Je, baiskeli zinasaidiaje shughuli za siasa?

Je, baiskeli zinasaidiaje shughuli za siasa?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
32,335
Reaction score
83,258
Eti wanyonga Pedeli.

Lengo la kuchukua Mzigo wa Baiskeli ni nini .?.

FB_IMG_17502584423841958.jpg
 
Dharau tu mbona hao wanaotoa hizo baiskeli wao hawatumii au unawezakuta hawamiliki hata hizo baiskeli (hata watoto wao hawatumii, mwiguli mtoto wake anatembelea vx) na wao wenyewe wanatumia ma vx
 
Mfa maji hutapatapa. Samia ameacha kutumia pesa kuleta maendeleo anatumia pesa kununua baiskeli na pikipiki za kuhonga watu
 
Back
Top Bottom