Je, CHADEMA hawaelewi maana ya Lockdown?

Je, CHADEMA hawaelewi maana ya Lockdown?

Moja ya masharti ni epuka misongamano, wewe unanihimiza nikachape kazi,kazi yangu ipo Kariakoo,nakaa mbagala,au tageta au mbezi Luis huku msumi,nakaa gongo la mboto,sawa nisaidie naepukaje msongamano? Huko kunawa mikono kunamsaidia nini wakati nikipanda mwendo kasi hata kuweka miguu hakuna?
Kwahiyo unashauri Nini jomba..vaa mask hata ya kitambaa Cha shuka..hata Shari lako chana weka piano kipande..usigusane na mtuu, nawa mikono..nenda kazini kachape kazi..Kama wewe una hela kaa nyumbani jomba. Lakini wale ambao wanatafuta kila siku, wacha waende lakini wachukue tahadhari zote..upo
 
Kwahiyo unashauri Nini jomba..vaa mask hata ya kitambaa Cha shuka..hata Shari lako chana weka piano kipande..usigusane na mtuu, nawa mikono..nenda kazini kachape kazi..Kama wewe una hela kaa nyumbani jomba. Lakini wale ambao wanatafuta kila siku, wacha waende lakini wachukue tahadhari zote..upo
Hayo uliyonishauri ndo tahadhari mnayotushauri tuchukue? Kweli watu tunaangamia kwa kukosa maarifa na ushabiki maandazi.anyway Mkuu hivi unaweza kunisaidia kuelewa,hii kitu inaitwa serikali ya Magufuli ipo kwa ajiri ya nini?
 
Tunazungumzia corona jomba...nyie so mnataka watu wafungiwe ndani
Serikali hii ya awamu ya tano inaonekana ipo kwa ajiri ya madaraja,maflyovers,mandege,mabarabara na kupambana na akina Mbowe siyo?
 
Serikali hii ya awamu ya tano inaonekana ipo kwa ajiri ya madaraja,maflyovers,mandege,mabarabara na kupambana na akina Mbowe siyo?
Mbowe huyu huyu aliyetolewa Segerea kwa michango ya akina mzee Mgaya juzikati?
 
Nadhani Chadema hawaelewi maana ya lockdown ndio maana wanaishabikia bila kutafakari kwa mapana.

Tanzania haina uwezo wa kuwafungia watu ndani na kuwafanya waendelee kula ugali na maharage huku wakikosa uhuru wa kutoka nje pekee.
Huko Ulaya kwenye lockdown raia wanahakikishiwa kupata mkate wa kila siku baada ya kupoteza kipato kwa kutokwenda kazini, je hapa tutaweza?

Viongozi wanaweza kukaa ndani hata mwaka kwa sababu akaunti zao zimenona, je wamachinga wanajua hata akaunti ya benki.

Afrika inaweza kutafuta namna yake ya kuwatuliza watu majumbani ili kuepuka mikusanyiko lakini siyo lazima tuige utaratibu wa wazungu wale serikali zao zimeachilia matrilioni ya fedha kuwezesha hizo lockdown.

Hapa Karantini tu inatusumbua hiyo " standard" lockdown tutaiweza kweli?

Niwatakie Pasaka yenye baraka!

Maendeleo hayana vyama.
Jiwe alituambia sisi ni matajiri
 
Back
Top Bottom