidi ya virusi? Maana jamaa yangu unaamini kuwahi kukusanya answer sheet ndio kufaulu mtihani japo umeandikia madudu. Beberu la kukodi likiingia zizini haliji kula, linakuja kufanya yake...I guess you know.

Pichani juu BeBeRu likinywa Bia yetu
 
Ndugu yangu Pascal Mayalla,

Waswahili wanasema "ukweli siku zote utakuweka huru"! Hakuna shaka hata kidogo kwamba hivi sasa COVID-19 ni vita lakini ukweli ni kwamba, aliyetufikisha vitani ni Rais wa nchi... Mheshimiwa John Pombe Magufuli; PERIOD!

Taifa kama taifa, tulikuwa na uwezo wa ku-resolve conflict before turning into actual war lakini Rais wa nchi aka-opt kinyume chake!

Ni rahisi sana kusema huu si wakati wa kushikana uchawi na badala yake tuwe kitu kmoja!

Ni kweli, lakini haiwezekani!!

Fine Mr. President, inawezekana wewe kama binadamu, ulighafirika pahala hadi nchi imevamiwa na adui asiyechagua rangi wala sura, na ameshatangaza vita rasmi! Haya sasa, ongoza majeshi yako ili kutafuta ushindi!!

Badala ya kuhamasisha watu wapambane kufa au kupona kwa sababu adui yetu hana simile wala mzaha, ndo kwanza anahamasisha askari kuvaa T-shirt zilizoandikwa "Risasi Haziwezi Kupita Kwenye Mwili wa Yesu" na kuwaaminisha hata adui atumie bunduki za rashasha, katu hawatadhurika.

Kinjekitile Ngwale War Strategy in the 21st Century-- this's a serious joke!

Wapo wale wanaosema tusiwasikilize wanasiasa na badala yake tufuate maelekezo ya wataalamu! Yes, nakubaliana moja kwa moja na watu hao, na wanaonesha wazi kwamba wanajali mustakabali wa Watanzania.

Hata hivyo, Wazalendo hao wanasahau athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lililojaa wajinga huku werevu wakiwa ni wachache tu!

Siku za nyuma niliwahi kuandika "the world is full of average people, and many more below the average"! Na hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa letu, our nation is full of average people, and many more below the average.

Na ushahidi wa athari ya nguvu za rais anayeogoza taifa lililojaa average people and many more below the average zimeonekana hata hapa JF!

Hapo kabla, hatukuwahi kabisa kuona wana-JF wakishauri matumizi ya nyungu kama kinga na tiba ya COVID-19 lakini Rais aliposema tu uwezo wa nyungu, threads na posts zika-trend kuhusu maajabu ya nyungu huku wengine wakitoa ushuhuda ni namna gani wamekuwa wakitumia nyungu kwa miaka na dahari!

Guys... mbona hapo kabla hamkutuambia maajabu haya ya nyungu na mkasubiri hadi rais aseme?!

Huo ni ushahidi tosha wa athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lililojaa wajinga na werevu wachache!

Tena basi, hiyo ni JF, community ambayo majority wana elimu ya angalau kidato cha nne... community ambayo ingetarajiwa isiwe na wajinga wa mambo madogo kama haya! Na cha ajabu zaidi, utakuja kushangaa Mawakala hawa wa nyungu hapa JF wengi wao ni wasomi katika level halisi ya usomi!

Conclusion hiyo hapo juu inatufunua macho kuhusu sio tu athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lililojaa wajinga bali pia athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lenye wasomi walio tayari kupeleka akili zao likizo ili mradi tu kuwafurahisha watawala!

Hivi sasa wanasakata ngoma na kuimba kwa makelele nyimbo za rais kupeleka ndege Madagscar kufuata COVID-Organic... yaani wameshasau kwamba Tanzania tayari tunayo nyungu ambayo wala haihitaji gharama ya kutumia ndege za serikali , na kama kutumia ndege basi iwe tu kwa ajili ya kufuata malimao na kusambaza nchi nzima!

Na ushahidi wa wazi kabisa wa athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lenye wasomi walio tayari kupeleka akili likizo ili kufurahisha watawala zimeonekana kwenye sakata la Msikiti wa Mtoro!

Baada ya video clip ku-trend ikionesha msongamano wa kutisha kwenye Msikiti wa Mtoro, Sheikh Mkuu wa Dar es salaam akafanya haraka kutangaza kufungwa msikiti huo kwa muda wa majuma mawili!

Kwa bahati mbaya sana, ili hatimae maandiko yawezeke kutimia, siku moja baadae Rais akatoa kauli ya kuwakejeli wale wanaofunga nyumba za ibada wakati huko kirusi cha Kishetani hakina uwezo wa kuingia!

Kutokana na athari ya nguvu za rais anayeongoza taifa lenye wasomi walio tayari kupeleka akili likizo ili kumfurahisha bwana mkubwa, siku 2 baadae, Sheikh yule yule aliyekuwa ametangaza kuufunga msikiti kwa majuma mawili, akalazimika kula matapishi yake na kutangaza kuufungua wakati hata juma moja halijaisha!!

Nini maana ya hayo yote?!

Ukweli unaotakiwa kutofumbiwa macho ni kwamba: Adui Mkuu wa Vita Dhidi ya COVID-19 ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... John Pombe Magufuli!

Hata kama Watanzania wataungana kwa umoja wao, Rais asipoacha ku-sabotage harakati hizo bado ni kazi bure kwa sababu, miongoni mwa watakaoungana, majority ni wajinga huku wachache tu wakiwa werevu! And trust me, don't underestimate the power of idiots!

Hata ukiwa na bunduki inayotema risasi za moto, unaweza kushindwa mbele ya kundi kubwa la wajinga wanaokuja kwako wakiwa wameshika bakora kama silaha!!

Suluhisho ni nini basi?! Hapa nitamnukuu ndugu yangu residentura kwamba:
Ushauri mzuri ni Mh. Rais asitoe hotuba,full stop.
Kwavile Rais ameshathibitisha kauli zake zinaambatana na maelezo yanayovunja moyo wapiganaji huku akijaza watu ujinga, busara ni yeye kuendelea kula good time huko Chato, na aache wapiganaji waende vitani!

Rais asipofanya hivyo, hata kama Watanzania wataungana vipi bado itakuwa kazi bure!!

Na kama Rais asingekuwa anatoa hizi kauli zake, Watalaamu wa Wizara ya Afya peke yake wangetosha kabisa kutuongoza kwenye hii vita bila hata ya kuhitaji kamati zozote!

Lau kama Rais asingekuwa anatoa hizi kauli zake, hata media zingekuwa mstari wa mbele kuwakosoa watendaji wa serikali na watu wengine wenye nafasi kwa jamiii wanapojaribu kuwalisha ujinga wananchi!

Leo hii kwa mfano, hivi media zinaanza vipi kumkosoa mtu kama Askofu Gwajima wakati anachoongea ndicho kile kile kinachosemwa na rais?!

Mamlaka za Jiji la Seoul nchini Korea ya Kusini iliwahi kumwagiza Mwendesha Mashitaka Mkuu kumfungulia mashitaka Mwanzilishi wa Shincheonji Church of Jesus, Bw. Lee man-Hee baada ya Bw. Lee awali kuwaambia wafuasi wake coronavirus ni shetani na kwahiyo wasiache kwenda kusali!

Hata baada ya testing kuonesha zaidi ya 50% ya waliothibitika kuwa na virus ni wafuasi wa Shincheonji Church of Jesus, lakini Bw Lee akagoma kutoa ushirikiano!!

Hivi leo hii ni mamlaka yapi Tanzania yanaweza kuwa na uthubutu wa kuwafungulia mashitaka watu aina ya Gwajima wakati kauli zao ni zile zile zinazotolewa na rais, again and again?!
 
Mkuu ,hii Vita ya Corona kila Mtu kivyake.Mzee baba amekimbilia Chato huko na kurudi hataki tofauti na ilivyo kawaida.

Akiongea kwenye Vyombo vya Habari anatufokea kweli kweli kuanzia Wananchi wa kawaida mpaka kwa Watendaji wake ,Mtaani huku kuzikana Usiku kwa Usiku/Biashara zime kwama na hatuoni zikichukuliwa Hatua Sahihi na kwa wakati kuballance mambo sasa huo Umoja utatoka wapi Mkuu !?..

Hebu tizama hii
 
Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi

Huyo anayetoa hizo amri ni mtu mwenye uelewa na masuala na masuala ya kiafya?

Maana hata jeshini Pamoja nakuwa wapo watu wenye vyeo vikubwa lakini pia wapo watu wenye experience na uelewa kwenye masuala ya kivita.

Jifunze kutofautisha hapo.
 
Hotuba za Rais JPM zinarudisha nyuma juhudi za mapambano dhidi ya Corona!Hivi leo ni nani anaweza kupata dalili na kwenda kupimwa?Kuna mjinga wa hivyo?Unapima ili iweje?Kama maabara haiaminiki,nani anataka kukutwa positive huku yeye ni negative halafu aende kuchanganywa na wenye Corona?Kwa sass tutaambukizana sana!
 
Wanabodi,

Kama kawaida, kila nipata fursa ya kuandika, naendelea na Mfulululizo wa Makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo miongoni mwa Watanzania, ambazo huandikwa kwa mfumo wa maswali na huchapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano, wiki hii nazungumzia umuhimu wa Umoja na Mshikamano ndio siri ya mafanikio ya vita yoyote, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Swali ni Jee Corona ni Vita?: Jee Watanzania, Serikali, CCM, Wapinzani, Bila Kuwa Wamoja, Tusimame Pamoja Kwa Lengo Moja, Nguvu Mojo, Sauti Moja, Tutashinda vita hii?!.

Janga la Corona ni Vita, ili tushinde vita hii ni lazima sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, tuwe kitu kimoja, tuwe wamoja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote ziwe ni nguvu moja, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja la ushindi, ndio tutashinda vita hii!, tukiendelea hivi tunavyokwenda sasa, kwa kila mtu kusema lwakwe...

Tukipambana na Corona bila kusimama pamoja, huku kila mtu anasema lake, kama hali ilivyo sasa, kwa serikali kusema hili, rais kusema hili, CCM kuifananisha Corona na Wapinzania, Wapinzani kusema Serikali inaficha takwimu, Wataalamu kusema yao, kutatuchanganya sisi Watanzania tusijue tufuate lipi, tumwamini nani, kuna msemo usemao milizu mingi humpoteza mbwa mwelekeo, humchanganya asijue afuate wapi na mwisho hubaki amesimama!.

Ili tushinde vita hii, ni lazima sisi Watanzania, tusimame pamoja as one, tupigane pamoja, kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja, ndio tutashinda vita hii.

Tangu kuanza kwa vita hii, mpaka hapa tulipo, Watanzania tumegawanyika, hivyo hatua ya kwanza ni kwa baba wa nyumba yetu, rais Magufuli kutuleta pamoja sisi watoto wake wote wa nyumba yake kuanzia yeye mwenyewe kama Baba, serikali yake, CCM, Wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla tuwe kitu kimoja, tuongee kwa lugha moja, sauti moja, nguvu moja na lengo moja ndio tutashinda vita hii.

Hili litafanyikaje?, hili titafanyika hatua kwa hatua,
  1. Hatua ya Kwanza ni Ushirikishwaji - japo Corona ni vita, na tangu kutangazwa kwa vita hii, Amiri Jeshi wetu Mkuu, amechukua vikosi vyake vya kiserikali tuu na kutangaza vita. Bahati nzuri wakati wa vita vya Kagera, japo nilikuwa mdogo, lakini tayari nilikuwa shule ya msingi, kabla ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kutangaza vita, alilihutubia taifa na kusisitiza uzalendo, kujitoa, umoja, na mshikamano wa Watanzania wote. Lakini kwa hapa Tanzania kwenye vita hii, tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, Kamati ya Mawaziri, Kamati ya Wakatibu Wakuu na Kamati ya Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hapa kunahitajika uwazi na ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwaji wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na Goliati, kumbe kina akina Daudi wengi tuu wapo na wangeweza kusaidia sana kama wangeshirikishwa lakini wamejinyamazia tuu kimya kwa sababu hawajashirikishwa!. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa kauli moja, sauti moja na kupigana kwa nguvu moja na lengo moja... Tutashinda.
  2. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa lugha moja na kauli moja, Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikiishasema waliokufa ni idadi fulani, sheria ya kivita inatumika, waliokufa ni idadi hiyo hiyo iliyotangazwa!, hata kama mtu umeona na kushuhudia kwenye mitandao ya kijamii miili 100 inazikwa!, bado una wajibu wa kuisema ile idadi tuu iliyotangazwa rasmi na serikali. Haiwezekani tuko vitani, leo Waziri Mkuu akatutangaza idadi ya vifo ni kadhaa, halafu kesho wewe kwasababu ni kiongozi wa upinzani, ukaitisha press conference, na kuituhumu serikali kuwa haisemi kweli! na badala yake unaleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, waachiwe watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa lugha moja na kauli moja kwa maslahi ya taifa!, kama ushirikishwaji ungefanyika mwanzo, kwa Amiri Jeshi Mkuu kuwasisitiza Watanzania wote kuwa hii vita ni yetu sote, CCM, Wapinzani, kuweka pembeni tofauti zao, na kushikamana pamoja, kuunganisha nguvu ya pamoja na kupigana kwa pamoja, tutashinda.
  3. Watanzania Wenye Uwezo Kusaidi, Wasaidie, Serikali Pekee Haiwezi Kila Kitu. - kama zilivyo vita nyingine zote, umoja ni nguvu, hatuwezi kuiachia serikali kufanya kila kitu, serikali pekee haiwezi, hivyo kufanyike resources mobilization kwa kila Mtanzania kujitolea kuchangia kwa uwezo wake kama nilivyoshauri hapa.
  4. Wenye uwezo wa ziada na uzoefu wajitokeze, waitwe, washirikishwe, wakiwemo ma veterani wa utatibu na wa kila fani, huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.

  5. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, hazitoshi, more needs to be done, naiomba serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, wakiwemo wapinzaia, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.
  6. Redefining Roles za Upinzani Wqkati wa Vita. Upinzani unaitwa opposition kumaanisha kupinga, lakini japo ni jukumu lake kupinga na kukosoa, lakini sio lazima kupinga tuu kila kitu, linapokuja suala la maslahi kwa taifa lenye national interests, CCM na Wapinzani wanapaswa kuweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja, hivyo kwenye mazuri ya CCM kwa maslahi ya taifa, Wapinzani msione aibu kuiunga mkono CCM na kuipongeza, na CCM nayo pia inapokutana na hoja za upinzani zenye maslahi kwa taifa mfano inapokopy hoja nzuri au sera mzuri za wapinzani na kuzitekeleza, isione aibu kuwapongeza wapinzani kama hoja ya katiba mpya, elimu bure etc, lakini inapotangazwa vita, role ya upinzani changes, hakuna tena kupinga kitu chochote!, zinatumika martial laws, sheria za kijeshi, amri ni moja tuu, ama kuunga mkono, ama kunyamaza kimya!. Haiwezekani Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikasema kitu fulani, halafu akatokea kiumbe mwingine akakohoa kuipinga serikali!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hii itakuwa sio vita bali ni kusemazana, kwenye vita hakuna kusemezani ni amri tuu, ikitolewa kauli yoyote rasmi ya serikali ni amri!.
  7. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhuzi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki hospitali za kiimali. tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaotoshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu.
Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali langu la wa mwanzo wa bandiko hili, hivi hili janga la Corona ni vita kweli ya wote au ni vita ya serikali pekee?. Kama ni vita ya wote, mbona hatujashirikishwa?. Mbona karibu kila kitu ni kama ni serikali tuu?. Jee tunaweza tushinde vita hii bila sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, kushirikishwa tuwe wamoja?, tusimame pamoja kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote kwa pamoja chini ya umoja ni nguvu, ziwe ni nguvu moja kuu, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa lengo moja?.
Its Only Pamoja Tutashinda!.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Mshikamano wa kupima mapapai covid-19?

Ningekuelewa ungesema hiviii!

Rais gatua madaraka.
 
Wanabodi,

Kama kawaida, kila nipata fursa ya kuandika, naendelea na Mfulululizo wa Makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo miongoni mwa Watanzania, ambazo huandikwa kwa mfumo wa maswali na huchapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano, wiki hii nazungumzia umuhimu wa Umoja na Mshikamano ndio siri ya mafanikio ya vita yoyote, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Swali ni Jee Corona ni Vita?: Jee Watanzania, Serikali, CCM, Wapinzani, Bila Kuwa Wamoja, Tusimame Pamoja Kwa Lengo Moja, Nguvu Mojo, Sauti Moja, Tutashinda vita hii?!.

Janga la Corona ni Vita, ili tushinde vita hii ni lazima sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, tuwe kitu kimoja, tuwe wamoja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote ziwe ni nguvu moja, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja la ushindi, ndio tutashinda vita hii!, tukiendelea hivi tunavyokwenda sasa, kwa kila mtu kusema lwakwe...

Tukipambana na Corona bila kusimama pamoja, huku kila mtu anasema lake, kama hali ilivyo sasa, kwa serikali kusema hili, rais kusema hili, CCM kuifananisha Corona na Wapinzania, Wapinzani kusema Serikali inaficha takwimu, Wataalamu kusema yao, kutatuchanganya sisi Watanzania tusijue tufuate lipi, tumwamini nani, kuna msemo usemao milizu mingi humpoteza mbwa mwelekeo, humchanganya asijue afuate wapi na mwisho hubaki amesimama!.

Ili tushinde vita hii, ni lazima sisi Watanzania, tusimame pamoja as one, tupigane pamoja, kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja, ndio tutashinda vita hii.

Tangu kuanza kwa vita hii, mpaka hapa tulipo, Watanzania tumegawanyika, hivyo hatua ya kwanza ni kwa baba wa nyumba yetu, rais Magufuli kutuleta pamoja sisi watoto wake wote wa nyumba yake kuanzia yeye mwenyewe kama Baba, serikali yake, CCM, Wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla tuwe kitu kimoja, tuongee kwa lugha moja, sauti moja, nguvu moja na lengo moja ndio tutashinda vita hii.

Hili litafanyikaje?, hili titafanyika hatua kwa hatua,
  1. Hatua ya Kwanza ni Ushirikishwaji - japo Corona ni vita, na tangu kutangazwa kwa vita hii, Amiri Jeshi wetu Mkuu, amechukua vikosi vyake vya kiserikali tuu na kutangaza vita. Bahati nzuri wakati wa vita vya Kagera, japo nilikuwa mdogo, lakini tayari nilikuwa shule ya msingi, kabla ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kutangaza vita, alilihutubia taifa na kusisitiza uzalendo, kujitoa, umoja, na mshikamano wa Watanzania wote. Lakini kwa hapa Tanzania kwenye vita hii, tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, Kamati ya Mawaziri, Kamati ya Wakatibu Wakuu na Kamati ya Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hapa kunahitajika uwazi na ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwaji wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na Goliati, kumbe kina akina Daudi wengi tuu wapo na wangeweza kusaidia sana kama wangeshirikishwa lakini wamejinyamazia tuu kimya kwa sababu hawajashirikishwa!. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa kauli moja, sauti moja na kupigana kwa nguvu moja na lengo moja... Tutashinda.
  2. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa lugha moja na kauli moja, Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikiishasema waliokufa ni idadi fulani, sheria ya kivita inatumika, waliokufa ni idadi hiyo hiyo iliyotangazwa!, hata kama mtu umeona na kushuhudia kwenye mitandao ya kijamii miili 100 inazikwa!, bado una wajibu wa kuisema ile idadi tuu iliyotangazwa rasmi na serikali. Haiwezekani tuko vitani, leo Waziri Mkuu akatutangaza idadi ya vifo ni kadhaa, halafu kesho wewe kwasababu ni kiongozi wa upinzani, ukaitisha press conference, na kuituhumu serikali kuwa haisemi kweli! na badala yake unaleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, waachiwe watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa lugha moja na kauli moja kwa maslahi ya taifa!, kama ushirikishwaji ungefanyika mwanzo, kwa Amiri Jeshi Mkuu kuwasisitiza Watanzania wote kuwa hii vita ni yetu sote, CCM, Wapinzani, kuweka pembeni tofauti zao, na kushikamana pamoja, kuunganisha nguvu ya pamoja na kupigana kwa pamoja, tutashinda.
  3. Watanzania Wenye Uwezo Kusaidi, Wasaidie, Serikali Pekee Haiwezi Kila Kitu. - kama zilivyo vita nyingine zote, umoja ni nguvu, hatuwezi kuiachia serikali kufanya kila kitu, serikali pekee haiwezi, hivyo kufanyike resources mobilization kwa kila Mtanzania kujitolea kuchangia kwa uwezo wake kama nilivyoshauri hapa.
  4. Wenye uwezo wa ziada na uzoefu wajitokeze, waitwe, washirikishwe, wakiwemo ma veterani wa utatibu na wa kila fani, huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.

  5. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, hazitoshi, more needs to be done, naiomba serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, wakiwemo wapinzaia, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.
  6. Redefining Roles za Upinzani Wqkati wa Vita. Upinzani unaitwa opposition kumaanisha kupinga, lakini japo ni jukumu lake kupinga na kukosoa, lakini sio lazima kupinga tuu kila kitu, linapokuja suala la maslahi kwa taifa lenye national interests, CCM na Wapinzani wanapaswa kuweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja, hivyo kwenye mazuri ya CCM kwa maslahi ya taifa, Wapinzani msione aibu kuiunga mkono CCM na kuipongeza, na CCM nayo pia inapokutana na hoja za upinzani zenye maslahi kwa taifa mfano inapokopy hoja nzuri au sera mzuri za wapinzani na kuzitekeleza, isione aibu kuwapongeza wapinzani kama hoja ya katiba mpya, elimu bure etc, lakini inapotangazwa vita, role ya upinzani changes, hakuna tena kupinga kitu chochote!, zinatumika martial laws, sheria za kijeshi, amri ni moja tuu, ama kuunga mkono, ama kunyamaza kimya!. Haiwezekani Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikasema kitu fulani, halafu akatokea kiumbe mwingine akakohoa kuipinga serikali!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hii itakuwa sio vita bali ni kusemazana, kwenye vita hakuna kusemezani ni amri tuu, ikitolewa kauli yoyote rasmi ya serikali ni amri!.
  7. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhuzi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki hospitali za kiimali. tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaotoshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu.
Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali langu la wa mwanzo wa bandiko hili, hivi hili janga la Corona ni vita kweli ya wote au ni vita ya serikali pekee?. Kama ni vita ya wote, mbona hatujashirikishwa?. Mbona karibu kila kitu ni kama ni serikali tuu?. Jee tunaweza tushinde vita hii bila sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, kushirikishwa tuwe wamoja?, tusimame pamoja kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote kwa pamoja chini ya umoja ni nguvu, ziwe ni nguvu moja kuu, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa lengo moja?.
Its Only Pamoja Tutashinda!.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Vita ilingia ugumu na mgawanyiko pale kila chama kilipoamua kutengeneza barakoa zenye chapa ya jina la chama!
 
Wanabodi,

Kama kawaida, kila nipata fursa ya kuandika, naendelea na Mfulululizo wa Makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo miongoni mwa Watanzania, ambazo huandikwa kwa mfumo wa maswali na huchapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano, wiki hii nazungumzia umuhimu wa Umoja na Mshikamano ndio siri ya mafanikio ya vita yoyote, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Swali ni Jee Corona ni Vita?: Jee Watanzania, Serikali, CCM, Wapinzani, Bila Kuwa Wamoja, Tusimame Pamoja Kwa Lengo Moja, Nguvu Mojo, Sauti Moja, Tutashinda vita hii?!.

Janga la Corona ni Vita, ili tushinde vita hii ni lazima sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, tuwe kitu kimoja, tuwe wamoja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote ziwe ni nguvu moja, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja la ushindi, ndio tutashinda vita hii!, tukiendelea hivi tunavyokwenda sasa, kwa kila mtu kusema lwakwe...

Tukipambana na Corona bila kusimama pamoja, huku kila mtu anasema lake, kama hali ilivyo sasa, kwa serikali kusema hili, rais kusema hili, CCM kuifananisha Corona na Wapinzania, Wapinzani kusema Serikali inaficha takwimu, Wataalamu kusema yao, kutatuchanganya sisi Watanzania tusijue tufuate lipi, tumwamini nani, kuna msemo usemao milizu mingi humpoteza mbwa mwelekeo, humchanganya asijue afuate wapi na mwisho hubaki amesimama!.

Ili tushinde vita hii, ni lazima sisi Watanzania, tusimame pamoja as one, tupigane pamoja, kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja, ndio tutashinda vita hii.

