Je Balali Yupo ama Hayupo

Je Balali Yupo ama Hayupo

Kwani Huyu jamaa alifanikisha wizi wa Pesa kiasi gani hadi wadanganye amekufa?

Kama wezi wa Pesa za EPA, RICHMOND, DOWANS, KIWIRA, RADA, ESCROW n.k wao hawajazushiwa vifo wakati wamechota pesa zote hizo iweje Balali?

Kuna nini cha ziada Balali alifanya?

nasikia mchizi alikuwa muaminifu. Hakuiba chochote ila aliwajua wote waliochota mahela na laiti kama wangemuacha angewataja
 
jamaa yupo,nlipokuwa home iringa kijijn luganga ambako na ye ndo kwao nlickia kuw hakuna ndgu anaamin km kafa alaf pia ndguze weng wa kalb safar za nje naskia haziishag!

Hizo tetesi mchizi kwao Mtwango karibu na Sawala njia ya kuelekea Mgololo. mkuu jipange......
 
Back
Top Bottom