Nilikuwa na nia NJEMA kujua maradhi yako ili nikutibu kwa daawa sawia hukutaka! Sasa nakujibu kisilamu silamu! AMRI KUMI UKIZIFUATA KIKAMILIFU!; UMEMKIRI YESU, UTAZALIWA UPYA, UTAJAZWA ROHO MTAKATIFU! UKIMKIRI YESU; UMEZIFUATA AMRI KUMI PIA UMEJAZWA ROHO MTAKATIFU NA KUZALIWA UPYA! UKIZALIWA UPYA! NDIO UMEZIFUATA AMRI KUMI ZA MUNGU, UMEMKIRI KRISTO, UMEJAZWA ROHO MTAKATIFU! HABARI NDIO HIYO KUHUSU AMRI.10 (Vise versa) KUNA PIN HAPO YA KUKUZUIA KWENDA PEPONI?? SASA NAMBIE WAPI NIMEMPINGA PROF PAULO MTUME WA YESU??
Sent using
Jamii Forums mobile app