Je, Afisa Cadet anaweza kumuoa Private?

Je, Afisa Cadet anaweza kumuoa Private?

Hailuhusiwi,mmoji Apache kazi ndio ndoa ifungwe.

Ukiona kuna afsa amemuoa private wengi wanatumia majina ya wadogo/kakazao lakini yeye ndio anaishi nae kwa lengo la kutokuachishwa kazi kwa mmoja wao il I kipato cha familia kiongezeke.
Mkuu sijakuelewa kwamba mwenye faili la mwanamke ndo kuna taarifa za ndoa ila kwa mwanaume hapana taarifa yeyote? Na wataishije pamoja vp ikijulikana wanaishi pamoja na wakawekewa IO's itakuaje matokeo yake?
 
Hata Private wa kiume anaweza kumuoa Brigedia wa kike
 
Salam sana wana JF habari za mapumziko ya mwisho was wiki!
Ni matumaini yangu kuwa muuwazima wote
Naomba kuwasilisha mada tajwa je askari jeshi mwenye cheo cha juu anaweza mumwoa askari mwenzake wa cheo cha chini mfano Private? Na kwa mwanamke anaweza kuolewa na wa cheo cha chini yake?
Yaani umekosa mdau wakumuulize ishu ndogo kama hiyo mpaka uilete humu
 
Yaani umekosa mdau wakumuulize ishu ndogo kama hiyo mpaka uilete humu
Mkuu samahani kama limekuboa ila ikiona mada imeletwa humu imekosa msaidizi wa karibuu kwa hapa nilipo so majibu yako ni ya muhimu ili ambao hawaelewi kama mim waelewe asante
 
Mkuu sijakuelewa kwamba mwenye faili la mwanamke ndo kuna taarifa za ndoa ila kwa mwanaume hapana taarifa yeyote? Na wataishije pamoja vp ikijulikana wanaishi pamoja na wakawekewa IO's itakuaje matokeo yake?
Ni hivi!
Kwanza unatakiwa ujue mwanamke mwanajeshi ni kama anaoa yy,

Maana akipata mchumba anapeleka picha na jina na linawekwa kwenye faili,halafu huyo mchumba anaitwa atapewa masharti.

Ni kwamba kama kumuoa basi unatakiwa tukubaliane kua,
Wakati wowote tukimtaka usimzuie .

Unaluhusiwa kujua zamu zake za kazi,

Kama hajaludi na sio zamu yake kazini ukitutaarifu tutamuadhibu.

Kama hujakubaliana na hayo muache.

Kuhusu data za kwenye faili huyu mdada anaweza kusetiwa na akachukua data za mdogo/kaka na akazipeleka na akahojiwa yy Siku ya mwisho ataenda kuishi na muhusika.

Ilishawahi kutokea private akakubaliana na afsa ili waoane Sheria zinasema aaache kwanza kazi.akaacha na wakafunga ndoa.bahati mbaya kabla ya mwaka afsa akavuta.
Kwahiyo kutokana na mambo ya aina hii watu wanaamua kuweka data kwa staili hiyo.
 
Ni hivi!
Kwanza unatakiwa ujue mwanamke mwanajeshi ni kama anaoa yy,

Maana akipata mchumba anapeleka picha na jina na linawekwa kwenye faili,halafu huyo mchumba anaitwa atapewa masharti.

Ni kwamba kama kumuoa basi unatakiwa tukubaliane kua,
Wakati wowote tukimtaka usimzuie .

Unaluhusiwa kujua zamu zake za kazi,

Kama hajaludi na sio zamu yake kazini ukitutaarifu tutamuadhibu.

Kama hujakubaliana na hayo muache.

Kuhusu data za kwenye faili huyu mdada anaweza kusetiwa na akachukua data za mdogo/kaka na akazipeleka na akahojiwa yy Siku ya mwisho ataenda kuishi na muhusika.

Ilishawahi kutokea private akakubaliana na afsa ili waoane Sheria zinasema aaache kwanza kazi.akaacha na wakafunga ndoa.bahati mbaya kabla ya mwaka afsa akavuta.
Kwahiyo kutokana na mambo ya aina hii watu wanaamua kuweka data kwa staili hiyo.
Mkuu asante sana kwa majibu mazuri sana umenifungua ubongo kiukweli, ila nina swali Dogo la nyongeza vipi private anaweza akaolewa na raia na baada ya kuoana jamaa akaenda kupiga kozi ? Jamaa ana elimu ya diploma hiyo imekaaje mkuu wanaweza wakaendelea kuishi kama mke na Mme ?
 
Mkuu asante sana kwa majibu mazuri sana umenifungua ubongo kiukweli, ila nina swali Dogo la nyongeza vipi private anaweza akaolewa na raia na baada ya kuoana jamaa akaenda kupiga kozi ? Jamaa ana elimu ya diploma hiyo imekaaje mkuu wanaweza wakaendelea kuishi kama mke na Mme ?
Ukumbuke CV zako za maombi ya kazi zinatakuwa ueleze kama umeoa au umeolewa ,siju utaziweka na kama umeziweka sijui kama watakupokea.
 
Ukumbuke CV zako za maombi ya kazi zinatakuwa ueleze kama umeoa au umeolewa ,siju utaziweka na kama umeziweka sijui kama watakupokea.
Mwambie kabisa jeshi haliajiri mtu aliyeoa au kuolewa vinginevyo afiche halafu atakuja kuwasilisha nyaraka za ndoa baadae baada ya kupewa kibali cha kuoa/kuolewa. NB;Vitatakiwa kuwa ni vya wakati huo
 
Inawezekana / haiwezakani. ..jeshini kuna makundi mawili maafisa na askari. .taratibu zao zinaruhusu maafisa kwa maafisa kuoana na askari kwa askari kuoana. ..lakini kuna wakati unakuta walioana wote wakiwa askari baadaye mmoja kawa afisa hakuna shida ndoa halali ila ikitokea mwanamke ndio kawa afisa then mwanaume ataomba kuacha kazi alinde ndoa akigoma ndoa hakuna kwa Maana nyingine hayo mazingira inaruhusu afisa me kuishi na askari ke ila hairuhusu afisa ke kuolewa na askari me BTW cadet siyo cheo cha kudumu sababu ni hadhi anayopewa afisa mwanafunzi chuoni eg monduli au abroad uzuri ni kuwa raia anaruhusiwa kumuoa hata jenerali. ..uzoefu JKT kwa mujibu 1989 oljoro
 
Mwambie kabisa jeshi haliajiri mtu aliyeoa au kuolewa vinginevyo afiche halafu atakuja kuwasilisha nyaraka za ndoa baadae baada ya kupewa kibali cha kuoa/kuolewa. NB;Vitatakiwa kuwa ni vya wakati huo
 
Ni hivi,
Taratibu zinaelekeza kuwa, wenye vyeo sawa ndiyo waoane. Yaani, afisa kwa afisa na private kwa private.

Lakini, afisa wa Kiume anaweza kumuoa private wa kike. Lakini afisa wa kike hawezi kuolewa na private wa kiume. Hivyo, muolewaji anapaswa kuwa chini kicheo kuliko muoaji. Endapo kuna ambaye atataka kuolewa nje ya masharti, basi mmoja aache kazi au figisu zihusike.

Lakini, kuolewa na raia ni ruksa na wala hakuna shida. Ijapo, kuna sheria mpya inataka kuanzishwa kuwa Mwanajeshi wa kike haruhusiwi kuolewa na raia. Sijajua kama imeshapita na itaanza kutumika lini.
 
Back
Top Bottom