Jasusi Mkuu na ukwasi wake wa ‘Dolari’ - ana biashara gani!?

Jasusi Mkuu na ukwasi wake wa ‘Dolari’ - ana biashara gani!?

Kipindi flani tuliskia dola zimeadimika, lakini watito wa jasusi mkuu wanapiga nazo picha kama hela za nyanya
Wananzengo, hili jasusi kuu linamiliki biashara zipi na sisi tupate dolari.
Na kwa level ya kumiliki dollari kiasi kile cha watoto kusema zipo za kuchota sehemu ni wazi huyu yupo level za kuwa muwekazaji sio mfanyabiashara wa kawaida.
 
Tunaelekea pazuri sana kwenda kupata ukombozi wa kweli.

Uzuri Viongozi wa juu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wakiwa mafisadi inaondoaga morali sana kwa Watumishi wa chini kiasi kuamua lolote na liwe.

Haya yanayoendelea sasa ndo njia yenyewe ya kwenda kufanya mapinduzi ya kuikomboa kweli Tanzania hasa Tanganyika.
 
Tunaelekea pazuri sana kwenda kupata ukombozi wa kweli.

Uzuri Viongozi wa juu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wakiwa mafisadi inaondoaga morali sana kwa Watumishi wa chini kiasi kuamua lolote na liwe.

Haya yanayoendelea sasa ndo njia yenyewe ya kwenda kufanya mapinduzi ya kuikomboa kweli Tanzania hasa Tanganyika.
Sahihi mkuu
 
Sometimes napata wasiwasi wasije wakawa wabaya wake Jasusi mkuu wako kazini maana kuna kipindi tumeambiwa amekufa wanaweza kua wanamtengenezea ajali atoke hapo kwenye ujasusi mkuu. Siungi mkono vitendo vyote vile vya kifisadi ni mtazamo wangu tu
 
Kipindi flani tuliskia dola zimeadimika, lakini watito wa jasusi mkuu wanapiga nazo picha kama hela za nyanya
Wananzengo, hili jasusi kuu linamiliki biashara zipi na sisi tupate dolari.
Kuna sehemu nyingi sana mafisadi wanaweza chota dolari, sehemu za utalii, kuna baadhi ya malipo yanafanyika kwa dollar, na pia hawa watu wakubwa wakienda badilisha pesa benki kupata dollar uwa hawawekewi kikomo cha kubadilisha, sio kama sisi wengine mara mwisho 1000USD, kuna siku niliwah kwenda NMB wakasema mwisho wa kununua dollar ni 300 USD, zaidi ya hapo nahitaji barua kutoka BOT.
 
Back
Top Bottom