mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,254
- 9,174
Hapa!Hili bado hujaonyesha wapi alibaka,na hujaweka aya kuhalalisha hili,lakini hujaonyesha dhambi lolote alilo fanya jambo alisamehewa madhambi. Mitume wote walikingwa na kufanya madhambi makubwa,ila makosa madogo madogo walikuwa wanakosea,mathalani suala la kuwakataza maswahaba zake kupandikiza mitende,kisha walivyo fata ushauri wa Mtume mitende haikuzaa kama ilivyo kuwa awali,mtume akaja kuwaambia ya kuwa wao wanayajua zaidi ya dunia yao kuliko yeye.
Sasa nasubiri suala wapi mtume alifanya dhambi kubwa na wapi mtume alibaka.
[emoji116][emoji116]
muham mad alimuua mume wa Safiya, baba na kaka yake na siku hiyo hiyo alimuingilia kwa nguvu hemani kwake[emoji24][emoji24][emoji24]
Jee safiya alikaa edah na kulipiwa mahari kwa mujibu Wa maagizo ya allah??
[emoji116][emoji116]
وَالَّذِينَ يُتَوَفَّوْنَ مِنكُمْ وَيَذَرُونَ أَزْوَاجًا يَتَرَبَّصْنَ بِأَنفُسِهِنَّ أَرْبَعَةَ أَشْهُرٍ وَعَشْرًا ۖ فَإِذَا بَلَغْنَ أَجَلَهُنَّ فَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ فِيمَا فَعَلْنَ فِي أَنفُسِهِنَّ بِالْمَعْرُوفِ ۗ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ خَبِيرٌ
[ AL - BAQARA - 234 ]
Na wale miongoni mwenu wanao kufa na wakaacha wake, hawa wake wangoje peke yao miezi mine na siku kumi. Na wanapo timiza eda yao basi hapana ubaya kwao kwa wanao jifanyia kwa mujibu wa ada. Na Mwenyezi Mungu anazo khabari za yote mnayo yatenda.
وَآتُوا النِّسَاءَ صَدُقَاتِهِنَّ نِحْلَةً ۚ فَإِن طِبْنَ لَكُمْ عَن شَيْءٍ مِّنْهُ نَفْسًا فَكُلُوهُ هَنِيئًا مَّرِيئًا
[ AN-NISAAI - 4 ]
Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni kipawa. Lakini wakikutunukieni kitu katika mahari, kwa radhi yao, basi kileni kiwashuke kwa raha.
Alicho fanya muham mad Kama sio Dhambi ya kuzini na kubaka Tuiteje?![emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji1358]
Sisi hatuyakubali mafundisho ya quran mnatuita makafir [emoji56]
Huyu naye kayapuuza mafundisho ya quran ni muumini au kama Mimi?![emoji101][emoji101][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema haki launkana mura[emoji106]