Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,911
Urais wake unaweza kuwa unatishiwa na nani? kwa maana nguvu kubwa inatumika kumfanyia kampeni kila mahali t shirt zinavaliwa mabango kila mahali sasa against who?
Kutoka vyama vya upinzani pia sioni mpinzani kwani hata vyama vingine vinampigia kampeni na kumtetea, sasa hofu ya nini na kwa nani?
Rais Samia ni mwenyekiti wa CCM ndiye mkuu wa karibia kila mtu serikalini na kwenye chama pia, sasa mpinzani wa kutishia power yake ni nani hadi nguvu kubwa hivyo itumike?
Je, kuna yanayoendelea ndani kwa ndani?
2025/30 tuna raisi mpya (kikatiba)
Kutoka vyama vya upinzani pia sioni mpinzani kwani hata vyama vingine vinampigia kampeni na kumtetea, sasa hofu ya nini na kwa nani?
Rais Samia ni mwenyekiti wa CCM ndiye mkuu wa karibia kila mtu serikalini na kwenye chama pia, sasa mpinzani wa kutishia power yake ni nani hadi nguvu kubwa hivyo itumike?
Je, kuna yanayoendelea ndani kwa ndani?
2025/30 tuna raisi mpya (kikatiba)