Elections 2015 Jasusi la CCM lilivyoiuwa CHADEMA

Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Mrema hakutumwa, alikuwa mpinzani wa kweli, Ila kwa ujinga wa wale wanaotetewa na nguvu ya serikali hakuwa na jinsi ila ni kutulia na kutafuta ugali wake.
 
Una uhakika huko CCM hakuna mamluki?

Ninyi watu mnaofanya vyama vya siasa kama uumini wa dini huwa mnashangaza sana...

Kuna watu wanaamini CCM inapaswa iwepo madarakani milele...

Kuna watu wanaamini mtu kuhama chama ni usaliti...

Hivi CCM mmeifanyia nini hii nchi hata mjigambe kuwa mtu hapaswi kutoka huko kwenu na kwenda kwingine?
umesahau mlivyo mashambulia zitto na wenzake walivyo hama, inamaana ukiondoka cdm ndio msaliti lakini ukiondoka vyama vingine na kwenda cdm wewe ni malaika. Acheni hizo bana, hii ndio sababu kuu ambayo itawafanya msisogee hata kwenye geti la ikulu.Hamuambiliki wala hamkosoleki. Ujuaji umewazidi na mtapigwa bao kwa miaka mingi sana na ccm
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Tuko pamoja hawaelewi na hawatelewa ulichokisema hao Mashabiki maandazi, Wape elimu kwanza majasusi ni kina nani?
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Heeee poleeee, utashangaaaaa chadema iko sawa
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Mkuu unaweza usiaminike sasa ila na mimi napata hisia kama zako. Tuombe tuu isiharibu amani yetu
 
Hii post wataikumbuka sana acha wakushushie matusi mleta mada
 
Chadema ni mkusanyiko wa ma zombie

Hawana uwezo wa independent thought.Ni kama cult,kiongozi wao akisema kitu wao ni "mein Führer!"

Hata huyu anajiita LILONGO yaani liongo_Ona sasa alichoandika.
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

You might be right ↪
 
Cku zote huwez kumpima mkeo kwa kumtuma rafiki yako amtongoze au kumtega panya kwa mkate unategemea mkeo akigongwa atasema? haiwezekan ni sawa na mfano ulioutoa fuatilia historian vzur bado xna..
 
Back
Top Bottom