Jasusi wa Iran adakwa Israel

PakiJinja

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
7,646
15,761
Nianze kwa Mastory. Kwanza ieleweke, pamoja na kile kinachoonekana kuwa ni uadui mkubwa kati ya Israel na Iran, kamwe uhasimu huu haupo kwa raia wa nchi hizi.

Uhasimu ni kwa serikali zao, lakini, miongoni mwa raia maisha yanaendelea kama kawaida na kuna to and fro za kawaida kati ya raia wa nchi hizi kwenda upende mmoja na mwingine ingawa hakuna direct flights kati ya nchi hizi lakini hiyo siyo issue kwani ni jambo lisilostua kukata ticket ya kwenda Israel kutokea Iran au kwebda Iran kutokea Israel ila lazima ni route ya kupitia nchi nyingine (lay over), hata Misri wenyewe hawana Direct flight na Iran.

Kuna Waisrael takriban 9,000 nchini iran na kuna Wairan takriban 250,000 nchini Israel. Nchini Iran, Israel ni kati ya minority groups, ambalo pia wamo wakristo na waarabu.

Myahudi au Muisrael anaishi vizuri bila ya bughudha nchini Iran. Kundi la
wasiotakiwa nchini Iran ni Wakristo. Iran inakadiliwa kuwa na Wakristo ambao ni raia wa Iran takriban 800,000, lakini wanaishi kwa siri sana na Ukristo wao.

Wakristo pekee wanaovumiliwa nchini Iran ni wale ambao ni raia wa kigeni, au Wairan ambao familia zao walikua ni wakristo tangu kabla ya Mapinduzi ya 1979. Hairuhusiwi nchini Iran mtu kubadili dini kwenda Ukristo. Unaweza ukafuata dini yoyote ile lakini siyo Ukristo.

Ingawa, katika Katiba ya Iran kuna article 13 inayokataza kuchunguza dini ya mtu, ingawa hapohapo inaji contradict kutambua minorities na kuwapa uwakilishi bungeni😃 na hapohapo Bahai hawatambuliwi na wala hawapo protected na hiyo article.

Hizi minority groups ndani ya Iran, ambazo ni Armenians, assyrians zoroastrians, Wayahudi, Wakristo na Sunni na Bahia, baadhi yao wamepewa nafasi za uwakilishi kwenye bunge la nchi hiyo ambapo Armenians wana viti viwili, halafu Wayahudi, zoroastrians na assrians hawa wamepewa kila kundi kiti kimoja cha uwakilishi wakati Sunni na Wakristo wao hawajapewa nafasi yoyote. Huku Bahia wakiwa hawatambuliwi kabisa na dini ilianzishwa hukohuko Iran.

Binafsi nina ukaribu na dada mmoja wa nchini Iran ambaye ni Daktari pia ni Mkristo na alibadili dini kutoka uislam, anasema siku ikija kujulikana itakua ndiyo mwisho wa kila kitu kwake, zaidi amesema hana mpango wa kuondoka Iran, anaamini katika uhai wake atakuja kushuhudia mabadiliko.

Nchini Iran ukijulikana kuwa wewe ni Mkristo basi watu wanaweza wakachukua sheria mkononi ya kukufanya chochote, ikiwemo kukudharirisha au kukupiga na hata ukilalamika basi hakuna msaada utapewa.

Ikitokea umefanya kosa, hata kama umesingiziwa au una mgogoro halafu ni Mkristo basi unaweza ukawekwa ndani na kutoka ni hadi hapo utakapoikana imani yako (Kumbuka kuna Article 13).

Huo ulikua ni utangulizi tu kujaribu kuonyesha kuwa Wairan na Waisrael hawana uadui, wana historia kubwa na ya muda mrefu, Iran na Israel adui yao ni mmoja tu, naye ni Ayatollah au tuseme Serikali ya Iran.

Turudi kwenye maudhui ya kichwa cha habari, Iran walifanikiwa kumpata muisrael mwenye asili ya Iran, ili kumtengeneza aweze kuwa Jasusi wao ndani ya Israel. Jamaa amefundishwa akafuzu. Akapewa vitendea kazi tayari kwenda kuianza kazi yake ya Espionage.

Siku ya safari ikafika, jamaa akapanda ndege pale Tehran Imam Khomeini International Airport kurudi Israel, ile ametua tu pale Ben Gurion Airport, kabla hata hajatoa taarifa kuwa ametua salama, akajikuta anatua mikononi mwa Shin Bet.
MOSAD tayari wameshafanya yao na sasa jamaa tayari anaendelea kufanyiwa interogation.

Daah, yaani utangulizi umekua mreeeefu kuliko story yenyewe. Haya niwatakie Mabata mema.
 
Nianza kwa Mastory. Kwanza ieleweke, pamoja na kile kinachoonekana kuwa ni uadui mkubwa kati ya Israel na Iran, kamwe uhasimu huu haupo kwa raia wa nchi hizi. Uhasimu ni kwa serikali zao, lakini, miongoni mwa raia maisha yanaendelea kama kawaida na kuna to and fro za kawaida kati ya raia wa nchi hizi kwenda upende mmoja na mwingine ingawa hakuna direct flights kati ya nchi hizi lakini hiyo siyo issue kwani ni jambo lisilostua kukata ticket ya kwenda Israel kutokea Iran au kwebda Iran kutokea Israel ila lazima ni route ya kupitia nchi nyingine (lay over), hata Misri wenyewe hawana Direct flight na Iran.

Kuna Waisrael takriban 9,000 nchini iran na kuna Wairan takriban 250,000 nchini Israel. Nchini Iran, Israel ni kati ya minority groups, ambalo pia wamo wakristo na waarabu.
Myahudi au Muisrael anaishi vizuri bila ya bughudha nchini Iran. Kundi la
wasiotakiwa nchini Iran ni Wakristo. Iran inakadiliwa kuwa na Wakristo ambao ni raia wa Iran takriban 800,000, lakini wanaishi kwa siri sana na Ukristo wao. Wakristo pekee wanaovumiliwa nchini Iran ni wale ambao ni raia wa kigeni, au Wairan ambao familia zao walikua ni wakristo tangu kabla ya Mapinduzi ya 1979. Hairuhusiwi nchini Iran mtu kubadili dini kwenda Ukristo. Unaweza ukafuata dini yoyote ile lakini siyo Ukristo. Ingawa, katika Katiba ya Iran kuna article 13 inayokataza kuchunguza dini ya mtu, ingawa hapohapo inaji contradict kutambua minorities na kuwapa uwakilishi bungeni😃 na hapohapo Bahai hawatambuliwi na wala hawapo protected na hiyo article.

Hizi minority groups ndani ya Iran, ambazo ni Armenians, assyrians zoroastrians, Wayahudi, Wakristo na Sunni na Bahia, baadhi yao wamepewa nafasi za uwakilishi kwenye bunge la nchi hiyo ambapo Armenians wana viti viwili, halafu Wayahudi, zoroastrians na assrians hawa wamepewa kila kundi kiti kimoja cha uwakilishi wakati Sunni na Wakristo wao hawajapewa nafasi yoyote. Huku Bahia wakiwa hawatambuliwi kabisa na dini ilianzishwa hukohuko Iran.

Binafsi nina ukaribu na dada mmoja wa nchini Iran ambaye ni Daktari pia ni Mkristo na alibadili dini kutoka uislam, anasema siku ikija kujulikana itakua ndiyo mwisho wa kila kitu kwake, zaidi amesema hana mpango wa kuondoka Iran, anaamini katika uhai wake atakuja kushuhudia mabadiliko.

Nchini Iran ukijulikana kuwa wewe ni Mkristo basi watu wanaweza wakachukua sheria mkononi ya kukufanya chochote, ikiwemo kukudharirisha au kukupiga na hata ukilalamika basi hakuna msaada utapewa. Ikitokea umefanya kosa, hata kama umesingiziwa au una mgogoro halafu ni Mkristo basi unaweza ukawekwa ndani na kutoka ni hadi hapo utakapoikana imani yako (Kumbuka kuna Article 13).

Huo ulikua ni utangulizi tu kujaribu kuonyesha kuwa Wairan na Waisrael hawana uadui, wana historia kubwa na ya muda mrefu, Iran na Israel adui yao ni mmoja tu, naye ni Ayatollah au tuseme Serikali ya Iran.

Turudi kwenye maudhui ya kichwa cha habari, Iran walifanikiwa kumpata muisrael mwenye asili ya Iran, ili kumtengeneza aweze kuwa Jasusi wao ndani ya Israel. Jamaa amefundishwa akafuzu. Akapewa vitendea kazi tayari kwenda kuianza kazi yake ya Espionage.

Siku ya safari ikafika, jamaa akapanda ndege pale Tehran Imam Khomeini International Airport kurudi Israel, ile ametua tu pale Ben Gurion Airport, kabla hata hajatoa taarifa kuwa ametua salama, akajikuta anatua mikononi mwa Shin Bet.
MOSAD tayari wameshafanya yao na sasa jamaa tayari anaendelea kufanyiwa interogation.

Daah, yaani utangulizi umekua mreeeefu kuliko story yenyewe. Haya niwatakie Mabata mema.
Wayahudi wapo wenye asili ya Iran na wapo waliobaki huko mpaka leo kwa karne nyingi sana na Waislam utawaondowaje Jerusalem?
 
Kwenye series ya Tehran walionesha upo uadui kati ya raia wa Israel na Iran
Huwa kuna wale Pro system waliomezeshwa propaganda na wanaoeneza propaganda.
Ni kama Tanzania tunavyojulikana kama nchi yenye amani na utulivu na watu wake wanaopendana lakini lijapo swala la siasa na madaraka kuna wahafidhina wapo tayari kuua hadharani na mchana kweupe au gizani au kuliko Chama tawala kuachia nchi basi wapo tayari wauze au wagawae kila kitu ili tukose wote.

Iran ni kati ya nchi zenye mazingira na taste ya kipekee sana zenye utajiri wa kihistoria ya muda mrefu. Kama siyo yale Mapinduzi, Iran ingekua next level sasa hivi ikishindana na South Korea na Japan.

Niliiona ile series ya Tehran ingawa waliikatisha, ila kilichomo ni uhalisia wa namna maisha yalivyo ndani ya Iran.

Pia itafute movie ya zamani kidogo iitwayo "Not without my daughter" ya mwaka 1991.

Kama wewe Mbara utaweza kwenda Unguja na Pemba ukatafuta nyumba na kuishi na wenyeji huko kwenye mitaa isiyo na muingiliano na wageni, basi hautashindwa kuishi Iran.
 
nilisoma shule ya sekondari o level iliyokuwa inamilikiwa na wabahai, baadhi ya walimu akiwemo mwalimu mkuu wa wakati huo alikuwa waliokuwa wabahai wa asili ya Iran, walieleza jinsi walivyokuwa wanapata mateso mpaka kufanikiwa kutoroka nchini humo.
Pia niliona documentary iliyoonyeshwa na CNN msimulizi akiwa christian Amanpour jina la pili Sina uhakika kama ni sahihi.Yeye na baba yake waliondoka baada ya mapinduzi ya mwaka 79 lakini shangazi yake alibaki kwani walitofautiana kimsimamo.
Wakati shangazi yake akiamini hayo mapinduzi ni ukombozi baba yake akiamini hayo mapinduzi SI sahihi ila miaka 20 baada ya mapinduzi mambo yalikuwa tofauti ikiwemo wanawake kuminywa uhuru wao hata wa kuchagua mke.
 
Nianze kwa Mastory. Kwanza ieleweke, pamoja na kile kinachoonekana kuwa ni uadui mkubwa kati ya Israel na Iran, kamwe uhasimu huu haupo kwa raia wa nchi hizi.

Uhasimu ni kwa serikali zao, lakini, miongoni mwa raia maisha yanaendelea kama kawaida na kuna to and fro za kawaida kati ya raia wa nchi hizi kwenda upende mmoja na mwingine ingawa hakuna direct flights kati ya nchi hizi lakini hiyo siyo issue kwani ni jambo lisilostua kukata ticket ya kwenda Israel kutokea Iran au kwebda Iran kutokea Israel ila lazima ni route ya kupitia nchi nyingine (lay over), hata Misri wenyewe hawana Direct flight na Iran.

Kuna Waisrael takriban 9,000 nchini iran na kuna Wairan takriban 250,000 nchini Israel. Nchini Iran, Israel ni kati ya minority groups, ambalo pia wamo wakristo na waarabu.

Myahudi au Muisrael anaishi vizuri bila ya bughudha nchini Iran. Kundi la
wasiotakiwa nchini Iran ni Wakristo. Iran inakadiliwa kuwa na Wakristo ambao ni raia wa Iran takriban 800,000, lakini wanaishi kwa siri sana na Ukristo wao.

