1. Kuhusu hayo ya sijui MKOJO sikuona faida yake kwenye huu mjadala maana sijayaandika kwenye original post.... Maana na wao wakianza kuja na baadhi ya vijembe kwa Yesu nafkiri hapatakalika hapa so muhimu ni kuvumiliana tu na kubaki kwenye mada husika hayo mengine unaweza fungulia uzi wako ili mkashifiane vzuri.
KWA MUJIBU WA ILIMU ISLAMU YESU NI MTUME [emoji106] HIVYO MUISILAMU YEYOTE ATAKAE LETA VIJEMBE KWA YESU NA BIBLIA TAKATIFU SI MUUMINI ILAHA NI KAFIRI [emoji117]
[emoji117]
Hivyo inawezekana tuna-chat na makafir humu [emoji15]
2. Nimeleta mada ya kuhoji Biblia gani ni sahahi sababu kumekuwa na wimbi la Biblia nyingi zikidai zimevuviwa na Roho mtakatifu ilihali zote zinakinzana. Na hapa sio tafsiri pekee zinazokinzana bali CANON yaani mfumo wa vitabu wa Biblia mfano kuna Biblia kama ya luther iliona waebrania,Esther,ufunuo wa Yohana havifai na iliamua kuvifutilia mbali ilihali kuna biblia mfano za wakatoliki inaviona hivo vitabu ni vya Kiroho ndio hapo nikaona nihoji kwamba nani yuko sahihi kwenye kupunguza/kuongeza vitabu ili nitegue kitendawili cha Biblia gani ni sahihi kwa mafundisho.
HUNA MAMLAKA WALA SIFA YA KUHOJI BIBLIA TAKATIFU [emoji12]
3. Kuhusu uislam na hayo mafundisho sina uelewa nayo maana mimi sio muislam zaidi ntaomba nieleweshwe kuliko kukashifu sababu naamini kila fundisho lina tafsiri yake kiimani mfano ww mtu anaweza kukuuliza Yesu alisema watu wale nyama na damu yake, kuna mahala kwenye Biblia Yakobo alipigana na Mungu na akashinda n.k sasa mtu akisoma kwa kichwa kichwa lazima ataikashifu Biblia ilihali hayo masuala yana tafsirika vizuri tu basi na ww kuliko kukashifu ungejipa muda wa kutafiti figurative meaning ya hizo hedhi,kojo n.k kwa minajili ya kujifunza kuliko kukashifu tu inakuwa haijengi zaidi ya kugeuza uzi kuwa uwanja wa vita.