Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

  • Allah anasema kuna Mungu ambae ndie mwanzo na mwisho
    • Koran 57:3. Allah anasema "Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho", naye ndiye wa Dhaahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu. ,,, Je huyo Yeye ni nani?
  • Yesu anasemaje: Yesu anasema "Mimi ni wa kwanza na wa mwisho"
    • Ufunuo 1:17Basi, nilipomwona tu, nilianguka mbele ya miguu yake kama maiti. Lakini yeye akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akasema, “Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa mwisho.
Yesu kasema wapi mimi ni mungu niliyevaa mwili wa kibinadamu? Hizo aya zako hazisemi . Hata Mimi kwenye resi Za shule nilikuwa wa mwanzo Na wa nwisho
 
Mi kwa maoni yangu, kusema kuwa Biblia ipi ni ya Ukweli, inatokana na msimamo wa mtu.

Kama we ni msomaji wa
mlengo wa kulia,
Yaani mwenye msimamo mkali,
Unataka kusali, kufunga, kuimba zaburi na kutubu, basi tumia Biblia ya pili yenye vitabu 66.
Biblia inayotumika na Wapentekoste.
Au kwa jina lingine Walokole.

Kama ni msomaji mwenye msimamo wa wastani, unataka siku moja moja upate moja moto moja baridi kwa kiasi, bila kumuudhi Mungu wako, wala kumkwaza jirani yako, au ndugu wa karibu, basi tumia Biblia yenye ya kwanza ya vitabu 72.

Yoshua Bin Sira anasema katika Biblia ya kwanza anasema.

31:25
{ " Usijionyeshe hodari wa kunywa kileo, yaani mvinyo imewaangamiza wengi.
26 Tanuru hujaribu kazi ya mhunzi, na mvinyo mioyo ya watu, katika ugomvi wa wenye kiburi.
27 kwa Wanadamu mvinyo ni kama maji ya uzima, ukinywa kwa kiasi; je? Anao uzima gani mtu asiye na mvinyo ? Nayo imeumbwa ili kuwafurahisha wanadamu.
28 Mvinyo ni furaha ya moyo na changamko ya roho, ikinywewa kwa wakati wake na ya kutosha.
29 Lakini kunywa mno ni uchungu wa roho, na fedheha, na ugomvi,
30 Kileo humzidishia mpumbavu mitego ya kumletea hasara; hupunguza nguvu, na zaidi huleta jeraha.
31 Usimkaripie jirani yako penye karamu ya mvinyo, wala usimdhihaki anapocheka; wala usimwambie neno la shutumu, wala usimyenye kwa kutaka alipe deni. "}

Andiko hili hapo juu limezua malumbano hadi leo. Kwamba halifai kutumika kwakuwa linawahamasisha waumini kutumia Kileo yaani Pombe, mvinyo.
Kama kunywa pombe kwa kiasi ni harali ila unywe kwa kiasi,
je ni kiasi kipi ?
Maana ukisema japo Bia moja baada ya mlo (Safari Lager Ndogo) muumini mwingine hiyohiyo bia moja atamkwaza jirani yake.
Yaani itamlewesha na kumsukuma kutenda maovu flani.
Wapentekose wakakipiga marufuku kutukitumia kitabu cha Yoshua.

Waroman Cathoric, wakasema, "sisi tuna hekima" tunakunywa kwa wakati maalum, ) labba baada ya chakula cha jioni na kwenda kulala) tena tena tunakunywa kiasi cha
kuto kumkwaza jirani, (yaani japo bia tatu au sita hivi kwa watu wazima)
Wakatoriki wakaruhusu kukitumia kitabu cha Yoshua)

Sasa turudi ktk Biblia ya Kweli.
Neno KWELI ni dhana mtambuka.
Kweli yangu mimi sio kweli ya jirani yangu.
Mimi nasema kuwa
" ki ukweli wangu, naweza kunywa pombe kidogo wakati wa mapumziko na simkwazi jirani yangu"

Mwingine anasema
" ki ukweli wangu mimi nikionja pombe kidogo tu, yaani Toti moja, nakuwa hoi, na sio hoi tu, naanza kutukana watu, kuwadai madeni yangu na kuwapiga ikiwezekana, najiona mimi ndio mimi yaani nafanya fujo na magomvi mengi
Namuudhi muumba wangu na jirani "

Kutokana na mfano na maelezo ya hapo juu, basi kila mtu anapata Biblia yake yenye KWELI yake.

