Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Suali la 2) Haijathibiti kwetu sisi kuswali na Majini labda yawepo pasina sisi kutambua kuwa yapo. Kuhusu utekelezaji Wa Ibada wao wanatekeleza wakiwa katika mazingira yao na hayahusiani na mwanadam na vivyo hivyo kwa Mwanadam.

Note: Majini ni viumbe vya mungu na hakuna Binadamu yeyotee Anaeweza kuwaumba.



Nimesema hivyo kutokana na kujengeka dhana miongoni mwa watu wengi hasa wasiokuwa waislam kuwa shehe flani sijui anatengeneza na kufuga Majini. Tambua Majini hayafugiki.


Mahusiano yanakuwepo na wanadamu kwa mkataba wenyewe watakao kubaliana ambapo ni kinyume na Uislam uliovyofundisha.

Rejea aya hii


( وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا )

الجن (6) Al-Jinn

Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.


Hivyo Ndugu yangu katika Adam Uislam ukoo mbalii na masuala ya kishetani Bali unatufundisha kumuabudu mungu mmoja, kutenda matendo memaa na mengine mengi mazuri..

Na atakaefanya hayo yaliokuwa mazuri atakuwa na makazi mema kwa Mola wakeee na hii nii kwa viumbe vyote Binadamu na Majini

Rejea hapa..


( وَلِمَنْ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِ جَنَّتَانِ )

الرحمن (46) Ar-Rahmaan

Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.


( فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ )

الرحمن (47) Ar-Rahmaan

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?


( ذَوَاتَا أَفْنَانٍ )

الرحمن (48) Ar-Rahmaan

Bustani zenye matawi yaliyo tanda.


( فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ )

الرحمن (49) Ar-Rahmaan

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?


( فِيهِمَا مِن كُلِّ فَاكِهَةٍ زَوْجَانِ )

الرحمن (52) Ar-Rahmaan

Humo katika kila matunda zimo namna mbili.


( مُتَّكِئِينَ عَلَىٰ فُرُشٍ بَطَائِنُهَا مِنْ إِسْتَبْرَقٍ ۚ وَجَنَى الْجَنَّتَيْنِ دَانٍ )

الرحمن (54) Ar-Rahmaan

Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu.



( فِيهِنَّ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنسٌ قَبْلَهُمْ وَلَا جَانٌّ )

الرحمن (56) Ar-Rahmaan

Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.




WabillahTawfiq
Sawa mkuu
 
Nasema hivi,
Uislamu na Ukristo ni Imani mbili tofauti kabisa. Ingawa Uislamu imekopi maneno fulani ya kwenye biblia.
Utashangaa baadhi ya waislamu wanasema Isa ni Yesu na wanamheshimu kama mtume lakini wengine wanamdhihaki, ni vipi mnamdhihaki tena Nabii Isa au Yesu wakati ni mtume wenu pia ?
Waislamu wamefundishwa kuwa kuna Majini mema na mabaya.
Majini mema ni maislamu kama wao, na wanashirikiana nao katika matendo yote ya Ibada, mimi nauliza ivi wanashirikiana kwenye ibada tu.
Mbona waislamu wengine wana majina ya majini ?
Kwa mfano jina MAIMUNA ni jina la majini pia.
Kwenye Biblia Mungu anawakataza watu kushirikiana na majini kwa hali yoyote ile.
Hapa nimenukuu kitabu cha Walawi 17 : 7

" 7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi "

Mungu anasema watu wasitoe sadaka kwa majini, wala kushirikiano nao kwa matendo mabaya kwa maisha yao yote, hapo inamaana majini hawana matendo mema.
Hapo ina maanisha kuwa majini ni viumbe walio laaniwa na hawana ushirika tana na Mungu milele.
Lakini Qurani inasema yametubu na ni maislamu.
Sasa hapo tumwamini nani, Allah au Yehova.
Yesu kila alipokutana na watu waliokaliwa na majini aliyafukuza, kwanini hakuyapa nafasi ya kutubu ?
Dini ya Kiislamu ni dini ya Majini na Binadamu wanao jiita Waislamu.
Nawaambia ndugu zangu wa Kiislamu waitafakari sana dini yao hiyo.
Mungu ni muasisi wa demokrasia na aliruhusu wema na ubaya, ufalme wa giza na nuru, umungu na ushetani, tumeona hapo mwanzo Mungu alitengeneza utaratibu wa kumwabudu na upo kwenye mtiririko mmoja tokea katika kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo, na katika kitabu cha Ufunuo Mungu anasema hayo ndiyo maandiko yake ya mwisho, mtu asiongeza wala kupunguza chochote.
Lakini bila kumshtukia kaja Muhamadi na kaongeza maneno yake tena. Mungu si alisha sema Ufunuo ndio mwisho, na katoa adhabu kwa yoyote atakaye leta neno jingine.
Na amesisitiza kabisa kuwa mtu atakayeleta Injiri nyingine na amekwisha laaniwa.
Shetani naye kaja na utaratibu wake wa kumuabudu Lusifer, na kaja na kitabu chake.
Lusifa kaiba mambo mengi ya kwenye biblia hasa yale mambo ya historia ambayo hayana uzito kwenye wokovu ili kuwahadaa watu waone kwamba hicho kitabu ni cha kweli.
Lakini mambo ya msingi ya wokovu ambayo Mungu ameyasisitiza kwa kizazi chetu mambo kama.
-Ubatizo
-Kifo na mateso ya Yesu Kristo
-Mamlaka ya Yesu
-Mungu alikuja duniani kama mtu Yesu, ili atupe kweli yake kwa usahihi
Qurani imeyakwepa kabisa na kumkweza Muhamadi.
Hivi Nabii anakuja duniani hajawahi kukutana na Malaika, hajawahi kutabiriwa popote, hajawahi kufanya muujiza wowote, eti anasema Qurani ndio muijiza wake.
Kwanza hivyo vitabu alivyo vinukuu sio muujiza ?
Ananukuu Torati halafu anasema ndio muujiza wake...!
Ni ajabu sana.
Waislamu mujitafakari tena na tena, haiwezekani mkifuate kitabu cha Dini ya Majini.
Rushidie aliposema kuwa Qurani ni aya za Shetani badala ya kukiruhusi hicho kitabu ili mkisome kwa umakini na kukitafakari mnaishia kukipiga marufuku.
Hamshangai kwa wenzenu Wakristo, vitabu vyoote vinavyo ukashifu Ukristo havipigwi marufuku, jiulizeni ni kwanini sio kwenu.
Mkimwona mtu kachana ukurasa mmoja tu wa kitabu cha Qurani mnataka kumchinja, je kwa biblia ni hivyo hivyo ?
Hiyo hasira inatoka wapi ?
Upendo kwenu una maana gani ?
Hakika nawaambia Uislamu, Qurani na Muhammadi ni kanyaboya tu.
Siku ya Kiyama atakapo kuja Yesu Kristo mtashuhudia ukweli huu.
Badala ya kumfuata atakaye kuja kutufufua binadamu wote na kutupeleka mbinguni, na wahalifu kuwatupa Jehanamu siku KIYAMA ninyi kwa makusudi kabisa mnamfumbia macho na kumthamini mfu Muhamadi.
Mtamweleza nini Yesu Kristo siku ya Kiyama ?
Akiwauliza,
" Niliwaagiza ni lazima Mbatizwe kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu "
Mtamjibu nini ?
Kwamba mlikatazwa na Muhamadi na mkamsikiliza...!
Mkuu wewe unawashangaa waislamu kusema kuwa kuna majini wazuri na wabaya kama tuluvyo binaadamu,ila na waislamu hushangaa pia wakristo wanaposema kuna malaika waovu.
 
Mkuu wewe unawashangaa waislamu kusema kuwa kuna majini wazuri na wabaya kama tuluvyo binaadamu,ila na waislamu hushangaa pia wakristo wanaposema kuna malaika waovu.
Hakuna Mkristo anayesema kuna Malaika Waovu.
Wala andiko linalosema hivyo halipo. Malaika ni viumbe wa ufalme wa Nuru.
Mfano,
kiumbe Ibirisi ni mwovu tu na hakuna Ibirisi mwema.
Biblia inasema, Majini ni viumbe waovu kama alivyo Ibirisi au Lucifer.
Majini ni aina mojawapo ya miungu inayotaka kuabudiwa kama Mungu, ndio maana katika Biblia Mungu amekataza kuyafanyia ibada na kuyatolea sadaka.

