Je, aibu iliwahi kukukosesha fursa gani katika maisha yako? Unajutia?

Fene

JF-Expert Member
May 4, 2021
2,458
3,433
Inakuwaje WanajamiiForums

Watu tunatofautiana, kuna baadhi ya watu wametawaliwa na aibu katika kipindi fulani katika umri wao, hivyo huwafanya kukosa fursa/ vitu fulani katika kipindi hiko.

Kuna wengine wao ni maisha yao yote hutawaliwa na aibu aibu zisizo na maana baadhi huamua kutumia boosters mbalimbali ili kuweza kuishinda hali kama vile ganja, pombe na huwawezesha kuyafikia malengo yao, wengine ndohivo Wanakubaliana na hali.

Swali je kwako iliwahi kukutokea na je ulipoteza fursa gani mpaka sasa wajutia.

Mimi nakumbuka wakati nipo O-level aibu ilinitawala sana na kusababisa kumkosa mtoto mkali wa kisomali ambae aliniielewa sana, kiasi kwamba hadi leo nikikumbuka naona nilizingua sana.

JamiiForums253098196.jpg
 
Nilibambwa laivu na demu nampakia mkongo!
Alinitembelea mjengoni. Akazama kitchen akawa anaandaa maakuli. Nikajisemea ndio muda muafaka wa kujikoki.
Nikazama toi nikapiga shawa sijalock mlango koz nilijua haezi zama ghafla toi. Afu kipengele nimekieka juu ya sink la kunawia kimefungwa mfungo wa kama pipi kali.
Baasi mara paap dame kazama washroom mazaga yote hewani kama dish la azam!
Asee niliona aibu sana.
Ikabidi niitupe chooni na ku flash.
Ilivyokua nyepesi sababu ya plastic ilofungiwa haikuflashika mamaee dem nae huyo mpaka choo anaishuhudia.
Hii nini?
Mbona?
Mzee baba nikazamisha kwa mkono mpaka ipotoweka.
Aibu kuu!
 
Back
Top Bottom