Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

View attachment 513532
Google Switzerland Opening Tunnel Ceremony to the World Cup and Olimpics Ceremonies..,angalia yote! Alafu tuishie hapa hapa! Chakula cha wakubwa hakiwafai watoto! Kama huku elewa usiniulize tena maswali, uwe na siku njema ndugu yangu!
Sasa ndio pumba gani umeandika hapa?
 
Majini ni malaika walio muasi Mungu pamoja na Shetani ,Majini yanatumiwa na shetani kutumikisha watu. wakrito wanayaita mapepo .Hakuna ushirika wowote kati ya ukristo na majini au mapepo ,kiufupi hayataki jina la Yesu. Ila kuna ushirika mkubwa kati ya uislamu na Majini, wanaswali nayo wanasema ni maislamu .Mimi hapo ndio napata mashaka makubwa juu ya Dini hii.

Kwa bahati mbaya sana mambo yahusuyo majini katika imani ya Kiislamu ni tofauti sana na vile tulivyosoma katika Biblia. Ingawa Quran na Hadithi za Muhammed, Mtume wa Waislamu, Vinatutaka sisi wakristo tumwamini allah S.W. mungu anayeabudiwa na Waislamu Misitikini.
Katika Suratul Waqia 51:56.

“Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” katika Quran Suratul Al- Ankabut (Buibui), 29:46-47) “ Wala msibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake”.

Waliopewa kitabu kwa mujibu wa Quran ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmoja je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na mafundisho ya Allah S.W. wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!

Muislam yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana katika Suratul Al- Baqarah (Ng’ombe Jike la Njano), 2:1-3.

“ Alif Lam Mym. Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ni uongozi kwa wamchao mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadaam) yamesemwa na mwenyezi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.

Quran peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti na mashetani, wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu majini waliamini Quran.

Tusomapo katika Quran Suratul al- Ahqaf, (Kichuguu cha mchanga) 46:29

“ Na (wakumbushe) tulipokuletea kundi la majini (kuja kwako) kusikiliza Quran. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana):- “ Nyamazeni (msikilizeni maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha (Somwa) walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya”.

Na ndani ya Quran kuna sura nzima inayoitwa sura ya majini (Mashetani) hiyo ni sura ya 72. katika sura hiyo inasema 72:1-3, 14. “ Sema: imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini liliisikia (Qurani) likasema hakika tumesikia Qurani ya ajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikisha yoyote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa. Hakujifanyia mke wala mwana…. Nasi wamo miongoni mwetu na wamo miongoni mwetu waliokengeuka waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.

Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.

Akifafanua asili ya majini Mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdalllah Saleh Farsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kisha akawa Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho “Maisha ya Nabii Mohammad” ule Uk. 31 anasema “ Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia majini wakasilimu kama inavyoonesha haya katika Suratul Jinn. Majini ni viumbe vyepesi vinavyokaa angani. havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili kwa umbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuweza kuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA. Kwa hiyo asili ya majini ni shetani.
Suala linalohusu malaika linawasumbua sana waislam hata hawana uhakika wake.

Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika waliokosa ambao ndiyo wanaoitwa majini lakini tusomapo Quran inatoa maelezo tofauti.

Quran suratul As- Sajdah, (kusujudu) , 32:13 “ Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa malaika lakini binadamu amepewa huria ya kufanya alitakalo- lililo jema na baya).

Katika ulimwengu wa Kiislamu Malaika wote ni8 wema na wanamwabudu mungu.
Hapa ndiyo tatizo linapoanzia. Quran iliyokuja baadaye inasema malaika wote ni wema wakati biblia kitalu kilichoitangulia Quran kinasema kuna malaika walioasi na wakafukuzwa katika utukufu wa Mungu.

Katika Quran Suratul, al- Kahf, (Pango) 18:50 “ Na (Kumbukeni) tulipowaambia Malaika, Msujudieni Adamu. Basi wakamsujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya mola wake……..”

Katika aya hiyo tunaona ibilisi akilaumiwa kwa kutomsujudia Adamu ingawa amri ya kusujudu walipewa malaika kumbe kwa mujibu wa Quran Ibilisi alikuwa miongoni mwao hao malaika yaani na yeye akiwa malaika.

Kwa sababu Quran haina habari kuhusu malaika walioasi yaani majini ndiyo maana wanapata tabu kuhusu jambo hilo. Na ndiyo maana pamoja na kujua kuwa hayo majini ni mashetani, Muilsamu amehiari kushirikiana nayo kwa kuswali nayo msikitini. Na hata mwislamu huyu anapomaliza kusali husalimia kulia na kushoto akiwasalimia watu malaika na majini (mashetani) waliokuja kushiriki naye katika Ibada yake, soma katika (Irshadul Muslimiin, Sheikh Said Musa, Uk. 38).

Katika Tafsiri ya Quran ya Iman Jalalaini Uk. 6:151 anasema kuhusu majini “ Hao ni watoto wa Ibilisi”.

Hii ndiyo sababu hata wanawake wa Kiislamu wakiwa katika kipindi cha hedhi hawaendi msikitini kwa sababu kuna majini na chakula cha majini ni damu. Tafakari kwa hiyo sifa ya hayo majini au mashetani kwa ujumla ni kuwa “ hujaribu kwa bidii sana kuwa karibu na waamini wale wanaosali, kufunga na kusoma Qurani “ (Asili ya majini, Dk. Ahmed H. Sakr Uk. 28) ndiyo maana baadhi ya waislam wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali.

Kwa sababu wao waislamu hawajui kupambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale malaika watakatifu wa Mungu Jehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na anamfanyia atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani).

Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohamed Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na. 74.

“ Anamwijia mmoja wenu shetani (Jini) katika sala basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi (yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka upepo) au anuse harufu ( ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Katika kitabu kiitwacho Asili ya Majini, cha Sheikh Dr Ahmad H. Sakr Uk. 116 anasema “ Hadithi ya Mtume inathibitisha jambo hili kuwa majini (mashetani) na watu wanaweza kuoana aliposema kwamba iwapo mtu ataingia katika uhusiano wa kindoa na mkewe anatakiwa ataje jina la Mwenyezi Mungu ajilinde kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya shetani aliyefukuzwa mbali na rehema. Vinginevyo shetani hujiviringisha katika dhakari (sehemu ya siri za mwanaume) ya mtu huyo na atashirikiana naye katika tendo hilo.

Tafakari yetu kuwa hiyo jinni anayeshiriki naye tendo la ndoa pamoja naye kwa mkewe ametumwa na nani?
Hapa ndipo patamu kwa kuwa waislam wa kiume huwa wanazini/wanaoa wanawake wa dini nyengine hii ina maana jini anayejiviringishaaa kwenye uume wa muislam akiwa anazini na mkristo/mpagani/myahudi/mhindu/mjusi n.k ina maana jini Huyo atakuwa anawamega wanawake wa dini hizo kkkkkkk.
Dini hazina mpango
Nalog off
 
Wewe kichaa mwendawazimu kweli kweli! Azarel stupid fool!
Sawa ila umeandika.mashudu tu ISIS

sasa kwanini unatokwa povu ukiambiwa ukweli kuwa umeandika mashudu?
 
Ni ngumu kuelew kt ucchokijua na ambach ni tofaut na iman yk mpk uamue so ckushangai juu ya hil bt vym uisom vym bible yak som agano la kal na jpy utaelew zaid
 
IMG_1283.JPG
 
Majini ndiyo asili yangu, una kingine ?
Sasa mkuu, mimi na wewe wote ni wabongo. Hatuna historia ya kutokuelewana ila kuishi kwa undugu na amani. Hamna haja ya kushindana wala matusi ambayo hayato tufikisha popote. Tuko hapa kuchangia mawazo tofauti hata kama tuna tunaofautiana bila kutukanana. Tuelewane na tutachingie mawazo yetu binafsi kwa amani maana itatusaidia kutuletea undugu wa kitanzania. Take it easy bro, sisi wabongo tunasifika kwa amani hata kama tunatofautiana kidini au kikabila.
 
majini waliumbwa na mungu kabla ya kuumbwa binadam ila wao wameumbwa kwa miale ya moto na asilimia kubwa wanaishi bahari kubwa na baadhi ambao wapo nchi kavu wanaishi kwenye miti mikubwa na chooni
wapo majini wanaofugwa na pia wapo wakristo na waislam na wasio na dini na jini mwenye dini uwez mkuta akidhuru mtu au kukaa maeneo machafu kwa mfano huku tanga kuna majini mawil maarufu 1)barike(jini wa kike)
2)Mguu wa chuma

hao majini huwa wanakuwepo kwa msimu katika wilaya ya pangani hao huwa hawapendi uchafu kwahivyo huwa wana muadhibu atakae kuwa anafanya uchafu ,umezini bila yajisafisha(janaba) kisha unalala. Hiyo n kesi.
Historia jini Barike inasemekana kulikuwa na msichana anaitwa barike na alifariki kisha ndio akatokea huyo jini ambaye alifanana na huyo msichana barike ndio watu wakamuita huyo jini barike



ahsante
 
IMG_1425.JPG
Sasa mkuu, mimi na wewe wote ni wabongo. Hatuna historia ya kutokuelewana ila kuishi kwa undugu na amani. Hamna haja ya kushindana wala matusi ambayo hayato tufikisha popote. Tuko hapa kuchangia mawazo tofauti hata kama tuna tunaofautiana bila kutukanana. Tuelewane na tutachingie mawazo yetu binafsi kwa amani maana itatusaidia kutuletea undugu wa kitanzania. Take it easy bro, sisi wabongo tunasifika kwa amani hata kama tunatofautiana kidini au kikabila.
Asante kwa kuniita bro! Mimi ni Goddess Isis my dear! Mwanamke haswa!
 
majini waliumbwa na mungu kabla ya kuumbwa binadam ila wao wameumbwa kwa miale ya moto na asilimia kubwa wanaishi bahari kubwa na baadhi ambao wapo nchi kavu wanaishi kwenye miti mikubwa na chooni
wapo majini wanaofugwa na pia wapo wakristo na waislam na wasio na dini na jini mwenye dini uwez mkuta akidhuru mtu au kukaa maeneo machafu kwa mfano huku tanga kuna majini mawil maarufu 1)barike(jini wa kike)
2)Mguu wa chuma

hao majini huwa wanakuwepo kwa msimu katika wilaya ya pangani hao huwa hawapendi uchafu kwahivyo huwa wana muadhibu atakae kuwa anafanya uchafu ,umezini bila yajisafisha(janaba) kisha unalala. Hiyo n kesi.
Historia jini Barike inasemekana kulikuwa na msichana anaitwa barike na alifariki kisha ndio akatokea huyo jini ambaye alifanana na huyo msichana barike ndio watu wakamuita huyo jini barike



ahsante
Asante sana!
 
Waislam hatujawahi kutatizika juu ya majini na malaika. Malaika aliumbwa kwa nuru jini kwa moto. Wapi umeona tumetatizika? Malaika hana freewill na hamuasi Allah jini ana freewill na anaweza kumuasi Allah na kumtii.

Vitabu ulivovizungumzia hawakupewa mayahudi na wakristo, wamepewa mayahudi tu.

Biblia unazingumzia biblia ambayo imetumgwa na watu? Maana madhehebu zenu zina sura tofauti tofauti kuendana na dhehebu.

Ndio muislam ili imani ikamilike lazima aamini ayanayoonekana na yasioonekana! Nyie hamuamini yasiyopnekana?

Shetani ni jini aliemuasi mungu. Katika quran akitajwa shetani basi ni yule aliemuasi mungu. Kama wewe ukimwita mwenzako mwizi lakini anabaki kuwa binaadamu ila tabia yake ni uwizi.

Kitabu kuhusu kujiwa na shetani ni fundisho tu linapotokea jambo ndo mana mwandidhi akamalizia kusema uendelee na sala mpaka uwe na uhakika kuwa umetokwa na upepo au umesikia harufu, hayo ni mafundisho ukikutana na situation hio. Ni kawaida shetani kumchezea alieshika dini akitaka apotee.

Umeliza swali huyo jini anaeshirikiana katika tendo la ndoa katumwa na nani? Jibu ametumwa na iblisi. Kwani wee ukenda kulewa umetumwa na yesu? Tujarobu kuzitumia akili tulizopewa basi.

Umeongea mambo mepesi sana ambayo hata wewe ungeyajibu mwenyewe.

Umenichekesha uliposema waislam wametatizika kuhusu Malaika. Sijui umetoa wapi kituko hicho.

Mliotatizika ni nyie, kuwa malaika amemiasi mungu mkawaita mapepo wakati malaika hawana freewill.... poleni sana. Nlisikia kuna pastor zimbabwe anapigiwa cmu na mungu, labda ungechakarika kumwambiaamuulize mungu kuhusu malaika na majini
Unasema Biblia imetungwa na watu.!! Nipe Ushahidi kwamba ufunuo wa Muhamad unatoka kwa Mungu Jehova. Nipe Torati na Injili na Zaburi Muhamadi na Mungu wenu Allah alivyowaambia muvisome. Wapi Torati ,Injili na Zaburi vinatutaka tuabudu na Majini?
 
Unasema Biblia imetungwa na watu.!! Nipe Ushahidi kwamba ufunuo wa Muhamad unatoka kwa Mungu Jehova. Nipe Torati na Injili na Zaburi Muhamadi na Mungu wenu Allah alivyowaambia muvisome. Wapi Torati ,Injili na Zaburi vinatutaka tuabudu na Majini?
Hakuna ushahidi kuwa quran imetoka kwa jehova bali imetoka kwa Allah. Kukosa migongano, na challenge ikatolewa watu watoe mfano wake, na aliahidi kuilinda na tangu ishushwe hadi leo ipo vile vile. Kwani kunasehemu nimesema vitabu vyenu vinataka muabudu majini? Au quran kuna sehemu imetaka tuabudu majini? Allah alitwambia tuvisome, lakini mmeshavichakachua. Na kuvisoma kwenyewe ni tujue yaliyoshushwa, lakini tumeambiwa tuifuate quran kwani imedumu hadi leo. Nyie hamjioni wakatoliki na wengine mnaimani tofauti juu ya kitabu chenu? Mnachagua kipi kiwekwe kipi kiongezwe ama kitolewe
 
Back
Top Bottom