" 7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi "

Yesu Kristo alipokutana na mtu aliyepagawa na Majini au Mapepo wala hakuyapa nafasi ya kutubu, wala hakuwahi kufundisha kuwa kuna majini mema, ni kwamba aliyakemea ili yamtoke huyo mtu.
Majini yakimpagawa mtu huwa yana mtesa tu huyo mtu, haijawahi kuonekana Jini anamsaidia binadamu katika kufanya jambo jema.
Hivyo majini ni viumbe wa ufalme wa giza, pamoja na jamii zake kama ma Ibirisi, mamizimu, mapepo, mandondocha, mapopobawa, mavinyamkera, na jamii zake.
Kama kuna kitabu kinasema hayo maviumbe ni yanaweza kutubu na kutoka ufalme wa Giza na kuja ufalme wa Nuru basi ni mafundisho ya hicho kitabu lakini Biblia haisemi hivyo.
 
Hivi kwanini sijawahi kuskia majini yenye majina ya kikristu eg. John,Mary, Paul, Eugene etc. Utaskia maimuna sijui nani vile...
 
Pia naomba msaada kwa ndugu zangu waislamu, naskia kuna swala moja ukiisali sijui mara ngapi vile kufumba na kufumbua unamuona jini
 
Hakuna Mkristo anayesema kuna Malaika Waovu.
Wala andiko linalosema hivyo halipo. Malaika ni viumbe wa ufalme wa Nuru.
Mfano,
kiumbe Ibirisi ni mwovu tu na hakuna Ibirisi mwema.
Biblia inasema, Majini ni viumbe waovu kama alivyo Ibirisi au Lucifer.
Majini ni aina mojawapo ya miungu inayotaka kuabudiwa kama Mungu, ndio maana katika Biblia Mungu amekataza kuyafanyia ibada na kuyatolea sadaka.

" 7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi "

Yesu Kristo alipokutana na mtu aliyepagawa na Majini au Mapepo wala hakuyapa nafasi ya kutubu, wala hakuwahi kufundisha kuwa kuna majini mema, ni kwamba aliyakemea ili yamtoke huyo mtu.
Majini yakimpagawa mtu huwa yana mtesa tu huyo mtu, haijawahi kuonekana Jini anamsaidia binadamu katika kufanya jambo jema.
Hivyo majini ni viumbe wa ufalme wa giza, pamoja na jamii zake kama ma Ibirisi, mamizimu, mapepo, mandondocha, mapopobawa, mavinyamkera, na jamii zake.
Kama kuna kitabu kinasema hayo maviumbe ni yanaweza kutubu na kutoka ufalme wa Giza na kuja ufalme wa Nuru basi ni mafundisho ya hicho kitabu lakini Biblia haisemi hivyo.
Mkuu ukristo ndio unafundisha kuwa majini asili yao ni malaika waliyoasi,hivyo kwa mujibu wa ukristo majini ni malaika na ndiyo maana nasema waislamu nao hushangaa kwamba kuna malaika waovu ambao ndio hao majini.

Tatizo wakristo huchukulia majini kama viumbe vyengine kabisa wakati wanafundishwa kuwa wale ni malaika.
 
Hivi kwanini sijawahi kuskia majini yenye majina ya kikristu eg. John,Mary, Paul, Eugene etc. Utaskia maimuna sijui nani vile...
Tatizo majina mengi tunayotumia ni ya waarabu na wazungu,sidhani kama wazungu nao kuna jini wanaloliita Maimuna kama ambavyo tunavyofanya huku wabongo.
 
Tatizo majina mengi tunayotumia ni ya waarabu na wazungu,sidhani kama wazungu nao kuna jini wanaloliita Maimuna kama ambavyo tunavyofanya huku wabongo.
Sahihi kabisa. Ni suala la mapokeo tu.

Kama ambavyo wazungu Daudi wakamuita David.. Jibril Gabriel.. Yahya John.. Musa Moses.. Yusuf Joseph.. Mariamu Mary/Maria.. Issa Jesus.. Haruni Aaron.. Nuh Noah.. Is-haq Isack..

Niendelee?
 
Sahihi kabisa. Ni suala la mapokeo tu.

Kama ambavyo wazungu Daudi walivyomuita David.. Jibril Gabriel.. Yahya John.. Musa Moses.. Yusuf Joseph.. Mariamu Mary/Maria.. Issa Jesus.. Haruni Aaron.. Nuh Noah.. Is-haq Isack..

Niendelee?
Inatosha mkuu umeeleweka kabisa.
 
Ila wenzetu naona mnayapenda sana majini hadi mnatoa macho kuyatetea.
Utasikia mnasema.

" (-Majini ni viumbe tu wa mwenyezi Mungu kama tulivyo sisi wanadamu.
-Kuna Majini wema na wabaya kama tulivyo sisi wanadamu.
-Yako baadhi ya Majini yamesilimu na ni maislamu kama sisi tu.
-Majini yaliumbwa ili yamwabudu Mungu kama sisi.
-Msiyachukie majini kwa maana yako mengine ni machamungu sana na wanaijua dini kupita hata baadhi yetu sisi wanadamu.
- Majini hayana uhusiano wowote na Ibirisi Shetani.
- Tuwapende tu ndugu zetu wa Kijini kama tunavyopendana sisi watu.
-Mnayaonea tu Majini kwa kusema eti yote yamemuasi Mungu, yako mengine yanamtumikia Mungu kama tulivyo baadhi yetu sisi.
- Hata hiki kitabu chetu cha dini kinatumiwa pia na Majini, kwakuwa wao na sisi dini yetu moja.
-Acheni kuyasema vibaya Majini, kwani sisi na wao walio wema tutaenda kuishi peponi kwa pamoja baada ya Kiyama.) "

Poleni ndugu zangu.
 
Ila wenzetu naona mnayapenda sana majini hadi mnatoa macho kuyatetea.
Utasikia mnasema.

" (-Majini ni viumbe tu wa mwenyezi Mungu kama tulivyo sisi wanadamu.
-Kuna Majini wema na wabaya kama tulivyo sisi wanadamu.
-Yako baadhi ya Majini yamesilimu na ni maislamu kama sisi tu.
-Majini yaliumbwa ili yamwabudu Mungu kama sisi.
-Msiyachukie majini kwa maana yako mengine ni machamungu sana na wanaijua dini kupita hata baadhi yetu sisi wanadamu.
- Majini hayana uhusiano wowote na Ibirisi Shetani.
- Tuwapende tu ndugu zetu wa Kijini kama tunavyopendana sisi watu.
-Mnayaonea tu Majini kwa kusema eti yote yamemuasi Mungu, yako mengine yanamtumikia Mungu kama tulivyo baadhi yetu sisi.
- Hata hiki kitabu chetu cha dini kinatumiwa pia na Majini, kwakuwa wao na sisi dini yetu moja.
-Acheni kuyasema vibaya Majini, kwani sisi na wao walio wema tutaenda kuishi peponi kwa pamoja baada ya Kiyama.) "

Poleni ndugu zangu.
Point ya msingi sio kuwa na majini wazuri au wabaya,bali ni asili ya hao majini ndio tatizo lililopo.

Maana wewe ndugu unapowazungumzia majini ni kama vile unazungumzia viumbe ambavyo vimeumbwa na vikiwa na ushetani kabisa yani asili yao ushetani.
 
Majini ni malaika walio muasi Mungu pamoja na Shetani ,Majini yanatumiwa na shetani kutumikisha watu. wakrito wanayaita mapepo .Hakuna ushirika wowote kati ya ukristo na majini au mapepo ,kiufupi hayataki jina la Yesu. Ila kuna ushirika mkubwa kati ya uislamu na Majini, wanaswali nayo wanasema ni maislamu .Mimi hapo ndio napata mashaka makubwa juu ya Dini hii.

Kwa bahati mbaya sana mambo yahusuyo majini katika imani ya Kiislamu ni tofauti sana na vile tulivyosoma katika Biblia. Ingawa Quran na Hadithi za Muhammed, Mtume wa Waislamu, Vinatutaka sisi wakristo tumwamini allah S.W. mungu anayeabudiwa na Waislamu Misitikini.
Katika Suratul Waqia 51:56.

“Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” katika Quran Suratul Al- Ankabut (Buibui), 29:46-47) “ Wala msibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake”.

Waliopewa kitabu kwa mujibu wa Quran ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmoja je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na mafundisho ya Allah S.W. wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!

Muislam yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana katika Suratul Al- Baqarah (Ng’ombe Jike la Njano), 2:1-3.

“ Alif Lam Mym. Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ni uongozi kwa wamchao mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadaam) yamesemwa na mwenyezi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.

Quran peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti na mashetani, wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu majini waliamini Quran.

Tusomapo katika Quran Suratul al- Ahqaf, (Kichuguu cha mchanga) 46:29

“ Na (wakumbushe) tulipokuletea kundi la majini (kuja kwako) kusikiliza Quran. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana):- “ Nyamazeni (msikilizeni maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha (Somwa) walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya”.

Na ndani ya Quran kuna sura nzima inayoitwa sura ya majini (Mashetani) hiyo ni sura ya 72. katika sura hiyo inasema 72:1-3, 14. “ Sema: imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini liliisikia (Qurani) likasema hakika tumesikia Qurani ya ajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikisha yoyote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa. Hakujifanyia mke wala mwana…. Nasi wamo miongoni mwetu na wamo miongoni mwetu waliokengeuka waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.

Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.

Akifafanua asili ya majini Mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdalllah Saleh Farsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kisha akawa Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho “Maisha ya Nabii Mohammad” ule Uk. 31 anasema “ Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia majini wakasilimu kama inavyoonesha haya katika Suratul Jinn. Majini ni viumbe vyepesi vinavyokaa angani. havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili kwa umbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuweza kuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA. Kwa hiyo asili ya majini ni shetani.
Suala linalohusu malaika linawasumbua sana waislam hata hawana uhakika wake.

Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika waliokosa ambao ndiyo wanaoitwa majini lakini tusomapo Quran inatoa maelezo tofauti.

Quran suratul As- Sajdah, (kusujudu) , 32:13 “ Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa malaika lakini binadamu amepewa huria ya kufanya alitakalo- lililo jema na baya).

Katika ulimwengu wa Kiislamu Malaika wote ni8 wema na wanamwabudu mungu.
Hapa ndiyo tatizo linapoanzia. Quran iliyokuja baadaye inasema malaika wote ni wema wakati biblia kitalu kilichoitangulia Quran kinasema kuna malaika walioasi na wakafukuzwa katika utukufu wa Mungu.

Katika Quran Suratul, al- Kahf, (Pango) 18:50 “ Na (Kumbukeni) tulipowaambia Malaika, Msujudieni Adamu. Basi wakamsujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya mola wake……..”

Katika aya hiyo tunaona ibilisi akilaumiwa kwa kutomsujudia Adamu ingawa amri ya kusujudu walipewa malaika kumbe kwa mujibu wa Quran Ibilisi alikuwa miongoni mwao hao malaika yaani na yeye akiwa malaika.

Kwa sababu Quran haina habari kuhusu malaika walioasi yaani majini ndiyo maana wanapata tabu kuhusu jambo hilo. Na ndiyo maana pamoja na kujua kuwa hayo majini ni mashetani, Muilsamu amehiari kushirikiana nayo kwa kuswali nayo msikitini. Na hata mwislamu huyu anapomaliza kusali husalimia kulia na kushoto akiwasalimia watu malaika na majini (mashetani) waliokuja kushiriki naye katika Ibada yake, soma katika (Irshadul Muslimiin, Sheikh Said Musa, Uk. 38).

Katika Tafsiri ya Quran ya Iman Jalalaini Uk. 6:151 anasema kuhusu majini “ Hao ni watoto wa Ibilisi”.

Hii ndiyo sababu hata wanawake wa Kiislamu wakiwa katika kipindi cha hedhi hawaendi msikitini kwa sababu kuna majini na chakula cha majini ni damu. Tafakari kwa hiyo sifa ya hayo majini au mashetani kwa ujumla ni kuwa “ hujaribu kwa bidii sana kuwa karibu na waamini wale wanaosali, kufunga na kusoma Qurani “ (Asili ya majini, Dk. Ahmed H. Sakr Uk. 28) ndiyo maana baadhi ya waislam wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali.

Kwa sababu wao waislamu hawajui kupambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale malaika watakatifu wa Mungu Jehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na anamfanyia atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani).

Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohamed Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na. 74.

“ Anamwijia mmoja wenu shetani (Jini) katika sala basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi (yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka upepo) au anuse harufu ( ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Katika kitabu kiitwacho Asili ya Majini, cha Sheikh Dr Ahmad H. Sakr Uk. 116 anasema “ Hadithi ya Mtume inathibitisha jambo hili kuwa majini (mashetani) na watu wanaweza kuoana aliposema kwamba iwapo mtu ataingia katika uhusiano wa kindoa na mkewe anatakiwa ataje jina la Mwenyezi Mungu ajilinde kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya shetani aliyefukuzwa mbali na rehema. Vinginevyo shetani hujiviringisha katika dhakari (sehemu ya siri za mwanaume) ya mtu huyo na atashirikiana naye katika tendo hilo.

Tafakari yetu kuwa hiyo jinni anayeshiriki naye tendo la ndoa pamoja naye kwa mkewe ametumwa na nani?
Nimecopy kipengele hiki ulichoongelea kuwa....


Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.


Kudeclear interest....Mimi ni muislam.

Kwanza ujue quraan ndo kitabu cha mwisho kuja,
Na mtume aliekuja na mafundisho ya quraan ni Muhammad s.w.

Quraan ni majumuisho ya vitabu vilivotangulia.. Baadhi yake ni ..zaburi...torat ....idjil na vingine...

Hoja yangu hapa, nabii Issa s.w ambaye wengine walimwita yeasu.
Huyu yy aliekuja kabla ya Muhammad s.w.
Na alikuja na kitabu kinaitwa injil.

Hiyo biblia unayosema ww ilikuwepo karne 6 kabla ya quraan ni ipi? Yaani ni mtume yupi aliekuja kuitetea biblia!?

Kama huna ulijualo kuhusu dini ni vema ungesoma zaidi kuliko kuzusha yasi0kuwepo!
 
Majini ni malaika walio muasi Mungu pamoja na Shetani ,Majini yanatumiwa na shetani kutumikisha watu. wakrito wanayaita mapepo .Hakuna ushirika wowote kati ya ukristo na majini au mapepo ,kiufupi hayataki jina la Yesu. Ila kuna ushirika mkubwa kati ya uislamu na Majini, wanaswali nayo wanasema ni maislamu .Mimi hapo ndio napata mashaka makubwa juu ya Dini hii.

Kwa bahati mbaya sana mambo yahusuyo majini katika imani ya Kiislamu ni tofauti sana na vile tulivyosoma katika Biblia. Ingawa Quran na Hadithi za Muhammed, Mtume wa Waislamu, Vinatutaka sisi wakristo tumwamini allah S.W. mungu anayeabudiwa na Waislamu Misitikini.
Katika Suratul Waqia 51:56.

“Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” katika Quran Suratul Al- Ankabut (Buibui), 29:46-47) “ Wala msibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake”.

Waliopewa kitabu kwa mujibu wa Quran ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmoja je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na mafundisho ya Allah S.W. wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!

Muislam yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana katika Suratul Al- Baqarah (Ng’ombe Jike la Njano), 2:1-3.

“ Alif Lam Mym. Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ni uongozi kwa wamchao mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadaam) yamesemwa na mwenyezi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.

Quran peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti na mashetani, wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu majini waliamini Quran.

Tusomapo katika Quran Suratul al- Ahqaf, (Kichuguu cha mchanga) 46:29

“ Na (wakumbushe) tulipokuletea kundi la majini (kuja kwako) kusikiliza Quran. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana):- “ Nyamazeni (msikilizeni maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha (Somwa) walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya”.

Na ndani ya Quran kuna sura nzima inayoitwa sura ya majini (Mashetani) hiyo ni sura ya 72. katika sura hiyo inasema 72:1-3, 14. “ Sema: imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini liliisikia (Qurani) likasema hakika tumesikia Qurani ya ajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikisha yoyote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa. Hakujifanyia mke wala mwana…. Nasi wamo miongoni mwetu na wamo miongoni mwetu waliokengeuka waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.

Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.

Akifafanua asili ya majini Mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdalllah Saleh Farsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kisha akawa Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho “Maisha ya Nabii Mohammad” ule Uk. 31 anasema “ Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia majini wakasilimu kama inavyoonesha haya katika Suratul Jinn. Majini ni viumbe vyepesi vinavyokaa angani. havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili kwa umbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuweza kuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA. Kwa hiyo asili ya majini ni shetani.
Suala linalohusu malaika linawasumbua sana waislam hata hawana uhakika wake.

Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika waliokosa ambao ndiyo wanaoitwa majini lakini tusomapo Quran inatoa maelezo tofauti.

Quran suratul As- Sajdah, (kusujudu) , 32:13 “ Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa malaika lakini binadamu amepewa huria ya kufanya alitakalo- lililo jema na baya).

Katika ulimwengu wa Kiislamu Malaika wote ni8 wema na wanamwabudu mungu.
Hapa ndiyo tatizo linapoanzia. Quran iliyokuja baadaye inasema malaika wote ni wema wakati biblia kitalu kilichoitangulia Quran kinasema kuna malaika walioasi na wakafukuzwa katika utukufu wa Mungu.

Katika Quran Suratul, al- Kahf, (Pango) 18:50 “ Na (Kumbukeni) tulipowaambia Malaika, Msujudieni Adamu. Basi wakamsujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya mola wake……..”

Katika aya hiyo tunaona ibilisi akilaumiwa kwa kutomsujudia Adamu ingawa amri ya kusujudu walipewa malaika kumbe kwa mujibu wa Quran Ibilisi alikuwa miongoni mwao hao malaika yaani na yeye akiwa malaika.

Kwa sababu Quran haina habari kuhusu malaika walioasi yaani majini ndiyo maana wanapata tabu kuhusu jambo hilo. Na ndiyo maana pamoja na kujua kuwa hayo majini ni mashetani, Muilsamu amehiari kushirikiana nayo kwa kuswali nayo msikitini. Na hata mwislamu huyu anapomaliza kusali husalimia kulia na kushoto akiwasalimia watu malaika na majini (mashetani) waliokuja kushiriki naye katika Ibada yake, soma katika (Irshadul Muslimiin, Sheikh Said Musa, Uk. 38).

Katika Tafsiri ya Quran ya Iman Jalalaini Uk. 6:151 anasema kuhusu majini “ Hao ni watoto wa Ibilisi”.

Hii ndiyo sababu hata wanawake wa Kiislamu wakiwa katika kipindi cha hedhi hawaendi msikitini kwa sababu kuna majini na chakula cha majini ni damu. Tafakari kwa hiyo sifa ya hayo majini au mashetani kwa ujumla ni kuwa “ hujaribu kwa bidii sana kuwa karibu na waamini wale wanaosali, kufunga na kusoma Qurani “ (Asili ya majini, Dk. Ahmed H. Sakr Uk. 28) ndiyo maana baadhi ya waislam wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali.

Kwa sababu wao waislamu hawajui kupambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale malaika watakatifu wa Mungu Jehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na anamfanyia atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani).

Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohamed Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na. 74.

“ Anamwijia mmoja wenu shetani (Jini) katika sala basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi (yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka upepo) au anuse harufu ( ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Katika kitabu kiitwacho Asili ya Majini, cha Sheikh Dr Ahmad H. Sakr Uk. 116 anasema “ Hadithi ya Mtume inathibitisha jambo hili kuwa majini (mashetani) na watu wanaweza kuoana aliposema kwamba iwapo mtu ataingia katika uhusiano wa kindoa na mkewe anatakiwa ataje jina la Mwenyezi Mungu ajilinde kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya shetani aliyefukuzwa mbali na rehema. Vinginevyo shetani hujiviringisha katika dhakari (sehemu ya siri za mwanaume) ya mtu huyo na atashirikiana naye katika tendo hilo.

Tafakari yetu kuwa hiyo jinni anayeshiriki naye tendo la ndoa pamoja naye kwa mkewe ametumwa na nani?
Ndicho ulichovishwa hiki leo kanisani!!!?
 
Wacheni kuyatetea Majini, acheni yajitetee yenyewe.
Kwa ninyi nanyi ni Majini ?
 
Kwa kifupi kwa mujibu wa Quran mungu ameumba binadamu kwa udongo ,ameumba majini kwa moto na ameumba malaika kwa nuru
Binadamu na majini tunafanana kwa kila kitu ila wao walitangulia kuumbwa
Pia mungu anasema katika qurani nimeumba majini na watu ili waniabudu
Pia ktk aya nyingine anasema nimeweka pepo na jahanamu kwa ajili ya majini na watu
 
Back
Top Bottom