Je, Bill Gates ni uzao wa shetani?

Je, Bill Gates ni uzao wa shetani?

Ni kweli,bill gates ni mtu hatari sana,sema watu hawatakuelewa kutokana na humanitarian aids anazozifanya.bill gates mpango wake mkubwa ni kupunguza idadi ya watu duniani,
Unaweza kuweka chanzo cha hicho ukisemacho
 
Dahhhh naona kolona ishawavuruga watu. Kama una hata buku kumi anzisha hata mradi wa kufukiza tuu utatoka kama billgate mwenyewe.
 
Mr vaccine
tapatalk_1587586537114.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
poa.ila kuna watu wanamfuananisha shetani na kapiga ramri ka mtaani kwao! kuna levo za wadhifa ukizifikia tu unaanza kupokea orders
 
Ameen, uko sahihi ni muda wa kuwa tayari na kujua mikakati ya shetani na mawakala wake
 
Aisee haupo siriuz unamdhalilisha mtaftaji na mpambanaji wa watu bila kosa,fikra km hzi hazijengi kamwe kwahyo na wasioamn huyo yesu bado kwisha habari yao? Zile imani potofu hasa ndo hizi tatizo utamwona kila mtu mbaya ukimtazama kwa nia mbaya .Kakukosea nini? Hizo siku za mwisho haziji nakuhakikishia mpka utakapo kufa hutaona siku ya mwisho ,kwanini usijiulize yesu alikufa lni na mpaka leo hajarud wakt alowaacha aliwaambia hakawiii !! Nawasi wasi kipigo alichokipata siyo cha kitoto hahaa
2 petro 3:9
Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wanavyodhani anakawia, bali huwavumilia, maana hapendi mtu yeyote apotee, bali wote wafikie toba.
 
Sasa si tumfanye nini? kama unawashawishi NECTA waweke essay kwny mtihani wa CSEE..........umefeliii
 
Modelator kwa tenda hati futa uzi wa kibaguzi, akamatwe udhalilisha. Binadum mwenzako hawezi kuwa shetani
 
Wako wapi moderator jf futa uzi wako huyu mbaguzi .atakuwa la mbaguzi. Binadam mwenzake unamuikaje shetani?. Na nampa onyo akirudia tena .atakutaea mkono sheria ya ubaguzi na udhalilishaji
 
Toka nyie ndio miafrika mnatusababishia wote tuonekane atuna akili mbona ujamtaja alibaba kwa sababu mchina na bill gates mzungu acha wivu wakijinga mshamba wewe alafu ulivyokuwa kiazi unasema eti yesu mwana wa mungu
Kwahiyo kilichokuudhi wewe hapo ni kusema YESU ni mwana wa Mungu pole sana mrembo wangu ukweli utabaki kuwa hivyo YESU Kristo ni mwana wa Mungu aliyehai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom