Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Na uniambie huyo Ibn Abbas huo ufafanuzi aliupata wapi? Unadhani kama Marko na Luka wanavyojiandikia.
Nimeshaona haupo makini hata kidogo, nilikwambia kamsome Ibn Abbas jana , kama ungemsoma leo usinge kuja na swali la kitoto, hakuna mada ya marko wala luka hapo acha kupindisha

Nimeshamaliza kazi yangu usirudie tena kudanganya mbele yangu
YHN 8:44 BHN Nyinyi ni watoto wa baba yenu Ibilisi na mnataka tu kutekeleza tamaa za baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo; hana msimamo katika ukweli, kwani ukweli haumo ndani yake.........
 
Nimeshaona haupo makini hata kidogo, nilikwambia kamsome Ibn Abbas jana , kama ungemsoma leo usinge kuja na swali la kitoto, hakuna mada ya marko wala luka hapo acha kupindisha

Nimeshamaliza kazi yangu usirudie tena kudanganya mbele yangu
YHN 8:44 BHN Nyinyi ni watoto wa baba yenu Ibilisi na mnataka tu kutekeleza tamaa za baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo; hana msimamo katika ukweli, kwani ukweli haumo ndani yake.........
Kitabu gani hicho cha Ibn Abbas? Mbona hauzungumzii Ibn Deacon?
 
Nimeshaona haupo makini hata kidogo, nilikwambia kamsome Ibn Abbas jana , kama ungemsoma leo usinge kuja na swali la kitoto, hakuna mada ya marko wala luka hapo acha kupindisha

Nimeshamaliza kazi yangu usirudie tena kudanganya mbele yangu
YHN 8:44 BHN Nyinyi ni watoto wa baba yenu Ibilisi na mnataka tu kutekeleza tamaa za baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo; hana msimamo katika ukweli, kwani ukweli haumo ndani yake.........
Hakuna kitu unachokizungumza cha maana kijana cha kujibiwa. Eti tafsiri ya Ibn Abbas. Umeletewa tafsiri unasema "translation". Kama sio bangi ni nini? Unipe tofauti ya "translation" na tafsiri hapa.
 
Hakuna kitu unachokizungumza cha maana kijana cha kujibiwa. Eti tafsiri ya Ibn Abbas. Umeletewa tafsiri unasema "translation". Kama sio bangi ni nini? Unipe tofauti ya "translation" na tafsiri hapa.
🤣🤣🤣 Ngoja nisikuache gizani maana naona kwenye dini yako ni mtupu sana, kama shin ilikushinda hili pia ni kubwa kwako
Tafsir -attempts to provide elucidation, explanation, interpretation, context or commentary for clear understanding
Translation
- is the communication of the meaning of a source-language text by means of an equivalent target-language text

Nipo nitaendelea kukufunza kijana usibaki gizani
 
🤣🤣🤣 Ngoja nisikuache gizani maana naona kwenye dini yako ni mtupu sana, kama shin ilikushinda hili pia ni kubwa kwako
Tafsir -attempts to provide elucidation, explanation, interpretation, context or commentary for clear understanding
Translation
- is the communication of the meaning of a source-language text by means of an equivalent target-language text

Nipo nitaendelea kukufunza kijana usibaki gizani
Tafsiri ni neno la kingereza kumbe? Wagalatia mna shida sana. Utaelewa tu kidogo kidogo. Mi ni daktari wa wasioelewa kama nyinyi. Mwisho utatuwekea tafsiri ya Ibn King James. Msiba mzito huu. Unajifanya unajua kumbe mweupe kichwani.
 
🤣🤣🤣 Ngoja nisikuache gizani maana naona kwenye dini yako ni mtupu sana, kama shin ilikushinda hili pia ni kubwa kwako
Tafsir -attempts to provide elucidation, explanation, interpretation, context or commentary for clear understanding
Translation
- is the communication of the meaning of a source-language text by means of an equivalent target-language text

Nipo nitaendelea kukufunza kijana usibaki gizani
Na uniambie hilo 'tafsir' dictionary gani ya kingereza na kiswahili chake ni nini? Hakuna kupuuzia uongo na pumba hapa tunaenda Sawa.
 
Tafsiri ni neno la kingereza kumbe? Wagalatia mna shida sana. Utaelewa tu kidogo kidogo. Mi ni daktari wa wasioelewa kama nyinyi. Mwisho utatuwekea tafsiri ya Ibn King James. Msiba mzito huu. Unajifanya unajua kumbe mweupe kichwani.
Usirudie tena , kazi imeisha
 
Na uniambie hilo 'tafsir' dictionary gani ya kingereza na kiswahili chake ni nini? Hakuna kupuuzia uongo na pumba hapa tunaenda Sawa.
NImeshamaliza kazi yangu , wewe baki na maumivu makali , 🤣 🤣 🤣
nimesha kufundisha vya kutosha vingine nenda madrasa , elimu ya bure niliyokupa inakutosha
 
Sawa mfuasi wa King James tafsiri na Ibn Abbas tafsiri tumekupata.
Ivi unakuwaje muislamu Alafu hujui kutofautisha Tafsir na Translation ulikuwa unasomea nini huku madrasa? angekuwa ambae sie muislamu ningemuelewa
 
NImeshamaliza kazi yangu , wewe baki na maumivu makali , 🤣 🤣 🤣
nimesha kufundisha vya kutosha vingine nenda madrasa , elimu ya bure niliyokupa inakutosha
Unajitekenya unacheka. Wagalatia mna shida sana. Kajifunze King James Version na New International Version kwanza ndiyo uje kuelewa.
Biblia kijitabu kidogo umeshindwa kuelewa na video mmetengenezewa. Itakuwa kwenye elimu rijali
 
Nimeshamaliza , nenda madrasa i dont have time for kids
Usirudie tena kuongea pumba na kuzusha vitu. Ukija kihoja zenye mashiko na kuonyeshwa source uzikubali. Usilazimishe source unazozitaka wewe za kikafiri.
 
Usirudie tena kuongea pumba na kuzusha vitu. Ukija kihoja zenye mashiko na kuonyeshwa source uzikubali. Usilazimishe source unazozitaka wewe za kikafiri.
Nimekupa ushauri wa bure kabisa nenda madrasa , muombe mwalimu wako akufundishe Tafsir ni nini na Translation ni nini na pia shin ni nini , ukishajua hapo ndio urudi tuendelee na mjadala
 
Nimekupa ushauri wa bure kabisa nenda madrasa , muombe mwalimu wako akufundishe Tafsir ni nini na Translation ni nini na pia shin ni nini , ukishajua hapo ndio urudi tuendelee na mjadala
We biblia ya tafsir ya king James umejifunza kwanza. Au hadi usomewe na anayekusamehe dhambi.
 
Back
Top Bottom