Mrema hakufukuzwa,bali alijivua mwenyewe uwaziri kwenye serikali ya mwinyi.
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
umesahau mlivyo mashambulia zitto na wenzake walivyo hama, inamaana ukiondoka cdm ndio msaliti lakini ukiondoka vyama vingine na kwenda cdm wewe ni malaika. Acheni hizo bana, hii ndio sababu kuu ambayo itawafanya msisogee hata kwenye geti la ikulu.Hamuambiliki wala hamkosoleki. Ujuaji umewazidi na mtapigwa bao kwa miaka mingi sana na ccmUna uhakika huko CCM hakuna mamluki?
Ninyi watu mnaofanya vyama vya siasa kama uumini wa dini huwa mnashangaza sana...
Kuna watu wanaamini CCM inapaswa iwepo madarakani milele...
Kuna watu wanaamini mtu kuhama chama ni usaliti...
Hivi CCM mmeifanyia nini hii nchi hata mjigambe kuwa mtu hapaswi kutoka huko kwenu na kwenda kwingine?
Pumzi ya mwisho ya uhai.Last kick of dying horse....
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Upepo wa mwaka 1995 usiufananishe na upepo wa mwaka huu mambo mengi yamebadilika
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Chadema ni mkusanyiko wa ma zombie
Hawana uwezo wa independent thought.Ni kama cult,kiongozi wao akisema kitu wao ni "mein Führer!"
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA