Mkapa aliiba mamilioni, akaja Kikwete akaiba mabilioni, akaingia dhalimu mwandakuzimu akaiba matrilioni sijui anayefuatia ataiba ngapi...maquadrilioni? Yupi kati ya hao wote hakusukumiziwa madaraka na chama king'ang'anizi kilichochoka CCM? Halafu tunashangaa kwa nini nchi masikini! Kweli adui wa taifa hili ni CCM.Ukiwa na akili finyu utasingizia wasioonekana au ujumla ili ufiche umoja. Mfano adui wa nchi hii ni CCM! Hivi una akili kweli? CCM haiwezi kuwa baya bali watu binafsi walio katika CCM. Aliyeasisi Wizi wa Escrow ni JK, unaogopa kumtaja unaitaja CCM. Lazima muondokane na akili za upunguani kuhangaika na ujumla baadala ya umoja ili kuinusuru nchi yetu.
Dhalimu mwendakuzimu mwenyewe aliiba hadi akapigwa stop na corona au huna habari?Unacho shangaa ni kipi !!?
Magu aliwaweka ndani majizi mkapinga kweli kwa kumuita dikteta.....
Amekufa leo mafisadi yanatoka yaanze kutamba unashangaa!!!
Yuko kwao Bagamoyo.....akichoka huenda shamba Msoga....kupitia chalinze mzee pale ...Shabani Gurumo uko wapi?
Kupambana na ufisadi chini ya CCM ni kujilisha upepo maana uongozi ndani ya chama unatoka na na rushwa na hivo viongozi wake ni zao la rushwa Sasa hapo ni ujinga kiamini CCM inaweza pambana na ufisadi .Sulihisho ni kuwatoa madarakaniMkapa aliiba mamilioni, akaja Kikwete akaiba mabilioni, akaingia dhalimu mwandakuzimu akaiba matrilioni sijui anayefuatia ataiba ngapi...maquadrilioni? Yupi kati ya hao wote hakusukumiziwa madaraka na chama king'ang'anizi kilichochoka CCM? Halafu tunashangaa kwa nini nchi masikini! Kweli adui wa taifa hili ni CCM.
Kumbuka hakushinda kesi bali imefutwa na JamhuriView attachment 1942762
Je nini hatma ya wote hawa waliodaiwa kugawiwa hela za Escrow na James Rugemalira wa IPTL?
Je hao watu walioitwa majizi na Mh. Tundu Lissu bungeni ndio tuhuma zilizowakabili zimefutwa na sasa nao hawana hatia?
Je hii ina maana gani zaidi ya kwamba hizo hela walizovuna zilikuwa halali zao!
Je kitendo hicho kimetoa funzo na tafsiri gani kwa wananchi walipa kodi wa taifa hili?
Hakika sema wadanganyika wengi bado hawajajua hii siriKwa kweli nasubiri kwa hamu kumuona Ruge anachukua hatu gani kwani miaka minne jela si mchezo. Wakati anafunguliwa kesi na kuwekwa ndani SSH alikuwa makamu wa Rais na sasa baada ya corona kumwahi bosi wake karithi kiti na Ruge kaachiwa. Hapo ndipo patamu na ndipo unafiki wa Watanzania unapotia fora! Adui mkuu wa taifa hili hakika ni CCM.
Tumia kichwa kufikiri sio kufugia nywele Fisadi anafungwa sio kuachiwaInakuwaje adui awe CCM wakati hata wapinzani na wao wanatetea mafisadi na wanafurahia mafisadi wakiachiwa?
Povu hizi zinadhihirisha kauli ya jamaa kwamba ADUI namba Moja wa Tz ni CCCM ...Nchi hii siinaongozwa na cccmUkiwa na akili finyu utasingizia wasioonekana au ujumla ili ufiche umoja. Mfano adui wa nchi hii ni CCM! Hivi una akili kweli? CCM haiwezi kuwa baya bali watu binafsi walio katika CCM. Aliyeasisi Wizi wa Escrow ni JK, unaogopa kumtaja unaitaja CCM. Lazima muondokane na akili za upunguani kuhangaika na ujumla baadala ya umoja ili kuinusuru nchi yetu.
Unatakiwa upigie mstari: 'ADUI MKUBWA WA NCHI HII NI CCM'.Ukiwa na akili finyu utasingizia wasioonekana au ujumla ili ufiche umoja. Mfano adui wa nchi hii ni CCM! Hivi una akili kweli? CCM haiwezi kuwa baya bali watu binafsi walio katika CCM. Aliyeasisi Wizi wa Escrow ni JK, unaogopa kumtaja unaitaja CCM. Lazima muondokane na akili za upunguani kuhangaika na ujumla baadala ya umoja ili kuinusuru nchi yetu.
Tunasema ni CCM maana waliovuta mgao ni wana CCM na hawajaguswa mpaka leo. Imagine Mbowe angepewa hata laki 1 na Seth hivi asingekua amenyongwa? Hakuna kesi ya ufisadi nchi hii ambao mwanasiasa wa CCM ataburuzwa kortini tuliona hilo kwenye makinikia,EGMA,Escrow,lugumi, Kashfa ya Lugola na tenda hewa na hta huyo JPM hakufanya lolote kuwakamata.Ukiwa na akili finyu utasingizia wasioonekana au ujumla ili ufiche umoja. Mfano adui wa nchi hii ni CCM! Hivi una akili kweli? CCM haiwezi kuwa baya bali watu binafsi walio katika CCM. Aliyeasisi Wizi wa Escrow ni JK, unaogopa kumtaja unaitaja CCM. Lazima muondokane na akili za upunguani kuhangaika na ujumla baadala ya umoja ili kuinusuru nchi yetu.
Tanesco walipaswa kumlipa ile pesa lakini siyo yote.Kwanza hata Rugemalila hakuwai kuwa mwizi tuache janja janja TANESCO WALIPASWA KULIPA KIASI WALICHOMLIPA KWA UZALISHAJI UMEME HATA LISSU MWENYEWE KUNA HOTUBA ANASEMA WAMEONEWA HIVO SOMETIMES SIASA TUZIWEKE PEMBENI!!! Magufuli alikuwa shetani kabisa yan
Naamini wewe kidogo ubongo unafanyakazi! Hoja yangu ni kuwa, mwanaCCM anapofisadi na tukamjumisha katika CCM wote baadala ya kumsingoauti huyo fisadi, basi hoja huwa imeisha nguvu. Napendelea kupambana na fisadi kama fisadi mwenyewe baadala ya kumficha fisadi katika kivuli cha chama cha siasa. Chama cha siasa hakiwezi kuwa fisadi bali mwanachama mmoja mmoja.Tunasema ni CCM maana waliovuta mgao ni wana CCM na hawajaguswa mpaka leo. Imagine Mbowe angepewa hata laki 1 na Seth hivi asingekua amenyongwa? Hakuna kesi ya ufisadi nchi hii ambao mwanasiasa wa CCM ataburuzwa kortini tuliona hilo kwenye makinikia,EGMA,Escrow,lugumi, Kashfa ya Lugola na tenda hewa na hta huyo JPM hakufanya lolote kuwakamata.
CCM ni ileile ndio maana wanalindana
Hao sio majizi, karma imeisha washughulikia karibu wahusika wakuu wote na waliobakia, itamalizana nao!.View attachment 1942762
Je nini hatma ya wote hawa waliodaiwa kugawiwa hela za Escrow na James Rugemalira wa IPTL?
Je hao watu walioitwa majizi na Mh. Tundu Lissu bungeni ndio tuhuma zilizowakabili zimefutwa na sasa nao hawana hatia?
Je hii ina maana gani zaidi ya kwamba hizo hela walizovuna zilikuwa halali zao!
Je kitendo hicho kimetoa funzo na tafsiri gani kwa wananchi walipa kodi wa taifa hili?
Mnahubiri Upuuzi Kama huu!!awe na Dhamira njema apige watu Risasi !!!! Awe na dhamira njema aibe pesa afiche Seychelse au awe na dhamira njema aweke wanyarwanda 245 kwenye system? Kisa ni damu inayogusana na yake ? Awe na dhamira njema amuue Ben saa nane Kwa kummezesha Chatu? Tuwe wakweli bwanaMagufuli alikuwa mwana wa Tanzania,dhamira yake ilikuwa njema sana,ipo siku yule Fatma Karume atapigwa risasi hadharani
Huijui serikal wewe...yaan katoka kwa kudra halaf aje aishitak wakat wamemwonya kabisa..tunakutoa lakin marufuk kuisema vbaya serikal ama kufungua kesi ya madai...weee acha kabisaKuna fukuto la Rugemalila kuishtaki serikali kwa kumfunga bila kumfikisha mahakamani na kutowepo ushahidi wa kutosha.
Hivyo hitimisho laweza kuwa ni kwa serikali (kwa kushirikiana na mpangaji wa ile ghorofa ya nje) kuyamaliza nje ya mahakama na James Rugemalila na malipo kuwa ni siri.
Ila serikali itajifunza kuhakikisha ina vigezo na vielelezo vyote vya ushahidi juu ya mtu yoyote inaemtuhumu kwa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha.