Je, Bill Gates ni uzao wa shetani?

Je, Bill Gates ni uzao wa shetani?

Wako wapi moderator jf futa uzi wako huyu mbaguzi .atakuwa la mbaguzi. Binadam mwenzake unamuikaje shetani?. Na nampa onyo akirudia tena .atakutaea mkono sheria ya ubaguzi na udhalilishaji
Wewe kweli hujitambui,hivi ninyi waafrika mmebaguliwa mara ngapi na wazungu? Huna hata aibu unakaza mshipa wa makalio kumtetea bwanyenye wakati kila uchwao wao wanatuita nyani mchana kweupeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kweli hujitambui,hivi ninyi waafrika mmebaguliwa mara ngapi na wazungu?? Huna hata aibu unakaza mshipa wa makalio kumtetea bwanyenye wakati kila uchwao wao wanatuita nyani mchana kweupeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unawajua wazungu ni akina nani.nikupe taarifa .niwatu EAUROPIAN NA USA( Mfana UK,GERMAN, GREECE,MACEDONIA, ITALY,FRANCE, RUSSIA). Hawa ndio wamekuletea wewe DINI NA USTAALABU,NDIO Wamekulete PHYSICS, CHEMISTRY, BIOLOGY,PHILOSOPHY( CCM ,Chadema). Marxism na Adlofu hitrer).unatukama watu waliokuletea dini
 
wataokataa maneno yako ndio ambao makazi yao jahannam na bosi wao lazima wamtetee
 
Kamat kimya waliosambaza dini .ni wazungu.Turkey, Britain,Spain, Italy.. Hata siasa zetu kijamaa.CCM, ACT Wazalendo, NCCR Wanzilishi wazungu tena mjerumani Karl marx (umarxism)

Hata siasa zetu Ki hafidhina, uliberiani, uzalenzo, Kama Chadema, CUF, wazungu kama akina Hitiler na Msolini wa italy. Bible GOD Enlarge or extend Japhet will leave in tent of Shem". Refer USA live in tent of Israel. Refer Turkey in iraq and iran. Russia in tent China.

Anaewapinga Wazungu(japhetic ) ni anapingana bibilia ni anti God. Ni mwana wa kuasi
 
Bill Gates ni mmoja kati ya bloodline ya Rothschilds, the richest family of all time, Illuminati family. Familia iliyochanganya damu yao ya Lucifer na kuwa watoto wake, hicho ndicho kizazi cha nyoka, ukisikia kizazi cha nyoka ndicho hicho pamoja na wengine walikuja, so wanadamu. Na plan yao ni plan ya lucifer, that's why wanamiliki au kuhusika katika kuchangia mashirika makubwa WHO, UN, World Bank na mengine mengi yakiwepo na kijasusi kwa kwa nia ya ku-control the world by controling everything, even humans. Sasa wanakamilisha mpango wa New World Order kama dream ya baba zao. Malaika walihasi mbinguni na kuchafua na kufanya uharibifu katika uumbaji wa Mungu katika kila kitu. Moto, wanyama wa porini, binadamu, ardhi na anga.

Mungu hashindani na lucifer, maana Mungu aliye hai ni Mungu mwenye nguvu na mamlaka makubwa, amewahifadhi hata siku ya hukumu, hizi ni nyakati za mwisho, Mungu amewaruhusu kufanya walichokishindwa kipindi cha Nuhu, kipindi cha Pharaoh na vipindi vingine vyote. Hii pandemic ni majaribio ya hilo litakalo kuja, ndiyo maana analazimisha vaccines to all over the world especially African people. Ili uweze kusafiri na kuajiliwa lazima upate vaccine ili usiambukize wengine. So nini kipo nyuma ya kapeti kuhusu vaccines, hatari sana.

So, kama binadamu lazima utambue adui yako ni nani ili imani yako iwe kubwa na thabiti, bila ya kumjua adui yako huwezi kumkwepa. Tambua anti-Christ anakuja na agenda au mfumo wa dunia unaitwa New World Order, one world religion. Kama anti-Christ anakuja basi tambua yupo christ wa ukweli nae anakuja, ila lazima yote yatimie ndipo ule mwisho uje na mwana wa Adamu (Yesu Kristo) atarudi baada ya anti-Christ kuja kuteka dunia kwa kutumia alama yake ya mnyama (mark of the beast) 666. And why corona ipo calculated na 666? Jiulize hilo, ujue kuna jambo kubwa linakuja na baya zaidi katika sura ya mwanadamu. Kupitia Yesu tutaokolewa, ila ukimwamini kama mwana wa Mungu aliye hai aliyekuja kumwaga damu yake kwa ajili ya wanadamu.

Na shida ni kwamba wanadamu hawakujua thamani ya damu ya Yesu. Ilikuwa na thamani sana na kwasababu haya yalijulikana yatakuja kutokea kwamaana Mungu aliye hai ni mwanzo na mwisho. So Bill Gates he just a agent with a lot of demons inside him au anaweza akawa sio binadamu kabisa kama mimi na wewe, sababu wapo hao viumbe (aliens ) au reptilians human hybrids" kwenye logo nyingi sana za afya duniani utaona nyoka wawili wamezungukana kama DNA, zingine wamezunguka mti wenye mabawa, hayo mabawa ni ya lucifer, na wale nyoka ndicho kizazi chake ambacho kinafanya kazi ya kuendekeza kazi za wazazi wao ambao ni fallen angels. NASA na zingine zote wanamiliki wao kwa ajili ya kujiandaa na kumchunga Yesu atakaporudi ili wafanye vita nae pale mpinga Kristo atakapoingia kwenye scene, ila wataanguka kwa aibu sana.

Kipindi hicho wanadamu tunatakiwa kuwa majasiri sana sana sana na kumwamini Mungu aliye hai aliyetuumba mpaka akamtuma mwanae wa pekee awe mfalme wetu na njia ya kweli kufika kwa baba take ambae ni baba yetu wa kweli, sio baba watakatifu wa duniani au Pope Kiitaliano, au father kwa Kiingereza. Mathayo 23:9" Wala msimwite mtu Baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni. Na kwasababu Mungu alituumba anafahamu kwamba tuna baba mzazi, ambae mungu aliye hai anamtambua na ndiyo maana akasema kupitia Kutoka 20:12. Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na bwana, Mungu wako.

Mungu wetu ana akili sana sana hatuwezi hata kumfananisha, na kwasababu anatupenda alitupa taarifa tupate ufahamu. Tuwe majasiri na tumuombe Mungu hekima yake na atujaze roho mtakatifu tuzidi kuyaona haya na watu wapate kuwatambua maadui wa wanadamu wanasababisha mengi sana, hata kusababisha watu wasimjue Mungu wa kweli, maana hata tangu udogo wetu tulianza kufundishwa kuwa hatukuumbwa ila ilikuwa evolution process. Eti tulikuwa bacteria mpaka, tukawa samaki, mara tukawa mjusi, mara tukawa nyani, mara tukawa binadamu.

Hii yote ni udanganyifu mkubwa unaofanywa na kijazi cha nyoka mmoja wao ni Bill Gates, kwasababu kuna mpuuzi mmoja ambae inawezekana nae akawa si binadamu baada ya kuwakashifu binadamu kuwa ni viumbe weak, hawana akili, hawaishi muda mrefu kama wao. Hapo ndipo utajiuliza kwanini pyramid lipo kwenye dollar ya marekani na wanaitukiza kama ibada ya mungu wao. Na biggest pyramid ipo Africa, ila zipo nyingi sana karibu all over the world, zingine zipo hadi underground katika miji ya zamani iliyofukiwa na gharika katika kipindi cha Nuhu.

Sasa hivi tupo kwenye chekecheo la Mungu, watenda mabaya watazidi kutenda mabaya, watenda mema watazidi kutenda mema, na hata mataifa yote kila mtu anarudi kwao, dunia nayo inajigawa kila siku mataifa yanajitenga, kuna sababu. So tuwe majasiri na kuzidi kusameana kwa kadri tuwezavyo, tupendane kwa kadri tuwezavyo, tuombeane kwa kutumia jina la Yesu, jina tulilopewa kwa kila mwanadamu ili tupate ukombozi na ulinzi zidi ya siku hizi za mwisho. Mengi sana yanakuja na yakutisha sana. Si lazima kukubaliana na mimi, lakini mwenye sikio na asikie na mwenye kuyaona haya hazidi kuyaona ili ajiokoe yeye na kizazi chake chote.

Mungu aliye hai, Mungu aliyetuumba awabariki sana sana sana na awape nguvu ya kushinda, ninyi na familia zenu na ndugu zenu na majirani zenu na marafiki zenu, kwa jina la Yesu Kristo aliye hai. Amen

Sent using jamii forums mobile app
Tuweni makini hizi ni nyakati za mwisho, mtoa mada kaweka hoja ya msingi sana lakini watu ni kama wamepofushwa. Hata biblia inasema mwenye sikio na asikie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamat kimya waliosambaza dini .ni wazungu.Turkey, Britain,Spain, Italy.. Hata siasa zetu kijamaa.CCM, ACT Wazalendo, NCCR Wanzilishi wazungu tena mjerumani Karl marx( umarxism. Hata siasa zetu Ki hafidhina,uliberiani,uzalenzo, Kama Chadema, CUF ,wazungu kama akina Hitiler na Msolini wa italy. Bible GOD Enlarge or extend Japhet will leave in tent of Shem". Refer USA live in tent of Israel. Refer Turkey in iraq and iran. Russia in tent China. Anaewapinga Wazungu(japhetic ) ni anapingana bibilia ni anti God. Ni mwana wa kuasi
Kuleta dini isiwe kigezo cha sisi kushindwa kuwawekea question mark mahali ambapo panaonekana hapajakaa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hivi
IMG-20200503-WA0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini ni vyema ukatambua software ambayo umeitumia kutype hii thread imekuwa invented na nani mpaka hii leo unamtaja yesu kwa jf pia.mimi namuona gates ni msaada mkubwa sana kwa dunia ya sasa sababu hutumia mamilioni ya dola non profit kwa ajili ya kutatua matatizo mbalimbali ambayo huathiri dunia hususani nchi zinazoendelea.

kwa hyo hata kama gates ni shetani ila bado atabaki kuwa mchango wa maendeleo ya kijamii, kiteknolojia na kiuchumi bila kuingiza masuala ya imani
 
Lakini ni vyema ukatambua software ambayo umeitumia kutype hii thread imekuwa invented na nani mpaka hii leo unamtaja yesu kwa jf.pia.mimi namuona gates ni msaada mkubwa sana kwa dunia ya sasa sababu hutumia mamilioni ya dola non profit kwa ajili ya kutatua matatizo mbalimbali ambayo huathiri dunia hususani nchi zinazoendelea.kwa hyo hata kama gates ni shetani ila bado atabaki kuwa mchango wa maendeleo ya kijamii,kiteknolojia na kiuchumi bila kuingiza masuala ya imani
Nikweli anafanya hivyo purposely kabisa ili atimize mipango ya shetani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee huku ukiweka uzi ina bidi ujiandae na hoja za kutosha la sivyo itaonekana kama unahubiri tu maana wahubiri ndo awa ulizwagi maswali
 
Ni kweli,bill gates ni mtu hatari sana,sema watu hawatakuelewa kutokana na humanitarian aids anazozifanya.bill gates mpango wake mkubwa ni kupunguza idadi ya watu duniani,
Yule mzee Bill na Mkewe ni watu hatari sana, wanazo na ofisi za kujadili jinsi ya kupunguza watu, sindano za uzazi wa mpango, au vile vitu wanavyowawekea kina mama mwilini kote huko yupo
Tunamuhitaji Mungu sana
Screenshot_20200509_194909.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masikini akiona mtu kafanikiwa huwona ni mshirikina na mwenye kumuabudu shetan. Ila lazima ukumbuke Mungu alitupa dunia tuitawale nakuitiisha. Who is Yulisifa?

Bill Gate anadam ya wana walio barikiwa Israel hata kama hana dini ila ni uzao ulio barikiwa. Kwaheri.
 
Back
Top Bottom