Wakristo pekee wanaovumiliwa nchini Iran ni wale ambao ni raia wa kigeni, au Wairan ambao familia zao walikua ni wakristo tangu kabla ya Mapinduzi ya 1979. Hairuhusiwi nchini Iran mtu kubadili dini kwenda Ukristo. Unaweza ukafuata dini yoyote ile lakini siyo Ukristo.

Ingawa, katika Katiba ya Iran kuna article 13 inayokataza kuchunguza dini ya mtu, ingawa hapohapo inaji contradict kutambua minorities na kuwapa uwakilishi bungeni😃 na hapohapo Bahai hawatambuliwi na wala hawapo protected na hiyo article.

Hizi minority groups ndani ya Iran, ambazo ni Armenians, assyrians zoroastrians, Wayahudi, Wakristo na Sunni na Bahia, baadhi yao wamepewa nafasi za uwakilishi kwenye bunge la nchi hiyo ambapo Armenians wana viti viwili, halafu Wayahudi, zoroastrians na assrians hawa wamepewa kila kundi kiti kimoja cha uwakilishi wakati Sunni na Wakristo wao hawajapewa nafasi yoyote. Huku Bahia wakiwa hawatambuliwi kabisa na dini ilianzishwa hukohuko Iran.

Binafsi nina ukaribu na dada mmoja wa nchini Iran ambaye ni Daktari pia ni Mkristo na alibadili dini kutoka uislam, anasema siku ikija kujulikana itakua ndiyo mwisho wa kila kitu kwake, zaidi amesema hana mpango wa kuondoka Iran, anaamini katika uhai wake atakuja kushuhudia mabadiliko.

Nchini Iran ukijulikana kuwa wewe ni Mkristo basi watu wanaweza wakachukua sheria mkononi ya kukufanya chochote, ikiwemo kukudharirisha au kukupiga na hata ukilalamika basi hakuna msaada utapewa.

Ikitokea umefanya kosa, hata kama umesingiziwa au una mgogoro halafu ni Mkristo basi unaweza ukawekwa ndani na kutoka ni hadi hapo utakapoikana imani yako (Kumbuka kuna Article 13).

Huo ulikua ni utangulizi tu kujaribu kuonyesha kuwa Wairan na Waisrael hawana uadui, wana historia kubwa na ya muda mrefu, Iran na Israel adui yao ni mmoja tu, naye ni Ayatollah au tuseme Serikali ya Iran.

Turudi kwenye maudhui ya kichwa cha habari, Iran walifanikiwa kumpata muisrael mwenye asili ya Iran, ili kumtengeneza aweze kuwa Jasusi wao ndani ya Israel. Jamaa amefundishwa akafuzu. Akapewa vitendea kazi tayari kwenda kuianza kazi yake ya Espionage.

Siku ya safari ikafika, jamaa akapanda ndege pale Tehran Imam Khomeini International Airport kurudi Israel, ile ametua tu pale Ben Gurion Airport, kabla hata hajatoa taarifa kuwa ametua salama, akajikuta anatua mikononi mwa Shin Bet.
MOSAD tayari wameshafanya yao na sasa jamaa tayari anaendelea kufanyiwa interogation.

Daah, yaani utangulizi umekua mreeeefu kuliko story yenyewe. Haya niwatakie Mabata mema.
Acha uwongo wewe,Iran Christmas inasherehekewa Kama kawaida tarehe 25 disemba na 6 January,na wakiristo wanaenda Misa kanisani,uwongo itakusaidia nini!?
 
Nianze kwa Mastory. Kwanza ieleweke, pamoja na kile kinachoonekana kuwa ni uadui mkubwa kati ya Israel na Iran, kamwe uhasimu huu haupo kwa raia wa nchi hizi.

Uhasimu ni kwa serikali zao, lakini, miongoni mwa raia maisha yanaendelea kama kawaida na kuna to and fro za kawaida kati ya raia wa nchi hizi kwenda upende mmoja na mwingine ingawa hakuna direct flights kati ya nchi hizi lakini hiyo siyo issue kwani ni jambo lisilostua kukata ticket ya kwenda Israel kutokea Iran au kwebda Iran kutokea Israel ila lazima ni route ya kupitia nchi nyingine (lay over), hata Misri wenyewe hawana Direct flight na Iran.

Kuna Waisrael takriban 9,000 nchini iran na kuna Wairan takriban 250,000 nchini Israel. Nchini Iran, Israel ni kati ya minority groups, ambalo pia wamo wakristo na waarabu.

Myahudi au Muisrael anaishi vizuri bila ya bughudha nchini Iran. Kundi la
wasiotakiwa nchini Iran ni Wakristo. Iran inakadiliwa kuwa na Wakristo ambao ni raia wa Iran takriban 800,000, lakini wanaishi kwa siri sana na Ukristo wao.

Wakristo pekee wanaovumiliwa nchini Iran ni wale ambao ni raia wa kigeni, au Wairan ambao familia zao walikua ni wakristo tangu kabla ya Mapinduzi ya 1979. Hairuhusiwi nchini Iran mtu kubadili dini kwenda Ukristo. Unaweza ukafuata dini yoyote ile lakini siyo Ukristo.

Ingawa, katika Katiba ya Iran kuna article 13 inayokataza kuchunguza dini ya mtu, ingawa hapohapo inaji contradict kutambua minorities na kuwapa uwakilishi bungeni na hapohapo Bahai hawatambuliwi na wala hawapo protected na hiyo article.

Hizi minority groups ndani ya Iran, ambazo ni Armenians, assyrians zoroastrians, Wayahudi, Wakristo na Sunni na Bahia, baadhi yao wamepewa nafasi za uwakilishi kwenye bunge la nchi hiyo ambapo Armenians wana viti viwili, halafu Wayahudi, zoroastrians na assrians hawa wamepewa kila kundi kiti kimoja cha uwakilishi wakati Sunni na Wakristo wao hawajapewa nafasi yoyote. Huku Bahia wakiwa hawatambuliwi kabisa na dini ilianzishwa hukohuko Iran.

Binafsi nina ukaribu na dada mmoja wa nchini Iran ambaye ni Daktari pia ni Mkristo na alibadili dini kutoka uislam, anasema siku ikija kujulikana itakua ndiyo mwisho wa kila kitu kwake, zaidi amesema hana mpango wa kuondoka Iran, anaamini katika uhai wake atakuja kushuhudia mabadiliko.

Nchini Iran ukijulikana kuwa wewe ni Mkristo basi watu wanaweza wakachukua sheria mkononi ya kukufanya chochote, ikiwemo kukudharirisha au kukupiga na hata ukilalamika basi hakuna msaada utapewa.

Ikitokea umefanya kosa, hata kama umesingiziwa au una mgogoro halafu ni Mkristo basi unaweza ukawekwa ndani na kutoka ni hadi hapo utakapoikana imani yako (Kumbuka kuna Article 13).

Huo ulikua ni utangulizi tu kujaribu kuonyesha kuwa Wairan na Waisrael hawana uadui, wana historia kubwa na ya muda mrefu, Iran na Israel adui yao ni mmoja tu, naye ni Ayatollah au tuseme Serikali ya Iran.

Turudi kwenye maudhui ya kichwa cha habari, Iran walifanikiwa kumpata muisrael mwenye asili ya Iran, ili kumtengeneza aweze kuwa Jasusi wao ndani ya Israel. Jamaa amefundishwa akafuzu. Akapewa vitendea kazi tayari kwenda kuianza kazi yake ya Espionage.

Siku ya safari ikafika, jamaa akapanda ndege pale Tehran Imam Khomeini International Airport kurudi Israel, ile ametua tu pale Ben Gurion Airport, kabla hata hajatoa taarifa kuwa ametua salama, akajikuta anatua mikononi mwa Shin Bet.
MOSAD tayari wameshafanya yao na sasa jamaa tayari anaendelea kufanyiwa interogation.

Daah, yaani utangulizi umekua mreeeefu kuliko story yenyewe. Haya niwatakie Mabata mema.
Uwongo mtupu......Hakuna nchi mashariki ya kati ambapo wakristo wanatreatiwa vizuri kama Iran


Christian MP Lauds Respect for Religious Minorities in Iran

July, 27, 2017 - 12:16

Society/Culture news


[data:image/svg+xml;charset=utf-8,%3Csvg xmlns='http%3A//www][https://newsmedia-tasnimnews-com]

TEHRAN (Tasnim) – An Iranin Assyrian Christian lawmaker hailed the great respect that non-Muslim citizens receive in his motherland, recommending Western so-called advocates of democracy to learn regard for religious minorities from Iranian leaders.

In an interview with Tasnim, representative of the Assyrian Christians in the Iranian Parliament Yonathan Betkolia said it is an honor to announce that “Christians in Iran do not face any limitations and that Christianity is respected in Iran as a religious minority.”

“Christian priests in Iran are respected by the Iranian government and nation, unlike in Syria or Iraq where they are killed by Daesh (ISIL terrorist group),” he added.

Betkolia also noted that Western governments had better learn respect for the rights of religious minorities from Leader of the Islamic Revolution Ayatollah Seyed Ali Khamenei.

Almost every year during Christmastime, Ayatollah Khamenei pays visits to the houses of Iranian Christian martyrs to meet their families.

[https://newsmedia-tasnimnews-com]

[https://newsmedia-tasnimnews-com]

The Leader has repeatedly highlighted Islam’s pacific attitude toward others, saying Islam has ordered Muslims to treat the followers of other religions with “fairness and justice.”

Religious minorities, including Christians, Jews and Zoroastrians have representatives in the Iranian parliament.

Hapo ni ayatollah akishiriki xmass katika nyumba miongoni mwa wakristo wa Iran
139410061829275766799554.jpg
139410061829272646799554.jpg
 
Uwongo mtupu......Hakuna nchi mashariki ya kati ambapo wakristo wanatreatiwa vizuri kama Iran


Christian MP Lauds Respect for Religious Minorities in Iran

July, 27, 2017 - 12:16

Society/Culture news


[data:image/svg+xml;charset=utf-8,%3Csvg xmlns='http%3A//www][https://newsmedia-tasnimnews-com]

TEHRAN (Tasnim) – An Iranin Assyrian Christian lawmaker hailed the great respect that non-Muslim citizens receive in his motherland, recommending Western so-called advocates of democracy to learn regard for religious minorities from Iranian leaders.

In an interview with Tasnim, representative of the Assyrian Christians in the Iranian Parliament Yonathan Betkolia said it is an honor to announce that “Christians in Iran do not face any limitations and that Christianity is respected in Iran as a religious minority.”

“Christian priests in Iran are respected by the Iranian government and nation, unlike in Syria or Iraq where they are killed by Daesh (ISIL terrorist group),” he added.

Betkolia also noted that Western governments had better learn respect for the rights of religious minorities from Leader of the Islamic Revolution Ayatollah Seyed Ali Khamenei.

Almost every year during Christmastime, Ayatollah Khamenei pays visits to the houses of Iranian Christian martyrs to meet their families.

[https://newsmedia-tasnimnews-com]

[https://newsmedia-tasnimnews-com]

The Leader has repeatedly highlighted Islam’s pacific attitude toward others, saying Islam has ordered Muslims to treat the followers of other religions with “fairness and justice.”

Religious minorities, including Christians, Jews and Zoroastrians have representatives in the Iranian parliament.

Hapo ni ayatollah akishiriki xmass katika nyumba miongoni mwa wakristo wa IranView attachment 2715265View attachment 2715266
Sawa,
Kingine?
 
Nianze kwa Mastory. Kwanza ieleweke, pamoja na kile kinachoonekana kuwa ni uadui mkubwa kati ya Israel na Iran, kamwe uhasimu huu haupo kwa raia wa nchi hizi.

Uhasimu ni kwa serikali zao, lakini, miongoni mwa raia maisha yanaendelea kama kawaida na kuna to and fro za kawaida kati ya raia wa nchi hizi kwenda upende mmoja na mwingine ingawa hakuna direct flights kati ya nchi hizi lakini hiyo siyo issue kwani ni jambo lisilostua kukata ticket ya kwenda Israel kutokea Iran au kwebda Iran kutokea Israel ila lazima ni route ya kupitia nchi nyingine (lay over), hata Misri wenyewe hawana Direct flight na Iran.

Kuna Waisrael takriban 9,000 nchini iran na kuna Wairan takriban 250,000 nchini Israel. Nchini Iran, Israel ni kati ya minority groups, ambalo pia wamo wakristo na waarabu.

Myahudi au Muisrael anaishi vizuri bila ya bughudha nchini Iran. Kundi la
wasiotakiwa nchini Iran ni Wakristo. Iran inakadiliwa kuwa na Wakristo ambao ni raia wa Iran takriban 800,000, lakini wanaishi kwa siri sana na Ukristo wao.

Wakristo pekee wanaovumiliwa nchini Iran ni wale ambao ni raia wa kigeni, au Wairan ambao familia zao walikua ni wakristo tangu kabla ya Mapinduzi ya 1979. Hairuhusiwi nchini Iran mtu kubadili dini kwenda Ukristo. Unaweza ukafuata dini yoyote ile lakini siyo Ukristo.

Ingawa, katika Katiba ya Iran kuna article 13 inayokataza kuchunguza dini ya mtu, ingawa hapohapo inaji contradict kutambua minorities na kuwapa uwakilishi bungeni na hapohapo Bahai hawatambuliwi na wala hawapo protected na hiyo article.

Hizi minority groups ndani ya Iran, ambazo ni Armenians, assyrians zoroastrians, Wayahudi, Wakristo na Sunni na Bahia, baadhi yao wamepewa nafasi za uwakilishi kwenye bunge la nchi hiyo ambapo Armenians wana viti viwili, halafu Wayahudi, zoroastrians na assrians hawa wamepewa kila kundi kiti kimoja cha uwakilishi wakati Sunni na Wakristo wao hawajapewa nafasi yoyote. Huku Bahia wakiwa hawatambuliwi kabisa na dini ilianzishwa hukohuko Iran.

Binafsi nina ukaribu na dada mmoja wa nchini Iran ambaye ni Daktari pia ni Mkristo na alibadili dini kutoka uislam, anasema siku ikija kujulikana itakua ndiyo mwisho wa kila kitu kwake, zaidi amesema hana mpango wa kuondoka Iran, anaamini katika uhai wake atakuja kushuhudia mabadiliko.

Nchini Iran ukijulikana kuwa wewe ni Mkristo basi watu wanaweza wakachukua sheria mkononi ya kukufanya chochote, ikiwemo kukudharirisha au kukupiga na hata ukilalamika basi hakuna msaada utapewa.

Ikitokea umefanya kosa, hata kama umesingiziwa au una mgogoro halafu ni Mkristo basi unaweza ukawekwa ndani na kutoka ni hadi hapo utakapoikana imani yako (Kumbuka kuna Article 13).

Huo ulikua ni utangulizi tu kujaribu kuonyesha kuwa Wairan na Waisrael hawana uadui, wana historia kubwa na ya muda mrefu, Iran na Israel adui yao ni mmoja tu, naye ni Ayatollah au tuseme Serikali ya Iran.

Turudi kwenye maudhui ya kichwa cha habari, Iran walifanikiwa kumpata muisrael mwenye asili ya Iran, ili kumtengeneza aweze kuwa Jasusi wao ndani ya Israel. Jamaa amefundishwa akafuzu. Akapewa vitendea kazi tayari kwenda kuianza kazi yake ya Espionage.

Siku ya safari ikafika, jamaa akapanda ndege pale Tehran Imam Khomeini International Airport kurudi Israel, ile ametua tu pale Ben Gurion Airport, kabla hata hajatoa taarifa kuwa ametua salama, akajikuta anatua mikononi mwa Shin Bet.
MOSAD tayari wameshafanya yao na sasa jamaa tayari anaendelea kufanyiwa interogation.

Daah, yaani utangulizi umekua mreeeefu kuliko story yenyewe. Haya niwatakie Mabata mema.
Ni Bahai sio Bahia
 
Mimi siku nyingi tu niliona wanawake wa kikiristo ndani ya hijab huko Iran wakisherehekea xmass,na ni suala rahisi tu la ku-google 'christmass in Iran' na kila kitu kinakuja

Mkuu hawa wanadanganywa na media za west na movie za hollywood
Iran haiingilii dini za wengine wakristo wako na makanisa yao na wanaishi fresh tuh
Huko Israel mara kadhaa tumeona jinsi wanavowazingua wakristo ila ilo hawaoni
 
Nianze kwa Mastory. Kwanza ieleweke, pamoja na kile kinachoonekana kuwa ni uadui mkubwa kati ya Israel na Iran, kamwe uhasimu huu haupo kwa raia wa nchi hizi.

Uhasimu ni kwa serikali zao, lakini, miongoni mwa raia maisha yanaendelea kama kawaida na kuna to and fro za kawaida kati ya raia wa nchi hizi kwenda upende mmoja na mwingine ingawa hakuna direct flights kati ya nchi hizi lakini hiyo siyo issue kwani ni jambo lisilostua kukata ticket ya kwenda Israel kutokea Iran au kwebda Iran kutokea Israel ila lazima ni route ya kupitia nchi nyingine (lay over), hata Misri wenyewe hawana Direct flight na Iran.

Kuna Waisrael takriban 9,000 nchini iran na kuna Wairan takriban 250,000 nchini Israel. Nchini Iran, Israel ni kati ya minority groups, ambalo pia wamo wakristo na waarabu.

Myahudi au Muisrael anaishi vizuri bila ya bughudha nchini Iran. Kundi la
wasiotakiwa nchini Iran ni Wakristo. Iran inakadiliwa kuwa na Wakristo ambao ni raia wa Iran takriban 800,000, lakini wanaishi kwa siri sana na Ukristo wao.

Wakristo pekee wanaovumiliwa nchini Iran ni wale ambao ni raia wa kigeni, au Wairan ambao familia zao walikua ni wakristo tangu kabla ya Mapinduzi ya 1979. Hairuhusiwi nchini Iran mtu kubadili dini kwenda Ukristo. Unaweza ukafuata dini yoyote ile lakini siyo Ukristo.

Ingawa, katika Katiba ya Iran kuna article 13 inayokataza kuchunguza dini ya mtu, ingawa hapohapo inaji contradict kutambua minorities na kuwapa uwakilishi bungeni😃 na hapohapo Bahai hawatambuliwi na wala hawapo protected na hiyo article.

Hizi minority groups ndani ya Iran, ambazo ni Armenians, assyrians zoroastrians, Wayahudi, Wakristo na Sunni na Bahia, baadhi yao wamepewa nafasi za uwakilishi kwenye bunge la nchi hiyo ambapo Armenians wana viti viwili, halafu Wayahudi, zoroastrians na assrians hawa wamepewa kila kundi kiti kimoja cha uwakilishi wakati Sunni na Wakristo wao hawajapewa nafasi yoyote. Huku Bahia wakiwa hawatambuliwi kabisa na dini ilianzishwa hukohuko Iran.

Binafsi nina ukaribu na dada mmoja wa nchini Iran ambaye ni Daktari pia ni Mkristo na alibadili dini kutoka uislam, anasema siku ikija kujulikana itakua ndiyo mwisho wa kila kitu kwake, zaidi amesema hana mpango wa kuondoka Iran, anaamini katika uhai wake atakuja kushuhudia mabadiliko.

Nchini Iran ukijulikana kuwa wewe ni Mkristo basi watu wanaweza wakachukua sheria mkononi ya kukufanya chochote, ikiwemo kukudharirisha au kukupiga na hata ukilalamika basi hakuna msaada utapewa.

Ikitokea umefanya kosa, hata kama umesingiziwa au una mgogoro halafu ni Mkristo basi unaweza ukawekwa ndani na kutoka ni hadi hapo utakapoikana imani yako (Kumbuka kuna Article 13).

Huo ulikua ni utangulizi tu kujaribu kuonyesha kuwa Wairan na Waisrael hawana uadui, wana historia kubwa na ya muda mrefu, Iran na Israel adui yao ni mmoja tu, naye ni Ayatollah au tuseme Serikali ya Iran.

Turudi kwenye maudhui ya kichwa cha habari, Iran walifanikiwa kumpata muisrael mwenye asili ya Iran, ili kumtengeneza aweze kuwa Jasusi wao ndani ya Israel. Jamaa amefundishwa akafuzu. Akapewa vitendea kazi tayari kwenda kuianza kazi yake ya Espionage.

Siku ya safari ikafika, jamaa akapanda ndege pale Tehran Imam Khomeini International Airport kurudi Israel, ile ametua tu pale Ben Gurion Airport, kabla hata hajatoa taarifa kuwa ametua salama, akajikuta anatua mikononi mwa Shin Bet.
MOSAD tayari wameshafanya yao na sasa jamaa tayari anaendelea kufanyiwa interogation.

Daah, yaani utangulizi umekua mreeeefu kuliko story yenyewe. Haya niwatakie Mabata mema.
Wakimaliza interrogation wanajua watakachomfanya. chakula anakula cha kwao, maji ya kwao, chumba cha kwao. watampulizia vitu mle watamwekea hadi visimbuzi mwilini atakuwa anaonekana kokote atakakoenda duniani.
 
Back
Top Bottom