BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 8,496
- 21,533
Ni kweli, CCM haitotoka madarakani, lakini lile genge la mtandao lazima litoke ili CCM ipone.huyo sio mwanajeshi na pia ccm haiwezi toka madarakani leo wala kesho, infact ccm ndo chama kikuu afrika
Amesema atarudi wasipofanya mabadiriko huko Lissu anacheka tuHaitosaidia...
Hili suala limeishia hivyo...
Samia ndio kaondoka hivyo...
Huyu akipuuzwa atatoka mwingine.
upigaji ni hulka ya binadam sio swala la ccm, na sio kitu cha kukufanya wewe ushindwe kuendelea, huezi sema umekua maskini kwa sababu ya upigajiNi kweli, CCM haitotoka madarakani, lakini lile genge la mtandao lazima litoke ili CCM ipone.
View attachment 3483210
Je kweli ni mwanajeshi au kavaat mavazi jeshi
Je ni kweli yupo kikosi cha anga
Je kuna watu wamesoma nae majirani wanaweza kuthibisha kuwa ni mwanajeshi
JWTZ pia watoke watoe tamko nani ni captain tesha
Kachafua hali ya hewa sana leo hapa nchini
Tuzungumzie genge la mtandao.upigaji ni hulka ya binadam sio swala la ccm, na sio kitu cha kukufanya wewe ushindwe kuendelea, huezi sema umekua maskini kwa sababu ya upigaji
I think they didn't see it coming! Lakini chunguza nembo iliyokwenye kofia yake kama unamashaka nayo.Kama mtu amejitambulisha kwa majina na kikosi alichopo wewe unatilia shaka kwa nini?
hilo la mtu flan ana bifu na mtu flan amna anaebariki ila ndo ubinadam ulivo sasaa huezi ona ndan ya mioyoTuzungumzie genge la mtandao.
PumbavuKama ni mwanajeshi huyu atakamatwa na atafungwa huyu.
Just a matter of time.
Chaisiasa ni michezo, usije ukaashangaa sku lissu huyo ccm
Historia ina tabia ya kujirudiaMwandishi: Kwa maana hiyo mpango huo ungefanikiwa je bidhaa hizo zingeonekana?
Rubani: Rais wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi aliiokoa nchi baada ya kuruhusu kila kitu kiingie nchini hata bila ya kutoza kodi. Mwinyi aliituliza nchi. Pia Serikali iligundua kwamba waliokamatwa walitaka mfumo wa vyama vingi vya siasa ili kuishtua CCM ambayo ilikuwa imejisahau na hivyo kuanzishwa kwa vyama vingi jambo ambalo lilitekelezwa baadaye.
watakuwa wamechelewa!Kuonyesha kutikishwa na hii breaking bad, tayari wameshafungia youtube.
Taifa kumbe lipo salama kuliko tulivyodhani, lisingelikuwa salama kama hao nao wangeamua kupiga kimya, yeye mwenyewe kasema,TUMAINI LA MWISHO la wananchi limebakia kwa jeshi tu, that means wanajua kabisa hao polisi, tiss, wameshageuka vikaragosi vya ccm,hence wananchi hawawaamini wala kuwategemea tena, mitano tenaTaifa haliko salama chini ya kibibi na jk wake
Anasema safari hii ni tofauti.Historia ina tabia ya kujirudia
blue bandChai
Kaongea ukweli mtupu.View attachment 3483210
Je kweli ni mwanajeshi au kavaat mavazi jeshi
Je ni kweli yupo kikosi cha anga
Je kuna watu wamesoma nae majirani wanaweza kuthibisha kuwa ni mwanajeshi
JWTZ pia watoke watoe tamko nani ni captain tesha
Kachafua hali ya hewa sana leo hapa nchini
Huna akilihilo la mtu flan ana bifu na mtu flan amna anaebariki ila ndo ubinadam ulivo sasaa huezi ona ndan ya mioyo
huezi tatua kila tatizo, kwa kifupi amna sku utakaa utasemaa sasa sina shida yoyote, make peace with thatHuna akili