Tangu kuanza kwa vita hii, mpaka hapa tulipo, Watanzania tumegawanyika, hivyo hatua ya kwanza ni kwa baba wa nyumba yetu, rais Magufuli kutuleta pamoja sisi watoto wake wote wa nyumba yake kuanzia yeye mwenyewe kama Baba, serikali yake, CCM, Wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla tuwe kitu kimoja, tuongee kwa lugha moja, sauti moja, nguvu moja na lengo moja ndio tutashinda vita hii.

Hili litafanyikaje?, hili titafanyika hatua kwa hatua,
  1. Hatua ya Kwanza ni Ushirikishwaji - japo Corona ni vita, na tangu kutangazwa kwa vita hii, Amiri Jeshi wetu Mkuu, amechukua vikosi vyake vya kiserikali tuu na kutangaza vita. Bahati nzuri wakati wa vita vya Kagera, japo nilikuwa mdogo, lakini tayari nilikuwa shule ya msingi, kabla ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kutangaza vita, alilihutubia taifa na kusisitiza uzalendo, kujitoa, umoja, na mshikamano wa Watanzania wote. Lakini kwa hapa Tanzania kwenye vita hii, tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, Kamati ya Mawaziri, Kamati ya Wakatibu Wakuu na Kamati ya Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hapa kunahitajika uwazi na ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwaji wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na Goliati, kumbe kina akina Daudi wengi tuu wapo na wangeweza kusaidia sana kama wangeshirikishwa lakini wamejinyamazia tuu kimya kwa sababu hawajashirikishwa!. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa kauli moja, sauti moja na kupigana kwa nguvu moja na lengo moja... Tutashinda.
  2. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa lugha moja na kauli moja, Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikiishasema waliokufa ni idadi fulani, sheria ya kivita inatumika, waliokufa ni idadi hiyo hiyo iliyotangazwa!, hata kama mtu umeona na kushuhudia kwenye mitandao ya kijamii miili 100 inazikwa!, bado una wajibu wa kuisema ile idadi tuu iliyotangazwa rasmi na serikali. Haiwezekani tuko vitani, leo Waziri Mkuu akatutangaza idadi ya vifo ni kadhaa, halafu kesho wewe kwasababu ni kiongozi wa upinzani, ukaitisha press conference, na kuituhumu serikali kuwa haisemi kweli! na badala yake unaleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, waachiwe watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa lugha moja na kauli moja kwa maslahi ya taifa!, kama ushirikishwaji ungefanyika mwanzo, kwa Amiri Jeshi Mkuu kuwasisitiza Watanzania wote kuwa hii vita ni yetu sote, CCM, Wapinzani, kuweka pembeni tofauti zao, na kushikamana pamoja, kuunganisha nguvu ya pamoja na kupigana kwa pamoja, tutashinda.
  3. Watanzania Wenye Uwezo Kusaidi, Wasaidie, Serikali Pekee Haiwezi Kila Kitu. - kama zilivyo vita nyingine zote, umoja ni nguvu, hatuwezi kuiachia serikali kufanya kila kitu, serikali pekee haiwezi, hivyo kufanyike resources mobilization kwa kila Mtanzania kujitolea kuchangia kwa uwezo wake kama nilivyoshauri hapa.
  4. Wenye uwezo wa ziada na uzoefu wajitokeze, waitwe, washirikishwe, wakiwemo ma veterani wa utatibu na wa kila fani, huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.

  5. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, hazitoshi, more needs to be done, naiomba serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, wakiwemo wapinzaia, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.
  6. Redefining Roles za Upinzani Wqkati wa Vita. Upinzani unaitwa opposition kumaanisha kupinga, lakini japo ni jukumu lake kupinga na kukosoa, lakini sio lazima kupinga tuu kila kitu, linapokuja suala la maslahi kwa taifa lenye national interests, CCM na Wapinzani wanapaswa kuweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja, hivyo kwenye mazuri ya CCM kwa maslahi ya taifa, Wapinzani msione aibu kuiunga mkono CCM na kuipongeza, na CCM nayo pia inapokutana na hoja za upinzani zenye maslahi kwa taifa mfano inapokopy hoja nzuri au sera mzuri za wapinzani na kuzitekeleza, isione aibu kuwapongeza wapinzani kama hoja ya katiba mpya, elimu bure etc, lakini inapotangazwa vita, role ya upinzani changes, hakuna tena kupinga kitu chochote!, zinatumika martial laws, sheria za kijeshi, amri ni moja tuu, ama kuunga mkono, ama kunyamaza kimya!. Haiwezekani Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikasema kitu fulani, halafu akatokea kiumbe mwingine akakohoa kuipinga serikali!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hii itakuwa sio vita bali ni kusemazana, kwenye vita hakuna kusemezani ni amri tuu, ikitolewa kauli yoyote rasmi ya serikali ni amri!.
  7. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhuzi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki hospitali za kiimali. tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaotoshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu.
Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali langu la wa mwanzo wa bandiko hili, hivi hili janga la Corona ni vita kweli ya wote au ni vita ya serikali pekee?. Kama ni vita ya wote, mbona hatujashirikishwa?. Mbona karibu kila kitu ni kama ni serikali tuu?. Jee tunaweza tushinde vita hii bila sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, kushirikishwa tuwe wamoja?, tusimame pamoja kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote kwa pamoja chini ya umoja ni nguvu, ziwe ni nguvu moja kuu, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa lengo moja?.
Its Only Pamoja Tutashinda!.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Kama kushirikishwa nafikiri serikali imewashirikisha wananchi kwa namna mbali mbali. Ndio maana tumeona wazalendo wenye uwezo mkubwa wametoa michango kwa kutambua kuwa ni vita ya pamoja. Pia kuna account ilitolewa ili kila mtu kama ana uwezo aweze kuchangia. Japokuwa wanachama na wafuasi wa Chadema walibeza na kuleta siasa. Wakati hata huko Usa watu wanachangia hadi vyakula na mavazi kwa ajili ya wauguzi. Hawa Chadema wao kila kitu ni siasa na harakati tu muda wote. Hawajui kuwa umoja ni nguvu.
 
Wanabodi,

Kama kawaida, kila nipata fursa ya kuandika, naendelea na Mfulululizo wa Makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo miongoni mwa Watanzania, ambazo huandikwa kwa mfumo wa maswali na huchapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano, wiki hii nazungumzia umuhimu wa Umoja na Mshikamano ndio siri ya mafanikio ya vita yoyote, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Swali ni Jee Corona ni Vita?: Jee Watanzania, Serikali, CCM, Wapinzani, Bila Kuwa Wamoja, Tusimame Pamoja Kwa Lengo Moja, Nguvu Mojo, Sauti Moja, Tutashinda vita hii?!.