( Mimi Binafsi Biblia yangu ya ukweli ni ile ya Kwanza ya vitabu 72.

Kwakuwa weekend chachechache ninapokuwa na nafasi na muda na pesa, basi natumia mvinyo kwa kiasi na katu siwakwazi jirani zangu au na hata Mungu wangu simkosei. Nakuwa na akili timamu na nashika nidhamu kubwa nikijua nimeonja kidogo)

Vipi wewe mwenzangu unachagua kutumia Biblia ipi ?
Yakwanza ina vitabu 72, ya pili ya vitabu 66. ?
 
Lete aya Yesu kasema yeye ni Mungu aliyevaa mwili wa binadamu ,wacha kukimbia kijanja
Nikimbieje wakti Unazidi KUIMARISHA IMANI YANGU KWA YESU?!
KILA SIKU NASHUHUDIA "HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILAHA " YESU" NA PROF; PAULO MTUME WAKE![emoji123][emoji106]

Takbir Yesu Akbar[emoji106][emoji123][emoji110][emoji109]
 
Yesu kasema wapi mimi ni mungu niliyevaa mwili wa kibinadamu? Hizo aya zako hazisemi . Hata Mimi kwenye resi Za shule nilikuwa wa mwanzo Na wa nwisho
unajua maana ya kusema mwanzo na mwisho au unakurupuka tu nenda kajifuze kwanza hilo

Anza kumuelewa Allah hapa anamaanisha nini anaposema kuna Mungu ambae huyo Mungu ni Mwanzo na Mwisho

  • Koran 57:3. "Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho", naye ndiye wa Dhaahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu. ,,, Je huyo Yeye ni nani?
 
Ukipata wasaa embu soma hapa huenda ukapata jambo jipya kama kweli we msomi

Ndugu yangu zed B,
Baada ya kupumzika muda wa chai naomba nichangie kidogo kuhusu shaka yako ya neno UTATU.

Dhana ya UTATU haimaanishi kueleza kwamba kuna Mungu Watatu.
Baadhi ya wanateolojia wanasema Mungu ni mmoja ila ana nafsi tatu.

Kwanza nao wanakosea, Mungu ana uweza wote, namaanisha anaweza kuwa na Nafsi zisizohesabika, mazillion ya Nafsi.

Walitakiwa waseme hivi, Mungu aliyejidhihirisha kwetu, amejidhirisha katika Nafsi Tatu.

Nafsi ni Utambulisho wa Uwepo wa Uhai flani wa peke yake.

Mimi = Nafsi ya kwanza umoja
Sisi = Nafsi ya kwanza uwingi.

Wewe = Nafsi ya pili umoja
Ninyi = Nafsi ya pili uwingi

Yule = Nafsi ya tatu umoja
Wale = Nafsi ya tatu uwingi

Turudi Kwenye Mada ya UTATU.

Kama nilivyosema hapo juu, Mungu wa kwenye Biblia ni mmoja TU.
ila amejitambulisha katika hali za Uwepo kwa aina tatu.


I. Roho Mtakatifu.

Huyo ndio Mungu Mwenyewe, yaani ndivyo alivyo, ni Roho Takatifu ila kwakuwa ndiye chanzo cha uhai anaitwa, Roho Mtakatifu.

Yohana 4:24
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Mwanzo 1:2
Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

2. Baba.
Baba kwa Kiswahili wanaita ni Kivumishi yaani ni Sifa.

Biblia inampa Mungu sifa ya Ubaba.
Kama ndiye mzalishaji wa kila kiumbe hapa ulimwenguni, kilicho na uhai au kisicho.

Katika Biblia Baba ndiye anayezaa na sio mama. ( mama anajifungua tu)

Mathayo 1:1 Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
Mathayo 1:2 Ibrahimu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;
Mathayo 1:3 Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;
Mathayo 1:4 Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni;
Mathayo 1:5 Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;
Mathayo 1:6 Yese akamzaa mfalme Daudi.

Hivyo Basi Mungu anaitwa Baba.

Mathayo 6:8
Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.
Mathayo 6:9
Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje,
Mathayo 6:10
Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.
Mathayo 6:11
Utupe leo riziki yetu.

3. Mwana

Hapa ndio panahitaji umakini kidogo.

Yesu ni Mwanadamu kama wewe,
Biblia inatuambia Mungu, yaani Roho Mtakatifu alishuka na kukaa ndani ya Yesu ili atufundishe kweli yake na kutuonesha maisha ya utakatifu yanavyopaswa kuwa.
Yaani yuleyule Roho Mtakatifu, alifanyika Mwili kama Yohana anavyosema.

Yohana 1:14
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

Ni lini basi Roho Mtakatifu alishuka kwa Kijana Yesu.

Mathayo 3:16
Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;

Luka 4:1
Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani.

Luka 4:18
Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,


Je ni lini Roho Mtakatifu aliondoka katika mwili wa Yesu.

Marko 15:34
Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?

Hapa tunaona kwamba Mungu Muumba Mbingu na Nchi amezungumza na Binadamu yaani na watu wake katika hali TATU.

BABA
Yeremia 31:9
Watakuja kwa kulia, na kwa maombi nitawaongoza; nitawaendesha penye mito ya maji, katika njia iliyonyoka; katika njia hiyo hawatajikwaa; maana mimi ni baba wa Israeli, na Efraimu ni mzaliwa wa kwanza wangu.

MWANA
Marko 2:3
Wakaja watu wakimletea mtu mwenye kupooza, anachukuliwa na watu wanne.
Marko 2:4
Na walipokuwa hawawezi kumkaribia kwa sababu ya makutano, waliitoboa dari pale alipokuwapo; na wakiisha kuivunja wakalitelemsha godoro alilolilalia yule mwenye kupooza.
Marko 2:5
Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.
Marko 2:6
Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao,
Marko 2:7
Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu?
Marko 2:8
Mara Yesu akafahamu rohoni mwake kwamba wanafikiri hivyo nafsini mwao, akawaambia, Mbona mnafikiri hivi mioyoni mwenu?
Marko 2:9
Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende?
Marko 2:10
Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (hapo amwambia yule mwenye kupooza),
Marko 2:11
Nakuambia, Ondoka, ujitwike godoro lako uende nyumbani kwako.
Marko 2:12
Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Namna hii hatujapata kuiona kamwe.

ROHO MTAKATIFU
Mwanzo 6:3
Bwana akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
................................................................

Hapa sio kusema ni Mungu Watatu hapana.
Bali katika Biblia, Mungu kasema na Wanadamu akiwa katika hali tatu.
Au Nafsi TATU.

Kama Baba
Kama Mwana
Kama Roho Mtakatifu.

Mungu ni mmoja tu.
Hakuna Mungu watatu.
 
Nimesoma.
Yesu Kristo hakuna mahali alipozungumzia habari ya UTATU

Labda uwaulize hao hao Waroman Cathoric, unaosema wanazungumza habari za UTATU.

Mimi ni Mkristo, najifunza kutokana na mafundisho ya Mwalimu wangu.
Rabi, Yesu Kristo.
Ila mkuu mbona kama yesu sio Mungu kama ambavyo nyie mnadai.

Mi navyojua Yesu ni mtume wa Mungu aliekuja kuufahamisha ulimwengu hasa watoto wa yakobo kuhusu habari za Taurati,Zaburi na kuwaletea injili kama mawaidha ya kumjua Mungu
 
Nimesoma.
Yesu Kristo hakuna mahali alipozungumzia habari ya UTATU

Labda uwaulize hao hao Waroman Cathoric, unaosema wanazungumza habari za UTATU.

Mimi ni Mkristo, najifunza kutokana na mafundisho ya Mwalimu wangu.
Rabi, Yesu Kristo.
Labda niseme tu watu walioharibu iki kitabu cha biblia ni wanavyuoni wenyewe waki kristo baada ya kukaa na kuanza kupangua aya na kuongeza aya.


Unajua haya ya kuita yesu mungu yamekuja baada ya miaka mia tatu ina maanisha hata wafuasi wa kristo hapo kabla hawakuwa na itikadi kama waliokuwa nayo wakristo wa sasa.
 
Nikimbieje wakti Unazidi KUIMARISHA IMANI YANGU KWA YESU?!
KILA SIKU NASHUHUDIA "HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILAHA " YESU" NA PROF; PAULO MTUME WAKE![emoji123][emoji106]

Takbir Yesu Akbar[emoji106][emoji123][emoji110][emoji109]
Unajua majuto ni mjukuu huja badae, usipotumia akili yako wakati huu usifikiri unaweza kuitumia baada ya kufa kwako.

Inatakikana utulie umuombe mungu alafu usome ili ujue ukweli wa mambo usikariri tu. Soma thibitisha then fuata.

Sio unasema kwa jina la yesu sawa linatibu lakini jee yesu mwenyewe ndiyo kafundisha ivyo.
 
Ila mkuu mbona kama yesu sio Mungu kama ambavyo nyie mnadai.

Mi navyojua Yesu ni mtume wa Mungu aliekuja kuufahamisha ulimwengu hasa watoto wa yakobo kuhusu habari za Taurati,Zaburi na kuwaletea injili kama mawaidha ya kumjua Mungu
Hivi umenisoma vizuri hapo juu, kuna Mahali nimesema
"Yesu ni Mungu" ?
Hebu tulia rudia tena kwa taratibu.
Usiwe na haraka, soma tena taratibu utapata kitu flani.
Hilo ni somo refu sana, hapo nimefupisha sana, na sijaegemea upande wowote.
 
unajua maana ya kusema mwanzo na mwisho au unakurupuka tu nenda kajifuze kwanza hilo

Anza kumuelewa Allah hapa anamaanisha nini anaposema kuna Mungu ambae huyo Mungu ni Mwanzo na Mwisho

  • Koran 57:3. "Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho", naye ndiye wa Dhaahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu. ,,, Je huyo Yeye ni nani?
Boss kama utojali naomba nikuulize swali kwani kabla ya kuja kwa Yesu hawa mitume tuanze kwa Adam, Isaka, Ibrahimu, Daudi, Suleimani, Israel walikuwa katika msimamo upi kiimani ?
 
Boss kama utojali naomba nikuulize swali kwani kabla ya kuja kwa Yesu hawa mitume tuanze kwa Adam, Isaka, Ibrahimu, Daudi, Suleimani, Israel walikuwa katika msimamo upi kiimani ?
Kuna watu umewataja mimi siwatambui kama mitume
 
Labda niseme tu watu walioharibu iki kitabu cha biblia ni wanavyuoni wenyewe waki kristo baada ya kukaa na kuanza kupangua aya na kuongeza aya.


Unajua haya ya kuita yesu mungu yamekuja baada ya miaka mia tatu ina maanisha hata wafuasi wa kristo hapo kabla hawakuwa na itikadi kama waliokuwa nayo wakristo wa sasa.
Wanaojiita Wakristo wana Madhebu tofauti.
Labda swali liwe hilo,
hayo madhehebu yanamitazamo yao, kwa mfano.
Ndugu zako Wakatoriki wanampa nafasi Bikira Maria kuwa ni mmoja wa kutumainiwa katika kupeleka maombi yao kwa Mungu.

Hata ninyi Waislamu mna madhehebu yenu na mnatofautiana Katika mafundisho
Wengine wanamwona Mizra ni Nabii wa mwisho baada ya Muhammadi na ndiye wa kusikilizwa.
Kuna madhehebu kama

Wasuni
Washia
WaAhamadia
Wa ibadi
WaSufiani
Nk.
Kila dhehebu lina mtazamo wake.

Usichukue msimamo wa Dhehebu moja na kuhitimisha kuwa huo ndio Ukristo au Uislamu, hata Liwe kubwa kupita mengine.
 
Ndugu yangu zed B,
Baada ya kupumzika muda wa chai naomba nichangie kidogo kuhusu shaka yako ya neno UTATU.

Dhana ya UTATU haimaanishi kueleza kwamba kuna Mungu Watatu.
Baadhi ya wanateolojia wanasema Mungu ni mmoja ila ana nafsi tatu.

Kwanza nao wanakosea, Mungu ana uweza wote, namaanisha anaweza kuwa na Nafsi zisizohesabika, mazillion ya Nafsi.

Walitakiwa waseme hivi, Mungu aliyejidhihirisha kwetu, amejidhirisha katika Nafsi Tatu.

Nafsi ni Utambulisho wa Uwepo wa Uhai flani wa peke yake.

Mimi = Nafsi ya kwanza umoja
Sisi = Nafsi ya kwanza uwingi.

Wewe = Nafsi ya pili umoja
Ninyi = Nafsi ya pili uwingi

Yule = Nafsi ya tatu umoja
Wale = Nafsi ya tatu uwingi

Turudi Kwenye Mada ya UTATU.

Kama nilivyosema hapo juu, Mungu wa kwenye Biblia ni mmoja TU.
ila amejitambulisha katika hali za Uwepo kwa aina tatu.


I. Roho Mtakatifu.

Huyo ndio Mungu Mwenyewe, yaani ndivyo alivyo, ni Roho Takatifu ila kwakuwa ndiye chanzo cha uhai anaitwa, Roho Mtakatifu.

Yohana 4:24
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Mwanzo 1:2
Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

2. Baba.
Baba kwa Kiswahili wanaita ni Kivumishi yaani ni Sifa.

Biblia inampa Mungu sifa ya Ubaba.
Kama ndiye mzalishaji wa kila kiumbe hapa ulimwenguni, kilicho na uhai au kisicho.

Katika Biblia Baba ndiye anayezaa na sio mama. ( mama anajifungua tu)

Mathayo 1:1 Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
Mathayo 1:2 Ibrahimu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;
Mathayo 1:3 Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;
Mathayo 1:4 Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni;
Mathayo 1:5 Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;
Mathayo 1:6 Yese akamzaa mfalme Daudi.

Hivyo Basi Mungu anaitwa Baba.

Mathayo 6:8
Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.
Mathayo 6:9
Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje,
Mathayo 6:10
Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.
Mathayo 6:11
Utupe leo riziki yetu.

3. Mwana

Hapa ndio panahitaji umakini kidogo.

Yesu ni Mwanadamu kama wewe,
Biblia inatuambia Mungu, yaani Roho Mtakatifu alishuka na kukaa ndani ya Yesu ili atufundishe kweli yake na kutuonesha maisha ya utakatifu yanavyopaswa kuwa.
Yaani yuleyule Roho Mtakatifu, alifanyika Mwili kama Yohana anavyosema.

Yohana 1:14
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

Ni lini basi Roho Mtakatifu alishuka kwa Kijana Yesu.

Mathayo 3:16
Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;

Luka 4:1
Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani.

Luka 4:18
Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,


Je ni lini Roho Mtakatifu aliondoka katika mwili wa Yesu.

Marko 15:34
Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?

Hapa tunaona kwamba Mungu Muumba Mbingu na Nchi amezungumza na Binadamu yaani na watu wake katika hali TATU.

BABA
Yeremia 31:9
Watakuja kwa kulia, na kwa maombi nitawaongoza; nitawaendesha penye mito ya maji, katika njia iliyonyoka; katika njia hiyo hawatajikwaa; maana mimi ni baba wa Israeli, na Efraimu ni mzaliwa wa kwanza wangu.

MWANA
Marko 2:3
Wakaja watu wakimletea mtu mwenye kupooza, anachukuliwa na watu wanne.
Marko 2:4
Na walipokuwa hawawezi kumkaribia kwa sababu ya makutano, waliitoboa dari pale alipokuwapo; na wakiisha kuivunja wakalitelemsha godoro alilolilalia yule mwenye kupooza.
Marko 2:5
Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.
Marko 2:6
Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao,
Marko 2:7
Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu?
Marko 2:8
Mara Yesu akafahamu rohoni mwake kwamba wanafikiri hivyo nafsini mwao, akawaambia, Mbona mnafikiri hivi mioyoni mwenu?
Marko 2:9
Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende?
Marko 2:10
Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (hapo amwambia yule mwenye kupooza),
Marko 2:11
Nakuambia, Ondoka, ujitwike godoro lako uende nyumbani kwako.
Marko 2:12
Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Namna hii hatujapata kuiona kamwe.

ROHO MTAKATIFU
Mwanzo 6:3
Bwana akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
................................................................

Hapa sio kusema ni Mungu Watatu hapana.
Bali katika Biblia, Mungu kasema na Wanadamu akiwa katika hali tatu.
Au Nafsi TATU.

Kama Baba
Kama Mwana
Kama Roho Mtakatifu.

Mungu ni mmoja tu.
Hakuna Mungu watatu.
Ahsante mkuu nimekuelewa ila tambua kuwa Baadhi ya Wakristo wanadhani kwamba Yesu niMungu kwa sababu ya baadhi ya maandiko ya Bibliayanayosema kwamba Yesu yupo pamoja na Mungu,bali Mungu yupo ndani ya Yesu na Yesu yupo ndani yaMungu.

Maandishi ya aina hii yote hayamaanishi kwamba Yesu ni Mungu bali yanaonesha kwamba Mungu naYesu ni tofauti tofauti wala siyo kitu kimoja.

Vile vileBiblia haisemi kwamba mtu ambaye anatajwa kuwandani ya Mungu au Mungu yumo ndani yake ni mungu.

Kinyume chake Biblia inatutajia watu kadhaa waleambao wako pamoja na Mungu na Mungu yupo ndaniyao na hawa wapo ndani ya Mungu.

Tena hakuna Pa-dre yeyote ambaye anawaita watu hawa miungu Wakati watu wengine kwa sifa zile zile hawaitwi miungu, kwa msingi na kwa uzuri gani, Yesu aitweMungu?

Biblia inasema kwamba:

[emoji117] Mungu mmoja, naye ni baba wa wote aliye juu yayote na katika yote na ndani ya yote. (Waefeso 4:6)

[emoji117]Siku ile ninyi mtatambua ya kuwa mimi ni ndani yababa yangu, nanyi ndani yangu, mimi ndani yenu.(Yohana 14:20).

[emoji117]“Wote wawe na umoja, kama wewe, Baba, ulivyondani yangu, nami ndani yako; Hao nao wawe ndaniyetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewendiwe uliyenituma. Nami utukufu ule ulionipanimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyoumoja. Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawewamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujuwe yakuwa ndiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama
ulivyonipenda mimi. (Yohana 17:21-23).

[emoji117]....Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawambie,ninapaa kwenda kwa baba yangu naye ni baba yenu


Utanisamehe kwa ilo gazeti ila mungu akubariki
 
Wanaojiita Wakristo wana Madhebu tofauti.
Labda swali liwe hilo,
hayo madhehebu yanamitazamo yao, kwa mfano.
Ndugu zako Wakatoriki wanampa nafasi Bikira Maria kuwa ni mmoja wa kutumainiwa katika kupeleka maombi yao kwa Mungu.

Hata ninyi Waislamu mna madhehebu yenu na mnatofautiana Katika mafundisho
Wengine wanamwona Mizra ni Nabii wa mwisho baada ya Muhammadi na ndiye wa kusikilizwa.
Kuna madhehebu kama

Wasuni
Washia
WaAhamadia
Wa ibadi
WaSufiani
Nk.
Kila dhehebu lina mtazamo wake.

Usichukue msimamo wa Dhehebu moja na kuhitimisha kuwa huo ndio Ukristo au Uislamu, hata Liwe kubwa kupita mengine.
Usinichoke mkuu kwani wewe upo dhehebu gani ?
 
Ahsante mkuu nimekuelewa ila tambua kuwa Baadhi ya Wakristo wanadhani kwamba Yesu niMungu kwa sababu ya baadhi ya maandiko ya Bibliayanayosema kwamba Yesu yupo pamoja na Mungu,bali Mungu yupo ndani ya Yesu na Yesu yupo ndani yaMungu.

Maandishi ya aina hii yote hayamaanishi kwamba Yesu ni Mungu bali yanaonesha kwamba Mungu naYesu ni tofauti tofauti wala siyo kitu kimoja.

Vile vileBiblia haisemi kwamba mtu ambaye anatajwa kuwandani ya Mungu au Mungu yumo ndani yake ni mungu.

Kinyume chake Biblia inatutajia watu kadhaa waleambao wako pamoja na Mungu na Mungu yupo ndaniyao na hawa wapo ndani ya Mungu.

Tena hakuna Pa-dre yeyote ambaye anawaita watu hawa miungu Wakati watu wengine kwa sifa zile zile hawaitwi miungu, kwa msingi na kwa uzuri gani, Yesu aitweMungu?

Biblia inasema kwamba:

[emoji117] Mungu mmoja, naye ni baba wa wote aliye juu yayote na katika yote na ndani ya yote. (Waefeso 4:6)

[emoji117]Siku ile ninyi mtatambua ya kuwa mimi ni ndani yababa yangu, nanyi ndani yangu, mimi ndani yenu.(Yohana 14:20).

[emoji117]“Wote wawe na umoja, kama wewe, Baba, ulivyondani yangu, nami ndani yako; Hao nao wawe ndaniyetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewendiwe uliyenituma. Nami utukufu ule ulionipanimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyoumoja. Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawewamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujuwe yakuwa ndiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama
ulivyonipenda mimi. (Yohana 17:21-23).

[emoji117]....Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawambie,ninapaa kwenda kwa baba yangu naye ni baba yenu


Utanisamehe kwa ilo gazeti ila mungu akubariki

Asante Mkuu, hii ni hatua nzuri sana kwetu sote. Tuzidi kuelimishana
 
Nikimbieje wakti Unazidi KUIMARISHA IMANI YANGU KWA YESU?!
KILA SIKU NASHUHUDIA "HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILAHA " YESU" NA PROF; PAULO MTUME WAKE![emoji123][emoji106]

Takbir Yesu Akbar[emoji106][emoji123][emoji110][emoji109]
Tuwekee aya yesu anasema Mimi ni Mungu niliyevaa mwili wa kibinadamu, mashuzi peleka kanisani kwako
 
unajua maana ya kusema mwanzo na mwisho au unakurupuka tu nenda kajifuze kwanza hilo

Anza kumuelewa Allah hapa anamaanisha nini anaposema kuna Mungu ambae huyo Mungu ni Mwanzo na Mwisho

  • Koran 57:3. "Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho", naye ndiye wa Dhaahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu. ,,, Je huyo Yeye ni nani?
Wacha kubabaisha , Lete aya Yesu kasema Mimi ni Mungu aliyevaa mwili wa kibinadamu
 
Ndugu yangu zed B,
Baada ya kupumzika muda wa chai naomba nichangie kidogo kuhusu shaka yako ya neno UTATU.

Dhana ya UTATU haimaanishi kueleza kwamba kuna Mungu Watatu.
Baadhi ya wanateolojia wanasema Mungu ni mmoja ila ana nafsi tatu.

Kwanza nao wanakosea, Mungu ana uweza wote, namaanisha anaweza kuwa na Nafsi zisizohesabika, mazillion ya Nafsi.

Walitakiwa waseme hivi, Mungu aliyejidhihirisha kwetu, amejidhirisha katika Nafsi Tatu.

Nafsi ni Utambulisho wa Uwepo wa Uhai flani wa peke yake.

Mimi = Nafsi ya kwanza umoja
Sisi = Nafsi ya kwanza uwingi.

Wewe = Nafsi ya pili umoja
Ninyi = Nafsi ya pili uwingi

Yule = Nafsi ya tatu umoja
Wale = Nafsi ya tatu uwingi

Turudi Kwenye Mada ya UTATU.

