Mugabe wa Bongo
Senior Member
- Apr 14, 2012
- 145
- 73
Bandugu bapenzi nimekua nikifatilia makala zinazoandikwa na gazeti la Mwananchi kuhusu isue ya balali..lakin nilichokielewa mie ni kama wanapigia mstari tuu isue tulizowahi kuzisikia miaka ileee...sasa jee hivi mshkaji yupo ama Hayupo...ukweli ni upi????