Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Haya mafunuo aliyo watupia muham mad toka adui wa jibril na kuwatupia na kulazazimishwa kukariri kwa bakora za makalio imewapakua ubongo wenu woote na kuwa misukule [emoji15][emoji2301]
[emoji1370][emoji1370]
لَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ 97
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Kama unabisha hufuati ilimu ya ADUI WA JIBRIL Tuwekee Andiko humu muham mad Alipo pewa utume kama alivyo pewa Musa
[emoji1370][emoji1370]
فَلَمَّا أَتَاهَا نُودِيَ يَا مُوسَىٰ ( 11 )
Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!

إِنِّي أَنَا رَبُّكَ فَاخْلَعْ نَعْلَيْكَ ۖ إِنَّكَ بِالْوَادِ الْمُقَدَّسِ طُوًى ( 12 )
Hakika Mimi ndiye Mola wako Mlezi! Basi vua viatu vyako. Kwani upo katika bonde takatifu la T'uwa.

وَأَنَا اخْتَرْتُكَ فَاسْتَمِعْ لِمَا يُوحَىٰ ( 13 )
Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.

Kama alivyo hukumia mola wako ww ni finnar jehannam halidina fiha Abadan [emoji24][emoji2956][emoji2956]
[emoji1370][emoji1370]
وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا ( 71 )
Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

Weka Ushahidi muham mad Allah amemtuma[emoji101]
Wewe bibilia yako unayoiona ya kweli ni Queen James Version aka Gay bible
 
48:2 That Allah may forgive thee of thy sin that which is past and that which is to come.....

Leseni ya kufanya dhambi hiyo hapo ya Muhammad only Allah amaesha msamehe dhambi zilizopita na atakazofanya

Na Aya zingine alikuwa Muhammad akifanya dhambi Allah anashusha Aya haraka kumruhusu,

Aya hii ilishushwa na Allah haraka baada ya Muhammad kukamatwa anambaka maria kwenye nyumba ya mke wake anaitwa Hafsa ,ila chimbuko la aya lilitoka kwa Umar ndio alitamka maneno Perhaps his lord Yani akimaanisha Mungu wake Muhammad anaweza kumpa wake wengine akiwapa talaka nyie, Muhammad akacopy haraka maneno ya Umar akatengeneza Koran chap ila akasahau kwamba kama ni maneno ya Allah hatakiwi kutumia maneno kama perhaps (labda) maana Allah was supposed to be God na hatakiwi kutumia maneno ya kubaatisha

66:5 Perhaps his Lord, if he divorced you [all], would substitute for him wives better than you ....

Ndio biblia yako ya Queen James Version ilivyoandika??
 
HAKUNA kitabu cha dini kilichoandikwa na Mungu, vyote vimetungwa na binadam na kuvutia jamii iliyomzunguka.
(Katika Biblia,
Amri Kumi za Mungu, katika Torati, ziliandikwa na Mungu Mwenyewe.)

Kutoka 24:12
Bwana akamwambia Musa, Njoo huku juu kwangu mlimani, uwe huku; nami nitakupa mbao za mawe na ile sheria na hiyo amri niliyoiandika ili uwafundishe.

(Mafundisho mengine yaliandikwa na Manabii kwa kuelekezwa na Mungu Mwenyewe.)

Kutoka 34:27
Bwana akamwambia Musa, Andika maneno haya; kwa kuwa mimi nimefanya agano nawe, na pamoja na Israeli, kwa mujibu wa maneno haya.

Kutoka 24:4
Basi Musa akayaandika maneno yote ya Bwana, akaondoka asubuhi na mapema, akajenga madhabahu chini ya mlima, na nguzo kumi na mbili, kwa hesabu ya kabila kumi na mbili za Israeli.

(Vitabu vya Dini nyingine viliandikwa na watu tena bila ruhusa ya mungu wao, kama sivyo hebu wekeni ushahidi kama niliouweka mimi hapo juu)
 
Wewe bibilia yako unayoiona ya kweli ni Queen James Version aka Gay bible
Haya mafunuo aliyo watupia muham mad toka adui wa jibril na kuwatupia na kulazazimishwa kukariri kwa bakora za makalio imewapakua ubongo wenu woote na kuwa misukule [emoji15][emoji2301]
[emoji1370][emoji1370]
لَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ 97
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Kama unabisha hufuati ilimu ya ADUI WA JIBRIL Tuwekee Andiko humu muham mad Alipo pewa utume kama alivyo pewa Musa
[emoji1370][emoji1370]
فَلَمَّا أَتَاهَا نُودِيَ يَا مُوسَىٰ ( 11 )
Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!

إِنِّي أَنَا رَبُّكَ فَاخْلَعْ نَعْلَيْكَ ۖ إِنَّكَ بِالْوَادِ الْمُقَدَّسِ طُوًى ( 12 )
Hakika Mimi ndiye Mola wako Mlezi! Basi vua viatu vyako. Kwani upo katika bonde takatifu la T'uwa.

وَأَنَا اخْتَرْتُكَ فَاسْتَمِعْ لِمَا يُوحَىٰ ( 13 )
Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.

Kama alivyo hukumia mola wako ww ni finnar jehannam halidina fiha Abadan [emoji24][emoji2956][emoji2956]
[emoji1370][emoji1370]
وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا ( 71 )
Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

Weka Ushahidi muham mad Allah amemtuma[emoji101]
 
Tatizo siyo Google kutranslate,shida unapatia ku translate.

Hii inaonekana huijui lugha ya asili,hili tatizo ndiyo maana unakosea. Ukiona wanakosea sana,soma vitabu vya asili,hili najua huliwezi.

Sina haja ya kufanya hivyo,ndiyo maana ulipo ileta nikaileta ya Kiswahili na marejeo ya Kiarabu yapo.

Aya imekuja wazi sana,na inataka jawabu lenye sharti,ndiyo maana ikasema "Ili....". Ukisoma aya ya kwanza ina kupa majibu ya sharti hilo.


Kadhalika katika dini kuna ofa si kwake tu Mtume bali mpaka kwetu sisi. Mtume alisamehewa madhambi yaliyo pita na yajayo,lakini kutokana na hilo hakubweteka,mpaka mke wake akastaajabu,ya kuwa iweje umesamehewa madhambi yaliyo pita na yajayo,lakini bado una simama usiku kufanya ibada mpaka miguu ina vimba ? Mtume akamwambia kwanini nisiwe mja mwenye kushukuru.

Ukarukia suala la kuharamisha yale aliyo halalisha Allah,ile ilikuwa ni jitihada yake mtume,ndiyo maana Allah akamkosoa,hili mpaka kwetu lipo,kwamba Allah ametusamehe kwa yale mambo yote tuliyo yafanya hali ya kuwa hatujui.

Hoja yako iko wapi ? Elezea wapi na ni lini mtume alifanya madhambi kwa makusudi kama mimi na wewe au lini alifanya dhambi ? Mtume alikuwa hakosei katika kufikisha ujumbe,ndiyo maana aliyo kuwa anakosea ni kwa kutokujua na alikuwa anakosolewa.

Kuna nukta nyingine umeigusia kuhusu Mtume kukopi kwa swahaba Umar,nitakuuliza ali nakilo vipi hali ya kuwa alikuwa hajui kusoma wala kiandika ? Ukiona ambacho kimesemwa na swahaba na kika kubaliwa au ukakikuta katika Qur'aan ujue Allah amekiunga mkono na akampa Mtume,kisha mtume akawasomea maswahaba. Soma sababu iliyo pelekea kuwekwa adhana,hii ilikuwa ni shauri la maswahaba,Allah akalipitisha,hii ni kwa sababu Allah amewaridhia maswahaba wa Mtume.



Sijakwepa swali,sababu maswalo yako ya kitoto,mepesi na ya kipuuzi pia,huonyesha ni kwa namna gani huijui Qur'aan bali huisomi.

"Ili" hili tamko la sharti,kuonyesha,ukifanya kadha utalipwa kadha au itakuwa kadha,tamko hilo limetanguliwa kabla yake sharti ya kuifanya "ili" iwe jibu. Halafu mjinga kama eti,uje uikosoe Qur'aan wakati Qur'aan ni fasaha. Sharti limetangulia na aya zilizofata zimefafanua sharti hili. Mfano wa jawabu la sharti ni lukuki sana,mathalani "....ili mpate kuwa Wacha mungu" sentensi hii imetanguliwa na sharti ambalo ni sababu ya tamko "ili" kuwa jibu la sharti hilo. Mfano mwingine ni "Nasoma sana ili nije kuwa fulani"' sharti ni "Nasoma sana" kisha "ili" ni jawabu la sharti likiambatana na ufafanuzi.

Hilo swali sijalielewa. Uliza vizuri.
Unaandikaga maneno mengi pointless
tuanze moja kwanza
sema haya ni maneno ya nani
66:5 Perhaps his Lord, if he divorced you [all], would substitute for him wives better than you ....
 
Unaandikaga maneno mengi pointless
tuanze moja kwanza
sema haya ni maneno ya nani
66:5 Perhaps his Lord, if he divorced you [all], would substitute for him wives better than you ....
Hayo ni maneno ya Allah.

Nimecheka sana,kwamba hakuna point katika niliyo yaandika. Kosoa uone kazi yake.

Lakini tamko "perhaps" katika aya halikidhi mahitaji. Yaani lina maana ya labda.
 
Hayo ni maneno ya Allah.

Lakini tamko "perhaps" katika aya halikidhi mahitaji. Yaani lina maana ya labda.
Kwa nini Allah asemi His lord
Kule juu ulikiri Allah kuchukua maneno kutoka kwa Umar , je uoni hii aya yote ni maneno ya Umar?
66:5 Perhaps his Lord, if he divorced you [all], would substitute for him wives better than you ....
 
Kwa nini Allah asemi His lord
Kule juu ulikiri Allah kuchukua maneno kutoka kwa Umar , je uoni hii aya yote ni maneno ya Umar?
66:5 Perhaps his Lord, if he divorced you [all], would substitute for him wives better than you ....
Siyo kuchukua,huyakubali na yeye anakuwa amewafunulia waja wake,sababu kila jambo hutoka kwake ns hurejeshwa kwake.

Imerejewa "His Lord" kuonyesha mtiririko wa habari ulivyo kuwa. Yaani Mtume huwa anaweka vile alivyo teremshiwa kama ilivyo habadilishi chochote. Anzia aya ya ya 1 mpaka ya 5. Soma iatika sura ya 2 aya ya 37 na 131 utaona tamko "His Lord". Kwahiyo rejea mtiriko wa habari.

Soma aya kadha wa kadha zinarejea sana "His Lord"
 
Haya mafunuo aliyo watupia muham mad toka adui wa jibril na kuwatupia na kulazazimishwa kukariri kwa bakora za makalio imewapakua ubongo wenu woote na kuwa misukule [emoji15][emoji2301]
[emoji1370][emoji1370]
لَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ 97
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Kama unabisha hufuati ilimu ya ADUI WA JIBRIL Tuwekee Andiko humu muham mad Alipo pewa utume kama alivyo pewa Musa
[emoji1370][emoji1370]
فَلَمَّا أَتَاهَا نُودِيَ يَا مُوسَىٰ ( 11 )
Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!

إِنِّي أَنَا رَبُّكَ فَاخْلَعْ نَعْلَيْكَ ۖ إِنَّكَ بِالْوَادِ الْمُقَدَّسِ طُوًى ( 12 )
Hakika Mimi ndiye Mola wako Mlezi! Basi vua viatu vyako. Kwani upo katika bonde takatifu la T'uwa.