Janga la Corona ni Vita, ili tushinde vita hii ni lazima sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, tuwe kitu kimoja, tuwe wamoja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote ziwe ni nguvu moja, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja la ushindi, ndio tutashinda vita hii!, tukiendelea hivi tunavyokwenda sasa, kwa kila mtu kusema lwakwe...

Tukipambana na Corona bila kusimama pamoja, huku kila mtu anasema lake, kama hali ilivyo sasa, kwa serikali kusema hili, rais kusema hili, CCM kuifananisha Corona na Wapinzania, Wapinzani kusema Serikali inaficha takwimu, Wataalamu kusema yao, kutatuchanganya sisi Watanzania tusijue tufuate lipi, tumwamini nani, kuna msemo usemao milizu mingi humpoteza mbwa mwelekeo, humchanganya asijue afuate wapi na mwisho hubaki amesimama!.

Ili tushinde vita hii, ni lazima sisi Watanzania, tusimame pamoja as one, tupigane pamoja, kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja, ndio tutashinda vita hii.

Tangu kuanza kwa vita hii, mpaka hapa tulipo, Watanzania tumegawanyika, hivyo hatua ya kwanza ni kwa baba wa nyumba yetu, rais Magufuli kutuleta pamoja sisi watoto wake wote wa nyumba yake kuanzia yeye mwenyewe kama Baba, serikali yake, CCM, Wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla tuwe kitu kimoja, tuongee kwa lugha moja, sauti moja, nguvu moja na lengo moja ndio tutashinda vita hii.

Hili litafanyikaje?, hili titafanyika hatua kwa hatua,
  1. Hatua ya Kwanza ni Ushirikishwaji - japo Corona ni vita, na tangu kutangazwa kwa vita hii, Amiri Jeshi wetu Mkuu, amechukua vikosi vyake vya kiserikali tuu na kutangaza vita. Bahati nzuri wakati wa vita vya Kagera, japo nilikuwa mdogo, lakini tayari nilikuwa shule ya msingi, kabla ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kutangaza vita, alilihutubia taifa na kusisitiza uzalendo, kujitoa, umoja, na mshikamano wa Watanzania wote. Lakini kwa hapa Tanzania kwenye vita hii, tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, Kamati ya Mawaziri, Kamati ya Wakatibu Wakuu na Kamati ya Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hapa kunahitajika uwazi na ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwaji wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na Goliati, kumbe kina akina Daudi wengi tuu wapo na wangeweza kusaidia sana kama wangeshirikishwa lakini wamejinyamazia tuu kimya kwa sababu hawajashirikishwa!. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa kauli moja, sauti moja na kupigana kwa nguvu moja na lengo moja... Tutashinda.
  2. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa lugha moja na kauli moja, Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikiishasema waliokufa ni idadi fulani, sheria ya kivita inatumika, waliokufa ni idadi hiyo hiyo iliyotangazwa!, hata kama mtu umeona na kushuhudia kwenye mitandao ya kijamii miili 100 inazikwa!, bado una wajibu wa kuisema ile idadi tuu iliyotangazwa rasmi na serikali. Haiwezekani tuko vitani, leo Waziri Mkuu akatutangaza idadi ya vifo ni kadhaa, halafu kesho wewe kwasababu ni kiongozi wa upinzani, ukaitisha press conference, na kuituhumu serikali kuwa haisemi kweli! na badala yake unaleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, waachiwe watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa lugha moja na kauli moja kwa maslahi ya taifa!, kama ushirikishwaji ungefanyika mwanzo, kwa Amiri Jeshi Mkuu kuwasisitiza Watanzania wote kuwa hii vita ni yetu sote, CCM, Wapinzani, kuweka pembeni tofauti zao, na kushikamana pamoja, kuunganisha nguvu ya pamoja na kupigana kwa pamoja, tutashinda.
  3. Watanzania Wenye Uwezo Kusaidi, Wasaidie, Serikali Pekee Haiwezi Kila Kitu. - kama zilivyo vita nyingine zote, umoja ni nguvu, hatuwezi kuiachia serikali kufanya kila kitu, serikali pekee haiwezi, hivyo kufanyike resources mobilization kwa kila Mtanzania kujitolea kuchangia kwa uwezo wake kama nilivyoshauri hapa.
  4. Wenye uwezo wa ziada na uzoefu wajitokeze, waitwe, washirikishwe, wakiwemo ma veterani wa utatibu na wa kila fani, huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.

  5. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, hazitoshi, more needs to be done, naiomba serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, wakiwemo wapinzaia, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.
  6. Redefining Roles za Upinzani Wqkati wa Vita. Upinzani unaitwa opposition kumaanisha kupinga, lakini japo ni jukumu lake kupinga na kukosoa, lakini sio lazima kupinga tuu kila kitu, linapokuja suala la maslahi kwa taifa lenye national interests, CCM na Wapinzani wanapaswa kuweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja, hivyo kwenye mazuri ya CCM kwa maslahi ya taifa, Wapinzani msione aibu kuiunga mkono CCM na kuipongeza, na CCM nayo pia inapokutana na hoja za upinzani zenye maslahi kwa taifa mfano inapokopy hoja nzuri au sera mzuri za wapinzani na kuzitekeleza, isione aibu kuwapongeza wapinzani kama hoja ya katiba mpya, elimu bure etc, lakini inapotangazwa vita, role ya upinzani changes, hakuna tena kupinga kitu chochote!, zinatumika martial laws, sheria za kijeshi, amri ni moja tuu, ama kuunga mkono, ama kunyamaza kimya!. Haiwezekani Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikasema kitu fulani, halafu akatokea kiumbe mwingine akakohoa kuipinga serikali!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hii itakuwa sio vita bali ni kusemazana, kwenye vita hakuna kusemezani ni amri tuu, ikitolewa kauli yoyote rasmi ya serikali ni amri!.
  7. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhuzi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki hospitali za kiimali. tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaotoshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu.
Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali langu la wa mwanzo wa bandiko hili, hivi hili janga la Corona ni vita kweli ya wote au ni vita ya serikali pekee?. Kama ni vita ya wote, mbona hatujashirikishwa?. Mbona karibu kila kitu ni kama ni serikali tuu?. Jee tunaweza tushinde vita hii bila sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, kushirikishwa tuwe wamoja?, tusimame pamoja kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote kwa pamoja chini ya umoja ni nguvu, ziwe ni nguvu moja kuu, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa lengo moja?.
Its Only Pamoja Tutashinda!.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Paskali una mawazo mazuri lakini you arae wasting your time.
Para no.7, kuunga mkono hatua zote ilizochukuliwa na serikali na kufuata ushauri wa madaktari ni vitu viwili tofauti.
I do hope you are not blind to the contradiction,

Namuunga mkono Rais JPM, sisi ni kusali na kuomba tu.
We are just too poor to make any meaningful strategy and response.
 
Rais Magufuli alipokutana na vyombo vya usalama alisema Watanzania tupo vitani

Ila kuna baadhi ya wanasiasa wamekimbia vita pale bungeni wameenda kujifungia ndani
Huku sisi wapiga kura wao tukiwa mtaani tunapambana
Harafu the only strategies we have in place kuishinda hii Vita ni 1.Nyungu kwa sana 2. Kudiscourange kila juhudi 3.Kuongea uongo
 
Wanabodi,

Kama kawaida, kila nipata fursa ya kuandika, naendelea na Mfulululizo wa Makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye lengo la kuhamasisha uzalendo miongoni mwa Watanzania, ambazo huandikwa kwa mfumo wa maswali na huchapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano, wiki hii nazungumzia umuhimu wa Umoja na Mshikamano ndio siri ya mafanikio ya vita yoyote, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Swali ni Jee Corona ni Vita?: Jee Watanzania, Serikali, CCM, Wapinzani, Bila Kuwa Wamoja, Tusimame Pamoja Kwa Lengo Moja, Nguvu Mojo, Sauti Moja, Tutashinda vita hii?!.

Janga la Corona ni Vita, ili tushinde vita hii ni lazima sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, tuwe kitu kimoja, tuwe wamoja, tusimame pamoja kwa upendo na mshikamano kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote ziwe ni nguvu moja, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja la ushindi, ndio tutashinda vita hii!, tukiendelea hivi tunavyokwenda sasa, kwa kila mtu kusema lwakwe...

Tukipambana na Corona bila kusimama pamoja, huku kila mtu anasema lake, kama hali ilivyo sasa, kwa serikali kusema hili, rais kusema hili, CCM kuifananisha Corona na Wapinzania, Wapinzani kusema Serikali inaficha takwimu, Wataalamu kusema yao, kutatuchanganya sisi Watanzania tusijue tufuate lipi, tumwamini nani, kuna msemo usemao milizu mingi humpoteza mbwa mwelekeo, humchanganya asijue afuate wapi na mwisho hubaki amesimama!.

Ili tushinde vita hii, ni lazima sisi Watanzania, tusimame pamoja as one, tupigane pamoja, kwa nguvu moja, sauti moja na lengo moja, ndio tutashinda vita hii.

Tangu kuanza kwa vita hii, mpaka hapa tulipo, Watanzania tumegawanyika, hivyo hatua ya kwanza ni kwa baba wa nyumba yetu, rais Magufuli kutuleta pamoja sisi watoto wake wote wa nyumba yake kuanzia yeye mwenyewe kama Baba, serikali yake, CCM, Wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla tuwe kitu kimoja, tuongee kwa lugha moja, sauti moja, nguvu moja na lengo moja ndio tutashinda vita hii.

Hili litafanyikaje?, hili titafanyika hatua kwa hatua,
  1. Hatua ya Kwanza ni Ushirikishwaji - japo Corona ni vita, na tangu kutangazwa kwa vita hii, Amiri Jeshi wetu Mkuu, amechukua vikosi vyake vya kiserikali tuu na kutangaza vita. Bahati nzuri wakati wa vita vya Kagera, japo nilikuwa mdogo, lakini tayari nilikuwa shule ya msingi, kabla ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kutangaza vita, alilihutubia taifa na kusisitiza uzalendo, kujitoa, umoja, na mshikamano wa Watanzania wote. Lakini kwa hapa Tanzania kwenye vita hii, tangu janga hili limeanza, serikali ndio imehodhi ukamanda na wapiganaji wa vita hii, kwa kuunda kamati 3 za kiserekali za kushughulikia, Kamati ya Mawaziri, Kamati ya Wakatibu Wakuu na Kamati ya Wataalamu. Mawaziri ni ya serikali, Makatibu Wakuu ni wa Serikali, hao wataalamu ni kina nani?, hapa kunahitajika uwazi na ushirikishwaji umma, hivyo sasa uindwe kamati ya kitaifa, kwa serikali kuomba ushirikishwaji wa Watanzania wote wenye mawazo yoyote chanya ya kusaidia, wakiwemo wa Diaspora, wayalete on line, out of mawazo hayo, inaundwa kamati shirikishi ya kitaifa ambayo itajumuisha sekta zote, sio hali ilivyo sasa, vita hii inaweza kuwa inaongozwa na Goliati, kumbe kina akina Daudi wengi tuu wapo na wangeweza kusaidia sana kama wangeshirikishwa lakini wamejinyamazia tuu kimya kwa sababu hawajashirikishwa!. Haiwezekani Waziri Mkuu ataje idadi ya vifo, halafu kesho yake waziri mkuu kivuli kuibuka na kusema serikali inasema uongo. Ile kanuni ya a collective responsibility inakuwa applicable kwenye hili la Corona tuongee kwa kauli moja, sauti moja na kupigana kwa nguvu moja na lengo moja... Tutashinda.
  2. Korona ni Janga, Ni Vita, Vita Ikiisha Tangazwa, Amri ni Moja, Umoja, Mshikamano, Ushirikiano Ndio Siri ya Ushindi!-Korona ni janga, ni vita, vita ikiishatangazwa, ili tushinde vita hii ni lazima viongozi wetu wa serikali, wanasiasa, wapinzani, wataalamu, wote tuzungumze kwa lugha moja na kauli moja, Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikiishasema waliokufa ni idadi fulani, sheria ya kivita inatumika, waliokufa ni idadi hiyo hiyo iliyotangazwa!, hata kama mtu umeona na kushuhudia kwenye mitandao ya kijamii miili 100 inazikwa!, bado una wajibu wa kuisema ile idadi tuu iliyotangazwa rasmi na serikali. Haiwezekani tuko vitani, leo Waziri Mkuu akatutangaza idadi ya vifo ni kadhaa, halafu kesho wewe kwasababu ni kiongozi wa upinzani, ukaitisha press conference, na kuituhumu serikali kuwa haisemi kweli! na badala yake unaleta idadi ya vifo vya mitandaoni!, what does this mean?. Tutawachanganya Watanzania!, hizi idadi za kwenye mitandao, waachiwe watu wa mitandaoni, kwenye hili lazima serikali, wapinzani mzungumze kwa lugha moja na kauli moja kwa maslahi ya taifa!, kama ushirikishwaji ungefanyika mwanzo, kwa Amiri Jeshi Mkuu kuwasisitiza Watanzania wote kuwa hii vita ni yetu sote, CCM, Wapinzani, kuweka pembeni tofauti zao, na kushikamana pamoja, kuunganisha nguvu ya pamoja na kupigana kwa pamoja, tutashinda.
  3. Watanzania Wenye Uwezo Kusaidi, Wasaidie, Serikali Pekee Haiwezi Kila Kitu. - kama zilivyo vita nyingine zote, umoja ni nguvu, hatuwezi kuiachia serikali kufanya kila kitu, serikali pekee haiwezi, hivyo kufanyike resources mobilization kwa kila Mtanzania kujitolea kuchangia kwa uwezo wake kama nilivyoshauri hapa.
  4. Wenye uwezo wa ziada na uzoefu wajitokeze, waitwe, washirikishwe, wakiwemo ma veterani wa utatibu na wa kila fani, huitwa kwenye kupanga mikakati, sisi ma veterani kwenye sekta ya media tupo, tuitwe, tushirikishwe, miongoni mwetu kuna mabingwa wa utoaji elimu kwa umma, tuwe recalled turudi newsrooms tukawasaidie hawa vijana wa sasa suala zima la utoaji wa elimu ya umma, hili lingefanyika tangu mwanzo, tungewasaidia sana Watanzania, ila hadi hapa tulipo, hatujachelewa!. Media zetu hazina uwezo wa utoaji elimu, hivyo media ziwezeshwe, maveterani tuitwe turudi newsroom tusaidie.

  5. Japo Serikali inafanya hatua mbalimbali za utekeleza kukabiliana janga hili, hazitoshi, more needs to be done, naiomba serikali yetu iwe sikivu, isishupaze shingo kwa kujifanya yenyewe ndio inajua kila kitu, usikilize maoni ya wadau, wakiwemo wapinzaia, mfano hoja ya partial lockdown, kwenye mikusanyiko ya ibada, Mungu ni Omnipresent, hakaini kanisani kwenye nyumba za ibada tuu yupo popote na watu wanaweza kusalia popote, kama Vatican kwenye shina la Ukatoliki, na Saudi Arabia kwenye shina la Uislamu, wao wamefunga, kitendo alichokifanya Baba Askofu Severin Niwemugizi. Jimbo Katoliki Rulenge Ngara, la kuepusha waumini wake na janga la Corona kwa kufunga ibada kwenye jimbo lake ni kitendo cha kupigiwa mfano, unless kama ibada nayo ni uzalishaji mali za kanisa na nchi!. Rais wetu asiwabeze viongozi wa dini kwa kutumia maneno ya ushetani, maana you never know inawezekana wanaoepusha misongamano ndio mpango wa Mungu halafu watete wa misongomano isiyo ya lazima kama ibada ndio mpango wa shetani.
  6. Redefining Roles za Upinzani Wqkati wa Vita. Upinzani unaitwa opposition kumaanisha kupinga, lakini japo ni jukumu lake kupinga na kukosoa, lakini sio lazima kupinga tuu kila kitu, linapokuja suala la maslahi kwa taifa lenye national interests, CCM na Wapinzani wanapaswa kuweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja, hivyo kwenye mazuri ya CCM kwa maslahi ya taifa, Wapinzani msione aibu kuiunga mkono CCM na kuipongeza, na CCM nayo pia inapokutana na hoja za upinzani zenye maslahi kwa taifa mfano inapokopy hoja nzuri au sera mzuri za wapinzani na kuzitekeleza, isione aibu kuwapongeza wapinzani kama hoja ya katiba mpya, elimu bure etc, lakini inapotangazwa vita, role ya upinzani changes, hakuna tena kupinga kitu chochote!, zinatumika martial laws, sheria za kijeshi, amri ni moja tuu, ama kuunga mkono, ama kunyamaza kimya!. Haiwezekani Amiri Jeshi Mkuu au serikali ikasema kitu fulani, halafu akatokea kiumbe mwingine akakohoa kuipinga serikali!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hii itakuwa sio vita bali ni kusemazana, kwenye vita hakuna kusemezani ni amri tuu, ikitolewa kauli yoyote rasmi ya serikali ni amri!.
  7. Kwa vile mpaka sasa Corona haina kinga wala tiba, naunga mkono juhuzi zote zinazochukuliwa na serikali yetu kukabiliana na janga hili, tuendelee kufuata ushauri wote wa kitaalamu unaotolewa katika kukabiliana na janga hili, na kwa vile Corona ni adui asiyejulikana, tutumie silaha zote za ki hospitali za kiimali. tiba asili, tiba mbadala, na hata akitokea mtu akaotoshwa chochote, tusidharau, na hata kama ni kweli uchawi upo, na wachawi wapo, waruhusiwe kuiloga Corona ife iishe tuendelee na maisha yetu.
Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali langu la wa mwanzo wa bandiko hili, hivi hili janga la Corona ni vita kweli ya wote au ni vita ya serikali pekee?. Kama ni vita ya wote, mbona hatujashirikishwa?. Mbona karibu kila kitu ni kama ni serikali tuu?. Jee tunaweza tushinde vita hii bila sisi Watanzania, kuanzia serikali, CCM, wapinzani na Watanzania wote kwa ujumla wetu, kushirikishwa tuwe wamoja?, tusimame pamoja kama kitu kimoja, kwa kuunganisha nguvu zetu zote kwa pamoja chini ya umoja ni nguvu, ziwe ni nguvu moja kuu, tupaze sauti zetu zote ziwe ni sauti moja, na tumbambane kwa mshikamamo, bega kwa bega kwa lengo moja?.
Its Only Pamoja Tutashinda!.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Walisema corona ni sawa na CHADEMA,na watapambana nayo kama chama cha upinzani.Hapo ushirikiano unaanzaje sasa.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom