Guselya Ngwandu
Member
- Sep 17, 2021
- 39
- 84
Nimeona mahubiri Ya Askofu Malasusa akiwashambulia watumishi wa Mungu ambao kwa madai yake yeye, waanaminiwa sana na waumini wao.
Askofu Malasusa anadai wachungaji hao wanaamini sana na watu kuliko Yesu.
Mahubiri haya yanayoonesha chuki ya Askofu Malasusa kwa watu kama Kimaro (wengine kama kina Mbiso wa Mbezi Beach, mchungaji wa Kariakoo na yule wa Kimara wanaweza kuingia kundi hili), hayashangazi kwa sabababu Malasusa anajulikana kuwa mtu wa ugomvi na visasi.
Ogopa sana Askofu ambaye alisema maaskofu na wachungaji wa Dayosisi ya Konde wafukuzwe kwenye msiba baba yake, mtu anayeweza kufukuza watu msibani ni wa kuogopwa kama Wafilisti.
Hajanishangaza ila amenisikitisha kwa sababu; Ameonesha wazi kuwa na shida na wachungaji aina ya kina Kimaro, na bila shaka mahubiri yake yalimlenga Kimaro.
pia, Askofu aelezwe kwamba hicho ambacho yeye anakiita kwamba “waumini wanamuamini mchungaji kuliko Yesu” hakijatengenezwa na hao wachungaji. Waumini hawaamini wachungaji kuliko Yesu, lakini wanaamini hao wachungaji ni viongozi wema kuwaongoza kumuendea Yesu, na hiyo ndiyo maana ya Kanisa.
Nadhani alipaswa kushangilia kwamba waumini wanaelewa sana hao wachungaji badala ya kununa, na kukuza maneno kwamba eti wachungaji wanaaminiwa kuliko Yesu.
aidha. Malasusa anataka kupuuza haja ya mioyo ya waumini kuishi na mchungaji wanayemuelewa?
Anataka kupuuza haja ya mioyo ya Wakiristo kwenda katika makanisa ambayo yanawapa upako kwa sababu watendaji wa Bwana katika mashamba hayo wanafanya kazi njema?
Aambiwe kwamba Waumini wakimpenda Mchungaji, mchungaji anapaswa kuachwa hapo na kusifiwa sio kupigwa vita.
Askofu Malasusa anadai wachungaji hao wanaamini sana na watu kuliko Yesu.
Mahubiri haya yanayoonesha chuki ya Askofu Malasusa kwa watu kama Kimaro (wengine kama kina Mbiso wa Mbezi Beach, mchungaji wa Kariakoo na yule wa Kimara wanaweza kuingia kundi hili), hayashangazi kwa sabababu Malasusa anajulikana kuwa mtu wa ugomvi na visasi.
Ogopa sana Askofu ambaye alisema maaskofu na wachungaji wa Dayosisi ya Konde wafukuzwe kwenye msiba baba yake, mtu anayeweza kufukuza watu msibani ni wa kuogopwa kama Wafilisti.
Hajanishangaza ila amenisikitisha kwa sababu; Ameonesha wazi kuwa na shida na wachungaji aina ya kina Kimaro, na bila shaka mahubiri yake yalimlenga Kimaro.
pia, Askofu aelezwe kwamba hicho ambacho yeye anakiita kwamba “waumini wanamuamini mchungaji kuliko Yesu” hakijatengenezwa na hao wachungaji. Waumini hawaamini wachungaji kuliko Yesu, lakini wanaamini hao wachungaji ni viongozi wema kuwaongoza kumuendea Yesu, na hiyo ndiyo maana ya Kanisa.
Nadhani alipaswa kushangilia kwamba waumini wanaelewa sana hao wachungaji badala ya kununa, na kukuza maneno kwamba eti wachungaji wanaaminiwa kuliko Yesu.
aidha. Malasusa anataka kupuuza haja ya mioyo ya waumini kuishi na mchungaji wanayemuelewa?
Anataka kupuuza haja ya mioyo ya Wakiristo kwenda katika makanisa ambayo yanawapa upako kwa sababu watendaji wa Bwana katika mashamba hayo wanafanya kazi njema?
Aambiwe kwamba Waumini wakimpenda Mchungaji, mchungaji anapaswa kuachwa hapo na kusifiwa sio kupigwa vita.