Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 14,598
- 18,418
Kwanza lazima ujue wanao nakili Biblia toka maandishi ya Asili ni watu na wakati mwingine wanapitiwa yaani wanaweza kuiruka Aya flani kwa makusudi au kwa bahati mbaya za kiufundi.Kwa nini kwenye bible zenu sometimes unakuta verse fulani zinapatikana katika version fulani lakini verse hizohizo hazimo kwenye version nyingine?
- Kwa mfano verse hii (John 5:3–4), kwenye King James Version ipo, lakini kwenye New International Version haipo.
- Mfano wa pili ni verse hii (1 John 5:7–8), Hii imo kwenye King James version lakini haimo kwenye New International version.
Unakuta moja ina vitabu zaidi ya 70, nyingine ina vitabu 66, nyingine ina vitabu zaidi ya 80?, Nyingine aya fulani na fulani wamezifuta.
Je, Biblia itakuwa authentic katika hali hii ?
Je, Biblia itakuwa credible katika hali hii ?
Pili wanao andika Biblia sio wote ni watu wa Dini au imani.
Hata wewe kama una kampuni ya kuandika unaweza kupewa tenda ya kutoa nakala za Biblia. Yaani wewe Muislamu.
Kama Verse flani haipo katika Biblia flani ni makosa ya kiuandishi tu lakini cha msingi verse hiyo ipo na haijaondolewa.
Kuhusu kuwa na vitabu vingi au vichache
Soma andiko langu hapo juu.