medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,446
- 1,533
Sijasema kitu kama hicho, anaelibusu jiwe limsamehe dhambi ni wewe
Mapambo. Kwani kila sanamu lililochongwa linaabudiwa? Mbona hamuendi kulilia pale la posta?Rudia kusoma swali na ujibu ,
Allah alituma majini kwa Suleiman wake yakamjengea masanamu, zilikuwa za kazi gani hizi sanamu?
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........