Je, CHADEMA hawaelewi maana ya Lockdown?

Je, CHADEMA hawaelewi maana ya Lockdown?

Ccm wanalalama na lockdown sisi wanainchi tunataka serikali itulishe coz tulishaambiwa sisi sio nchi maskini tena kila mtanzania ana noah kutoka acasia Sasa nashindwa kuelewa mbon ccm wanalia tena wkt wao ndio walisema cc ni matajiri??
 
Mbowe huyu huyu aliyetolewa Segerea kwa michango ya akina mzee Mgaya juzikati?
Huyu huyo ndo ameifanya serikali ya awamu ya tano ichanganyikiwe,wewe tangu uzaliwe umewahi kusikia mtu akiokota kichwa cha treni? Ila awamu hii mtu kaokota kichwa cha trani
 
Mkuu please usifanyie Siasa hili Janga. Usisubiri ndugu zako waondoke ndio ujuwe ili ni janga la dunia.
Huwezi kupata jibu kwa sababu akili zao zimeshikiliwa na mabeberu. Hawa jamaa ni bure kabisa na ni aibu kwenye jamii yetu.

Hivi wanaomba ugonjwa huu uwamalize Watanzania lakini Mungu ni mwema. Sweden hawana lock down na wanaendelea na maisha na raia wake wameaminiwa kufuata kanuni za self hygiene.
We unafikiri wa Swedish Wana zurula ovyo kama sisi/wengine watu wameamua kufata masharti wenyewe siyo mpaka wapelekeshwe
Kukabiliana na corona inatakiwa juhudi binafsi syo kila kitu muwasikie wanasiasa ambao Hao Hao wanatuingiza mkenge

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom