JATU, Mr. Kuku, Vanira na sasa Kijiji cha Nguruwe

Naanza kupata mashaka kuhusu kijiji cha nguruwe kinacho tumia nguvu nyingi kupitia watu maarufu kuwekeza mradi.

Hivi kama umefanikiwa kuna ulazima gani watu watoe pesa zao wafugiwe,watafutiwe soko na faida.

Tafakarini kabla jua kuzama ijumaa
Nawakumbusha tu mzee wa vanilla bwana Simon ndio huyohuyo wa kijiji cha nguruwe ameibuka kivingine baada ya kuona vanilla ameshikiliwa koo watu wanadai pesa zao..

Alafu jamaa ni kama 50 hasi hamsini chanya..
 
subiri kilimo cha tende na ufugaji wa ngamia kuhusu maziwa na mlivo kuwa mnapenda kusuport dini yenu mnalizwa mapema.

Nimesahau na uwekezaji wa majini unakuja soon
Hao jamaa huwajui wewe....
Waulize maustadh ndiyo watakwambia....
Muislamu pesa yake hailiwi kizembe...huwa inafikia wakati shekhe anatoa mada za moto na majoka ili watu watoe pesa.

Ndiyo maana kwa waislam hakuna utapeli kama wa kina Gwajima na Mwamposa.
 
Hao jamaa huwajui wewe....
Waulize maustadh ndiyo watakwambia....
Muislamu pesa yake hailiwi kizembe...huwa inafikia wakati shekhe anatoa mada za moto na majoka ili watu watoe pesa.

Ndiyo maana kwa waislam hakuna utapeli kama wa kina Gwajima na Mwamposa.
ujakutana na tapeli internation
 
Back
Top Bottom