Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Mpumbavu sana wewe na kizazi chako mkafe mbele milele yote! Wewe V Kweli Tupu! Stupid idiot!
Mimi nilifikiri tulisha malizana na wewe, lakini umeamua kunitukana tena. Sasa upumbavu wangu ni wa nini? Au majini hayakutoshelezi na nyege zako? Sina muda waku deal na mbwa kama wewe.
 
Jini ni kiumbe,shetani ni sifa.maana hata binaadam anaweza kua na tabia za shetan.

Jini anatabia kuu mbili,tabia za kibinaadam name tabia za kimaraika.

Tabia za kibinadam ,wanakula,wanazaliana,na wanakufa.

Tabia za kimalaika,wanageuka kua umbile lolote wanalotaka,wanazungumza lugha yoyote kwa ufasaha,wanapita popote wakati wowote nk.


Majini wameumbwa kwa moto na binadam ameumbwa kwa udongo.

Majini walikuwepo duniani miaka 2000kabla ya mwanadamu kuumbwa.
 
Inaonesha dhahiri kuwa quran huijui, shetani aitunge quran halafu ajilaani ktk tungo zake hizi na kuwasihi wanaokisoma kitabu hiko wasimfuate?
Andika kitabu chako itakuwa rahisi sana kukielewa, quran bado hujaielewa
Nalog off
Kwanini nasema Shetani aliyemjaribu Yesu ndiyo huyohuyo aliyetunga Quran tukufu?

Sihitaji kujua Quran ili kutambua kwamba ni maandiko yenye asili na shetani, ingawa Quran inakubali kwamba majini yamesilimu, na katika hadithi shetani anakojoa kwenye masikio ya mtume anaposinzia wakati wa sala!

Biblia imeshatuambia tayari kwamba maandiko yeyote ambayo tofauti na biblia, siyo ya Mungu wa kweli. Kwahiyo, Quran kwangu ni maandiko ya Sheitwan Iblis!!

Soma hapo

2 Yohana:1.9,10
Kila mtu anayevuka mipaka naye hakai katika fundisho la Kristo hana Mungu. Yeye ambaye anakaa katika fundisho hili ndiye aliye na Baba na Mwana pia. 10 Mtu yeyote akija kwenu naye haleti fundisho hili, msimpokee kamwe nyumbani mwenu wala kumsalimu.

Ufunuo:22.18,19
Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
19 Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
 
Jini ni kiumbe,shetani ni sifa.maana hata binaadam anaweza kua na tabia za shetan.

Jini anatabia kuu mbili,tabia za kibinaadam name tabia za kimaraika.

Tabia za kibinadam ,wanakula,wanazaliana,na wanakufa.

Tabia za kimalaika,wanageuka kua umbile lolote wanalotaka,wanazungumza lugha yoyote kwa ufasaha,wanapita popote wakati wowote nk.


Majini wameumbwa kwa moto na binadam ameumbwa kwa udongo.

Majini walikuwepo duniani miaka 2000kabla ya mwanadamu kuumbwa.
Hakuna shetani, Mungu wala jini.

Mawazo yako tu.
 
Malarkey.
Hahahahaaaaa.....

Umenikumbusha jamaa mmoja hivi ambaye ukimuona tu unapata kideri,unamkumbuka?

Unamkumbuka MaxShimba ? Najua ushapata kideri tayari,"ignore list was your only option..."

Hahahahaaaa,huwa anapenda sana kulitumia hilo neno kwa watu wenye akili kama yako "Malarkey"!
 
Hahahahaaaaa.....

Umenikumbusha jamaa mmoja hivi ambaye ukimuona tu unapata kideri,unamkumbuka?

Unamkumbuka MaxShimba ? Najua ushapata kideri tayari,"ignore list was your only option..."

Hahahahaaaa,huwa anapenda sana kulitumia hilo neno kwa watu wenye akili kama yako "Malarkey"!
Hogwash.
 
Back
Top Bottom