Je, Anjari ni salama kwa afya za watumiaji hasa huko Tanzania?

Je, Anjari ni salama kwa afya za watumiaji hasa huko Tanzania?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
13,625
Reaction score
29,891
Kinaitwa Anjari aka Heltho. Kuna wakati nimewahi kunywa kama mara 3 hivi. Juzi juzi nilikuja Bongo nikapewa nyumbani kwa jamaa yangu mmoja. Sikuweza kataa nikanywa.

Swali je kinatengenezwaje? Yaani wanachanganya nini na nini? Je hakina madhara kiafya? TBS huwa wanalala na wale wa chakula na vinywaji nao hivyo hivyo walalavi. Hawajali maslahi ya walaji.
 
Kinywaji changu pendwa hicho, nikiwa mbali na Tanga nakimiss sana na nikienda Tanga cha kwanza ninywe kwanza healtho bariiidi ndio mambo mengine yaendelee niliwahi kuwabebea wasukuma huku Mwanza wakanywa wananisumbua hadi leo niwaletee healtho. Habari ya ubora au sio bora ngoja tuwasubiri wajuzi.
 
TZ hii ukimchunguza bata humli, mchanganyiko soma kwenye Lebo Yao utaona wanachanganya nini...Anjari ni wa kitambo Sana toka miaka hiyo ambapo kampuni nyingi za vinywaji sasa hivi zlkuwa bado Sana
 
Kinaitwa Anjari aka Heltho. Kuna wakati nimewahi kunywa kama mara 3 hivi. Juzi juzi nilikuja Bongo nikapewa nyumbani kwa jamaa yangu mmoja. Sikuweza kataa nikanywa.

Swali je kinatengenezwaje? Yaani wanachanganya nini na nini? Je hakina madhara kiafya? TBS huwa wanalala na wale wa chakula na vinywaji nao hivyo hivyo walalavi. Hawajali maslahi ya walaji.
Nimeikumbuka Tanga. Kinywaji pendwa.
 
Back
Top Bottom