Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Bado hujanijibu,,

Unajua hapo Allah alikuwa anaongea na watu gani ,, Je alikuwa anawaambia waumini, Waislamu, ama Mtume ?
Unaweza kuthibitisha hilo jibu lako ?
Sio watu gani
Hapo imetumika Lugha ya Umoja, anamwambia mtu mmoja.
Tubu zambi zako
Tubuni zambi zenu.
Tena kule nyuma kaambiwa
Tubu zambi zako na za Waislamu wanaume na za Waislamu wanawake

Basi tufanye alikuwa anamwambia Jibrili au Walaqa Bin Naufal
Au mke wa Mtume.
 
Tatizo lako hujataja dhambi alofanya Mtume Muhammad SAW,, unaleta longolongo tu..

Je,, ikiwa katika hio aya amekusudiwa Mtume ndo itamaanisha kwamba ana madhambi ?
Kama yapo hayo madhambi tutajieni basi acheni longolongo
Hivi dhambi anaziona Mungu au mtu ?
Muhammadi kamnyan'ganya mtoto wake wa kufikia mke.
Bado huoni tu.
 
Okay,, ikiwa yeye ndo kaambiwa hivo,, je itamaanisha kwamba amewahi kufanya madhambi ?
Kama amewahi, nitajie basi hayo madhambi pamoja na ushahidi...
Mungu wake anayemwambia atubu ndio unazijua dhambi za Muhammadi.
 
Kwahiyo huna ushahidi kama Muhammad SAW alifanya dhambi, si ndio?
Allah kasema Muhammad anapaswa kutubu dhambi zake sio mara moja sio mara mbili.
Wewe unasema Muhammadi hastahili kutubu dhambi kwakuwa hana.
Basi ngoja nikuamini wewe.
 
Kwahiyo 25 December tumedanganywa ?

Ngoja tumalize ile kitu kwanza
Umedanganywa na nani, soma vizuri majibu na uache kujitia wewe ni chizi, nimekwambia imewekwa kama kumbukumbu kwamba Yesu alizaliwa , na biblia haijataja tarehe mwezi ila imetaja majira , mwaka inajulikana maana tarehe tunazo tumia sasa zinaenda na Yesu ndio tukaanza kuhesabu

Jibu swali Hili
Ni rahisi Sana la Ndio au hapana
Allah anajua yajao?
 
Mke wa mtume

Mtume alifanya dhambi gani inayomuhusisha yeye ?
Dhambi zote Allah alimruhusu kufanya ndioa maana nikaweka Ile Aya ya leseni ya dhambi ,

Kama unaona yeye kusema wanawake wote waende kwake akipige ngono bila ndoa basi sawa , na angekuwepo kipindichi hichi mke wako angekipeleka kwake
 
Alimpataje ?
Kumbe unaufahamu kidogo.
Alimuoa kihalali kabisa,,

Rejea surat Ahzab aya ya 37

"........., Basi zaid alipokwisha haja naye tulikuoza wewe, ili isiwe tabu kwa Waumini kuwaoa wake wa watoto wao wa kupanga watakapo kuwa wamekwisha timiza nao shuruti za talaka. Na amri ya Mwenyezi Mungu ni yenye kutekelezwa. "

Kuna dhambi gani hapo ?
 
Umedanganywa na nani, soma vizuri majibu na uache kujitia wewe ni chizi, nimekwambia imewekwa kama kumbukumbu kwamba Yesu alizaliwa , na biblia haijataja tarehe mwezi ila imetaja majira , mwaka inajulikana maana tarehe tunazo tumia sasa zinaenda na Yesu ndio tukaanza kuhesabu
Niletee ushahidi kwamba hio 25 December imewekwa kama kumbukumbu tu
Jibu swali Hili
Ni rahisi Sana la Ndio au hapana
Allah anajua yajao?
Ndio
 
Alimuoa kihalali kabisa,,

Rejea surat Ahzab aya ya 37

"........., Basi zaid alipokwisha haja naye tulikuoza wewe, ili isiwe tabu kwa Waumini kuwaoa wake wa watoto wao wa kupanga watakapo kuwa wamekwisha timiza nao shuruti za talaka. Na amri ya Mwenyezi Mungu ni yenye kutekelezwa. "

Kuna dhambi gani hapo ?
Dhambi kama huyo mtoto wake angekuwa amefariki.
Lakini Muhammadi alienda kwa mtoto wake
Mke wa mtoto akashusha khanga ili amlaki mumewe.
Hamadi kumbe Mtume wa Allah.
Muhammadi akayaona mapaja ya mkwewe akamtamani.
Akamtisha mtoto atoe talaka, fasta tu akamchukua.
Mtoto akabaki mkiwa.
Kama Muhammadi alistahili kufanya hivyo na sio dhambi basi sawa tu.
Mi sasa nakuamini wewe.
 
Nataka unipe ushahidi wa hii kauli yako..

Naangalia mpira wa Taifa stars,, ntarudi
Soma
Wewe umesema Muhammadi hana dhambi bali ana makosa madogo madogo ambayo siyo dhambi.
Allah anasema Muhammadi ana dhambi.
Basi Allah ni Mwongo.
Wewe ndio unasema ukweli.
 
Hujaelewa swali mkuu

Mm nataka unijibu kwa mujibu wa Biblia

Yesu alizaliwa mwaka, mwezi na tarehe gani ?
Sisi Tunaisoma Biblia Takatifu ili Kupata UJUMBE [emoji106]
Ujumbe Nilioupata Nina Hakika Yesu Alizaliwa! Au na hilo unabishia?!
Hivyo Kanisa Limepanga siku ya KUMBUKUMBU YA KUZALIWA KWA YESU!

Biblia Takatifu haisomwi kwa kukariri kama qaraa [emoji13]
 
Okay,

Lugha ya asili ya Biblia ni ipi ?

Nani aliyeunganisha hivo vitabu pamoja ?
Ujinga Haukuishi ww??[emoji13]
Biblia Takatifu NI NENO LILILO HAI LA MWENYEZI MUNGU! AMBALO AMELIFUNUA VIFUANI MWETU KUPITIA "DHAMIRA NJEMA"[emoji123][emoji106]
 
Back
Top Bottom