Evolution of bible.....biblia imepitiwa na mikono mingi tangu toka ile ya asir mpka ya sasa,,kuna mabadirko meng yaliyofanywa na hao walioandika vitabu vya biblia kwa nia zao wao,,,ktk biblia wanaandika kwa msisitizo kuwa huruhusiw kuongeza wala kupunguza neno lolote, lkn wao wamefanya hivyo je kwa amri ya nan??
....biblia imepita mpka kw wapagan na waliokuwa na tabia chafu kama KING JEMS uyo aliewaundia version yake, uyu king jems alikuwa muabudu shetan, pia aliandika nakala ya the Book of demonology, ambacho kinauhusu ushetan, huyu alkuwa mpagan pure, lkn ndie alileta version yake na wakristo wanatumia bila kuhoji,ukiwahoji wanaanza ulalamishi ooh Mungu achunguzwi..upuuzi huu,,nakala za vitabu vitakatifu zilikuwa zaid ya80 lakn jiulize jee hizo nyingine ziko wapii??, alafu kwann aandaw uyo mpagan na sio askof ama mchungaj ama kiongoz wa dini?? ni sawa na kusema leo awaundie version mpya mganga ama mchaw je mtamuamin?? sasa huyo mzungu mnamuaminije??
...makosa ya biblia
ina eleza uongo kuhusiana na majina haris ya mitume na manabii
..uongo kuhusu historia ya kristo
..uongo kuhusiana na uhusika wa kristo
..uongo wa jna harisi la kristo kwa kumpa jina la yesu(jesus) ambalo chimbuko lake ni kutoka ktk pepo lijulkanalo kama zeus,yezus,azazel,son of satan kwa hiar yao wakabadr jina ili shetan aabudiwe
..uongo kuhisiana na utumwa wa waisrael uko misri
..uongo kuhusu kuvuka bahar ya shamu
..uongo kuhusian na amri10,zilikuwepo zaid ya10 na zilikuwepo tangu enzi za adamu ndiomaana nao walizjua dhambi ni zipi na zipi
...uongo kuhusiana na chanzo cha rangi za wanadamu, hazijaanzia kwa nuhu
..uongo kuhusiana na taifa la israel
..uongo kuhusiana na siku za mwisho
...uongo kumuhusu Mungu na ufalme wake
...uongo ni mwingi sana kwa mtu alie na mihemko ya dini na hisia za kipumbav hawez kuyaona haya mambo sabbu ya vifungo vya akili, mambo haya wanayoongoza kupotosha n wanadini wote pamoja na wachungaj wote,,,Kizaz hiki hakuna nabii wala mtume wala mtu mwenye Roho mtakatifu HAKUNA.
View attachment 1852233