Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Huyo ndiyo mnamuabudu makafiri hadi mmeweka picha. Umenunua picha ya Brian Deacon?
Huyo ndie allah??[emoji23][emoji23][emoji23]
aliesema eti yeye na sisi mungu wetu ni mmoja kumbe ni huyo[emoji23][emoji23]
[emoji116][emoji116]
وَإِلَـٰهُكُمْ إِلَـٰهٌ وَاحِدٌ ۖ لَّا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ الرَّحْمَـٰنُ الرَّحِيمُ

[ AL - BAQARA - 163 ]
Na Mungu wenu ni Mungu mmoja tu, hapana mungu ila Yeye. Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Evolution of bible.....biblia imepitiwa na mikono mingi tangu toka ile ya asir mpka ya sasa,,kuna mabadirko meng yaliyofanywa na hao walioandika vitabu vya biblia kwa nia zao wao,,,ktk biblia wanaandika kwa msisitizo kuwa huruhusiw kuongeza wala kupunguza neno lolote, lkn wao wamefanya hivyo je kwa amri ya nan??
....biblia imepita mpka kw wapagan na waliokuwa na tabia chafu kama KING JEMS uyo aliewaundia version yake, uyu king jems alikuwa muabudu shetan, pia aliandika nakala ya the Book of demonology, ambacho kinauhusu ushetan, huyu alkuwa mpagan pure, lkn ndie alileta version yake na wakristo wanatumia bila kuhoji,ukiwahoji wanaanza ulalamishi ooh Mungu achunguzwi..upuuzi huu,,nakala za vitabu vitakatifu zilikuwa zaid ya80 lakn jiulize jee hizo nyingine ziko wapii??, alafu kwann aandaw uyo mpagan na sio askof ama mchungaj ama kiongoz wa dini?? ni sawa na kusema leo awaundie version mpya mganga ama mchaw je mtamuamin?? sasa huyo mzungu mnamuaminije??
...makosa ya biblia
ina eleza uongo kuhusiana na majina haris ya mitume na manabii
..uongo kuhusu historia ya kristo
..uongo kuhusiana na uhusika wa kristo
..uongo wa jna harisi la kristo kwa kumpa jina la yesu(jesus) ambalo chimbuko lake ni kutoka ktk pepo lijulkanalo kama zeus,yezus,azazel,son of satan kwa hiar yao wakabadr jina ili shetan aabudiwe
..uongo kuhisiana na utumwa wa waisrael uko misri
..uongo kuhusu kuvuka bahar ya shamu
..uongo kuhusian na amri10,zilikuwepo zaid ya10 na zilikuwepo tangu enzi za adamu ndiomaana nao walizjua dhambi ni zipi na zipi
...uongo kuhusiana na chanzo cha rangi za wanadamu, hazijaanzia kwa nuhu
..uongo kuhusiana na taifa la israel
..uongo kuhusiana na siku za mwisho
...uongo kumuhusu Mungu na ufalme wake
...uongo ni mwingi sana kwa mtu alie na mihemko ya dini na hisia za kipumbav hawez kuyaona haya mambo sabbu ya vifungo vya akili, mambo haya wanayoongoza kupotosha n wanadini wote pamoja na wachungaj wote,,,Kizaz hiki hakuna nabii wala mtume wala mtu mwenye Roho mtakatifu HAKUNA.
FB_IMG_16223947182789282.jpg
 
Humjui ndiyo ukamwandika[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Naskia mkiingia Msikitini, mnasalimia kushoto kwako ambapo linasimama Jini.
Na pia mnasalimia kulia kwako ambapo anasimama Malaika

Naskia pia Majini mengine yakiingia msikistini kuswali, yanajigeuza Binadamu.
Mengine hayajigeuzi na hayaonekani.
Vipi kwa uzoefu wako ushakutana na Jini Muislamu Msikitini. ?
 
Evolution of bible.....biblia imepitiwa na mikono mingi tangu toka ile ya asir mpka ya sasa,,kuna mabadirko meng yaliyofanywa na hao walioandika vitabu vya biblia kwa nia zao wao,,,ktk biblia wanaandika kwa msisitizo kuwa huruhusiw kuongeza wala kupunguza neno lolote, lkn wao wamefanya hivyo je kwa amri ya nan??
....biblia imepita mpka kw wapagan na waliokuwa na tabia chafu kama KING JEMS uyo aliewaundia version yake, uyu king jems alikuwa muabudu shetan, pia aliandika nakala ya the Book of demonology, ambacho kinauhusu ushetan, huyu alkuwa mpagan pure, lkn ndie alileta version yake na wakristo wanatumia bila kuhoji,ukiwahoji wanaanza ulalamishi ooh Mungu achunguzwi..upuuzi huu,,nakala za vitabu vitakatifu zilikuwa zaid ya80 lakn jiulize jee hizo nyingine ziko wapii??, alafu kwann aandaw uyo mpagan na sio askof ama mchungaj ama kiongoz wa dini?? ni sawa na kusema leo awaundie version mpya mganga ama mchaw je mtamuamin?? sasa huyo mzungu mnamuaminije??
...makosa ya biblia
ina eleza uongo kuhusiana na majina haris ya mitume na manabii
..uongo kuhusu historia ya kristo
..uongo kuhusiana na uhusika wa kristo
..uongo wa jna harisi la kristo kwa kumpa jina la yesu(jesus) ambalo chimbuko lake ni kutoka ktk pepo lijulkanalo kama zeus,yezus,azazel,son of satan kwa hiar yao wakabadr jina ili shetan aabudiwe
..uongo kuhisiana na utumwa wa waisrael uko misri
..uongo kuhusu kuvuka bahar ya shamu
..uongo kuhusian na amri10,zilikuwepo zaid ya10 na zilikuwepo tangu enzi za adamu ndiomaana nao walizjua dhambi ni zipi na zipi
...uongo kuhusiana na chanzo cha rangi za wanadamu, hazijaanzia kwa nuhu
..uongo kuhusiana na taifa la israel
..uongo kuhusiana na siku za mwisho
...uongo kumuhusu Mungu na ufalme wake
...uongo ni mwingi sana kwa mtu alie na mihemko ya dini na hisia za kipumbav hawez kuyaona haya mambo sabbu ya vifungo vya akili, mambo haya wanayoongoza kupotosha n wanadini wote pamoja na wachungaj wote,,,Kizaz hiki hakuna nabii wala mtume wala mtu mwenye Roho mtakatifu HAKUNA.View attachment 1852233
Biblia ziko nyingi sana kupita hizo ulizozitaja hapo juu.
Kila jamii ina Biblia zake, hadi Shetani ana Biblia inaitwa Satanic Bible.
Kuna Freemasonic Bible, Bible of The Mormons, Ruciferian Bible, Rastafarian Bible
Nk.
We ni uamuzi wako tu unataka kusoma Bible ipi.
Au usisome Bible kabisa, pilipili usiyoila yakuwashiani ?

Bible ndio kitabu kinachosomwa zaidi Duniani, na kipo cha kila aina.

Hivyo punguza jazba na uwe mpole tu.
Ukitulia ukae chini ujiulize,
Ni kwanini Biblia zipo za kila aina, na sio kitabu kingine ?

Hata hii Mada imejengwa kupata jibu la huo wasiwasi wako.

Ukipata jibu sahihi akili itakuwa imekurudia.
 
Naskia mkiingia Msikitini, mnasalimia kushoto kwako ambapo linasimama Jini.
Na pia mnasalimia kulia kwako ambapo anasimama Malaika

Naskia pia Majini mengine yakiingia msikistini kuswali, yanajigeuza Binadamu.
Mengine hayajigeuzi na hayaonekani.
Vipi kwa uzoefu wako ushakutana na Jini Muislamu Msikitini. ?

Ndiye Issa wako huyo ?
 
Naskia mkiingia Msikitini, mnasalimia kushoto kwako ambapo linasimama Jini.
Na pia mnasalimia kulia kwako ambapo anasimama Malaika

Naskia pia Majini mengine yakiingia msikistini kuswali, yanajigeuza Binadamu.
Mengine hayajigeuzi na hayaonekani.
Vipi kwa uzoefu wako ushakutana na Jini Muislamu Msikitini. ?


Ni jini hili lilombeba huyo umuitaye mungu ?? na anaenda kumwonyesha mji ??


1626258115024.png
 
Biblia ziko nyingi sana kupita hizo ulizozitaja hapo juu.
Kila jamii ina Biblia zake, hadi Shetani ana Biblia inaitwa Satanic Bible.
Kuna Freemasonic Bible, Bible of The Mormons, Ruciferian Bible, Rastafarian Bible
Nk.
We ni uamuzi wako tu unataka kusoma Bible ipi.
Au usisome Bible kabisa, pilipili usiyoila yakuwashiani ?

Bible ndio kitabu kinachosomwa zaidi Duniani, na kipo cha kila aina.

Hivyo punguza jazba na uwe mpole tu.
Ukitulia ukae chini ujiulize,
Ni kwanini Biblia zipo za kila aina, na sio kitabu kingine ?

Hata hii Mada imejengwa kupata jibu la huo wasiwasi wako.

Ukipata jibu sahihi akili itakuwa imekurudia.

1626258640092.png
 
Ni jini hili lilombeba huyo umuitaye mungu ?? na anaenda kumwonyesha mji ??


View attachment 1852807
Kumbe Shetani ni Jini ?
Nilikuwa sifahamu.

Kwahiyo Muhammadi alimsilimisha Shetani Ibirisi na sasa ni Muislamu.

Ndo nakuuliza Gavana,
Jini au Shetani au Ibirisi kama ulivyosema kwa sasa ni Waislamu wenzenu na wanashika nguzo zote za Dini.

Na wanaswali Msikitini pamoja na Waislamu wenzao yaani ndugu zao wa Kibinadamu. ( Muhammadi kaagiza ndugu wa Mwislamu ni Muislamu mwenzake)

Sasa hao ndugu zenu wa Kijini hivi mnaonana nao Msikitini wakati wa Swala ?

Ukiingi Msikitini hata uwe peke yako lazima,
[emoji117]Usalimie kushoto na kulia kwa maelekezo ya kuwasalimia ndugu wa Kijini.

Swali jepesi tu, si kuna Majini Maislamu.

Je Gavana kama Gavana, ushabahatika kumwona ndugu yako wa Kijini Msikitini wakati wa Swala ?
 
Kumbe Shetani ni Jini ?
Nilikuwa sifahamu.

Kwahiyo Muhammadi alimsilimisha Shetani Ibirisi na sasa ni Muislamu.

Ndo nakuuliza Gavana,
Jini au Shetani au Ibirisi kama ulivyosema kwa sasa ni Waislamu wenzenu na wanashika nguzo zote za Dini.

Na wanaswali Msikitini pamoja na Waislamu wenzao yaani ndugu zao wa Kibinadamu. ( Muhammadi kaagiza ndugu wa Mwislamu ni Muislamu mwenzake)

Sasa hao ndugu zenu wa Kijini hivi mnaonana nao Msikitini wakati wa Swala ?

Ukiingi Msikitini hata uwe peke yako lazima,
[emoji117]Usalimie kushoto na kulia kwa maelekezo ya kuwasalimia ndugu wa Kijini.

Swali jepesi tu, si kuna Majini Maislamu.

Je Gavana kama Gavana, ushabahatika kumwona ndugu yako wa Kijini Msikitini wakati wa Swala ?

Kwani Yesu alibebwa Na nani akaonyeshwa mji? Mungu anabebwa Na shetani ? Hivi Mungu anakuwa haijui miji ? Na ni masikini?
 
Kwani Yesu alibebwa Na nani akaonyeshwa mji? Mungu anabebwa Na shetani ? Hivi Mungu anakuwa haijui miji ? Na ni masikini?
Mtumwa huwa anambeba Bwana wake kwenye Machela.
Shetani ni mmoja wapo katika Watumwa wa Mungu.

Ingekuwa Ajabu Yesu angembeba Shetani.

Sasa Bosi Gavana,

Turudi kwenye swali langu la msingi sasa.

Huko Msikitini, ushabahatika kukutana na ndugu zako wa
Kijini ?
Ambao ukiingia Msikitini lazima uwasalimie kulia na kushoto hata kama hakuna mtu.
 
Shape nimekuwambia muundo sio physical form kijana mbona bangi. Wewe kafiri kipindi hiko utakuwa ushafuata sanamu lako.
Bado nakudai majibu ya maswali yangu, Allah sio physical na wala sio roho na wala sio soul , Allah nature yake ikoje , alafu jibu na maswali ya mwanzo.


Ila scholar wengi wanasema Allah ni physical kwa scholar wewe unakataa
 
Kwani Yesu alibebwa Na nani akaonyeshwa mji? Mungu anabebwa Na shetani ? Hivi Mungu anakuwa haijui miji ? Na ni masikini?
Kuna ndugu Yako muislamu wa kibinadamu kakimbia hili swali embu msaidie
Allah alituma majini kwa Suleiman wake yakamjengea masanamu, zilikuwa za kazi gani hizi sanamu?

Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
 
Ni jini hili lilombeba huyo umuitaye mungu ?? na anaenda kumwonyesha mji ??


View attachment 1852807
Akili yako haina akili[emoji23][emoji23][emoji13]
Unafikiri shetani ni object hadi mmefikia kiwango cha juu cha ujinga kununua mawe kwa dola mkiwa nusu uchi na kumpopoa mawe shetani huku mkifa mnaamini shetani kawazidi ujanja[emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]
Shetani ni Spirit Ambayo kila siku Ina Kubeba na ww gavana anakushinda kila siku, ndio sababu unaiba, unazini, unasema uongo...na mambo kama hayo!
IMG_20210703_172824.jpg
NEWS_150929702_AR_0_RAFNWZIPIEVO.jpg


Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Bado nakudai majibu ya maswali yangu, Allah sio physical na wala sio roho na wala sio soul , Allah nature yake ikoje , alafu jibu na maswali ya mwanzo.


Ila scholar wengi wanasema Allah ni physical kwa scholar wewe unakataa
Weka hao scholar waliosema hayo majibu. Hiyo haikuwa "revealed". Mwenyezi Mungu ameshasema hakuna anayefanana naye Qur'an. Weka akilini Mwenyezi Mungu sio kama unavyodhani kwa akili za kibinadamu.
Hayo ni mambo ya ghaibu kijana. Roho umeshawahi kuiona kwanza? Kwa kifupi, hakuna aliyeshuhudia Mwenyezi Mungu anafananaje kama ilivyo roho kijana.
 
Kuna ndugu Yako muislamu wa kibinadamu kakimbia hili swali embu msaidie
Allah alituma majini kwa Suleiman wake yakamjengea masanamu, zilikuwa za kazi gani hizi sanamu?

Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Kwamba walikuwa wanaabudu masanamu kwa kulilia wasamehewe dhambi zao?
 
Kuna ndugu Yako muislamu wa kibinadamu kakimbia hili swali embu msaidie
Allah alituma majini kwa Suleiman wake yakamjengea masanamu, zilikuwa za kazi gani hizi sanamu?

Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
images (31).jpeg
 
Bado nakudai majibu ya maswali yangu, Allah sio physical na wala sio roho na wala sio soul , Allah nature yake ikoje , alafu jibu na maswali ya mwanzo.


Ila scholar wengi wanasema Allah ni physical kwa scholar wewe unakataa
Nikuulize unamuabudu Yesu? Nijue kwanza tatizo linaanzia wapi.
 
Kwamba walikuwa wanaabudu masanamu kwa kulilia wasamehewe dhambi zao?
Rudia kusoma swali na ujibu ,

Allah alituma majini kwa Suleiman wake yakamjengea masanamu, zilikuwa za kazi gani hizi sanamu?

Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
 
Back
Top Bottom