zed B
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 958
- 1,058
Wewe kwako ni kina nani ndugu yangu ?Kwangu mimi Adam sio nabii, Suleimani sio nabii
Wewe kwako ni kina nani ndugu yangu ?Kwangu mimi Adam sio nabii, Suleimani sio nabii
Pamoja sana mkuu[emoji1666][emoji1666][emoji1666]Asante Mkuu, hii ni hatua nzuri sana kwetu sote. Tuzidi kuelimishana
Umerukia gari kwa mbele, mimi sikukujibu wewe, niliyemjibu ame elewa.Hizo aya ulizoziandika Hakuna ushahidi wa kusemwa Na Mungu wala Yesu, wala Hao waandishi hawajulikani ni Nani.
Huyo ndiye aliyeandika aya ulizozitoa?Umerukia gari kwa mbele, mimi sikukujibu wewe, niliyemjibu ame elewa.
Kwani Qurani aliandika nani ?
Tuanzie hapa.
We huwezi kujadiliana na mimi tukaelewana.Huyo ndiye aliyeandika aya ulizozitoa?
Mngaliandikiana private , hapa ni uwanjani, Sorry
Kama humjui aloandika si useme Tu , Kuna ubishi gani hapo?We huwezi kujadiliana na mimi tukaelewana.
Kwakuwa hupo kwa ajiri ya kujifunza, bali kubishana.
Basi endelea na kubisha.
Simjui Mkuu.Kama humjui aloandika si useme Tu , Kuna ubishi gani hapo?
Sasa umesema kweli, Huo ndiyo uungwana. Shukrani.Simjui Mkuu.
Pole kwa kukukwaza
Adam ni banadamu wa kwanza kuumbwa kwa mujibu wa biblia na Suleiman alikuwa mfalmeWewe kwako ni kina nani ndugu yangu ?
Huu ndio Ukweli wako ulikuwa unauhitaji.Sasa umesema kweli, Huo ndiyo uungwana. Shukrani.
Ni kweli Hakuna mtu anayewajua Na ndiyo inakuwa ni vigumu kuthibitisha Kama kweli ni maneno ya Mungu au ya Yesu.
Kama Yesu sio MUNGU, Mungu nani?!Tuwekee aya yesu anasema Mimi ni Mungu niliyevaa mwili wa kibinadamu, mashuzi peleka kanisani kwako
Acha mkwala mbuzi!Unajua majuto ni mjukuu huja badae, usipotumia akili yako wakati huu usifikiri unaweza kuitumia baada ya kufa kwako.
Inatakikana utulie umuombe mungu alafu usome ili ujue ukweli wa mambo usikariri tu. Soma thibitisha then fuata.
Sio unasema kwa jina la yesu sawa linatibu lakini jee yesu mwenyewe ndiyo kafundisha ivyo.
Niache Kusoma Neno la Mungu nikasome kadi za kliniki?![emoji13]Ukipata wasaa embu soma hapa huenda ukapata jambo jipya kama kweli we msomi
Je, IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu? - IslamHouse.com
Je, IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu?. - IslamHouse.comislamhouse.com
Ukimsoma Allah huwezi elewa kazi za shetani ni zipi, na za Allah ni zipiAcha mkwala mbuzi!
Kwanza ww mungu wako allah kakupi muhuri!![]()
![]()
![]()
![]()
Allah Subhanahu Wa Ta'ala alisema:
خَتَمَ اللَّهُ عَلٰى قُلُوبِهِمْ وَعَلٰى سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلٰىٓ أَبْصٰرِهِمْ غِشٰوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَاب
"Mwenyezi Mungu ameweka muhuri juu ya nyoyo zao na masikio yao. Na juu ya maono yao kuna pazia. Nao watapata adhabu kubwa."
(QS. Al-Baqara 2: Mstari wa 7)
ukiangalia aya hapo juu ni nani wa kulaumiwa kwa wasio Amini wakati allah ndio alie sababisha watu wasiamini?! ambaye ameweka muhuri juu ya nyoyo zao na vizibo?
YESU NI MUNGU KAMILI NA NI MWAJADAMU KAMILI![]()
![]()
Then hata nawashangaa wanao jiita wafuasi wake[emoji56][emoji13]Ukimsoma Allah huwezi elewa kazi za shetani ni zipi, na za Allah ni zipi
Yeye ndio anafunga watu wasiamini alafu yeye ndo atawahukumu kwa kutokuamini.
Yeye ndio alie danganyishia watu kwa kuweka Yesu bandia msalabani alafu Yeye ndo anasema atawahukumu kwa kuamini Yesu kasulubiwa
ww unakubali isa aliteswa na kufa?!Mungu wa wakristo hayupo serious.unamuua mtoto wako wa pekee akamuacha shetani ambae anapotosha watu mpaka leo. Wakati angemuuua shatan kusingekuwa na dhamabi Tena.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Hapana Mungu ndiye muasisi wa Demokrasia.Mungu wa wakristo hayupo serious.unamuua mtoto wako wa pekee akamuacha shetani ambae anapotosha watu mpaka leo. Wakati angemuuua shatan kusingekuwa na dhamabi Tena.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Kwa hivyo kumbe ilikuwa unasema uongo? Sasa tuambie ukweli wa huyo alieziandika zile aya ulizozileta ni Nani Na kwa ushahidi gani?Huu ndio Ukweli wako ulikuwa unauhitaji.
Ndio maana nimekujibu hivyo ili ulidhike na kutulia.
Kwakuwa maandiko yanasema wazi kabisa.
Mjibu mwenye Hekima kutokana na Hekima yake.
Au kama inavyosema Mithari 26: 4-5.
Sasa tuwekee aya Yesu kasema Mimi ni Mungu kamili aliyevaa mwili wa kibinadamuKama Yesu sio MUNGU, Mungu nani?!
HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILAHA YESU NA PAULO MTUME WAKE[emoji123][emoji106]