Je, Bado Una Imani na Jason Bourne?

Omutwale

JF-Expert Member
Feb 4, 2008
1,429
1,045
Soma hii series kisha uamue mwenyewe!

Hadithi inaanzia hapa:

Jason Bourne
RIPOTI YA UCHUNGUZI BINAFSI JUU YA UGONJWA WA DR HARISON MWAKYEMBE 12/10/ 2011 (Kama hukupata kuisoma, isome hapo chini mwisho kabla Invisible haja iondoa tena)


Ikafuatiwa na…



Nini kikafuata?


Na sasa:


Kiambatanisho


Je, sasa unamwamini Jason Bourne walau katika hili?
 
Tusubiri,chochote chaweza tokea ni swala la mda tu

kuna mawili kukubaliana nae ama kutokukubaliana nae,je umeziona picha za Mh wakati anasguka uwanja wa ndege DSM? jE UMEIONA AFYA YAKE IKOJE?

nadhani tumwombee awesalama ktk hilo la sumu na kama Madokta wake wangekuwa wa kweli wangetuwekea taarifa za ugonjwa wake na hapo ndipo tungeweza kuwa na maamuzi mengine
 
Pamoja na yote aliyoyaandika, lakini usisahau kuwa aliwataka watanzania kuwaombea hao viongoizi wetu, na kwa jinsi watanzania walivyo na imani za dini zao bila shaka walimuombea, na Mungu akasikia maombi yao na kuwaponya viongozi hao, sioni kama kuna nongwa hapo.

Au wewe huamini kwamba Mungu ana uwezo wa kuwaponya??
 
Ni vigumu sana kuniamini lakini ni rahisi mno kunipinga!

Je ripoti ya madaktari pale india inasomekaje? Je mwakyembe mwenyewe anasemaje? Uhalisia wa hali yake kwa sasa ukoje? Wizara ya afya inasemaje? Serikali yake inasema? Je kila aliyelishwa sumu hufa hata akitibiwa na madaktari bingwa?

Mimi nishatoa ripoti na kwangu mimi itasimama kuwa ndio kauli na ukweli niliouona katika uchunguzi!

Mwenye ripoti ya madaktari wa india aiweke hapa!!
 
mi bado namwamini JB, kwani kama ukipewa sumu ukatibiwa huwezi kupona? kwani kwa kupona kwao inaondoa ukweli kwamba walipewa sumu na mafisadi na wasioitakia mema nchi yetu? sijaelewa mantik ya maneno yako.
 
Imani ni nini?

Kidini (UKRISTO) Imani ni nini?
Waebrania 11:1 inajibu " Imani ni kuwa na uhakika wa mambo yatarijiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana".


Kidunia na haswa katika mada hii, kuwa na imani na mtu ni kuwa na utayari wa kuyakubali au kuyaafiki yale yote anayoyasema au kuyaandika huku ukiwa huna jinsi ya kuyathibitisha mpaka muda umetimia kuthibitisha aliyoyasema au kuyaandika.

Naomba kukosolewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…