Je, Afisa Cadet anaweza kumuoa Private?

Je, Afisa Cadet anaweza kumuoa Private?

Ni hivi,
Taratibu zinaelekeza kuwa, wenye vyeo sawa ndiyo waoane. Yaani, afisa kwa afisa na private kwa private.

Lakini, afisa wa Kiume anaweza kumuoa private wa kike. Lakini afisa wa kike hawezi kuolewa na private wa kiume. Hivyo, muolewaji anapaswa kuwa chini kicheo kuliko muoaji. Endapo kuna ambaye atataka kuolewa nje ya masharti, basi mmoja aache kazi au figisu zihusike.

Lakini, kuolewa na raia ni ruksa na wala hakuna shida. Ijapo, kuna sheria mpya inataka kuanzishwa kuwa Mwanajeshi wa kike haruhusiwi kuolewa na raia. Sijajua kama imeshapita na itaanza kutumika lini.
Na ikipita hiyo malaya watakua wengi kambini.
 
Mi nimepata dem mjeshi, yuko poa sana, loyal na pia social, nataka nibebe huo mzigo. Tuombeane kheri
Sio wewe huyu tunayemjua sisi etii!!Emiir huyu huyu.

Aisee Huyo mjeda ulimpata kimasihara au!
 
Afisa cadet Ni mwanafunzi wa chuo Cha uafisi monduli

Akimaliza mafunzo na kupewa kamisheni na rais huita luteni usu.Baaadae atapandishwa cheo na kuitwa luteni
Ahsante sana, ni msamiati mpya kwangu ndio nimejua leo...mbona umekuwa specific kuwa ni monduli asipokuwa hapo ana jina lingine?
Na afisa kipenyo nae ndio nani?
 
Kama sikosei kisichotakiwa kwa taratibu za jeshi,ni askari tu wa kike asiyeruhusiwa kuolewa na raia!
 
Nini afisa cadet hata yule canali mlinzi wa mama anapigwa pumbu vizuri tu na wananzengo wasiowahi hata kukanyaga jeshini......anainamishwa kidog dog fresh tu na viuno anakata huku akiulilia mpini
Huyo kanali unaemsema anaweza kuolewa na bodaboda Ila sio askari wa kawaida mwenye cheo cha chini.
Kama sikosei kisichotakiwa kwa taratibu za jeshi,ni askari tu wa kike asiyeruhusiwa kuolewa na raia!
Umekosea
 
Back
Top Bottom