Inasemekana anaweza akaoa uraiani na sio kuona askari aliye chini yake kicheo labda wawe wamelingana, so kwa mwalimu ni tofauti sababu Mwl ni raia
Inasemekana anaweza akaoa uraiani na sio kuona askari aliye chini yake kicheo labda wawe wamelingana, so kwa mwalimu ni tofauti sababu Mwl ni raia
Wanaoa Raia sembuse private soldierSalam sana wana JF habari za mapumziko ya mwisho was wiki!
Ni matumaini yangu kuwa muuwazima wote
Naomba kuwasilisha mada tajwa je askari jeshi mwenye cheo cha juu anaweza mumwoa askari mwenzake wa cheo cha chini mfano Private? Na kwa mwanamke anaweza kuolewa na wa cheo cha chini yake?
Mkuu sasa hapo raia wana nini mbaka ishindikane kwa mwanajeshi wakike kuolewa na raiaNi hivi,
Taratibu zinaelekeza kuwa, wenye vyeo sawa ndiyo waoane. Yaani, afisa kwa afisa na private kwa private.
Lakini, afisa wa Kiume anaweza kumuoa private wa kike. Lakini afisa wa kike hawezi kuolewa na private wa kiume. Hivyo, muolewaji anapaswa kuwa chini kicheo kuliko muoaji. Endapo kuna ambaye atataka kuolewa nje ya masharti, basi mmoja aache kazi au figisu zihusike.
Lakini, kuolewa na raia ni ruksa na wala hakuna shida. Ijapo, kuna sheria mpya inataka kuanzishwa kuwa Mwanajeshi wa kike haruhusiwi kuolewa na raia. Sijajua kama imeshapita na itaanza kutumika lini.

Vipi ushaoa huyo mjeshiMi nimepata dem mjeshi, yuko poa sana, loyal na pia social, nataka nibebe huo mzigo. Tuombeane kheri![]()
We oa mke.!!!Salam sana wana JF habari za mapumziko ya mwisho was wiki!
Ni matumaini yangu kuwa muuwazima wote
Naomba kuwasilisha mada tajwa je askari jeshi mwenye cheo cha juu anaweza mumwoa askari mwenzake wa cheo cha chini mfano Private? Na kwa mwanamke anaweza kuolewa na wa cheo cha chini yake?
Badoooo napambana aseeAfande umepata kuruta!?
Mwenyewe nimeshangaaKWAN MAPENZI YA JESHI YANA SHERIA TOFAUTI NINI??
Uliza kàma huelewi upate ufafanuzi haiko hivo kama unavodhanijamani ifike kipendi...msizanie kuwa watu waliopo kwenye sekta za ulinzi labda pengine wao si binaadam ama...kwenye suala la kuoa ama kuolea haliangalii vyeo...mtu ata awe na vyeo hadi kwenye magari bado anaweza kuolewa ata na mchunga ng'ombe mapenzi na cheo ni vitu viwili tofauti...!