Kama nilivyosema hapo juu, Mungu wa kwenye Biblia ni mmoja TU.
ila amejitambulisha katika hali za Uwepo kwa aina tatu.


I. Roho Mtakatifu.

Huyo ndio Mungu Mwenyewe, yaani ndivyo alivyo, ni Roho Takatifu ila kwakuwa ndiye chanzo cha uhai anaitwa, Roho Mtakatifu.

Yohana 4:24
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Mwanzo 1:2
Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

2. Baba.
Baba kwa Kiswahili wanaita ni Kivumishi yaani ni Sifa.

Biblia inampa Mungu sifa ya Ubaba.
Kama ndiye mzalishaji wa kila kiumbe hapa ulimwenguni, kilicho na uhai au kisicho.

Katika Biblia Baba ndiye anayezaa na sio mama. ( mama anajifungua tu)

Mathayo 1:1 Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
Mathayo 1:2 Ibrahimu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;
Mathayo 1:3 Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;
Mathayo 1:4 Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni;
Mathayo 1:5 Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;
Mathayo 1:6 Yese akamzaa mfalme Daudi.

Hivyo Basi Mungu anaitwa Baba.

Mathayo 6:8
Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.
Mathayo 6:9
Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje,
Mathayo 6:10
Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.
Mathayo 6:11
Utupe leo riziki yetu.

3. Mwana

Hapa ndio panahitaji umakini kidogo.

Yesu ni Mwanadamu kama wewe,
Biblia inatuambia Mungu, yaani Roho Mtakatifu alishuka na kukaa ndani ya Yesu ili atufundishe kweli yake na kutuonesha maisha ya utakatifu yanavyopaswa kuwa.
Yaani yuleyule Roho Mtakatifu, alifanyika Mwili kama Yohana anavyosema.

Yohana 1:14
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

Ni lini basi Roho Mtakatifu alishuka kwa Kijana Yesu.

Mathayo 3:16
Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;

Luka 4:1
Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani.

Luka 4:18
Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,


Je ni lini Roho Mtakatifu aliondoka katika mwili wa Yesu.

Marko 15:34
Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?

Hapa tunaona kwamba Mungu Muumba Mbingu na Nchi amezungumza na Binadamu yaani na watu wake katika hali TATU.

BABA
Yeremia 31:9
Watakuja kwa kulia, na kwa maombi nitawaongoza; nitawaendesha penye mito ya maji, katika njia iliyonyoka; katika njia hiyo hawatajikwaa; maana mimi ni baba wa Israeli, na Efraimu ni mzaliwa wa kwanza wangu.

MWANA
Marko 2:3
Wakaja watu wakimletea mtu mwenye kupooza, anachukuliwa na watu wanne.
Marko 2:4
Na walipokuwa hawawezi kumkaribia kwa sababu ya makutano, waliitoboa dari pale alipokuwapo; na wakiisha kuivunja wakalitelemsha godoro alilolilalia yule mwenye kupooza.
Marko 2:5
Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.
Marko 2:6
Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao,
Marko 2:7
Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu?
Marko 2:8
Mara Yesu akafahamu rohoni mwake kwamba wanafikiri hivyo nafsini mwao, akawaambia, Mbona mnafikiri hivi mioyoni mwenu?
Marko 2:9
Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende?
Marko 2:10
Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (hapo amwambia yule mwenye kupooza),
Marko 2:11
Nakuambia, Ondoka, ujitwike godoro lako uende nyumbani kwako.
Marko 2:12
Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Namna hii hatujapata kuiona kamwe.

ROHO MTAKATIFU
Mwanzo 6:3
Bwana akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
................................................................

Hapa sio kusema ni Mungu Watatu hapana.
Bali katika Biblia, Mungu kasema na Wanadamu akiwa katika hali tatu.
Au Nafsi TATU.

Kama Baba
Kama Mwana
Kama Roho Mtakatifu.

Mungu ni mmoja tu.
Hakuna Mungu watatu.
Hizo aya ulizoziandika Hakuna ushahidi wa kusemwa Na Mungu wala Yesu, wala Hao waandishi hawajulikani ni Nani.
 
Back
Top Bottom