jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
- Thread starter
- #81
We bado una fikra za mwenyekiti zidumu eti?Kwa taarifa yako huu si Mwaka tisini huu ni Mwaka 2015 kizibo wewe, unaongelea miaka ambayo tulikuwa hatuna mitandao? Amka wewe hata vijijini wako up to date wanaisoma JF
Unadhani miaka ya tisini hakukua na mitandao au wananchi walikuwa hawapati taarifa za uchaguzi?