Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Majini ni malaika walio muasi Mungu pamoja na Shetani ,Majini yanatumiwa na shetani kutumikisha watu. wakrito wanayaita mapepo .Hakuna ushirika wowote kati ya ukristo na majini au mapepo ,kiufupi hayataki jina la Yesu. Ila kuna ushirika mkubwa kati ya uislamu na Majini, wanaswali nayo wanasema ni maislamu .Mimi hapo ndio napata mashaka makubwa juu ya Dini hii.

Kwa bahati mbaya sana mambo yahusuyo majini katika imani ya Kiislamu ni tofauti sana na vile tulivyosoma katika Biblia. Ingawa Quran na Hadithi za Muhammed, Mtume wa Waislamu, Vinatutaka sisi wakristo tumwamini allah S.W. mungu anayeabudiwa na Waislamu Misitikini.
Katika Suratul Waqia 51:56.

“Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” katika Quran Suratul Al- Ankabut (Buibui), 29:46-47) “ Wala msibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake”.

Waliopewa kitabu kwa mujibu wa Quran ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmoja je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na mafundisho ya Allah S.W. wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!

Muislam yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana katika Suratul Al- Baqarah (Ng’ombe Jike la Njano), 2:1-3.

“ Alif Lam Mym. Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ni uongozi kwa wamchao mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadaam) yamesemwa na mwenyezi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.

Quran peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti na mashetani, wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu majini waliamini Quran.

Tusomapo katika Quran Suratul al- Ahqaf, (Kichuguu cha mchanga) 46:29

“ Na (wakumbushe) tulipokuletea kundi la majini (kuja kwako) kusikiliza Quran. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana):- “ Nyamazeni (msikilizeni maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha (Somwa) walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya”.

Na ndani ya Quran kuna sura nzima inayoitwa sura ya majini (Mashetani) hiyo ni sura ya 72. katika sura hiyo inasema 72:1-3, 14. “ Sema: imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini liliisikia (Qurani) likasema hakika tumesikia Qurani ya ajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikisha yoyote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa. Hakujifanyia mke wala mwana…. Nasi wamo miongoni mwetu na wamo miongoni mwetu waliokengeuka waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.

Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.

Akifafanua asili ya majini Mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdalllah Saleh Farsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kisha akawa Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho “Maisha ya Nabii Mohammad” ule Uk. 31 anasema “ Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia majini wakasilimu kama inavyoonesha haya katika Suratul Jinn. Majini ni viumbe vyepesi vinavyokaa angani. havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili kwa umbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuweza kuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA. Kwa hiyo asili ya majini ni shetani.
Suala linalohusu malaika linawasumbua sana waislam hata hawana uhakika wake.

Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika waliokosa ambao ndiyo wanaoitwa majini lakini tusomapo Quran inatoa maelezo tofauti.

Quran suratul As- Sajdah, (kusujudu) , 32:13 “ Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa malaika lakini binadamu amepewa huria ya kufanya alitakalo- lililo jema na baya).

Katika ulimwengu wa Kiislamu Malaika wote ni8 wema na wanamwabudu mungu.
Hapa ndiyo tatizo linapoanzia. Quran iliyokuja baadaye inasema malaika wote ni wema wakati biblia kitalu kilichoitangulia Quran kinasema kuna malaika walioasi na wakafukuzwa katika utukufu wa Mungu.

Katika Quran Suratul, al- Kahf, (Pango) 18:50 “ Na (Kumbukeni) tulipowaambia Malaika, Msujudieni Adamu. Basi wakamsujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya mola wake……..”

Katika aya hiyo tunaona ibilisi akilaumiwa kwa kutomsujudia Adamu ingawa amri ya kusujudu walipewa malaika kumbe kwa mujibu wa Quran Ibilisi alikuwa miongoni mwao hao malaika yaani na yeye akiwa malaika.

Kwa sababu Quran haina habari kuhusu malaika walioasi yaani majini ndiyo maana wanapata tabu kuhusu jambo hilo. Na ndiyo maana pamoja na kujua kuwa hayo majini ni mashetani, Muilsamu amehiari kushirikiana nayo kwa kuswali nayo msikitini. Na hata mwislamu huyu anapomaliza kusali husalimia kulia na kushoto akiwasalimia watu malaika na majini (mashetani) waliokuja kushiriki naye katika Ibada yake, soma katika (Irshadul Muslimiin, Sheikh Said Musa, Uk. 38).

Katika Tafsiri ya Quran ya Iman Jalalaini Uk. 6:151 anasema kuhusu majini “ Hao ni watoto wa Ibilisi”.

Hii ndiyo sababu hata wanawake wa Kiislamu wakiwa katika kipindi cha hedhi hawaendi msikitini kwa sababu kuna majini na chakula cha majini ni damu. Tafakari kwa hiyo sifa ya hayo majini au mashetani kwa ujumla ni kuwa “ hujaribu kwa bidii sana kuwa karibu na waamini wale wanaosali, kufunga na kusoma Qurani “ (Asili ya majini, Dk. Ahmed H. Sakr Uk. 28) ndiyo maana baadhi ya waislam wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali.

Kwa sababu wao waislamu hawajui kupambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale malaika watakatifu wa Mungu Jehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na anamfanyia atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani).

Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohamed Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na. 74.

“ Anamwijia mmoja wenu shetani (Jini) katika sala basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi (yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka upepo) au anuse harufu ( ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Katika kitabu kiitwacho Asili ya Majini, cha Sheikh Dr Ahmad H. Sakr Uk. 116 anasema “ Hadithi ya Mtume inathibitisha jambo hili kuwa majini (mashetani) na watu wanaweza kuoana aliposema kwamba iwapo mtu ataingia katika uhusiano wa kindoa na mkewe anatakiwa ataje jina la Mwenyezi Mungu ajilinde kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya shetani aliyefukuzwa mbali na rehema. Vinginevyo shetani hujiviringisha katika dhakari (sehemu ya siri za mwanaume) ya mtu huyo na atashirikiana naye katika tendo hilo.

Tafakari yetu kuwa hiyo jinni anayeshiriki naye tendo la ndoa pamoja naye kwa mkewe ametumwa na nani?
Wewe huna elimu ya Quran kaa kimya acha kudanganya watu ungeielewa Quran ungeshasilimu uje kwenye haki kwanza usifananishe biblia na kitabu kisicho kuwa na shaka Ndani yake
 
Hamna neno jini kwenye biblia! Ni Quran tu inashiriki na majini mpaka ndani ya misikiti!
Nakumbuka katika kitabu TOBIA AU TOBITI katika biblia kuna Jini alikuwa anamsumbua sana Dada mmoja hivi Tobia au Tobiti alimfukuza mpaka akamkamata na kumfunga.

Tangy siku hiyo yule Dada hajawi sumbuliwa.


Vipi Mkuu hi I biblia haujasoma?

Au ni copy?
 
waliumbwa tu... mengine sijui labda kama kuna waliosoma asili zao na maendeleo ya ya sayansi na technologia watujuze
 
Labda nisaidie kidogo. Kwa mtazamo wa Biblia, jini ni malaika wabaya waliofukuzwa mbinguni (fallen angels wakiongozwa na mmoja kati ya malaika wakuu aitwaye Lucifer. Katika Biblia, neno "jini" halitumiki. Malaika waliofukuzwa mbinguni, hawana tofauti kimaumbile na wale waliobaki mbinguni. Tofauti yao ni katika uovu au wema. Malaika awe mwema, au mwovu, hahitaji mwili ili afanye kazi aliyotumwa. Malaika anaweza kujifanyia mwili wowote, ili atimize azma yake. Anaweza kuchukua umbo la mtu au mnyama. Pia malaika huwa na mabawa. Sasa, jini ni nini? Jini, ni malaika zaidi ya mmoja waliounganisha nguvu zao katika kufanya kazi waliyotumwa. Wanaweza kuwa zaidi hata ya saba. Wanapounganisha nguvu zao huonekana kuwa ni mmoja kwa kumwangalia hata katika kuongea, lakini ni wengi. Tazama mfano katika Marko 5:1-- 13. Yule MTU aliyekutwa makaburini alipoulizwa na Bw. Yesu "wewe ni nani"? Alijibu " Mimi ni jeshi".maana yake walikuwa wengi. Hilo lilikuwa jini. Kumbuka nimesema jini ni malaika zaidi ya mmoja. Hebu tutazame kama malaika wanaweza kuzaliana. Hakuna malaika wa kike, wote ni wanaume, katika Biblia. Tukiangalia katika kitabu cha kwanza cha Musa, ( mwanzo 6:2, na wa 4. Malaika waasi waliwaangalia wanawake duniani wakawatamani na kuwaingilia kimwili na kuzaa nao .malaika hao, walichukua maumbo ya wanadamu na kulala na wanawake wa kawaida. Matokeo watoto waliozaliwa walikuwa watu hodari ( waliitwa wanefeli. Giants. Hivyo, malaika anaweza kuzaa na mwanaadamu lakini si malaika kwa malaika. Pepo wachafu ni ni malaika mmoja mmoja. MTU anapopagawa pepo, huwa amepagawa na roho ya malaika mmoja. Wanaweza wakaingia kwa mtu malaika hata saba lakini kila mmoja huko kivyake (hawana uhusiano).Soma Luka 11: 24--26. Hapa anaonekana pepo mmoja aliyempagaa MTU na kutolewa, kisha anaporudi hurudi na wengine ambao hana uhusiano nao, bora waishi tu.. Vile vile MTU anaweza akapagawa na roho ya MTU aliyekufa,( mzimu, au mizimu.),na watu wakaona kuwa amepagawa na pepo. Mzimu, ni roho ya MTU aliyekuwa akiishi katika mwili, kisha akafikia mauti. Huyo nae anaweza kumpagaa mtu na kumtoa huchukua muda mrefu kwa vile huwa na mafungamano na yule anayempagaa.
 
Hakuna ushahidi kuwa quran imetoka kwa jehova bali imetoka kwa Allah. Kukosa migongano, na challenge ikatolewa watu watoe mfano wake, na aliahidi kuilinda na tangu ishushwe hadi leo ipo vile vile. Kwani kunasehemu nimesema vitabu vyenu vinataka muabudu majini? Au quran kuna sehemu imetaka tuabudu majini? Allah alitwambia tuvisome, lakini mmeshavichakachua. Na kuvisoma kwenyewe ni tujue yaliyoshushwa, lakini tumeambiwa tuifuate quran kwani imedumu hadi leo. Nyie hamjioni wakatoliki na wengine mnaimani tofauti juu ya kitabu chenu? Mnachagua kipi kiwekwe kipi kiongezwe ama kitolewe
Umejibu vizuri ,wewe ni muislamu wa kwanza kusema kwamba Allah wenu sio Mungu Jehova.
 
Kwa kuchokoza zaidi mada... Elimu ya , hamna majini kwa Wakristo na Waislamu ni tofauti ingawa wapo Wakristo ambao hubeba mafundisho au elimu ya majini kutoka kwa Waislamu na kuichomeka kwenye Ukristo kwa support ya mistari flani ya Biblia. Mfano ukisikiliza mafundisho juu ya nyota asili yake si Ukristo. Sisi Wakristo tunajua habari ya karama za Roho Mtakatifu na si nyota ....

Hivyo tunapozungumzia habari za majini ni vizuri kujikita vizuri kwenye imani yako ili kama ni muislamu tukuelewe na Mkristo ueleweke ..

Hata msamiati majini si Wakikristo ndio maana huwezi kukuta sehemu imeandikwa Yesu akatoa majini .....Biblia imechagua kwa umakini sana misamiati ya kutumia ikiwemo mapepo n.k ...

Tujiulize majini kwa tafsiri ya Waislamu ni kitu kilekile kwa tafsiri ya Mapepo ktk Biblia? Nimechokoza tu mada ..
Waislamu =majini =malaika (majini wazurina wabaya tena eti wengine ni wacha mungu kuliko binadamu,na kuran inasema majini ni wenzetu ni viumbe wa mungu,na ili uwe shekhe kikamilifu lazma ufuge hayo madude ya kutosha apo utakuwa umekamilika. ) kwa wakristo majini =pepo wachafu wanaotesa binadamu
 
Waislamu =majini =malaika (majini wazurina wabaya tena eti wengine ni wacha mungu kuliko binadamu,na kuran inasema majini ni wenzetu ni viumbe wa mungu,na ili uwe shekhe kikamilifu lazma ufuge hayo madude ya kutosha apo utakuwa umekamilika. ) kwa wakristo majini =pepo wachafu wanaotesa binadamu
Yani unasema kwamba ili uwe sheikh kikamilifu lazima ufuge hao malaika?

Kama binaadamu tunauwezo wa kuwafuga hao malaika kama tunavyofuga kuku au mbwa,sasa inakuaje tena tunaambiwa hiyo mifugo(malaika) tunayoweza kuifuga wenyewe ndio inatuposha na kutufanya kumuasi Mungu?
 
Majini ni kama story fulani tu hivi
Siyo story fulani ni viumbe vyenye miili hisionekana na vyenye nguvu. Kiingereza wanaitwa Demons na mkuu wao ni Satan(Satan).
Kama ingekuwa story tu, baadhi ya watu wasinge kuwa waona maajabu duniani kote.
 
Mjadala mzuri..

Nashauri ndugu zangu Waislamu na Wakristo tujifunze kuhusu elimu ya viumbe zaidi ya binadamu. Kuna ombwe zito. Tujifunze tu tujue. Information is power.

Namuomba mkuu zitto junior aje na mada changanuzi kuhusu hili coz yeye ana jitihada ya kutafiti holy scriptures zaidi miongoni mwetu..
 
7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi.
 
Nasema hivi,
Uislamu na Ukristo ni Imani mbili tofauti kabisa. Ingawa Uislamu imekopi maneno fulani ya kwenye biblia.
Utashangaa baadhi ya waislamu wanasema Isa ni Yesu na wanamheshimu kama mtume lakini wengine wanamdhihaki, ni vipi mnamdhihaki tena Nabii Isa au Yesu wakati ni mtume wenu pia ?
Waislamu wamefundishwa kuwa kuna Majini mema na mabaya.
Majini mema ni maislamu kama wao, na wanashirikiana nao katika matendo yote ya Ibada, mimi nauliza ivi wanashirikiana kwenye ibada tu.
Mbona waislamu wengine wana majina ya majini ?
Kwa mfano jina MAIMUNA ni jina la majini pia.
Kwenye Biblia Mungu anawakataza watu kushirikiana na majini kwa hali yoyote ile.
Hapa nimenukuu kitabu cha Walawi 17 : 7

" 7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi "

Mungu anasema watu wasitoe sadaka kwa majini, wala kushirikiano nao kwa matendo mabaya kwa maisha yao yote, hapo inamaana majini hawana matendo mema.
Hapo ina maanisha kuwa majini ni viumbe walio laaniwa na hawana ushirika tana na Mungu milele.
Lakini Qurani inasema yametubu na ni maislamu.
Sasa hapo tumwamini nani, Allah au Yehova.
Yesu kila alipokutana na watu waliokaliwa na majini aliyafukuza, kwanini hakuyapa nafasi ya kutubu ?
Dini ya Kiislamu ni dini ya Majini na Binadamu wanao jiita Waislamu.
Nawaambia ndugu zangu wa Kiislamu waitafakari sana dini yao hiyo.
Mungu ni muasisi wa demokrasia na aliruhusu wema na ubaya, ufalme wa giza na nuru, umungu na ushetani, tumeona hapo mwanzo Mungu alitengeneza utaratibu wa kumwabudu na upo kwenye mtiririko mmoja tokea katika kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo, na katika kitabu cha Ufunuo Mungu anasema hayo ndiyo maandiko yake ya mwisho, mtu asiongeza wala kupunguza chochote.
Lakini bila kumshtukia kaja Muhamadi na kaongeza maneno yake tena. Mungu si alisha sema Ufunuo ndio mwisho, na katoa adhabu kwa yoyote atakaye leta neno jingine.
Na amesisitiza kabisa kuwa mtu atakayeleta Injiri nyingine na amekwisha laaniwa.
Shetani naye kaja na utaratibu wake wa kumuabudu Lusifer, na kaja na kitabu chake.
Lusifa kaiba mambo mengi ya kwenye biblia hasa yale mambo ya historia ambayo hayana uzito kwenye wokovu ili kuwahadaa watu waone kwamba hicho kitabu ni cha kweli.
Lakini mambo ya msingi ya wokovu ambayo Mungu ameyasisitiza kwa kizazi chetu mambo kama.
-Ubatizo
-Kifo na mateso ya Yesu Kristo
-Mamlaka ya Yesu
-Mungu alikuja duniani kama mtu Yesu, ili atupe kweli yake kwa usahihi
Qurani imeyakwepa kabisa na kumkweza Muhamadi.
Hivi Nabii anakuja duniani hajawahi kukutana na Malaika, hajawahi kutabiriwa popote, hajawahi kufanya muujiza wowote, eti anasema Qurani ndio muijiza wake.
Kwanza hivyo vitabu alivyo vinukuu sio muujiza ?
Ananukuu Torati halafu anasema ndio muujiza wake...!
Ni ajabu sana.
Waislamu mujitafakari tena na tena, haiwezekani mkifuate kitabu cha Dini ya Majini.
Rushidie aliposema kuwa Qurani ni aya za Shetani badala ya kukiruhusi hicho kitabu ili mkisome kwa umakini na kukitafakari mnaishia kukipiga marufuku.
Hamshangai kwa wenzenu Wakristo, vitabu vyoote vinavyo ukashifu Ukristo havipigwi marufuku, jiulizeni ni kwanini sio kwenu.
Mkimwona mtu kachana ukurasa mmoja tu wa kitabu cha Qurani mnataka kumchinja, je kwa biblia ni hivyo hivyo ?
Hiyo hasira inatoka wapi ?
Upendo kwenu una maana gani ?
Hakika nawaambia Uislamu, Qurani na Muhammadi ni kanyaboya tu.
Siku ya Kiyama atakapo kuja Yesu Kristo mtashuhudia ukweli huu.
Badala ya kumfuata atakaye kuja kutufufua binadamu wote na kutupeleka mbinguni, na wahalifu kuwatupa Jehanamu siku KIYAMA ninyi kwa makusudi kabisa mnamfumbia macho na kumthamini mfu Muhamadi.
Mtamweleza nini Yesu Kristo siku ya Kiyama ?
Akiwauliza,
" Niliwaagiza ni lazima Mbatizwe kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu "
Mtamjibu nini ?
Kwamba mlikatazwa na Muhamadi na mkamsikiliza...!
 
Nasema hivi,
Uislamu na Ukristo ni Imani mbili tofauti kabisa. Ingawa Uislamu imekopi maneno fulani ya kwenye biblia.
Utashangaa baadhi ya waislamu wanasema Isa ni Yesu na wanamheshimu kama mtume lakini wengine wanamdhihaki, ni vipi mnamdhihaki tena Nabii Isa au Yesu wakati ni mtume wenu pia ?
Waislamu wamefundishwa kuwa kuna Majini mema na mabaya.
Majini mema ni maislamu kama wao, na wanashirikiana nao katika matendo yote ya Ibada, mimi nauliza ivi wanashirikiana kwenye ibada tu.
Mbona waislamu wengine wana majina ya majini ?
Kwa mfano jina MAIMUNA ni jina la majini pia.
Kwenye Biblia Mungu anawakataza watu kushirikiana na majini kwa hali yoyote ile.
Hapa nimenukuu kitabu cha Walawi 17 : 7

" 7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi "

Mungu anasema watu wasitoe sadaka kwa majini, wala kushirikiano nao kwa matendo mabaya kwa maisha yao yote, hapo inamaana majini hawana matendo mema.
Hapo ina maanisha kuwa majini ni viumbe walio laaniwa na hawana ushirika tana na Mungu milele.
Lakini Qurani inasema yametubu na ni maislamu.
Sasa hapo tumwamini nani, Allah au Yehova.
Yesu kila alipokutana na watu waliokaliwa na majini aliyafukuza, kwanini hakuyapa nafasi ya kutubu ?
Dini ya Kiislamu ni dini ya Majini na Binadamu wanao jiita Waislamu.
Nawaambia ndugu zangu wa Kiislamu waitafakari sana dini yao hiyo.
Mungu ni muasisi wa demokrasia na aliruhusu wema na ubaya, ufalme wa giza na nuru, umungu na ushetani, tumeona hapo mwanzo Mungu alitengeneza utaratibu wa kumwabudu na upo kwenye mtiririko mmoja tokea katika kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo, na katika kitabu cha Ufunuo Mungu anasema hayo ndiyo maandiko yake ya mwisho, mtu asiongeza wala kupunguza chochote.
Lakini bila kumshtukia kaja Muhamadi na kaongeza maneno yake tena. Mungu si alisha sema Ufunuo ndio mwisho, na katoa adhabu kwa yoyote atakaye leta neno jingine.
Na amesisitiza kabisa kuwa mtu atakayeleta Injiri nyingine na amekwisha laaniwa.
Shetani naye kaja na utaratibu wake wa kumuabudu Lusifer, na kaja na kitabu chake.
Lusifa kaiba mambo mengi ya kwenye biblia hasa yale mambo ya historia ambayo hayana uzito kwenye wokovu ili kuwahadaa watu waone kwamba hicho kitabu ni cha kweli.
Lakini mambo ya msingi ya wokovu ambayo Mungu ameyasisitiza kwa kizazi chetu mambo kama.
-Ubatizo
-Kifo na mateso ya Yesu Kristo
-Mamlaka ya Yesu
-Mungu alikuja duniani kama mtu Yesu, ili atupe kweli yake kwa usahihi
Qurani imeyakwepa kabisa na kumkweza Muhamadi.
Hivi Nabii anakuja duniani hajawahi kukutana na Malaika, hajawahi kutabiriwa popote, hajawahi kufanya muujiza wowote, eti anasema Qurani ndio muijiza wake.
Kwanza hivyo vitabu alivyo vinukuu sio muujiza ?
Ananukuu Torati halafu anasema ndio muujiza wake...!
Ni ajabu sana.
Waislamu mujitafakari tena na tena, haiwezekani mkifuate kitabu cha Dini ya Majini.
Rushidie aliposema kuwa Qurani ni aya za Shetani badala ya kukiruhusi hicho kitabu ili mkisome kwa umakini na kukitafakari mnaishia kukipiga marufuku.
Hamshangai kwa wenzenu Wakristo, vitabu vyoote vinavyo ukashifu Ukristo havipigwi marufuku, jiulizeni ni kwanini sio kwenu.
Mkimwona mtu kachana ukurasa mmoja tu wa kitabu cha Qurani mnataka kumchinja, je kwa biblia ni hivyo hivyo ?
Hiyo hasira inatoka wapi ?
Upendo kwenu una maana gani ?
Hakika nawaambia Uislamu, Qurani na Muhammadi ni kanyaboya tu.
Siku ya Kiyama atakapo kuja Yesu Kristo mtashuhudia ukweli huu.
Badala ya kumfuata atakaye kuja kutufufua binadamu wote na kutupeleka mbinguni, na wahalifu kuwatupa Jehanamu siku KIYAMA ninyi kwa makusudi kabisa mnamfumbia macho na kumthamini mfu Muhamadi.
Mtamweleza nini Yesu Kristo siku ya Kiyama ?
Akiwauliza,
" Niliwaagiza ni lazima Mbatizwe kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu "
Mtamjibu nini ?
Kwamba mlikatazwa na Muhamadi na mkamsikiliza...!
Kweli kaka ni imani mbili tofauti kabisa....kwani waislamu haya majini wanayatukuza kabisa..tena mengine wanayaita walimu..kwamba yanawafundisha..
 
Nasema hivi,
Uislamu na Ukristo ni Imani mbili tofauti kabisa. Ingawa Uislamu imekopi maneno fulani ya kwenye biblia.
Utashangaa baadhi ya waislamu wanasema Isa ni Yesu na wanamheshimu kama mtume lakini wengine wanamdhihaki, ni vipi mnamdhihaki tena Nabii Isa au Yesu wakati ni mtume wenu pia ?
Waislamu wamefundishwa kuwa kuna Majini mema na mabaya.
Majini mema ni maislamu kama wao, na wanashirikiana nao katika matendo yote ya Ibada, mimi nauliza ivi wanashirikiana kwenye ibada tu.
Mbona waislamu wengine wana majina ya majini ?
Kwa mfano jina MAIMUNA ni jina la majini pia.
Kwenye Biblia Mungu anawakataza watu kushirikiana na majini kwa hali yoyote ile.
Hapa nimenukuu kitabu cha Walawi 17 : 7

" 7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi "

Mungu anasema watu wasitoe sadaka kwa majini, wala kushirikiano nao kwa matendo mabaya kwa maisha yao yote, hapo inamaana majini hawana matendo mema.
Hapo ina maanisha kuwa majini ni viumbe walio laaniwa na hawana ushirika tana na Mungu milele.
Lakini Qurani inasema yametubu na ni maislamu.
Sasa hapo tumwamini nani, Allah au Yehova.
Yesu kila alipokutana na watu waliokaliwa na majini aliyafukuza, kwanini hakuyapa nafasi ya kutubu ?
Dini ya Kiislamu ni dini ya Majini na Binadamu wanao jiita Waislamu.
Nawaambia ndugu zangu wa Kiislamu waitafakari sana dini yao hiyo.
Mungu ni muasisi wa demokrasia na aliruhusu wema na ubaya, ufalme wa giza na nuru, umungu na ushetani, tumeona hapo mwanzo Mungu alitengeneza utaratibu wa kumwabudu na upo kwenye mtiririko mmoja tokea katika kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo, na katika kitabu cha Ufunuo Mungu anasema hayo ndiyo maandiko yake ya mwisho, mtu asiongeza wala kupunguza chochote.
Lakini bila kumshtukia kaja Muhamadi na kaongeza maneno yake tena. Mungu si alisha sema Ufunuo ndio mwisho, na katoa adhabu kwa yoyote atakaye leta neno jingine.
Na amesisitiza kabisa kuwa mtu atakayeleta Injiri nyingine na amekwisha laaniwa.
Shetani naye kaja na utaratibu wake wa kumuabudu Lusifer, na kaja na kitabu chake.
Lusifa kaiba mambo mengi ya kwenye biblia hasa yale mambo ya historia ambayo hayana uzito kwenye wokovu ili kuwahadaa watu waone kwamba hicho kitabu ni cha kweli.
Lakini mambo ya msingi ya wokovu ambayo Mungu ameyasisitiza kwa kizazi chetu mambo kama.
-Ubatizo
-Kifo na mateso ya Yesu Kristo
-Mamlaka ya Yesu
-Mungu alikuja duniani kama mtu Yesu, ili atupe kweli yake kwa usahihi
Qurani imeyakwepa kabisa na kumkweza Muhamadi.
Hivi Nabii anakuja duniani hajawahi kukutana na Malaika, hajawahi kutabiriwa popote, hajawahi kufanya muujiza wowote, eti anasema Qurani ndio muijiza wake.
Kwanza hivyo vitabu alivyo vinukuu sio muujiza ?
Ananukuu Torati halafu anasema ndio muujiza wake...!
Ni ajabu sana.
Waislamu mujitafakari tena na tena, haiwezekani mkifuate kitabu cha Dini ya Majini.
Rushidie aliposema kuwa Qurani ni aya za Shetani badala ya kukiruhusi hicho kitabu ili mkisome kwa umakini na kukitafakari mnaishia kukipiga marufuku.
Hamshangai kwa wenzenu Wakristo, vitabu vyoote vinavyo ukashifu Ukristo havipigwi marufuku, jiulizeni ni kwanini sio kwenu.
Mkimwona mtu kachana ukurasa mmoja tu wa kitabu cha Qurani mnataka kumchinja, je kwa biblia ni hivyo hivyo ?
Hiyo hasira inatoka wapi ?
Upendo kwenu una maana gani ?
Hakika nawaambia Uislamu, Qurani na Muhammadi ni kanyaboya tu.
Siku ya Kiyama atakapo kuja Yesu Kristo mtashuhudia ukweli huu.
Badala ya kumfuata atakaye kuja kutufufua binadamu wote na kutupeleka mbinguni, na wahalifu kuwatupa Jehanamu siku KIYAMA ninyi kwa makusudi kabisa mnamfumbia macho na kumthamini mfu Muhamadi.
Mtamweleza nini Yesu Kristo siku ya Kiyama ?
Akiwauliza,
" Niliwaagiza ni lazima Mbatizwe kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu "
Mtamjibu nini ?
Kwamba mlikatazwa na Muhamadi na mkamsikiliza...!
Dah! Nakuona upoo katika njia ya upotofu.

Nawaza nianzie wapi maaanaa umeandika mengi Sanaa juuu ya uislamu.


Umesahau kabisa kuwa Majini ni viumbe walioumbwa na Allah subhanaawtaalaa ambae amekuumba weewee na vinginevyo vingi.

Ni hakika ya kuwa Majini ni viumbe walioumbwa na Allah kama ilivyokuja katika Qur'an


( وَالْجَانَّ خَلَقْنَاهُ مِن قَبْلُ مِن نَّارِ السَّمُومِ )

الحجر (27) Al-Hijr

Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.

Na jengine utambue ya kuwa Hatukuumbwa Sisi Binadamu na Majini isipokuwa tumuabudu Muumba, Rejea hapa..


( وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ )

الذاريات (56) Adh-Dhaariyat

Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.

Hivyo na kutaahadharisha ukiona muislam amefungamana na Majini kwa namna yeyote ilee basi jua yakuwa amekeuka sharia na ujumbe kutoka kwa mola wake kwa kufuata matamanio yake.

Kwani Allah ametukataza kuweka mahusiano baina yetu na majini na kwa yeyote atakae Fanya hiloo basi adhabu itakuwa kwake sikuu ya kiyama na hakuna urafiki Wa binadamu na Majini isipokuwa ni kwa kumuasi Mwenyezi Mungu.


( وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا )

الجن (6) Al-Jinn

Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.

Pia Umegusia Suala la kuwepo Majini wema na Majini Wa baya linalokubaliwa na Islam kutoka katk Qur'an. Kiufupi ni kweli hakika kuwa wapo wema na wapo wabaya miongoni mwaoo na ushahidi Wa iloo nii ayaa hiii...


( وَأَنَّا مِنَّا الصَّالِحُونَ وَمِنَّا دُونَ ذَٰلِكَ ۖ كُنَّا طَرَائِقَ قِدَدًا )

الجن (11) Al-Jinn

Na hakika katika sisi wamo walio wema, na wengine wetu ni kinyume na hivyo. Tumekuwa njia mbali mbali.

Ufafanuzi


Majini ni viumbe ambavyo vimepewa mitihani kama ilivyo kwa binadamu na wamebainishiwa njia mbilii imaaa kukufuru ama kushukuru.

Hivyo Tambua viumbe hivyo vina matamanio na hulka mbalimbali na Siku ya Qiyama watahesabiwa kutokana na matendo yao maovu au Mema.



Nitaaendelea inshaallah naishia hapo kwa sasa.
 
Dah! Nakuona upoo katika njia ya upotofu.

Nawaza nianzie wapi maaanaa umeandika mengi Sanaa juuu ya uislamu.


Umesahau kabisa kuwa Majini ni viumbe walioumbwa na Allah subhanaawtaalaa ambae amekuumba weewee na vinginevyo vingi.

Ni hakika ya kuwa Majini ni viumbe walioumbwa na Allah kama ilivyokuja katika Qur'an


( وَالْجَانَّ خَلَقْنَاهُ مِن قَبْلُ مِن نَّارِ السَّمُومِ )

الحجر (27) Al-Hijr

Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.

Na jengine utambue ya kuwa Hatukuumbwa Sisi Binadamu na Majini isipokuwa tumuabudu Muumba, Rejea hapa..


( وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ )

الذاريات (56) Adh-Dhaariyat

Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.

Hivyo na kutaahadharisha ukiona muislam amefungamana na Majini kwa namna yeyote ilee basi jua yakuwa amekeuka sharia na ujumbe kutoka kwa mola wake kwa kufuata matamanio yake.

Kwani Allah ametukataza kuweka mahusiano baina yetu na majini na kwa yeyote atakae Fanya hiloo basi adhabu itakuwa kwake sikuu ya kiyama na hakuna urafiki Wa binadamu na Majini isipokuwa ni kwa kumuasi Mwenyezi Mungu.


( وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا )

الجن (6) Al-Jinn

Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.

Pia Umegusia Suala la kuwepo Majini wema na Majini Wa baya linalokubaliwa na Islam kutoka katk Qur'an. Kiufupi ni kweli hakika kuwa wapo wema na wapo wabaya miongoni mwaoo na ushahidi Wa iloo nii ayaa hiii...


( وَأَنَّا مِنَّا الصَّالِحُونَ وَمِنَّا دُونَ ذَٰلِكَ ۖ كُنَّا طَرَائِقَ قِدَدًا )

الجن (11) Al-Jinn

Na hakika katika sisi wamo walio wema, na wengine wetu ni kinyume na hivyo. Tumekuwa njia mbali mbali.

Ufafanuzi


Majini ni viumbe ambavyo vimepewa mitihani kama ilivyo kwa binadamu na wamebainishiwa njia mbilii imaaa kukufuru ama kushukuru.

Hivyo Tambua viumbe hivyo vina matamanio na hulka mbalimbali na Siku ya Qiyama watahesabiwa kutokana na matendo yao maovu au Mema.



Nitaaendelea inshaallah naishia hapo kwa sasa.
Asante sana kwa jibu zuri kabisa ila nina swali.
Qurani imesema Majini yaliumbwa ili yamwabudu Mungu, na pia kuna Majini mema na mabaya, na pia baadhi ya majini yamesilimu na kuwa maislamu kutokana na sura 72
sasa basi.
1. Kwanini Qurani inasema tena binadamu asishirikiane na majini hali ya kuwa kuna majini maislamu na ni mema ?
2. Hivi yale majini maislamu si mnaswali nayo pamoja msikitini na kutimiza nguzo zote tano za uislamu pamoja nayo ?
3.Huu ushirika wa ibada za Kiislamu unachukuliwaje na binadamu waislamu ?
Naomba unijibu hayo maswali mawili kwanza ili wenye wasisi tuwekwe sawa.
Asante.
 
Asante sana kwa jibu zuri kabisa ila nina swali.
Qurani imesema Majini yaliumbwa ili yamwabudu Mungu, na pia kuna Majini mema na mabaya, na pia baadhi ya majini yamesilimu na kuwa maislamu kutokana na sura 72
sasa basi.
1. Kwanini Qurani inasema tena binadamu asishirikiane na majini hali ya kuwa kuna majini maislamu na ni mema ?
2. Hivi yale majini maislamu si mnaswali nayo pamoja msikitini na kutimiza nguzo zote tano za uislamu pamoja nayo ?
3.Huu ushirika wa ibada za Kiislamu unachukuliwaje na binadamu waislamu ?
Naomba unijibu hayo maswali mawili kwanza ili wenye wasisi tuwekwe sawa.
Asante.
Naam ni kweli kuwa kuna miongoni mwa Majini yaliyosilimu na yapo mengineyo ni kinyume na hivyo kiufupi wapo namna mbalimbali, Rejea hapa.


( وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ ۖ فَمَنْ أَسْلَمَ فَأُولَٰئِكَ تَحَرَّوْا رَشَدًا )

الجن (14) Al-Jinn

Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.


Swali la 1) Haitupasi sisi kufanya urafiki nao eti kwa sababu nao ni waislamu bali itabaki kuwa jukumu lao nii kutendea vyema huoo uislamu walionao kimatendo kwa namna jinsi Mola alivyowekea namna ya kuendesha maisha yao.

Hata hivyo sisi ni Tofauti na Majini wao hawaonekani sisi tunaonekana, wao chakula chao kikubwa Mavi ya farasi, Mifupa ,moshi Wa udi na mengine mfano Wa hayoo na sisi wanadam ni kinyume na hayo.

Hivyo urafiki haupoo na endapo utakuwepoo basii sio wa kihalali rejea hapa,


( وَإِذْ قُلْنَا لِلْمَلَائِكَةِ اسْجُدُوا لِآدَمَ فَسَجَدُوا إِلَّا إِبْلِيسَ كَانَ مِنَ الْجِنِّ فَفَسَقَ عَنْ أَمْرِ رَبِّهِ ۗ أَفَتَتَّخِذُونَهُ وَذُرِّيَّتَهُ أَوْلِيَاءَ مِن دُونِي وَهُمْ لَكُمْ عَدُوٌّ ۚ بِئْسَ لِلظَّالِمِينَ بَدَلًا )

الكهف (50) Al-Kahf

Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu.


Ni hayo tu.
 
Asante sana kwa jibu zuri kabisa ila nina swali.
Qurani imesema Majini yaliumbwa ili yamwabudu Mungu, na pia kuna Majini mema na mabaya, na pia baadhi ya majini yamesilimu na kuwa maislamu kutokana na sura 72
sasa basi.
1. Kwanini Qurani inasema tena binadamu asishirikiane na majini hali ya kuwa kuna majini maislamu na ni mema ?
2. Hivi yale majini maislamu si mnaswali nayo pamoja msikitini na kutimiza nguzo zote tano za uislamu pamoja nayo ?
3.Huu ushirika wa ibada za Kiislamu unachukuliwaje na binadamu waislamu ?
Naomba unijibu hayo maswali mawili kwanza ili wenye wasisi tuwekwe sawa.
Asante.
Suali la 2) Haijathibiti kwetu sisi kuswali na Majini labda yawepo pasina sisi kutambua kuwa yapo. Kuhusu utekelezaji Wa Ibada wao wanatekeleza wakiwa katika mazingira yao na hayahusiani na mwanadam na vivyo hivyo kwa Mwanadam.

Note: Majini ni viumbe vya mungu na hakuna Binadamu yeyotee Anaeweza kuwaumba.



Nimesema hivyo kutokana na kujengeka dhana miongoni mwa watu wengi hasa wasiokuwa waislam kuwa shehe flani sijui anatengeneza na kufuga Majini. Tambua Majini hayafugiki.


Mahusiano yanakuwepo na wanadamu kwa mkataba wenyewe watakao kubaliana ambapo ni kinyume na Uislam uliovyofundisha.

Rejea aya hii


( وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا )

الجن (6) Al-Jinn

Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.


Hivyo Ndugu yangu katika Adam Uislam ukoo mbalii na masuala ya kishetani Bali unatufundisha kumuabudu mungu mmoja, kutenda matendo memaa na mengine mengi mazuri..

Na atakaefanya hayo yaliokuwa mazuri atakuwa na makazi mema kwa Mola wakeee na hii nii kwa viumbe vyote Binadamu na Majini

Rejea hapa..


( وَلِمَنْ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِ جَنَّتَانِ )

الرحمن (46) Ar-Rahmaan

Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.


( فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ )

الرحمن (47) Ar-Rahmaan

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?


( ذَوَاتَا أَفْنَانٍ )

الرحمن (48) Ar-Rahmaan

Bustani zenye matawi yaliyo tanda.


( فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ )

الرحمن (49) Ar-Rahmaan

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?


( فِيهِمَا مِن كُلِّ فَاكِهَةٍ زَوْجَانِ )

الرحمن (52) Ar-Rahmaan

Humo katika kila matunda zimo namna mbili.


( مُتَّكِئِينَ عَلَىٰ فُرُشٍ بَطَائِنُهَا مِنْ إِسْتَبْرَقٍ ۚ وَجَنَى الْجَنَّتَيْنِ دَانٍ )

الرحمن (54) Ar-Rahmaan

Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu.



( فِيهِنَّ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنسٌ قَبْلَهُمْ وَلَا جَانٌّ )

الرحمن (56) Ar-Rahmaan

Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.




WabillahTawfiq
 
Back
Top Bottom