medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,446
- 1,533
Tatizo linaanzia hapo. Kumbe unafuata mashia wamekulisha matango pori.Gusa link hapa
![]()
Tatizo linaanzia hapo. Kumbe unafuata mashia wamekulisha matango pori.Gusa link hapa
![]()
tena ya kichina hayo matangoTatizo linaanzia hapo. Kumbe unafuata mashia wamekulisha matango pori.
Ndiyo maana vitu vingi unaingia chaka.Gusa link hapa
![]()
me mwenyewe namuangaliiiiiga afu nasonya kama jvi mxiuuuuuuiuiNdiyo maana vitu vingi unaingia chaka.
Nimekucheka Sana ,unajua sunni ni asilimia ngapi Jordan , na unamjua vizuri Ibn Abbas , nenda kasome kwanza tukutane keshoNdiyo maana vitu vingi unaingia chaka.
Weka uthibitisho wa ukweli ukiona kinachowekwa ni uongo ,mbona ni simple saname mwenyewe namuangaliiiiiga afu nasonya kama jvi mxiuuuuuuiui
mkuu nikasome wap sasa.nilete mresho keshoo na meNimekucheka Sana ,unajua sunni ni asilimia ngapi Jordan , na unamjua vizuri Ibn Abbas , nenda kasome kwanza tukutane kesho
Yaani ulivyokuwa kilaza unaanza kubisha. Hata wakiwa 100 haibadilishi kuwa hiyo website ya mashia.Nimekucheka Sana ,unajua sunni ni asilimia ngapi Jordan , na unamjua vizuri Ibn Abbas , nenda kasome kwanza tukutane kesho
Huwa nacheka Sana mnapo toa takwimu duniani mnahesabu wote mkibanwa mnasema washia sio waislamu sio mada ya leo , nimekupa kazi kasome kwanzaYaani ulivyokuwa kilaza unaanza kubisha. Hata wakiwa 100 haibadilishi kuwa hiyo website ya mashia.
Akili yako haina akili[emoji23][emoji23][emoji13]
Unafikiri shetani ni object hadi mmefikia kiwango cha juu cha ujinga kununua mawe kwa dola mkiwa nusu uchi na kumpopoa mawe shetani huku mkifa mnaamini shetani kawazidi ujanja[emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]
Shetani ni Spirit Ambayo kila siku Ina Kubeba na ww gavana anakushinda kila siku, ndio sababu unaiba, unazini, unasema uongo...na mambo kama hayo!View attachment 1853579View attachment 1853581
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Mtumwa huwa anambeba Bwana wake kwenye Machela.
Shetani ni mmoja wapo katika Watumwa wa Mungu.
Ingekuwa Ajabu Yesu angembeba Shetani.
Sasa Bosi Gavana,
Turudi kwenye swali langu la msingi sasa.
Huko Msikitini, ushabahatika kukutana na ndugu zako wa
Kijini ?
Ambao ukiingia Msikitini lazima uwasalimie kulia na kushoto hata kama hakuna mtu.
Rudia kusoma swali na ujibu ,
Allah alituma majini kwa Suleiman wake yakamjengea masanamu, zilikuwa za kazi gani hizi sanamu?
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Huwa nacheka Sana mnapo toa takwimu duniani mnahesabu wote mkibanwa mnasema washia sio waislamu sio mada ya leo , nimekupa kazi kasome kwanza
Mi sijui hilo ni Jengo gani rafiki yangu Gavana,
Nasubiria uthibitisho wako , nimekupa tafsir Ibn Abbas na wewe ukasema ni uongo nasubiria uweke ya kweli hapaYaani ulivyokuwa kilaza unaanza kubisha. Hata wakiwa 100 haibadilishi kuwa hiyo website ya mashia.
Nenda kasome legacy.quran.com kama unataka tafsiri. Kama unataka kuleta bangi Sawa. Eti Ibn Abbas! Kwa hiyo ndiyo mwalimu wako huyo kwenye hiyo website. Nadhani nimemaliza.Nasubiria uthibitisho wako , nimekupa tafsir Ibn Abbas na wewe ukasema ni uongo nasubiria uweke ya kweli hapa
Nenda kasome legacy.quran.com kama unataka tafsiri. Kama unataka kuleta bangi Sawa. Eti Ibn Abbas! Kwa hiyo ndiyo mwalimu wako huyo kwenye hiyo website. Nadhani nimemaliza.Nasubiria uthibitisho wako , nimekupa tafsir Ibn Abbas na wewe ukasema ni uongo nasubiria uweke ya kweli hapa
Nimeingia hakuna tafsir yoyote ni translation tu, nataka maelezo ya aya , kijana tunapo debate naomba uwe makini sana aya za koran ili uzielewe unaitaji kusoma scholar wanasemaje kuhusu aya husika ,Nenda kasome legacy.quran.com kama unataka tafsiri. Kama unataka kuleta bangi Sawa. Eti Ibn Abbas! Kwa hiyo ndiyo mwalimu wako huyo kwenye hiyo website. Nadhani nimemaliza.
Debate unaongea pumba. Mfuate huyo Ibn Abbas wako ukanywe naye chai kama unampenda. Unaleta either ufafanuzi wa hadith. Kama umeshindwa kameze matango pori ya King JamesNimeingia hakuna tafsir yoyote ni translation tu, nataka maelezo ya aya , kijana tunapo debate naomba uwe makini sana aya za koran ili uzielewe unaitaji kusoma scholar wanasemaje kuhusu aya husika ,
Ibn Abbas anasema (na kamsome ibn abbas ujue ni nani maana naona unaleta utoto mbele yake)
Abbas - Tanwîr al-Miqbâs min Tafsîr Ibn ‘Abbâs (They made for him what he willed: synagogues and statues) of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
Kama utaendelea na utoto nasitisha debate na wewe rasmi
Na uniambie huyo Ibn Abbas huo ufafanuzi aliupata wapi? Unadhani kama Marko na Luka wanavyojiandikia.Nimeingia hakuna tafsir yoyote ni translation tu, nataka maelezo ya aya , kijana tunapo debate naomba uwe makini sana aya za koran ili uzielewe unaitaji kusoma scholar wanasemaje kuhusu aya husika ,
Ibn Abbas anasema (na kamsome ibn abbas ujue ni nani maana naona unaleta utoto mbele yake)
Abbas - Tanwîr al-Miqbâs min Tafsîr Ibn ‘Abbâs (They made for him what he willed: synagogues and statues) of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
Kama utaendelea na utoto nasitisha debate na wewe rasmi