وَأَنَا اخْتَرْتُكَ فَاسْتَمِعْ لِمَا يُوحَىٰ ( 13 )
Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.

Kama alivyo hukumia mola wako ww ni finnar jehannam halidina fiha Abadan [emoji24][emoji2956][emoji2956]
[emoji1370][emoji1370]
وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا ( 71 )
Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

Weka Ushahidi muham mad Allah amemtuma[emoji101]

Ndiyo biblia yako sahihi hiyo?
 
Unaandikaga maneno mengi pointless
tuanze moja kwanza
sema haya ni maneno ya nani
66:5 Perhaps his Lord, if he divorced you [all], would substitute for him wives better than you ....
Eti biblia yako sahihi ni Queen James Version??
 
Siyo kuchukua,huyakubali na yeye anakuwa amewafunulia waja wake,sababu kila jambo hutoka kwake ns hurejeshwa kwake.

Imerejewa "His Lord" kuonyesha mtiririko wa habari ulivyo kuwa. Yaani Mtume huwa anaweka vile alivyo teremshiwa kama ilivyo habadilishi chochote. Anzia aya ya ya 1 mpaka ya 5. Soma iatika sura ya 2 aya ya 37 na 131 utaona tamko "His Lord". Kwahiyo rejea mtiriko wa habari.

Soma aya kadha wa kadha zinarejea sana "His Lord"
  • Tumemaliza na umeshaelewa hayo ni maneno ya umar baada ya wake zake muhmmad kuungana wakawa wanampinga muhammad kwa ubakaji
    • 66:5 Perhaps his Lord, if he divorced you [all], would substitute for him wives better than you ....
  • Pia tumeona Allah akimruhusu kubaka na kumkanya asiombe msamaha
    • Koran 66:1 Tafsiri Al- Jalalayn
      O Prophet! Why do you prohibit what God has made lawful for you in terms of your Coptic handmaiden Māriyawhen he lay with her in the house of Hafsa who had been away but who upon returning and finding out became upset by the fact that this had taken place in her own house and on her own bed — by saying ‘She is unlawful for me!’ seeking by making her unlawful for you to please your wives? And God is Forgiving Merciful having forgiven you this prohibition.
  • Sasa kama mambo kama haya allah alimruhusu sio lesini ya dhambi kampa, na pia akamshushia na aya kabisa kamwambia amemsamehe dhambi zilizopita na zijazo
  • 48:2 That Allah may forgive thee of thy sin that which is past and that which is to come.....

Swali la ziada Je wewe kama Muislamu Allah amekuruhusu kubaka housegirl?
 
Swali la ziada Je wewe kama Muislamu Allah amekuruhusu kubaka housegirl?
Hili bado hujaonyesha wapi alibaka,na hujaweka aya kuhalalisha hili,lakini hujaonyesha dhambi lolote alilo fanya jambo alisamehewa madhambi. Mitume wote walikingwa na kufanya madhambi makubwa,ila makosa madogo madogo walikuwa wanakosea,mathalani suala la kuwakataza maswahaba zake kupandikiza mitende,kisha walivyo fata ushauri wa Mtume mitende haikuzaa kama ilivyo kuwa awali,mtume akaja kuwaambia ya kuwa wao wanayajua zaidi ya dunia yao kuliko yeye.

Sasa nasubiri suala wapi mtume alifanya dhambi kubwa na wapi mtume alibaka.
 
Hili bado hujaonyesha wapi alibaka,na hujaweka aya kuhalalisha hili,lakini hujaonyesha dhambi lolote alilo fanya jambo alisamehewa madhambi. Mitume wote walikingwa na kufanya madhambi makubwa,ila makosa madogo madogo walikuwa wanakosea,mathalani suala la kuwakataza maswahaba zake kupandikiza mitende,kisha walivyo fata ushauri wa Mtume mitende haikuzaa kama ilivyo kuwa awali,mtume akaja kuwaambia ya kuwa wao wanayajua zaidi ya dunia yao kuliko yeye.

Sasa nasubiri suala wapi mtume alifanya dhambi kubwa na wapi mtume alibaka.
Soma hapa elewa kwanza ndio tuendelee
Koran 66:1 Tafsiri Al- Jalalayn
O Prophet! Why do you prohibit what God has made lawful for you in terms of your Coptic handmaiden Māriyawhen he lay with her in the house of Hafsa who had been away but who upon returning and finding out became upset by the fact that this had taken place in her own house and on her own bed — by saying ‘She is unlawful for me!’ seeking by making her unlawful for you to please your wives? And God is Forgiving Merciful having forgiven you this prohibition.
 
Soma hapa elewa kwanza ndio tuendelee
Koran 66:1 Tafsiri Al- Jalalayn
O Prophet! Why do you prohibit what God has made lawful for you in terms of your Coptic handmaiden Māriyawhen he lay with her in the house of Hafsa who had been away but who upon returning and finding out became upset by the fact that this had taken place in her own house and on her own bed — by saying ‘She is unlawful for me!’ seeking by making her unlawful for you to please your wives? And God is Forgiving Merciful having forgiven you this prohibition.
Maswali yangu huyaoni ?
 
Maswali yangu huyaoni ?
Soma Hapa elewa na uniambie Muhammad kakamatwa anafanya nini ndo uendelee na maswali yako
Koran 66:1 Tafsiri Al- Jalalayn
O Prophet! Why do you prohibit what God has made lawful for you in terms of your Coptic handmaiden Māriyawhen he lay with her in the house of Hafsa who had been away but who upon returning and finding out became upset by the fact that this had taken place in her own house and on her own bed — by saying ‘She is unlawful for me!’ seeking by making her unlawful for you to please your wives? And God is Forgiving Merciful having forgiven you this prohibition.
 
Soma Hapa elewa na uniambie Muhammad kakamatwa anafanya nini ndo uendelee na maswali yako
Koran 66:1 Tafsiri Al- Jalalayn
O Prophet! Why do you prohibit what God has made lawful for you in terms of your Coptic handmaiden Māriyawhen he lay with her in the house of Hafsa who had been away but who upon returning and finding out became upset by the fact that this had taken place in her own house and on her own bed — by saying ‘She is unlawful for me!’ seeking by making her unlawful for you to please your wives? And God is Forgiving Merciful having forgiven you this prohibition.
Ina maana hujui ulicho kiandika ? Nimetumia kiswahili chepesi sana kuuliza maswali yangu.
 
Ina maana hujui ulicho kiandika ? Nimetumia kiswahili chepesi sana kuuliza maswali yangu.
Majibu ya maswali yako haya hapa, Allah alikuwa anamruhusu muhammad kufanya dhambi anayotaka
Koran 66:1 Tafsiri Al- Jalalayn
O Prophet! Why do you prohibit what God has made lawful for you in terms of your Coptic handmaiden Māriyawhen he lay with her in the house of Hafsa who had been away but who upon returning and finding out became upset by the fact that this had taken place in her own house and on her own bed — by saying ‘She is unlawful for me!’ seeking by making her unlawful for you to please your wives? And God is Forgiving Merciful having forgiven you this prohibition.
 
Majibu ya maswali yako haya hapa, Allah alikuwa anamruhusu muhammad kufanya dhambi anayotaka
Koran 66:1 Tafsiri Al- Jalalayn
O Prophet! Why do you prohibit what God has made lawful for you in terms of your Coptic handmaiden Māriyawhen he lay with her in the house of Hafsa who had been away but who upon returning and finding out became upset by the fact that this had taken place in her own house and on her own bed — by saying ‘She is unlawful for me!’ seeking by making her unlawful for you to please your wives? And God is Forgiving Merciful having forgiven you this prohibition.
Hili nimeshaliezea huki nyuma,unarudia.
 
Back
Top Bottom