newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Happy New Year wana JF,
Utaratibu ukoje wa kuripoti kuwa kuna jasusi au mtu unayeshuku au una uhakika kuwa ni spy anakusanya taarifa nchini kwa manufaa ya taarifa nchi anayoitumikia?
Je usalama wa taifa una kitengo cha kudeal with such cases? If yes kinaitwaje?
Nina taarifa muhimu. Police najua hawana jinsi ya kudeal na swala hili kwani wako bize sana na crime and ufisadi issues
Utaratibu ukoje wa kuripoti kuwa kuna jasusi au mtu unayeshuku au una uhakika kuwa ni spy anakusanya taarifa nchini kwa manufaa ya taarifa nchi anayoitumikia?
Je usalama wa taifa una kitengo cha kudeal with such cases? If yes kinaitwaje?
Nina taarifa muhimu. Police najua hawana jinsi ya kudeal na swala hili kwani wako bize sana na crime and ufisadi issues